Asalaam Aleiykum
Mwaka mpya mambo mepya, Katika jambo la dini Mja ni haki yako ya kimsingi kukijua kila kitu kwenye Ulimwengu huu, Sasa ikiwa ni haki yako ya kimsingi kuyajua hayo jiulize kwanini haya ya (Kichawi) yamefichwa na hayajulikani.
Sababu kubwa ya kufichwa kwa mambo hayo ni Madhara ambayo kama yangeachiwa huru kila mtu kuyajua basi tungemalizana kama kuku. Mwenye enzi Mungu Kaificha Elimu hii kwa maelezo yaliyomo kwenye Quraan aya ya 102 (Baqarah)
"وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَـٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَـٰنَۖ وَمَا ڪَفَرَ سُلَيۡمَـٰنُ وَلَـٰكِنَّ ٱلشَّيَـٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَڪَيۡنِ بِبَابِلَ هَـٰرُوتَ وَمَـٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٌ۬ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَٮٰهُ مَا لَهُ ۥ فِى ٱلۡأَخِرَةِ مِنۡ خَلَـٰقٍ۬ۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦۤ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ ڪَانُواْ يَعۡلَمُونَ "
"Wakafata yale waliyofata Mashetani(Wakadai yalikua)Katika Ufalme wa (Nabii)Suleiman, Na Suleiman Hakukufuru, Bali Mashetani ndio walokufuru, wakiwafundisha watu uchawi,(Ambao wakiujua toka zamani)Ulioteremshwa kwa Malaika wawili, Haruta na Maruta katika Mji wa Babil, Wala (Malaika hao) hawakumfundisha yoyote mpaka wamwambie, "Hakika sisi ni Mtihani" (Wa kutizamwa utiifu wenu)basi usikufuru. Wakajifunza kwao ambayo kwa mambo hayo waliweza kumfarikisha mtu na mkewe (Na mengineyo chungu nzima). Wala hawakua wenye kumdhuru yoyote ila kwa idhini ya Mwenye enzi Mungu. Na wanajifunza ambayo yatawadhuru wala hayatawafaa. Na kwa Yakini wanajua kwamba aliyekhiyari(kuridhia)haya hatakuwa na sehemu yoyote katika Akhera. Na Bila shaka ni kibaya kabisa walichouzia(Starehe za)Nafsi zao(Kwa ajili ya kuikosa Akhera)laiti wangelijua(wasingelifanya hivyo).
Naam, Baada ya kutufukuzisha Peponi wameamua kutufata huku huku Ardhini ili kutupoteza, huu Uchawi ulikuja kama mtihani unapewa elimu halafu unatizamwa utaitumia vipi elimu hiyo, Ni elimu iliyofichikana ino khusu (Physiology) ya Mwanaadamu ndio maana hapo ikatajwa moja katika hayo ni kule (Kumfarakisha mtu na mumewe au mkewe).
Utakapo niuliza mimi nini (Uchawi) Nitakujibu ni (Medium) ni chombo cha siri chenye kutumwa kuwasiliana na jambo au kitu kwa ajili ya utendaji wa kazi yake.
"Leo hapa nazungumza tawi moja la uchawi katika matawi chungu nzima ya kichawi", Ni muhimu kulizungumza tawi hili kwa sababu linagusa moja kwa moja kwenye hiyo furaha yako, Nini Furaha?, Furaha ni Afya na Uchawi unaharibu au kudhulumu afya yako, na afya ikiguswa Binaadamu umemalizika.
Endelea part 2
Monday, January 1, 2018
SIRI YA UCHAWI PART 2
Asalaam Aleiykum
Pata habari hii ili utakapo tafuta dawa ujue unajitibia nini, upate kutambua vipi utaikata hiyo (Medium) isifanye kazi kwenye Mwili wako. Kumbuka nimetaja hiyo (Medium) ni kama (Transmiter) ya hayo yanofanyika kukuingia wewe kwenye (Body)Mwili wako.
Kumbuka tuko kwenye darsa ya Uchawi ambao wengi unakuteseni sana kutokana na Majini na Binaadamu kuitumia Elimu hii walonayo kukurogeni, leo hapa sitokwenda (Deep)lakini nitakufahamisha Vipi Unarogwa?, Tega macho uzuri huenda hili likawa na faida na wewe katika kuipata nafuu yako.
"Sura ya Naas na aya zote 6"
"قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ (1) مَلِكِ النَّاسِ (2) إِلَـٰهِ ٱلنَّاسِ (3) مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ (4) ٱلَّذِى يُوَسۡوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ (5) مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ (6)"
Sema: Najikinga kwa Bwana Mwenye kuwalea(Viumbe)(1)Mfalme wa Watu(2)Mollah wa viumbe(3)Na Shari ya Mwenye kutia wasiwasi (Ikisha)Mwenye kurejea nyuma(4)Atiyae wasiwasi nyoyoni mwa watu(6)Ambaye ni katika majini na watu.
Naam hiyo ndio habari ambayo inayohusu mambo ya Uchawi, kwanini ikawa hivyo, kwa sababu hiyo ndio kusudio la hiyo sura, ndio maana hutumiwa sana kwenye mambo ya dhara ya Uchawi, Sasa wacha tuchambue kidogo kidogo ili tutoe ufafanuzi wa hayo maneno.
Na uzuri zaidi imekuja na aya sita kama ilivyo (Symbol) ya kichawi na (Number 6).
Najikinga kwa Bwana Mwenye kuwalea viumbe, Kumbuka wewe umo ndani ya Ufalme wa Mwenye enzi Mungu, Mollah wa viumbe vyote majini na Binaadamu Malaika na vyenginevyo ambavyo hatuvijui, (Tupia macho maneno ya tafsiri inayofata)"Na Shari ya Mwenye kutia Wasiwasi ikisha akarejea nyuma"Uchawi ni Shari kwa sababu hiyo anautia kwenye Nafsi au (Body) yako ikisha hakai anarejea nyuma, kwanini akarejea kwa sababu hakuna yoyote anayeweza kugusa Roho yako, ndio maana akisha fanya uharibifu kwenye Mwili wako anakaa nyuma kuangalia vipi unahangaika, afanyayo hayo iwe Jini au Binaadamu.
Naam Wanafanya nini Mafisadi hawa?. Wanachofanya ni kutia wasiwasi kwenye kifua cha Mwanaadamu, wapi wanatia wasiwasi huo?.
Endelea part 3
Pata habari hii ili utakapo tafuta dawa ujue unajitibia nini, upate kutambua vipi utaikata hiyo (Medium) isifanye kazi kwenye Mwili wako. Kumbuka nimetaja hiyo (Medium) ni kama (Transmiter) ya hayo yanofanyika kukuingia wewe kwenye (Body)Mwili wako.
Kumbuka tuko kwenye darsa ya Uchawi ambao wengi unakuteseni sana kutokana na Majini na Binaadamu kuitumia Elimu hii walonayo kukurogeni, leo hapa sitokwenda (Deep)lakini nitakufahamisha Vipi Unarogwa?, Tega macho uzuri huenda hili likawa na faida na wewe katika kuipata nafuu yako.
"Sura ya Naas na aya zote 6"
"قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ (1) مَلِكِ النَّاسِ (2) إِلَـٰهِ ٱلنَّاسِ (3) مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ (4) ٱلَّذِى يُوَسۡوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ (5) مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ (6)"
Sema: Najikinga kwa Bwana Mwenye kuwalea(Viumbe)(1)Mfalme wa Watu(2)Mollah wa viumbe(3)Na Shari ya Mwenye kutia wasiwasi (Ikisha)Mwenye kurejea nyuma(4)Atiyae wasiwasi nyoyoni mwa watu(6)Ambaye ni katika majini na watu.
Naam hiyo ndio habari ambayo inayohusu mambo ya Uchawi, kwanini ikawa hivyo, kwa sababu hiyo ndio kusudio la hiyo sura, ndio maana hutumiwa sana kwenye mambo ya dhara ya Uchawi, Sasa wacha tuchambue kidogo kidogo ili tutoe ufafanuzi wa hayo maneno.
Na uzuri zaidi imekuja na aya sita kama ilivyo (Symbol) ya kichawi na (Number 6).
Najikinga kwa Bwana Mwenye kuwalea viumbe, Kumbuka wewe umo ndani ya Ufalme wa Mwenye enzi Mungu, Mollah wa viumbe vyote majini na Binaadamu Malaika na vyenginevyo ambavyo hatuvijui, (Tupia macho maneno ya tafsiri inayofata)"Na Shari ya Mwenye kutia Wasiwasi ikisha akarejea nyuma"Uchawi ni Shari kwa sababu hiyo anautia kwenye Nafsi au (Body) yako ikisha hakai anarejea nyuma, kwanini akarejea kwa sababu hakuna yoyote anayeweza kugusa Roho yako, ndio maana akisha fanya uharibifu kwenye Mwili wako anakaa nyuma kuangalia vipi unahangaika, afanyayo hayo iwe Jini au Binaadamu.
Naam Wanafanya nini Mafisadi hawa?. Wanachofanya ni kutia wasiwasi kwenye kifua cha Mwanaadamu, wapi wanatia wasiwasi huo?.
Endelea part 3
SIRI YA UCHAWI PART 3
Asalaam Aleiykum
Wanachofanya Wachawi katika Elimu hii ni lile tendo lenyewe lilogawika sehemu mbili, sehemu ya kwanza ambayo ni (Visible)hii ni rahisi sana na kuna hiyo ya pili ya (Invisible)ambayo ni wachache katika wanaadamu wanoijua na wengi katika majini ni wenye kuimiliki elimu hii.
Hapa sina haja ya kuzungumza mambo ya kichawi ila nataka nikupe muongozo nini kinafanywa mpaka ukarogwa, wala usidhani nitataja dawa zinofanyika nisije nikaharibia waganga wapatao riziki kwa kuwatibia watu ambao wanategemea kazi hiyo kuendeleza maisha yao.
Nini Kinafanyika, umesoma aya inasema Mwenye kutia wasiwasi kwenye kifua cha mtu, wasiwasi huu unatiwa wapi, chochote kile kinachofanyika (Target) inakua sehemu moja kwa lugha zenu za kitaalamu kitu hicho kinaitwa (Vagus Nerve)Yanatiwa maradhi hapo ima iwe kwa kuguswa au kwa chakula au kwa njia ya (Mediumship) ndio huko kunogonezwa(whisper), nini inatokea kinapochezewa hiyo (Nerve) yanapatikana madhara makubwa ambayo hata (Doctor)wenu wa kizungu hawezi kujua unaumwa nini, Kwa Sababu kitu hicho kinafanya kazi kama (Second Brain).
Hiyo ndio inaleta matatizo yote katika Mwili, kwa sababu (Nerves)hizi ni kiunganishi cha kwenye (Voice box) Ulimi, utumbo na (Major Organ) zote, zikichezewa hizo Mwanaadamu unaingia matesoni, hujulikani unaumwa nini, hiyo ndio njia inayotumika kukutesa kwa njia za Kichawi, Chakula kinatumika sana kufanya uharibifu wa (Nerves)hizi, Kumbuka hakuna awezaye kuigusa Roho yako ila wanagusa Mwili wako, na kama huko imara hapo tena utaliwa pesa kwa dawa za uongo mpaka upate mtu anayefahamu kukutibu kwa njia mbili za (Clinical Therapy) au (Medium Therapy)lakini mwenye kujua vipi umeathirika.
Unaweza kupewa dawa au (Kombe unywe) au kusomewa (Ruqya) au Vidonge vya Hospital yote hayo ni kutibu hizo (Vagus Nerves).
Usidhani kazi yake ni rahisi kwa sababu kila ukipimwa vipimo vyote vinaonesha uko sawa, ndio maana nikasema mpaka upate mtu mwenye ujuzi na kwa miaka hii ni wachache sana wenye kujua Elimu hizi, hiyo ndio shughuli ya kichawi unayofanyiwa, na nyengine ni (Accident) unazoweza kupata zikasababisha uteseke na maradhi yenye kusababishwa na (Vagus nerves) kwa hiyo kuwa makini kujijua umefanyiwa uchawi au maradhi ya kujipa mwenyewe.
(Nerve) Hizi ndio zenye kuunganisha Baina ya (Mind) yako na Mwili wako, Na ndizo zenye kuufanya moyo kuwa na wasiwasi mkubwa kama ilivyo sema huko nyuma hiyo sura ya (Nass), Ukiweza kujua hilo ndio utaweza kusema kwa yakini najilinda kwa Mfalme aloviumba vyote vilivyomo kwenye Ulimwengu huu, Ili nisipate kutiwa wasiwasi kwenye nafsi yangu.
Wanachofanya Wachawi katika Elimu hii ni lile tendo lenyewe lilogawika sehemu mbili, sehemu ya kwanza ambayo ni (Visible)hii ni rahisi sana na kuna hiyo ya pili ya (Invisible)ambayo ni wachache katika wanaadamu wanoijua na wengi katika majini ni wenye kuimiliki elimu hii.
Hapa sina haja ya kuzungumza mambo ya kichawi ila nataka nikupe muongozo nini kinafanywa mpaka ukarogwa, wala usidhani nitataja dawa zinofanyika nisije nikaharibia waganga wapatao riziki kwa kuwatibia watu ambao wanategemea kazi hiyo kuendeleza maisha yao.
Nini Kinafanyika, umesoma aya inasema Mwenye kutia wasiwasi kwenye kifua cha mtu, wasiwasi huu unatiwa wapi, chochote kile kinachofanyika (Target) inakua sehemu moja kwa lugha zenu za kitaalamu kitu hicho kinaitwa (Vagus Nerve)Yanatiwa maradhi hapo ima iwe kwa kuguswa au kwa chakula au kwa njia ya (Mediumship) ndio huko kunogonezwa(whisper), nini inatokea kinapochezewa hiyo (Nerve) yanapatikana madhara makubwa ambayo hata (Doctor)wenu wa kizungu hawezi kujua unaumwa nini, Kwa Sababu kitu hicho kinafanya kazi kama (Second Brain).
Hiyo ndio inaleta matatizo yote katika Mwili, kwa sababu (Nerves)hizi ni kiunganishi cha kwenye (Voice box) Ulimi, utumbo na (Major Organ) zote, zikichezewa hizo Mwanaadamu unaingia matesoni, hujulikani unaumwa nini, hiyo ndio njia inayotumika kukutesa kwa njia za Kichawi, Chakula kinatumika sana kufanya uharibifu wa (Nerves)hizi, Kumbuka hakuna awezaye kuigusa Roho yako ila wanagusa Mwili wako, na kama huko imara hapo tena utaliwa pesa kwa dawa za uongo mpaka upate mtu anayefahamu kukutibu kwa njia mbili za (Clinical Therapy) au (Medium Therapy)lakini mwenye kujua vipi umeathirika.
Unaweza kupewa dawa au (Kombe unywe) au kusomewa (Ruqya) au Vidonge vya Hospital yote hayo ni kutibu hizo (Vagus Nerves).
Usidhani kazi yake ni rahisi kwa sababu kila ukipimwa vipimo vyote vinaonesha uko sawa, ndio maana nikasema mpaka upate mtu mwenye ujuzi na kwa miaka hii ni wachache sana wenye kujua Elimu hizi, hiyo ndio shughuli ya kichawi unayofanyiwa, na nyengine ni (Accident) unazoweza kupata zikasababisha uteseke na maradhi yenye kusababishwa na (Vagus nerves) kwa hiyo kuwa makini kujijua umefanyiwa uchawi au maradhi ya kujipa mwenyewe.
(Nerve) Hizi ndio zenye kuunganisha Baina ya (Mind) yako na Mwili wako, Na ndizo zenye kuufanya moyo kuwa na wasiwasi mkubwa kama ilivyo sema huko nyuma hiyo sura ya (Nass), Ukiweza kujua hilo ndio utaweza kusema kwa yakini najilinda kwa Mfalme aloviumba vyote vilivyomo kwenye Ulimwengu huu, Ili nisipate kutiwa wasiwasi kwenye nafsi yangu.
Subscribe to:
Posts (Atom)