Sunday, May 1, 2016

MILANGO MINNE YA DHANMBI PART 2

Asalaam Aleiykum

Tunaendelea kufanya utafiti wetu wa kuiepuka Milango hii ya Dhanmbi, Na sasa inatubidi turejee nyuma ili kuitizama ile aya ya (17)ilipotaja neno ujinga, Hapa ujinga kusudio lake ni (Innocence) Kitu ambacho hukijui, huna (Experience)nacho, basi mwanzo kabisa ukitoka kwenye Msitu wa ujinga unaingia katika Mlango huu wa kwanza (1)unaoitwa kujua, jambo lolote lazima kwanza lipitie Mlango huu wa kujua, Na kujua huku kuna(Level)zake, Mnyama ana (Level)yake, Mti una (Level)yake, Mwezi una (Level)yake, Mpaka huo Mwili wako una (Level)ya fahamu zake, sasa hivi usage chakula, Sasa hivi uzidishe (oxygen), Na hiyo Roho yako hali kadhalika ina desturi ya kukusanya Ujuzi au ita Kujua, Na imepewa (level)hii ya juu kabisa na Mwenyewe Mollah Muumbaji, inapokwisha kukamilisha kazi yake kwenye Mlango huu wa ujuzi ndio hapo inapeleka taarifa hizo kwenye Mlango wa pili(2)wa (Experience)Pahala hapa kapewa Mwanaadamu ili apate uyakinifu au ladha ya mambo, katika Mlango huu wa pili watu wengi ndipo tunapopata matatizo, mambo yote yako hapa, unapotoka ujingani mwanzo unaishi hapa.
Basi ikitokea umetosheka napo kwenye Mlango huo ndio sasa unaelekea kwenye Mlango wa tatu(3)ambao ni (Memory)unapoweka Akiba yako ya matendo, Na hapo ndio unakua simjinga tena.
Kujua kwako huku kunakufikisha katika sehemu ambayo sasa unayo (chance)au nafasi ya kusamehewa, Mpaka hapa inakubalika ulifanya kuwa ulifanya kwa Ujinga ulokua nao, baina ya kufanya na kujua unapatikana uzoefu ambao ndio hiyo safari ya kutoka kwenye kiza kwenda kwenye Nuru, Na hiyo ndio (Education), ukimaliza hapo ushakamata (Certificate)yako ndio unaingia Mlango wa (4)Matendo(Action)Mlango wa kusudi,Hapo sasa ndipo zinapoanza (Dhanmbi) ni Mlango unokurejesha kwenye kumbukumbu au (Memory)ambayo ndio hiyo (Action). Hapa ndipo pale waswahili wakasema(Umeonja zabibu)utamu unakurejea tena, sasa unafanya matendo yako kwa makusudi, na hapo ndipo unapoanza kuandikiwa (Dhanmbi)na hapa ndipo hapapatikani tena msamaha. Sasa Kiumbe ufanye Nini? Endelea part 3

No comments:

Post a Comment