Aslm alekum.
Amesema Bwana Mtume s.a.w "Atakapo funga ndoa Mja Amekamilisha nusu ya Dini, Nusu ilobakia ni Kumcha Mollah wake" Yamesemwa maneno haya na kipenzi chetu alotuletea uongofu Katika Ulimwengu huu, Sasa kwanini akayasema haya hususan kwenye sehemu na pahala kama hapa kwenye (Nikkah) Ndoa. Amechukua Bwana Mtume s.a.w nusu nzima ya dini na kuiweka katika kitendo cha kufunga ndoa, halafu akaichukua nusu ya pili akaiweka kwenye Ibada, halafu akasema ukifanya Mawili hayo basi wewe ushakamilisha dini, na unakua huna mashaka tena katika hii dunia, Sasa kwa wale wenye kutarajia kuoa pitia au usikilize wasia huu ili upate muongozo wakuingia kwenye ndoa ukiwa umejiandaa kikamilifu, Na wewe ulokwisha kuoa sikiliza kwa makini Asaa unaweza kurekebisha mambo ambayo ulokua huyajui ukaijenga ndoa yako kuwa Imara, Sasa kwa pamoja tuzitafute nusu hizi zimepatikana kutokea wapi?
Twendeni pamoja ikisha tuanzie kwenye Quraan aya ya 26 sura ya (Al-Aaraf)
يَـٰبَنِىٓ ءَادَمَ قَدْ أَنزَلْنَا عَلَيْكُمْ لِبَاسًۭا يُوَٰرِى سَوْءَٰتِكُمْ وَرِيشًۭا ۖ وَلِبَاسُ ٱلتَّقْوَىٰ ذَٰلِكَ خَيْرٌۭ ۚ
ذَٰلِكَ مِنْ ءَايَـٰتِ ٱللَّهِ لَعَلَّهُمْ يَذَّكَّرُونَ Enyi Wanaadamu hakika tumekuteremshieni nguo zifichazo tupu zenu na nguo za Ucha Mungu Ndio bora ,Hayo ni katika ishara za Mwenye enzi Mungu ili wapate kukumbuka.
Naam huku ndio yalipoanzia , Wazee wetu Adam a.s na bibi Hawa walipokua kwenye Pepo Walikua wako huru Hawana fahamu ya sehemu zao za siri, Lakini baada ya Shetani kuwashawishi wakapata fahamu Awareness na kujitambuawana viungo vyengine ndipo walipoona haya na kuanza kujihifadhi kwa mikono yaondipo Mungu akawapa fahamu wakaweza kujihifadhi kwa kutumia majani ili wajistiri, kwa hiyo hapo utaona jambo la kujistiri lime token mbali sio tu kujihifadhi kwa wanaadamu wenzako hata kwa Mollah wako kunahitaji heshima hiyo ndio maana hata tukisali tunajihifadhi, Kwa huzuni walokuwa nayo na kujuta kwao Mwenye enzi Mungu akawafundisha maneno ya kuomba msamaha ili wapate kumkumbuka kwa toba na Ibada ndio akawaambia guo moja la kuhifadhi tupu zenu na hili la pili ni hiyo Body yako ambayo unatumia kwa kumuabudu Mollah wako kuanzia Akili moyo kichwa kumsujudia Moja akaitaja limeteremshwa sasa kwanini likateremshwa Waulize Wanasayansi watakwambia Katika vitu vyote vyengine tunaviona na kugundua kwenye Sayari zengine isipokua Lakini kuna kitu kimoja tu ambacho hatujawahi kukuiona kwenye Ulimwengu huu, Nini kitu hicho? ni Miti hawajawahi kuona pahala popote huko juu wameona madini kama dhahabu, diamond lakini hajakutana na forest kabisa, Mambo yanashangaza ndio yana thibitisha kutremshwa kwa miti, kwa maana hiyo wakathibitisha miti pia ni life na pia ni biology na nguo zetu zinatokana na hizo mbao.1
No comments:
Post a Comment