Mwanamke ni kiumbe alojaaliwa muujiza katika maisha yake yote, Amefanywa ndio sababu ya Viumbe kupitia kwao na kuja katika Ulimwengu huu, Yeye Mwanamke Mwili wake ndio sehemu inotumika kuumbwa mwanadamu ndani ya miezi tisa mpaka kiumbe kikaja katika dunia hii kikiwa kizima na afya na salama bila ya matatizo yoyote, sasa ikiwa Mwili huu tunao uzungumza unaweza kudhibiti tukio kama hilo na kulienzi kwa uficho na usalama mpaka baada ya miezi tisa unatutolea kiumbe aliye mzuri, nini habari yetu sisi kuhusu Mwili wa Mwanamke? Jee yeye Mwanamke anaijua thamani yake?Na kwanini akaambiwa ajifunike?.
Basi kabla ya kwenda huko wacha tupate viunganishi ili tupate kuujua ubora, na utukufu wa Mwili wa Mwanamke kama utatunzwa kama alivoamrisha Mwenye enzi Mungu. Mwenye enzi Mungu anasema nini katika sura ya (Imran aya ya 14)
زُيِّنَ لِلنَّاسِ حُبُّ ٱلشَّهَوَٲتِ مِنَ ٱلنِّسَآءِ وَٱلۡبَنِينَ وَٱلۡقَنَـٰطِيرِ ٱلۡمُقَنطَرَةِ مِنَ ٱلذَّهَبِ وَٱلۡفِضَّةِ وَٱلۡخَيۡلِ ٱلۡمُسَوَّمَةِ وَٱلۡأَنۡعَـٰمِ وَٱلۡحَرۡثِۗ
"Watu wametiwa huba ya kupenda wanawake na watoto na marundi ya dhahabu na fedha na Farasi wanotunzwa vizuri, na wanyama na mashamba,(Mpaka mwisho wa aya).
Jambo la mwanzo limetajwa Wanawake, Kwanza Wanaume wamepewa hii nyenzo ya giza wanatembea nayo ya (Huba) Mwanammke kapewa (Taa) ya kungara ya (Hubi)Kutamaniwa, (Taa) hizi zipo za aina mbili kwa Mwanammke, ipo (Nyekundu) na (Nyeupe)(Nakupeni habari hizi msianze kuwaandama wanawake na kutaka kujua wamebeba taa gani)Kumbuka Mwanamme kabeba kiza anatembea nacho, kiza hicho kinaitwa (Unconsciuos Mind) na Mwanammke kabeba taa inaitwa (Consciuos heart) Ndio maana utaona siku zote Mwanamke yuko(Alert)akiliona jicho lako anagundua mpaka nini nia yako, kwa hiyo ana uamuzi kujiepusha au kukutia Mkononi.
Sasa nini kinafanyika katika taa hizo za Mwanamke? Napenda ikumbukwe katika kila kitu kwenye Ulimwengu huu kina toa Taa(Emit Light)ndio maana ukawa unakiona, na ikiwa hukioni ina maana hiyo ni (Dark Matter) kwa hiyo wewe ukitizama unatoa (Light) na kile unachotizama kinarudisha (Light) ndio unapata kukifahamu, sasa kwenye kadhia hii ya Mwanamke nini kinatokezea mpaka akaambiwa ajisitiri, Itabidi tuhudhurie aya iliyomo kwenye sura ya Ahzab aya ya 59 tujue inasemaje?
Endelea part 2
Basi kabla ya kwenda huko wacha tupate viunganishi ili tupate kuujua ubora, na utukufu wa Mwili wa Mwanamke kama utatunzwa kama alivoamrisha Mwenye enzi Mungu. Mwenye enzi Mungu anasema nini katika sura ya (Imran aya ya 14)
زُيِّنَ لِلنَّاسِ حُبُّ ٱلشَّهَوَٲتِ مِنَ ٱلنِّسَآءِ وَٱلۡبَنِينَ وَٱلۡقَنَـٰطِيرِ ٱلۡمُقَنطَرَةِ مِنَ ٱلذَّهَبِ وَٱلۡفِضَّةِ وَٱلۡخَيۡلِ ٱلۡمُسَوَّمَةِ وَٱلۡأَنۡعَـٰمِ وَٱلۡحَرۡثِۗ
"Watu wametiwa huba ya kupenda wanawake na watoto na marundi ya dhahabu na fedha na Farasi wanotunzwa vizuri, na wanyama na mashamba,(Mpaka mwisho wa aya).
Jambo la mwanzo limetajwa Wanawake, Kwanza Wanaume wamepewa hii nyenzo ya giza wanatembea nayo ya (Huba) Mwanammke kapewa (Taa) ya kungara ya (Hubi)Kutamaniwa, (Taa) hizi zipo za aina mbili kwa Mwanammke, ipo (Nyekundu) na (Nyeupe)(Nakupeni habari hizi msianze kuwaandama wanawake na kutaka kujua wamebeba taa gani)Kumbuka Mwanamme kabeba kiza anatembea nacho, kiza hicho kinaitwa (Unconsciuos Mind) na Mwanammke kabeba taa inaitwa (Consciuos heart) Ndio maana utaona siku zote Mwanamke yuko(Alert)akiliona jicho lako anagundua mpaka nini nia yako, kwa hiyo ana uamuzi kujiepusha au kukutia Mkononi.
Sasa nini kinafanyika katika taa hizo za Mwanamke? Napenda ikumbukwe katika kila kitu kwenye Ulimwengu huu kina toa Taa(Emit Light)ndio maana ukawa unakiona, na ikiwa hukioni ina maana hiyo ni (Dark Matter) kwa hiyo wewe ukitizama unatoa (Light) na kile unachotizama kinarudisha (Light) ndio unapata kukifahamu, sasa kwenye kadhia hii ya Mwanamke nini kinatokezea mpaka akaambiwa ajisitiri, Itabidi tuhudhurie aya iliyomo kwenye sura ya Ahzab aya ya 59 tujue inasemaje?
Endelea part 2
No comments:
Post a Comment