Asalaam Aleiykum,
Nini Samahani? Kwa Maagizo kutoka kwa Mollah wetu, Msamaha ni Rehma au (Zawadi)maalumu alowapangia waja wake kwa kusema katika Quraan sura ya Zumar aya ya 53.
" قُلۡ يَـٰعِبَادِىَ ٱلَّذِينَ أَسۡرَفُواْ عَلَىٰٓ أَنفُسِهِمۡ لَا تَقۡنَطُواْ مِن رَّحۡمَةِ ٱللَّهِۚ إِنَّ ٱللَّهَ يَغۡفِرُ ٱلذُّنُوبَ جَمِيعًاۚ إِنَّهُ ۥ هُوَ ٱلۡغَفُورُ ٱلرَّحِيمُ "
"Sema"Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu, msikate tamaa na Rehma ya Mwenye enzi Mungu, Hakika Mwenye enzi Mungu husamehe dhanbi zote, Hakika yeye ni Mwingi wa Kusamehe (na)Mwingi wa Kurehemu"
Kwa fahamu zetu za Kibinaadamu huwezi kujibu swali la hapo juu mpaka mwanzo ufanye utafiti na upate kujua nini (Kosa)? Kosa ni kitu chochote kinachotendeka baina ya pande mbili,(chengine chochote unachojifanyia mwenyewe kinaitwa Dhuluma)Na nikisema baina ya pande mbili nina maana iwe wewe na Mollah wako au Binaadamu mwenzako. Kwa kuwa leo tunazungumza kusamehe wacha hili neno kosa tuligeuze na kuliita (Dhanbi) dhanbi ni kitendo unachomtendea Mollah wako au Binaadamu mwenzio, kitendo hichi chaweza kuwa kikubwa au kiwe kidogo, kifanyike mchana au usiku, kiwe cha kufurahisha au kukera, kije kwa ubaya au uzuri, madamu ni kosa kitendo hicho hakifutiki au kumalizika mpaka kipate mizani ya Malipo yake, Na hapo ndipo yanapatikana yale maneno ya (Kama ulivokopesha ndivo utakavolipa)Na malipo yapo ya aina mbili, ima Kwa Mwenye enzi Mungu au kwa Binaadamu mwenzako, Kwa Mollah wako utapata msamaha wa aina mbili ama kwa kufidia na jengine utapata hiyo Rehma ya kusamehewa hayo uliyoyatenda.
Lakini kwa Mwanaadamu mwenzako inatakiwa ipatikane hiyo inayoitwa Samahani(Kusamehewa), lazima akusamehe, ndio tunarejea hapo mwanzoni nini Samahani? Samahani ni kitu chenye uzito wa pekee kwa mwenye kuomba na kuombwa. Katika nafsi ya Mwanaadamu iliyomiliki jambo hilo ni mfano wa Mdai na Mdaiwa, ni kama biashara ambayo mwenye kusamehe ndio anafaidika zaidi, ndio Maana ukathibitishiwa katika (Hadith Sharif)unaambiwa"Rehemu upate kurehemiwa(Sababu Kusamehe ni kitendo cha Rehema)""Samehe upate kusamehewa""Wasamehe walio Ardhini, Apate kukusamehe Aliye mbinguni na Ardhini" Na pia Elewa hakuna Waislam wawili wanokutana wakapeana mikono na kusalimiana ila wakiachana basi Mollah huwa ni Mwenye kuwasamehe (Dhanbi)zao. Enyi Ndugu zangu ajabu ya kusamehe na Rehma zake iko hivyo wanokutana tu wakapeana mikono kwa ajili ya kusalimiana ikisha wakakumbatiana basi hupukutika (Dhanbi)zao kama majani makavu yanavopukutika kutoka katika mti ukipigwa na upepo. Nini Habari yako wewe kama utavaa koti la kusamehe, kutaka kuijua Ajabu hii enedelea Part 2
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
ReplyDeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na kufanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi ili kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito ili kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
. kutokuwa na uhakika wa ubaba au ubaba usio na sifa
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com