Asalaam Aleiykum
Nakuletea Mafunzo haya kusudio langu ni kukutaka uende (deep), kukupa uchu wakutaka kujijua wewe nani na ukweli wa mambo ukoje, Upate kuelewa upande wa pili kuna nini?, ni changa moto ya kukupa au kukuwezesha ufanye uchunguzi wa kibinafsi katika jambo hili la kukutana na nafsi yako.
Kwanini leo ikawa nimeleta fundisho hili (Kinaga Ubaga)unajua nini maana ya kinaga ubaga?, Maana yake ni jambo kuwekwa wazi, Nimefanya hivi kwa sababu kuna baadhi ya Watu wamediriki kusema (Sheikh) katika mafundisho yake anataja mambo mengi ya elimu za ajabu,elimu za Mashetani na mengi mengineyo, lakini hakuna hata siku moja tulopata fundisho kamili la elimu hizo za ajabu. Sisi tutakavyo japo siku moja tunataka kutuliza kiu chetu cha kujua kwamba hayo utuambiayo ni kweli unayafahamu.
Naam leo ni siku yangu ya kutekeleza matakwa yenu, lakini cha kunihuzunisha kuwa mnataka kunijua mimi kwamba niyasemayo ni kweli, ni dhumuni la kutaka kunipima kama kweli najua, sio kwa faida yenu ya kutaka kuzijua elimu hizo, na hilo halitosaidia chochote nafsi zenu, na kwa kufanya hivyo siku zote mtabaki kusema fulani anajua na sio mimi najua.
Kumbuka chenye faida na wewe na kukusaidia ni kile ulichojua Mwenyewe kwa kwenda (Deep), Sasa kabla ya kugusa fundisho letu la leo wacha niyajibu maswali yenu ya ajabu ili kila mtu aridhike ipasavyo na majawabu nitakayo yatoa.
(1)Swali la kwanza?Jee wewe Sheikh unafanya Utabiri?.
Jawabu:Utabiri upo wa aina tatu, kuna ule wa aina ya kwanza wa (Mzungu kalala wapi)huu ni wa kubahatisha, Na kuna ule wa pili wa Kupewa na Mollah wako wa kuyaona mambo yalokwisha katiwa amri kutokea, huo unapata kwa njia ya (Ilham), Na njia ya tatu ni ile ya kuwatumia wale wenye kwenda kusikiliza habari wakapata ya kupata na kuja kukuhadithia na hao ni (Majini) kama walivotajwa kuwa wanakwenda Mbingu ya kwanza kusikiliza amri zilizotolewa na kuchukua siri hizo kuzileta ardhini kabla hazijatekelezwa, ndio maana wanapigwa kwa vijinga vya moto, Ama kuhusu mimi kutabiri sifanyi jambo hilo, hata kama najua habari hizo basi ni kwa faida yangu mwenyewe.
Endelea part 2
Sunday, December 20, 2015
KUTANA NA NAFSI YAKO PART 2
Asalaam Aleiykum
(2)Swali la pili, Hivi kweli Sheikh unafuga Majini?. Napenda kufahamisha kuwa Majini siwanyama kwa hiyo huwezi kuwafuga, ila wanaweza kuwa marafiki zako kama walivo marafiki zangu mimi.
(3)Swali la tatu, Hivyo inawezekana kuwaona Malaika?. Inawezekana lakini kwanza mpaka uisome darsa ya leo, ukiweza kuifahamu na kufanikiwa kutekeleza hayo mafunzo basi utakua na nafasi ya karibu kuwaona, lakini mpaka ukione hicho ntakacho fundisha leo pengine utapata uwezekano wa kuona na hayo mengine, kwanini nikasema hivyo kwa sababu Malaika wameumbwa kwa Nuru, Sasa swali la kujiuliza jee unaijua Nuru?,ushapata kuiona Nuru, ukiweza kuiona Nuru itakua rahisi pia kuwaona Malaika. Lakini kwa hivi sasa kuona kwako unategemea Akili, Yapo Mafunzo ambayo ukiyapata unaweza kuona viumbe wengine wa ajabu.
(4)Swali la Nne, Sheikh tumeona unajibu baadhi ya maswali ya ndoto, Jee unatumia kigezo gani kujibu maswali hayo?.
Naam kweli najaribu kujibu maswali ya ndoto au kutafsiri ndoto hizo, Nini Ndoto? Ndoto ni ujumbe unaokuja kwa lugha usiyofahamu, napenda ukumbuke kwenye ufalme wa Mwenye enzi Mungu hakuna lugha maalum inayotumika kuwasiliana na wewe isipokua kwa njia ya Alama au (Picha). Basi utakapo pata baraka za kuzijua Alama hizo na kusudio lake, hapo ndio tayari utaweza kuzitafsiri ndoto na alama zengine. Na kuthibitisha hayo kihudhurie kisa cha Nabii Yusuf a.s (Sura ya Yusuf aya ya 4)
إِذۡ قَالَ يُوسُفُ لِأَبِيهِ يَـٰٓأَبَتِ إِنِّى رَأَيۡتُ أَحَدَ عَشَرَ كَوۡكَبً۬ا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ رَأَيۡتُہُمۡ لِى سَـٰجِدِينَ
(Kumbusha)Yusuf alipomwambia Baba yake, Ewe Babaangu hakika nimeona (Katika ndoto)Nyota kumi na moja na Mwezi, Nimeviona (vyote hivi) Vikinisujudia.
Hapa maneno haya kayasema wakati yuko mdogo alipofikia umri wa (Baleghe)ndio akapewa hiyo elimu ya kutafsiri hizo ndoto kama isemavyo aya ya 22. Na zaidi utayapata katika kisa hichi kuanzia aya ya 46 ya sura hii ya (Yusuf).
Kwa leo namalizia hayo maswali manne na sasa tunaanza darsa yetu tulokusudia.
Endelea part 3
(2)Swali la pili, Hivi kweli Sheikh unafuga Majini?. Napenda kufahamisha kuwa Majini siwanyama kwa hiyo huwezi kuwafuga, ila wanaweza kuwa marafiki zako kama walivo marafiki zangu mimi.
(3)Swali la tatu, Hivyo inawezekana kuwaona Malaika?. Inawezekana lakini kwanza mpaka uisome darsa ya leo, ukiweza kuifahamu na kufanikiwa kutekeleza hayo mafunzo basi utakua na nafasi ya karibu kuwaona, lakini mpaka ukione hicho ntakacho fundisha leo pengine utapata uwezekano wa kuona na hayo mengine, kwanini nikasema hivyo kwa sababu Malaika wameumbwa kwa Nuru, Sasa swali la kujiuliza jee unaijua Nuru?,ushapata kuiona Nuru, ukiweza kuiona Nuru itakua rahisi pia kuwaona Malaika. Lakini kwa hivi sasa kuona kwako unategemea Akili, Yapo Mafunzo ambayo ukiyapata unaweza kuona viumbe wengine wa ajabu.
(4)Swali la Nne, Sheikh tumeona unajibu baadhi ya maswali ya ndoto, Jee unatumia kigezo gani kujibu maswali hayo?.
Naam kweli najaribu kujibu maswali ya ndoto au kutafsiri ndoto hizo, Nini Ndoto? Ndoto ni ujumbe unaokuja kwa lugha usiyofahamu, napenda ukumbuke kwenye ufalme wa Mwenye enzi Mungu hakuna lugha maalum inayotumika kuwasiliana na wewe isipokua kwa njia ya Alama au (Picha). Basi utakapo pata baraka za kuzijua Alama hizo na kusudio lake, hapo ndio tayari utaweza kuzitafsiri ndoto na alama zengine. Na kuthibitisha hayo kihudhurie kisa cha Nabii Yusuf a.s (Sura ya Yusuf aya ya 4)
إِذۡ قَالَ يُوسُفُ لِأَبِيهِ يَـٰٓأَبَتِ إِنِّى رَأَيۡتُ أَحَدَ عَشَرَ كَوۡكَبً۬ا وَٱلشَّمۡسَ وَٱلۡقَمَرَ رَأَيۡتُہُمۡ لِى سَـٰجِدِينَ
(Kumbusha)Yusuf alipomwambia Baba yake, Ewe Babaangu hakika nimeona (Katika ndoto)Nyota kumi na moja na Mwezi, Nimeviona (vyote hivi) Vikinisujudia.
Hapa maneno haya kayasema wakati yuko mdogo alipofikia umri wa (Baleghe)ndio akapewa hiyo elimu ya kutafsiri hizo ndoto kama isemavyo aya ya 22. Na zaidi utayapata katika kisa hichi kuanzia aya ya 46 ya sura hii ya (Yusuf).
Kwa leo namalizia hayo maswali manne na sasa tunaanza darsa yetu tulokusudia.
Endelea part 3
KUTANA NA NAFSI YAKO PART 3
Asalaam Aleiykum
Nadhani kwa maswali hayo manne imetosheleza kwa kiasi fulani majibu niloyatoa, Sasa umefika wakati wa kulihudhuria somo letu la leo ili kama lina manufaa basi likusaidie katika maisha yako.
Kwani utakapo kutana na miujiza hiyo itakubadilisha kuwa mtu wa aina nyengine kabisa utakua (Transform), Lakini kwanza napenda nitoe tahadhari kwa wale watakaoamua kulifanya zoezi au somo hili kwamba mimi sina dhamana kwa lolote litakalotokezea kinyume cha matarajio.
Kwanini nikasema hivyo kwa sababu mambo haya yanataka lazima awepo Muangalizi mjuzi wa funzo hili la kukutana na nafsi yako, lakini kwa kuwa mna kiu ya kujua elimu hizi nimeona kuna haja ya kuituliza kiu hiyo kwa kuyaleta mafunzo haya.
Basi moja kwa moja tunaingia kwenye darsa hii kwa kuchukua aya ndani ya Quran ili iweze kutufungulia somo hili, aya yenyewe inasema hivi(Saffat aya ya 138) وَبِٱلَّيۡلِۗ أَفَلَا تَعۡقِلُونَ "Na Usiku je Hamzingatii"
Hapo kuna changa moto (Motisha)ya "Fahamu"au (Sense) au kuzingatia ita upendavyo, Nini Kuzingatia? kuzingatia ni tendo la kwenda (Beyond Mind) ukitumia Akili ina maana unafikiri, na fikira zinakaa kwenye (Memory lane) fikira ni kukumbuka yalopita,katika fikira hakuna jambo jipya(Mambo yote ya zamani) ima utakua una waza yalopita au kupanga yanokuja lakini kwa uwezo wako wa mambo yalopita.
Lakini kuzingatia ni ule wakati ulo nao, na hapa umetajwa usiku,huu usiku una nini?.Usiku ni wenye kuficha siri nyingi, usiku ndio wenye kutisha na mambo yote ya ajabu yamo na yanatokea usiku.
Usiku ni jambo maalum lakini kuujua lazima japo siku moja uishi ndani ya usiku, najua maneno yana kustaajabisha, lakini ndio ilivyo hivi sasa unapita tu kwenye jambo linaloitwa usiku, vipi kuishi kwenye usiku? Ni pale ambapo usiku unakutana na Roho yako(Tukajaalia huo usiku kama guo lenye kuwafunika)sio kukutana na Akili yako kama ilivo sasa, sasa vipi utakutana na huo usiku, utafanya hivi, Nenda Kijijini au Shamba kakae japo siku tatu huko utakutana na usiku, huko Giza litaifunika Roho yako, Ni jambo la kutisha sana, unaweza kutoka mbio, ee hichi kiza kidogo cha mjini unaanza kuimba na kupiga miluzi, unatizama nyuma mwili wote unatetemeka,mara unakohoa na hapo ndio hakuna kiza cha kweli sasa nini habari yako utakapo kwenda kukutana na kiza cha kweli,sasa kwanini nikakwambia uende shamba, kwa sababu huku mjini huupati usiku, Mataa yalivoshamiri mpaka ndege hawapati usingizi.
Sasa vipi utauzingatia Usiku wacha nikupe maajabu ya usiku halafu utaanza kuzingatia, Nini kuzingatia?kuzinga-Tia ni kuizuia au kuikinga Akili yako au kuisimamisha ikawa haikumbuki chochote au kui(Shut-down) kwa hiyo ukiambiwa zingatia sio ulete fikira zako ila litizame jambo ukiwa huna wazo lolote na ukifanikiwa tu mara utaona majawabu yanakuteremkia bila ya kutarajia, lakini huwezi kufanya hivyo mpaka upate nyenzo ya kukupeleka kwenye hilo zingatio, kwa kuwa leo tumeutaja usiku basi nyenzo ya leo ninayokupa uifanyie kazi ni hii, Nakuomba zingatia kwanini "Wanaadamu asilimia 97 wanazaliwa na kufa usiku" nenda (Deep)Jiulize (Why)jawabu utakalolipata lina faida kubwa na wewe.
Tumepita kwenye aya inotukumbusha kuuzingatia Usiku na maajabu yake, Na Usiku huo huo ndio utatuonesha mengine yalojificha ndani ya usiku, Na mfano wa kwanza ni ule wa nyota, Nyota zipo lakini mchana hatuzioni mpaka uje Usiku kwa hiyo Usiku ni kama Kioo chetu kinacho tuonesha nyota na mambo mengine, Basi na sisi tutautumia usiku huo huo kwa kukutana na kile kisichojulikana.
Vipi Tutafanya hivyo, umetaka ujue elimu za ajabu sasa ni wakati wake soma kwa makini uwe mkakamavu kufanya majaribio haya.
(Quraan aya sura ya Qiyama aya ya 14)
بَلِ ٱلۡإِنسَـٰنُ عَلَىٰ نَفۡسِهِۦ بَصِيرَةٌ۬
Bali Mwanaadamu ni shahidi juu ya Nafsi yake.
Mwanaadamu ana uwezo wa kuona (Nje na Ndani)kuona matendo yake,na vile vile kujiona Mwenyewe. Na hili ndilo somo letu la leo (Kujiona Nafsi yako) ziko njia mbili ya kwanza ni ngumu na unaweza kuifanya wakati wowote kukutana na nafsi yako, mimi nimekuchagulieni hii ya Rahisi ambayo utaifanya usiku.
Ikiwa kweli unataka kukutana na Nafsi yako, kukujiua kile wewe chenye kuishi ndani ya huo Mwili au (Body) yako basi utafanya hivi (Chukua Mishumaa Miwili Na Kioo kikubwa) weka Mbele yako kwenye chumba cha giza nene, washa mishuma halafu tizama moja kwa moja kwenye hicho kioo bila ya (Kupepesa)au kufunga macho,hakikisha macho yako hayafungiki hata mara moja, utafanya zoezi hili kwa muda wa saa moja, baada ya dakika arobaini utatokwa na mchozi (Kama ulopatwa na msiba)mengi yatamiminika kutokana na macho hayajafungwa kwa kipindi kirefu, machozi yakikauka utaanza kuona sura za kutisha na maajabu makubwa makubwa, unaweza kutoka mbio au akili zikakupotea kwa muda lakini usiogope hayo ni mataarisho ya kukutana na nafsi yako, baada ya saa moja kila kitu kitapotea mbele yako mfano wa kipofu, na hapo ndio utakua tayari kukutana na (Unknown)hicho kisichojulikana, mie siwezi kuhadithia nenda ukayaone Mwenyewe, ila tahadhari wakati huo usije ukawa mchafu,au ukawa unataka kufa au unataka jambo baya litokee na hivi na vile chochote kilichokua katika nia yako ujue kitatimizwa, na hiyo ndio hatari niloisema hapo mwanzo. Meomba kujua elimu za ajabu namie nimeitikia ombi lenu. Nafunga Darsa kwa kumuomba Mollah wetu atusamehe dhanmbi zetu, atutie mapenzi ya kumpenda yeye na Binaadamu wenzetu, hususan mayatima na maskini na kwa wale wasojiweza.Tunamuomba Mollah wetu awasamehe walotangulia pamoja na sisi wenye kufatia, atupe mazuri tuwe pamoja na waja wema.Msinisahau kwa dua zenu kama mimi nisivo kukusahauni kwa Dua zitokazo kwa Mollah wangu. Amin
Nadhani kwa maswali hayo manne imetosheleza kwa kiasi fulani majibu niloyatoa, Sasa umefika wakati wa kulihudhuria somo letu la leo ili kama lina manufaa basi likusaidie katika maisha yako.
Kwani utakapo kutana na miujiza hiyo itakubadilisha kuwa mtu wa aina nyengine kabisa utakua (Transform), Lakini kwanza napenda nitoe tahadhari kwa wale watakaoamua kulifanya zoezi au somo hili kwamba mimi sina dhamana kwa lolote litakalotokezea kinyume cha matarajio.
Kwanini nikasema hivyo kwa sababu mambo haya yanataka lazima awepo Muangalizi mjuzi wa funzo hili la kukutana na nafsi yako, lakini kwa kuwa mna kiu ya kujua elimu hizi nimeona kuna haja ya kuituliza kiu hiyo kwa kuyaleta mafunzo haya.
Basi moja kwa moja tunaingia kwenye darsa hii kwa kuchukua aya ndani ya Quran ili iweze kutufungulia somo hili, aya yenyewe inasema hivi(Saffat aya ya 138) وَبِٱلَّيۡلِۗ أَفَلَا تَعۡقِلُونَ "Na Usiku je Hamzingatii"
Hapo kuna changa moto (Motisha)ya "Fahamu"au (Sense) au kuzingatia ita upendavyo, Nini Kuzingatia? kuzingatia ni tendo la kwenda (Beyond Mind) ukitumia Akili ina maana unafikiri, na fikira zinakaa kwenye (Memory lane) fikira ni kukumbuka yalopita,katika fikira hakuna jambo jipya(Mambo yote ya zamani) ima utakua una waza yalopita au kupanga yanokuja lakini kwa uwezo wako wa mambo yalopita.
Lakini kuzingatia ni ule wakati ulo nao, na hapa umetajwa usiku,huu usiku una nini?.Usiku ni wenye kuficha siri nyingi, usiku ndio wenye kutisha na mambo yote ya ajabu yamo na yanatokea usiku.
Usiku ni jambo maalum lakini kuujua lazima japo siku moja uishi ndani ya usiku, najua maneno yana kustaajabisha, lakini ndio ilivyo hivi sasa unapita tu kwenye jambo linaloitwa usiku, vipi kuishi kwenye usiku? Ni pale ambapo usiku unakutana na Roho yako(Tukajaalia huo usiku kama guo lenye kuwafunika)sio kukutana na Akili yako kama ilivo sasa, sasa vipi utakutana na huo usiku, utafanya hivi, Nenda Kijijini au Shamba kakae japo siku tatu huko utakutana na usiku, huko Giza litaifunika Roho yako, Ni jambo la kutisha sana, unaweza kutoka mbio, ee hichi kiza kidogo cha mjini unaanza kuimba na kupiga miluzi, unatizama nyuma mwili wote unatetemeka,mara unakohoa na hapo ndio hakuna kiza cha kweli sasa nini habari yako utakapo kwenda kukutana na kiza cha kweli,sasa kwanini nikakwambia uende shamba, kwa sababu huku mjini huupati usiku, Mataa yalivoshamiri mpaka ndege hawapati usingizi.
Sasa vipi utauzingatia Usiku wacha nikupe maajabu ya usiku halafu utaanza kuzingatia, Nini kuzingatia?kuzinga-Tia ni kuizuia au kuikinga Akili yako au kuisimamisha ikawa haikumbuki chochote au kui(Shut-down) kwa hiyo ukiambiwa zingatia sio ulete fikira zako ila litizame jambo ukiwa huna wazo lolote na ukifanikiwa tu mara utaona majawabu yanakuteremkia bila ya kutarajia, lakini huwezi kufanya hivyo mpaka upate nyenzo ya kukupeleka kwenye hilo zingatio, kwa kuwa leo tumeutaja usiku basi nyenzo ya leo ninayokupa uifanyie kazi ni hii, Nakuomba zingatia kwanini "Wanaadamu asilimia 97 wanazaliwa na kufa usiku" nenda (Deep)Jiulize (Why)jawabu utakalolipata lina faida kubwa na wewe.
Tumepita kwenye aya inotukumbusha kuuzingatia Usiku na maajabu yake, Na Usiku huo huo ndio utatuonesha mengine yalojificha ndani ya usiku, Na mfano wa kwanza ni ule wa nyota, Nyota zipo lakini mchana hatuzioni mpaka uje Usiku kwa hiyo Usiku ni kama Kioo chetu kinacho tuonesha nyota na mambo mengine, Basi na sisi tutautumia usiku huo huo kwa kukutana na kile kisichojulikana.
Vipi Tutafanya hivyo, umetaka ujue elimu za ajabu sasa ni wakati wake soma kwa makini uwe mkakamavu kufanya majaribio haya.
(Quraan aya sura ya Qiyama aya ya 14)
بَلِ ٱلۡإِنسَـٰنُ عَلَىٰ نَفۡسِهِۦ بَصِيرَةٌ۬
Bali Mwanaadamu ni shahidi juu ya Nafsi yake.
Mwanaadamu ana uwezo wa kuona (Nje na Ndani)kuona matendo yake,na vile vile kujiona Mwenyewe. Na hili ndilo somo letu la leo (Kujiona Nafsi yako) ziko njia mbili ya kwanza ni ngumu na unaweza kuifanya wakati wowote kukutana na nafsi yako, mimi nimekuchagulieni hii ya Rahisi ambayo utaifanya usiku.
Ikiwa kweli unataka kukutana na Nafsi yako, kukujiua kile wewe chenye kuishi ndani ya huo Mwili au (Body) yako basi utafanya hivi (Chukua Mishumaa Miwili Na Kioo kikubwa) weka Mbele yako kwenye chumba cha giza nene, washa mishuma halafu tizama moja kwa moja kwenye hicho kioo bila ya (Kupepesa)au kufunga macho,hakikisha macho yako hayafungiki hata mara moja, utafanya zoezi hili kwa muda wa saa moja, baada ya dakika arobaini utatokwa na mchozi (Kama ulopatwa na msiba)mengi yatamiminika kutokana na macho hayajafungwa kwa kipindi kirefu, machozi yakikauka utaanza kuona sura za kutisha na maajabu makubwa makubwa, unaweza kutoka mbio au akili zikakupotea kwa muda lakini usiogope hayo ni mataarisho ya kukutana na nafsi yako, baada ya saa moja kila kitu kitapotea mbele yako mfano wa kipofu, na hapo ndio utakua tayari kukutana na (Unknown)hicho kisichojulikana, mie siwezi kuhadithia nenda ukayaone Mwenyewe, ila tahadhari wakati huo usije ukawa mchafu,au ukawa unataka kufa au unataka jambo baya litokee na hivi na vile chochote kilichokua katika nia yako ujue kitatimizwa, na hiyo ndio hatari niloisema hapo mwanzo. Meomba kujua elimu za ajabu namie nimeitikia ombi lenu. Nafunga Darsa kwa kumuomba Mollah wetu atusamehe dhanmbi zetu, atutie mapenzi ya kumpenda yeye na Binaadamu wenzetu, hususan mayatima na maskini na kwa wale wasojiweza.Tunamuomba Mollah wetu awasamehe walotangulia pamoja na sisi wenye kufatia, atupe mazuri tuwe pamoja na waja wema.Msinisahau kwa dua zenu kama mimi nisivo kukusahauni kwa Dua zitokazo kwa Mollah wangu. Amin
Sunday, December 6, 2015
MIUJIZA YA QADARA PART 1
Asalaam Aleiykum
Unataka nikufundishe kitu chenye faida na wewe ambacho unacho lakini hukitumii, hutopenda wewe madhila ya maradhi na shida za machungu zikukimbie?, Basi leo nitakujulisha jambo kama utaweza kulifanya litakuwezesha kuishi maisha yako yote kwa furaha na utulivu.
Binaadamu tuko kwenye mateso makubwa kutokana na tabia zetu za kuto kuikubali(Qadir)au kuto kuifahamu hukumu au sifa hii ya Mwenye enzi Mungu, Kila Mmoja wetu yumo katika kuteseka na kubishana na uwezo huu wa (Qadir), matatizo yote yanatokea kwa kukisahau kitu fulani chenye kuishi ndani ya nafsi yako. Na kutokana na sababu hiyo ndio tutaendelea kuteseka mpaka tunaondoka hapa Ulimwenguni.
Sasa ni kitu gani hicho?, Kukijua kitu hicho lazima upite kwenye mfumo wa fahamu, na jambo la mwanzo katika mfumo wa Fahamu lazima ujijue udhaifu wako kuwa wewe umeumbwa na yupo Muumbaji, Na kwa ajili hiyo uamini kwa dhati kuwa kila jambo lako limemilikiwa na huyo alokuumba, na hili lisiwe jambo la kipuuzi kwako, ni lazima lende ndani ya moyo wako na ukumbuke kila wakati.
Jambo la pili uelewe fika kila jambo lenye kutokezea katika maisha yako yeye ndie mpangaji na wewe Kiumbe huna maamuzi katika hilo, Hiyo ndio (Qadir) ambayo ukiikubali basi wewe Muislam kamili, sasa nini kinatokea mpaka jahazi ikenda Mrama?.
Kinachotokezea hapo unaicha njia hiyo ya (Qadara) ya Mwenye enzi Mungu na kujitenga nayo mbali kabisa, Na ukijitenga tu jambo la mwanzo lenye kutokea ni kukumbwa na Sahau, kwani wewe hujaisoma aya ya Mwenye enzi Mungu inosema.(Quran sura ya Talaq aya ya 12)
ٱللَّهُ ٱلَّذِى خَلَقَ سَبۡعَ سَمَـٰوَٲتٍ۬ وَمِنَ ٱلۡأَرۡضِ مِثۡلَهُنَّ يَتَنَزَّلُ ٱلۡأَمۡرُ بَيۡنَہُنَّ لِتَعۡلَمُوٓاْ أَنَّ ٱللَّهَ عَلَىٰ كُلِّ شَىۡءٍ۬ قَدِيرٌ۬ وَأَنَّ ٱللَّهَ قَدۡ أَحَاطَ بِكُلِّ شَىۡءٍ عِلۡمَۢا
Mwenye Enzi Mungu ni yule ambaye ameziumba Mbingu saba na ardhi kuwa mfano wa hizo, Amri (Zake)zinashuka baina yao, ili mjue kwamba Mwenye enzi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu(Qadir), Na kwamba Mwenye enzi Mungu amekizunguka kila kitu kukijua(Kwa elimu yake).
Yanatosha maneno yaliyomo kwenye aya hii kuwa ukumbusho juu yetu lakini bado tumo kwenye lepe lepe la usingizi ndio maana tunafanya kazi hii ya kuamshana.
endelea part 2
Unataka nikufundishe kitu chenye faida na wewe ambacho unacho lakini hukitumii, hutopenda wewe madhila ya maradhi na shida za machungu zikukimbie?, Basi leo nitakujulisha jambo kama utaweza kulifanya litakuwezesha kuishi maisha yako yote kwa furaha na utulivu.
Binaadamu tuko kwenye mateso makubwa kutokana na tabia zetu za kuto kuikubali(Qadir)au kuto kuifahamu hukumu au sifa hii ya Mwenye enzi Mungu, Kila Mmoja wetu yumo katika kuteseka na kubishana na uwezo huu wa (Qadir), matatizo yote yanatokea kwa kukisahau kitu fulani chenye kuishi ndani ya nafsi yako. Na kutokana na sababu hiyo ndio tutaendelea kuteseka mpaka tunaondoka hapa Ulimwenguni.
Sasa ni kitu gani hicho?, Kukijua kitu hicho lazima upite kwenye mfumo wa fahamu, na jambo la mwanzo katika mfumo wa Fahamu lazima ujijue udhaifu wako kuwa wewe umeumbwa na yupo Muumbaji, Na kwa ajili hiyo uamini kwa dhati kuwa kila jambo lako limemilikiwa na huyo alokuumba, na hili lisiwe jambo la kipuuzi kwako, ni lazima lende ndani ya moyo wako na ukumbuke kila wakati.
Jambo la pili uelewe fika kila jambo lenye kutokezea katika maisha yako yeye ndie mpangaji na wewe Kiumbe huna maamuzi katika hilo, Hiyo ndio (Qadir) ambayo ukiikubali basi wewe Muislam kamili, sasa nini kinatokea mpaka jahazi ikenda Mrama?.
Kinachotokezea hapo unaicha njia hiyo ya (Qadara) ya Mwenye enzi Mungu na kujitenga nayo mbali kabisa, Na ukijitenga tu jambo la mwanzo lenye kutokea ni kukumbwa na Sahau, kwani wewe hujaisoma aya ya Mwenye enzi Mungu inosema.(Quran sura ya Talaq aya ya 12)
ٱللَّهُ ٱلَّذِى خَلَقَ سَبۡعَ سَمَـٰوَٲتٍ۬ وَمِنَ ٱلۡأَرۡضِ مِثۡلَهُنَّ يَتَنَزَّلُ ٱلۡأَمۡرُ بَيۡنَہُنَّ لِتَعۡلَمُوٓاْ أَنَّ ٱللَّهَ عَلَىٰ كُلِّ شَىۡءٍ۬ قَدِيرٌ۬ وَأَنَّ ٱللَّهَ قَدۡ أَحَاطَ بِكُلِّ شَىۡءٍ عِلۡمَۢا
Mwenye Enzi Mungu ni yule ambaye ameziumba Mbingu saba na ardhi kuwa mfano wa hizo, Amri (Zake)zinashuka baina yao, ili mjue kwamba Mwenye enzi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu(Qadir), Na kwamba Mwenye enzi Mungu amekizunguka kila kitu kukijua(Kwa elimu yake).
Yanatosha maneno yaliyomo kwenye aya hii kuwa ukumbusho juu yetu lakini bado tumo kwenye lepe lepe la usingizi ndio maana tunafanya kazi hii ya kuamshana.
endelea part 2
MIUJIZA YA QADARA PART 2
Asalaam Aleiykum
Mwenye enzi Mungu ndio Mwenye uwezo wa kila jambo yeye ndio Mwenye kupanga kila kitu na huku kakupa uhuru wa kuamua akijua marejeo yako yatakua ni kwake, Ikiwa utafata mipango ya Mwenye enzi Mungu hutopata tabu, wala hutoteseka, shida zitakuondokea ,kinacho kutesa hivi sasa ni hiyo sahau yako inochukua 95% ya Uhai wako, basi wacha nikutoe kidogo katika ufalme wa sahau nikukumbushe mambo ambayo pengine yanaweza kuamsha kitu ukaweza kujua vipi wewe umemilikiwa na huo uwezo wa (Qadara).
Jitizame wewe kuanzia Usingizi wako, vipi unaupata mbona huna mamlaka nao ukija lazima ulale, nini habari yako wewe mbona ikikushika njaa unapaparika kutafuta chakula nani alo miliki tumbo lako,jee na nini habari ya kuamka kwako nani mwenye kukuamsha ukaishi tena, Nani huyu anokupa uwezo huo wa kusema, Nani Mwenye kukuletea hicho chakula ukawa unaweza kula ukapata maisha yako ya afya njema, basi ukiyajua hayo machache yakakuingia ndani ya moyo wako utajua maana ya hiyo aya kuwa Mwenye enzi Mungu amekizunguka kila kitu kwa elimu yake, Na pia anajua kila kinachoendelea kwa mmoja wetu pamoja na matokeo yake.
Yeye ndie Mwenye kumpa huyu kidogo yule akampa kingi, Yeye ndie Mwenye kumpa Maradhi fulani na fulani akaendelea na afya yake(Kwa sababu mpaka huo mwili wako yeye ndie mwenye kuuhifadhi)Yeye ndie Mwenye kumpa huyu watoto yule akamfanya tasa, yote hayo kwa uwezo wa Qadara yake.
Sasa najua bado unajiuliza haya yote yenye kukufika yanatokea vipi?, Cha kwanza kabisa kinachotokea ni wewe kuondoka karibu na Mollah wako, Unapokua mdogo unakuwa karibu na Mollah wako bila wewe kujijua, ukifikia Umri fulani unaanza kukimbia kutoka kwa Mollah wako, kama vile unavoanza kutowasikiliza wazazi wako, mpaka huyoo unaenda arijojo(unapotea), na unapofikia umri wa utu uzima unaanza kurejea taratibu kuwa karibu na Mollah wako, unatafuta mambo ya dini yakoje, unakua mkali lazima watu wakusikilize, kumbe masikini unajuta makosa yako.
Kwa hiyo wakati umekimbia inakujia dhana kila ulichofanya au kukipata ni kwa ajili ya juhudi zako ndio maana ukafanikiwa, Sasa unataka nikujulishe nini juhudi zako zinakupa?, hakuna ila madhila, mateso, maradhi na haramu tupu. Kwanini ikawa hivyo?, kwa sababu Juhudi zinatawaliwa na ujanja, ulaghai, dhuluma, juhudi inatawaliwa na harakati. Lakini (Qadir)inatawaliwa na subira, kwenye (Qadara)hakuna harakati, kila kitu kinakwenda kama kilivo pangwa,(Mfano niloutaja mwanzoni)Kula kwako,usingizi wako,Kuamka kwako, Utajiri wako, Afya yako,Maradhi yako wewe huna (Control)yoyote isipokua alitakalo Mollah wako, ndio maana ukaambiwa (haukufiki Msiba wowote usipokua kabla ya hapo umeandikwa).
Kwanini ikawa msiba kwa sababu (Nature)yako ni ya Raha na Furaha, ila ukitoka katika vigezo hivyo ndio misiba inakukumba kwa kuisababisha wewe mwenyewe kwa juhudi zako, Kwa mikono yako mwenyewe una (Create Action)unapata(Reaction)na hiyo ndio maana ya kuandikwa.
Ukiishi kwenye (Qadara)ndio utajua ama kweli Mwenye enzi Mungu ndie Mwenye uweza, anampa Umri mrefu amtakaye na kumpa Umri mfupi amtakaye, anamnyanyua amtakaye na kumshusha amtakaye, anamruzuku kingi amtakaye na kidogo amtakaye bila ya hesabu.
Hiyo ndio Qadara ambayo nakujulisha ili upate japo kwa uchache kujua nani Mwenye kuyapanga haya yote, nisije nikasema (Qadara)ukafahamu kumbe kila kitu kishapangwa, ukaacha kazi yako ya kufagia, usiwe umechoka kuuza duka au kufanya Biashara ukasema nimeambiwa Mambo yote yanapangwa Mbinguni, Usije ukaacha kazi yako ya uvuvi ukasingizia unaisubiri Qadara, utakua unafanya makosa makubwa, Kwani Qadara inakutaka ufanye nini?.
Endelea part 3
Mwenye enzi Mungu ndio Mwenye uwezo wa kila jambo yeye ndio Mwenye kupanga kila kitu na huku kakupa uhuru wa kuamua akijua marejeo yako yatakua ni kwake, Ikiwa utafata mipango ya Mwenye enzi Mungu hutopata tabu, wala hutoteseka, shida zitakuondokea ,kinacho kutesa hivi sasa ni hiyo sahau yako inochukua 95% ya Uhai wako, basi wacha nikutoe kidogo katika ufalme wa sahau nikukumbushe mambo ambayo pengine yanaweza kuamsha kitu ukaweza kujua vipi wewe umemilikiwa na huo uwezo wa (Qadara).
Jitizame wewe kuanzia Usingizi wako, vipi unaupata mbona huna mamlaka nao ukija lazima ulale, nini habari yako wewe mbona ikikushika njaa unapaparika kutafuta chakula nani alo miliki tumbo lako,jee na nini habari ya kuamka kwako nani mwenye kukuamsha ukaishi tena, Nani huyu anokupa uwezo huo wa kusema, Nani Mwenye kukuletea hicho chakula ukawa unaweza kula ukapata maisha yako ya afya njema, basi ukiyajua hayo machache yakakuingia ndani ya moyo wako utajua maana ya hiyo aya kuwa Mwenye enzi Mungu amekizunguka kila kitu kwa elimu yake, Na pia anajua kila kinachoendelea kwa mmoja wetu pamoja na matokeo yake.
Yeye ndie Mwenye kumpa huyu kidogo yule akampa kingi, Yeye ndie Mwenye kumpa Maradhi fulani na fulani akaendelea na afya yake(Kwa sababu mpaka huo mwili wako yeye ndie mwenye kuuhifadhi)Yeye ndie Mwenye kumpa huyu watoto yule akamfanya tasa, yote hayo kwa uwezo wa Qadara yake.
Sasa najua bado unajiuliza haya yote yenye kukufika yanatokea vipi?, Cha kwanza kabisa kinachotokea ni wewe kuondoka karibu na Mollah wako, Unapokua mdogo unakuwa karibu na Mollah wako bila wewe kujijua, ukifikia Umri fulani unaanza kukimbia kutoka kwa Mollah wako, kama vile unavoanza kutowasikiliza wazazi wako, mpaka huyoo unaenda arijojo(unapotea), na unapofikia umri wa utu uzima unaanza kurejea taratibu kuwa karibu na Mollah wako, unatafuta mambo ya dini yakoje, unakua mkali lazima watu wakusikilize, kumbe masikini unajuta makosa yako.
Kwa hiyo wakati umekimbia inakujia dhana kila ulichofanya au kukipata ni kwa ajili ya juhudi zako ndio maana ukafanikiwa, Sasa unataka nikujulishe nini juhudi zako zinakupa?, hakuna ila madhila, mateso, maradhi na haramu tupu. Kwanini ikawa hivyo?, kwa sababu Juhudi zinatawaliwa na ujanja, ulaghai, dhuluma, juhudi inatawaliwa na harakati. Lakini (Qadir)inatawaliwa na subira, kwenye (Qadara)hakuna harakati, kila kitu kinakwenda kama kilivo pangwa,(Mfano niloutaja mwanzoni)Kula kwako,usingizi wako,Kuamka kwako, Utajiri wako, Afya yako,Maradhi yako wewe huna (Control)yoyote isipokua alitakalo Mollah wako, ndio maana ukaambiwa (haukufiki Msiba wowote usipokua kabla ya hapo umeandikwa).
Kwanini ikawa msiba kwa sababu (Nature)yako ni ya Raha na Furaha, ila ukitoka katika vigezo hivyo ndio misiba inakukumba kwa kuisababisha wewe mwenyewe kwa juhudi zako, Kwa mikono yako mwenyewe una (Create Action)unapata(Reaction)na hiyo ndio maana ya kuandikwa.
Ukiishi kwenye (Qadara)ndio utajua ama kweli Mwenye enzi Mungu ndie Mwenye uweza, anampa Umri mrefu amtakaye na kumpa Umri mfupi amtakaye, anamnyanyua amtakaye na kumshusha amtakaye, anamruzuku kingi amtakaye na kidogo amtakaye bila ya hesabu.
Hiyo ndio Qadara ambayo nakujulisha ili upate japo kwa uchache kujua nani Mwenye kuyapanga haya yote, nisije nikasema (Qadara)ukafahamu kumbe kila kitu kishapangwa, ukaacha kazi yako ya kufagia, usiwe umechoka kuuza duka au kufanya Biashara ukasema nimeambiwa Mambo yote yanapangwa Mbinguni, Usije ukaacha kazi yako ya uvuvi ukasingizia unaisubiri Qadara, utakua unafanya makosa makubwa, Kwani Qadara inakutaka ufanye nini?.
Endelea part 3
MIUJIZA YA QADARA PART 3
Asalaam Aleiykum
Napenda kukufahamisha hiyo Qadara ndio ilokuweka hapo ulipo,ndiyo ilokupa hicho ulonacho, wewe Mwenyewe huna uwezo wa amri kupata zaidi ya hayo ulonayo mpaka uondoke kwenye njia ya Qadara na kuanza kuhangaika, uchukue uhuru wako na kuanza kufanya jitihada yako kinyume cha Qadara, utafanikiwa kiasi lakini utafika wakati utajuta, utafika wakati utaona kwanini nilihangaika.
Lakini ukisubiri Qadara ikufanyie basi kwa njia za Miujiza utaelekezwa na mara kwa mshangao limekua lile alitakaloMollah wako, Sasa miujiza hii ufanye nini na wewe uipate, au hao waloipata walifanya nini hata wakafanikiwa.
Hilo ndio kazi za Dini zote kukumbusha, kwanini ikawa kukumbusha? sababu una sahau sana. Kwa sababu wewe unaishi ndani ya hiyo Qadir, lakini tatizo lako hukumbuki, kwani ukikumbuka unarejea Nyumbani kama mtoto alopotea, ukikumbuka kila kitu kina (Dis-Appear) Nimesema (Dis-Appear) kwa sababu hiyo ndio taratibu ya Ulimwengu huu, kila kitu kina Athari hizo, mara umelala ume(Dis)mara umeamka ume(Appear) mara umekumbuka mara umesahau, kwa hiyo muujiza ninao uzungumza hapa ni ule ukipata ile hali ya kukumbuka moja kwa moja ndio unakua ume (Master) umepata huo muujiza wa kuona kote kote, kwenye dhahir(Dis) na kwenye Batin (Appear).
Utakapofikia daraja hiyo hakuna chochote kitakacho kukugusa, Maradhi yakija yatakua yanashambulia mwili (Body)lakini wewe huna maumivu, Umasikini umekufika lakini wewe huna huzuni na wala haukugusi, Msiba unatokea lakini haukugusi, Mali imeibiwa wewe haikugusi, mtu kakutukana wewe hujali tena unaona anatukana jina lakini mimi halinigusi, mateso yanakuja wewe hayakugusi, Raha zinakuja wewe hazikushughulishi uko umetulia kwenye Ufalme wa Qadara.
Sasa ufanye nini kuupata muujiza huu wa Qadara?
Utashangaa vipi unapatikana muujiza huu, utashangaa urahisi wake,na pia utastaajabu ugumu wake wa jambo hilo, hakuna jengine ila neno moja unalolisema bila ya mazingatio, huku neno hilo likiwa limebeba muujiza huu mkubwa wa kukupa raha na starehe ya kuishi maisha yako bila ya dhiki, bila ya huzuni, bila ya shida,bila ya lawama.
Hakuna jengine isipokua neno la Shukurani, neno hilo (Alhamdulillah) unatakiwa neno hili litoke moyoni mwako (Deep)kwenye hazina yako ya kusubiri, iwe kila kinachokufika unashukuru, maradhi yakija jua Mollah kanikumbuka, furaha ikija jua pia umekumbukwa,shida zikikuzonga jua Mwenye Qadara anataka iwe hivyo, kumbuka kila kitu kinaletwa na Mollah wako, kama kula yako, kulala kwako, kuamka kwako, kusema kwako, kuhema kwako, jitahidi kujiweka katika hali hiyo kwa miezi sita uwe bila ya kusita unakumbuka jambo hilo la shukurani kwa kila kinacho tokea katika maisha yako, baada ya miezi sita, shida itakuja utaiangalia, maradhi yatakuja utakua unayaangalia yana udhuru mwili wako lakini wewe hayakugusi, Umasikini upo lakini unaungalia haukugusi,kwa sababu shukurani inakutenganisha wewe na Mwili wako, wewe na mambo yako, na unabakia Roho ilo shahidi wa hayo yote, na huo ndio muujiza kama ulivokuja huna dhara yoyote iliyokugusa, na hivyo ndio utakavo ondoka huna chochote kitacho kugusa katika Ulimwengu huu. Hakuna cha kukumbusha isipokua Kumshukru yule alokupa Uhai na uka (surrender) kwake na kuwa Muislam kamili. (Just be thanks full and Surrender) uishi katika muujiza wa Qadara.
Napenda kukufahamisha hiyo Qadara ndio ilokuweka hapo ulipo,ndiyo ilokupa hicho ulonacho, wewe Mwenyewe huna uwezo wa amri kupata zaidi ya hayo ulonayo mpaka uondoke kwenye njia ya Qadara na kuanza kuhangaika, uchukue uhuru wako na kuanza kufanya jitihada yako kinyume cha Qadara, utafanikiwa kiasi lakini utafika wakati utajuta, utafika wakati utaona kwanini nilihangaika.
Lakini ukisubiri Qadara ikufanyie basi kwa njia za Miujiza utaelekezwa na mara kwa mshangao limekua lile alitakaloMollah wako, Sasa miujiza hii ufanye nini na wewe uipate, au hao waloipata walifanya nini hata wakafanikiwa.
Hilo ndio kazi za Dini zote kukumbusha, kwanini ikawa kukumbusha? sababu una sahau sana. Kwa sababu wewe unaishi ndani ya hiyo Qadir, lakini tatizo lako hukumbuki, kwani ukikumbuka unarejea Nyumbani kama mtoto alopotea, ukikumbuka kila kitu kina (Dis-Appear) Nimesema (Dis-Appear) kwa sababu hiyo ndio taratibu ya Ulimwengu huu, kila kitu kina Athari hizo, mara umelala ume(Dis)mara umeamka ume(Appear) mara umekumbuka mara umesahau, kwa hiyo muujiza ninao uzungumza hapa ni ule ukipata ile hali ya kukumbuka moja kwa moja ndio unakua ume (Master) umepata huo muujiza wa kuona kote kote, kwenye dhahir(Dis) na kwenye Batin (Appear).
Utakapofikia daraja hiyo hakuna chochote kitakacho kukugusa, Maradhi yakija yatakua yanashambulia mwili (Body)lakini wewe huna maumivu, Umasikini umekufika lakini wewe huna huzuni na wala haukugusi, Msiba unatokea lakini haukugusi, Mali imeibiwa wewe haikugusi, mtu kakutukana wewe hujali tena unaona anatukana jina lakini mimi halinigusi, mateso yanakuja wewe hayakugusi, Raha zinakuja wewe hazikushughulishi uko umetulia kwenye Ufalme wa Qadara.
Sasa ufanye nini kuupata muujiza huu wa Qadara?
Utashangaa vipi unapatikana muujiza huu, utashangaa urahisi wake,na pia utastaajabu ugumu wake wa jambo hilo, hakuna jengine ila neno moja unalolisema bila ya mazingatio, huku neno hilo likiwa limebeba muujiza huu mkubwa wa kukupa raha na starehe ya kuishi maisha yako bila ya dhiki, bila ya huzuni, bila ya shida,bila ya lawama.
Hakuna jengine isipokua neno la Shukurani, neno hilo (Alhamdulillah) unatakiwa neno hili litoke moyoni mwako (Deep)kwenye hazina yako ya kusubiri, iwe kila kinachokufika unashukuru, maradhi yakija jua Mollah kanikumbuka, furaha ikija jua pia umekumbukwa,shida zikikuzonga jua Mwenye Qadara anataka iwe hivyo, kumbuka kila kitu kinaletwa na Mollah wako, kama kula yako, kulala kwako, kuamka kwako, kusema kwako, kuhema kwako, jitahidi kujiweka katika hali hiyo kwa miezi sita uwe bila ya kusita unakumbuka jambo hilo la shukurani kwa kila kinacho tokea katika maisha yako, baada ya miezi sita, shida itakuja utaiangalia, maradhi yatakuja utakua unayaangalia yana udhuru mwili wako lakini wewe hayakugusi, Umasikini upo lakini unaungalia haukugusi,kwa sababu shukurani inakutenganisha wewe na Mwili wako, wewe na mambo yako, na unabakia Roho ilo shahidi wa hayo yote, na huo ndio muujiza kama ulivokuja huna dhara yoyote iliyokugusa, na hivyo ndio utakavo ondoka huna chochote kitacho kugusa katika Ulimwengu huu. Hakuna cha kukumbusha isipokua Kumshukru yule alokupa Uhai na uka (surrender) kwake na kuwa Muislam kamili. (Just be thanks full and Surrender) uishi katika muujiza wa Qadara.
Sunday, November 15, 2015
ATHARI ZA MACHO NA SAUTI PART 1
Asalaam Aleiykum
Nimepokea ombi watu wanataka wanione au kunisikia basi nawatoa wasiwasi huenda wakaniona au wasinione yote yanawezekana, nini haja ya kuniona sababu unataka kujiridhisha nikoje, kweli ndie mie ninoandika au kuna sehemu na (copy)na ku(Paste), wasiwasi umekushika unaona mafundisho ndiyo lakini huyu Mwenye kuandika anavaa vilemba, huyu kweli Sheikh? hali ya wasiwasi ndio inokufanya utake kunijua, basi kabla hujanijua wacha tuingie kwenye darsa hii ya (Athari za Macho na Sauti) ili uchume tunda la faida ambalo utakapo kula huwenda ukaonja ladha ya kufahamu kwa undani utendaji wa kazi wa viwili hivyo.
Utapata Muongozo wa kuepuka mambo ambayo ukiyashiriki huwenda yakakuangamiza, pata faida hii ili iwe silaha yako itakayokupa uwezo wa kujihifadhi Na pengine kuondoka hiyo hamu ya kunijua.
Kuna msemo maarufu sana unaosema (Every Saint has past and every sinner have a future)Naam maneno sahihi hayo (Kila Walii ana Skeleton wake, Makovu na alama zipo hilo halina shaka, Na wewe Mtenda dhanmbi vile vile unayo nafasi yakua kama huyo Walii) Kwa hiyo usitie wasiwasi kwa lolote ulolifanya kama unataka kutubia basi midamu uhai unao jirekebishe hivi sasa kwa kuzingatia haya nitakayokujulisha,Na hiyo ndio maana ya ile aya isemayo (Msikate Tamaa na Rehma za Mwenye enzi Mungu).
Nini kinachotakiwa kifanyike?, Unatakiwa ufanye marekebisho ya Tabia yako ambayo ndimo vinavoishi viwili hivi Kusikia na Kuona. Leo tunakutana na viwili hivyo ambavyo ndio chanzo cha matatizo yote yanokufanya uangamie, viwili hivyo ni (Macho na Sauti au Kuzungumza) Nimeamua kuvizungumza hivi kwa kuwa kuna Baadhi ya Watu wanakejeli ile hekima ya kuambiwa usitizame mambo mabaya, au usisikize mazungumzo mabaya au kutizama Wanawake au kuzungumza na Wanaume, kuna baadhi ya watu hilo wanalitilia shaka na kuona kuna ukandamizwaji wa aina fulani kwenye (Dini)Basi ikiwa wewe unajiandaa na ushafanya uamuzi wa kuepuka au kujinusuru na (Uzinzi na Uasherati) Mada hii inakufaa.
Endelea part 2
Nimepokea ombi watu wanataka wanione au kunisikia basi nawatoa wasiwasi huenda wakaniona au wasinione yote yanawezekana, nini haja ya kuniona sababu unataka kujiridhisha nikoje, kweli ndie mie ninoandika au kuna sehemu na (copy)na ku(Paste), wasiwasi umekushika unaona mafundisho ndiyo lakini huyu Mwenye kuandika anavaa vilemba, huyu kweli Sheikh? hali ya wasiwasi ndio inokufanya utake kunijua, basi kabla hujanijua wacha tuingie kwenye darsa hii ya (Athari za Macho na Sauti) ili uchume tunda la faida ambalo utakapo kula huwenda ukaonja ladha ya kufahamu kwa undani utendaji wa kazi wa viwili hivyo.
Utapata Muongozo wa kuepuka mambo ambayo ukiyashiriki huwenda yakakuangamiza, pata faida hii ili iwe silaha yako itakayokupa uwezo wa kujihifadhi Na pengine kuondoka hiyo hamu ya kunijua.
Kuna msemo maarufu sana unaosema (Every Saint has past and every sinner have a future)Naam maneno sahihi hayo (Kila Walii ana Skeleton wake, Makovu na alama zipo hilo halina shaka, Na wewe Mtenda dhanmbi vile vile unayo nafasi yakua kama huyo Walii) Kwa hiyo usitie wasiwasi kwa lolote ulolifanya kama unataka kutubia basi midamu uhai unao jirekebishe hivi sasa kwa kuzingatia haya nitakayokujulisha,Na hiyo ndio maana ya ile aya isemayo (Msikate Tamaa na Rehma za Mwenye enzi Mungu).
Nini kinachotakiwa kifanyike?, Unatakiwa ufanye marekebisho ya Tabia yako ambayo ndimo vinavoishi viwili hivi Kusikia na Kuona. Leo tunakutana na viwili hivyo ambavyo ndio chanzo cha matatizo yote yanokufanya uangamie, viwili hivyo ni (Macho na Sauti au Kuzungumza) Nimeamua kuvizungumza hivi kwa kuwa kuna Baadhi ya Watu wanakejeli ile hekima ya kuambiwa usitizame mambo mabaya, au usisikize mazungumzo mabaya au kutizama Wanawake au kuzungumza na Wanaume, kuna baadhi ya watu hilo wanalitilia shaka na kuona kuna ukandamizwaji wa aina fulani kwenye (Dini)Basi ikiwa wewe unajiandaa na ushafanya uamuzi wa kuepuka au kujinusuru na (Uzinzi na Uasherati) Mada hii inakufaa.
Endelea part 2
ATHARI ZA MACHO NA SAUTI PART 2
Asalaam Aleiykum
Sasa Kutana na aya inayofundisha athari za Macho na Sababu zake,
(An-Noor aya ya 30)
قُل لِّلۡمُؤۡمِنِينَ يَغُضُّواْ مِنۡ أَبۡصَـٰرِهِمۡ وَيَحۡفَظُواْ فُرُوجَهُمۡۚ ذَٲلِكَ أَزۡكَىٰ لَهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ خَبِيرُۢ بِمَا يَصۡنَعُونَ
"Waambie Waislam Wanaume wainamishe macho yao,(Wasiangalie mambo mabaya), Na wazilinde tupu zao, hili ni takaso kwao, bila shaka Mwenye enzi Mungu anazo habari za wanayoyafanya".
Wameambiwa pia na Wanawake kwenye aya inayofatia ambayo nishawahi kuizungumzia huko nyuma aya ya (31) leo tunaogelea kwenye hiyo aya ya (30)wacha tupate faida zake ili tukazifanyie kazi.
Hapo katika maelezo hayo kuna mazingatio makubwa hususan ukiwa weye kijana, "Kwanini uangushe macho yako na wala hukuambiwa yafunge ila limetumika neno angusha", Umeambiwa uangushe kwa sababu binafsi yako ndani wewe unachemka, Na huna (Control)uwezo ulopewa ni huo wa kuangusha macho, kwa sababu ukiangusha macho (Connection)inakatika hupati tena mawasiliano, Na kama hupati mawasiliano Akili inatulia na Akili ikitulia ndio unawasili upande wa pili kwenye huo Utakaso(Ucha)Mungu ita upendavyo ukiingia ndio utajua umo kwenye hali gani wakati akili imetulia, kwa mara ya mwanzo utajua vipi utamu wa (Control)ya maisha yako, sasa kabla ya kwenda (deep) wacha tuyazungumze macho na shughuli zake.
Macho ni sawa sawa na kushika au nieseme yana mahusiano ya karibu sana na kushika, Sasa nini tafauti yake? Tafauti yake unaposhika kwa njia ya nje inayoongezeka ni hisia, na huku kushika kwa ndani ambako ndio (Powerful)penye kutumika macho, huku wengi mnajua inakuaje pale unapomtizama Mwanamke au Mwanamme, na vituko vikaanza kutokea ndani ya nafsi yako, Na yule Mwenye kushikwa kwa njia ya kutizamwa vile vile anajua kuwa sasa Nakamatwa bila ya (Idhini yangu) ndio maana kwa yule asoridhia utaona mara matusi au maneno yanamtoka, Nini kimetokezea?.
Kilichotokezea hapo ni mabishano ya Roho wewe unataka kumshika kwa nguvu na yeye hataki, ndio maana utaona tunapeana muda wa kutizamana wa sekunde nne tu, zikizidi hapo kuna jambo linafatia, na kama bado unafanya ukaidi (Jiulize)inakuaje Mtu kapita tu mimi huku ndani navurugika Akili.
Endelea part 3
Sasa Kutana na aya inayofundisha athari za Macho na Sababu zake,
(An-Noor aya ya 30)
قُل لِّلۡمُؤۡمِنِينَ يَغُضُّواْ مِنۡ أَبۡصَـٰرِهِمۡ وَيَحۡفَظُواْ فُرُوجَهُمۡۚ ذَٲلِكَ أَزۡكَىٰ لَهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ خَبِيرُۢ بِمَا يَصۡنَعُونَ
"Waambie Waislam Wanaume wainamishe macho yao,(Wasiangalie mambo mabaya), Na wazilinde tupu zao, hili ni takaso kwao, bila shaka Mwenye enzi Mungu anazo habari za wanayoyafanya".
Wameambiwa pia na Wanawake kwenye aya inayofatia ambayo nishawahi kuizungumzia huko nyuma aya ya (31) leo tunaogelea kwenye hiyo aya ya (30)wacha tupate faida zake ili tukazifanyie kazi.
Hapo katika maelezo hayo kuna mazingatio makubwa hususan ukiwa weye kijana, "Kwanini uangushe macho yako na wala hukuambiwa yafunge ila limetumika neno angusha", Umeambiwa uangushe kwa sababu binafsi yako ndani wewe unachemka, Na huna (Control)uwezo ulopewa ni huo wa kuangusha macho, kwa sababu ukiangusha macho (Connection)inakatika hupati tena mawasiliano, Na kama hupati mawasiliano Akili inatulia na Akili ikitulia ndio unawasili upande wa pili kwenye huo Utakaso(Ucha)Mungu ita upendavyo ukiingia ndio utajua umo kwenye hali gani wakati akili imetulia, kwa mara ya mwanzo utajua vipi utamu wa (Control)ya maisha yako, sasa kabla ya kwenda (deep) wacha tuyazungumze macho na shughuli zake.
Macho ni sawa sawa na kushika au nieseme yana mahusiano ya karibu sana na kushika, Sasa nini tafauti yake? Tafauti yake unaposhika kwa njia ya nje inayoongezeka ni hisia, na huku kushika kwa ndani ambako ndio (Powerful)penye kutumika macho, huku wengi mnajua inakuaje pale unapomtizama Mwanamke au Mwanamme, na vituko vikaanza kutokea ndani ya nafsi yako, Na yule Mwenye kushikwa kwa njia ya kutizamwa vile vile anajua kuwa sasa Nakamatwa bila ya (Idhini yangu) ndio maana kwa yule asoridhia utaona mara matusi au maneno yanamtoka, Nini kimetokezea?.
Kilichotokezea hapo ni mabishano ya Roho wewe unataka kumshika kwa nguvu na yeye hataki, ndio maana utaona tunapeana muda wa kutizamana wa sekunde nne tu, zikizidi hapo kuna jambo linafatia, na kama bado unafanya ukaidi (Jiulize)inakuaje Mtu kapita tu mimi huku ndani navurugika Akili.
Endelea part 3
ATHARI ZA MACHO NA SAUTI PART 3
Asalaam Aleiykum
Baada ya hizo sekunde nne ndio maridhiano au ugonvi vinaanza kutokea, Na kama umeridhia macho yanaanza mazungumzo (Bubu)ya ishara, unaweza kuandika (Love Story)nzima ya mapenzi, inaweza kutoka Amri ya mtu auliwe kwa ajili ya macho, Ikapelekwa posa pahala kwa ajili ya jicho, Akaumwa mtu maradhi ya kutoka na roho kwa ajili ya jicho, ikaingia pahala hasada kwa ajili ya jicho, Kwanini ikawa jicho?.
Kwa sababu jicho ni (Dirisha la Roho) Na Roho ni (Very Powerful Being)ndio maana ukimuona mwanamme au mwanamke ndani unachemka(Energy)inaanza kunyanyuka, na ikinyanyuka inachukua muda kutulia na Akili kuvurugika, Na kutokana na hilo jicho hapo tena (Mind) inakamata kazi yake, na (Body)inajiweka tayari kwa kutayarisha silaha za mapambano, Hapo tena Akili ya (Mja)ikichafuka Mtu anaweza kufukuzwa kazi au kupandishwa cheo, hiyo ndio Athari ya Jicho na madhara yake, ndio maana unaambiwa liangushe likustiri, kwani kwenye kuliangusha Jicho kuna siri kubwa ndio maana aya ikamalizia na (Wahifadhi Tupu zao) Kwanini Uhifadhi tupu?.
Kwa sababu kwa kufanya hivyo unahifadhi kitu adhimu kabisa ndani ya huo Mwili wako(Body), "Wewe una Mali ghafi" kama utaitunza ndio unaupata huo utakaso (Pureness)Na kama utatumia hiyo mali ghafi yako ovyo ovyo basi utaangamia kwa kuzorota kwa afya yako, utakua huwezi kazi, zitakuvaa tafran tupu kichwani, kwa hiyo unaambiwa hifadhi hicho ulichonacho usipite ukakitupa ovyo kwa furaha ya sekunde nne, uonee huruma mwili wako kwa kuupunguzia kazi za (Overtime)kutengeneza mali ghafi(Material)kila baada ya masaa 24, Halafu tena unaambiwa jiepushe na mazungumzo, kwa sababu mazungumzo au (Sauti) ndio daraja la majaribio, hapo ndipo vinapoanza vimbunga vyote, Fitna zote zinaanzia hapo, Ndio maana utaona wanaadamu tumepewa jambo hili muhimu sana la kuzungumza, Mazungumzo ni mawasiliano, hapo ndipo unapoonesha chuki na mapenzi, kwa kutumia mazungumzo ndio unaonesha hamaki na hasira, kwa hiyo ndio maana ukaambiwa jiepushe hata na mazungumzo sio macho pekee na huyo mwanamke au mwanamme, ila ukiwa ushafikia daraja la kuweza kujimiliki(Control), vipi kujimiliki huko ni pale ukiijua maana ya "(Maneno matamu humtoa nyoka pangoni)" sasa maana hiyo utaijua vipi, kwanza lazima ufahamu nyoka hasikii vipi utamtoa pangoni, basi kujimiliki nikule kumrejesha nyoka pangoni akatulie, ukifikia daraja hiyo wewe utakua katika wale walotajwa kwenye aya ya 31 ambayo hawana dhara ima wakitizama au wakizungumza, Wana uwezo wa kumuweka Nyoka pangoni hata asitamani kutoka. Ukifikia daraja hiyo hapo tena unaweza kuzungumza unaweza kuangalia hakuna chenye kukushughulisha na wala Akili yako haisumbuliwi tena na matukio ya Nje, hiyo ndio maana ya kuambiwa jiepushe na Athari za macho na sauti.
Baada ya hizo sekunde nne ndio maridhiano au ugonvi vinaanza kutokea, Na kama umeridhia macho yanaanza mazungumzo (Bubu)ya ishara, unaweza kuandika (Love Story)nzima ya mapenzi, inaweza kutoka Amri ya mtu auliwe kwa ajili ya macho, Ikapelekwa posa pahala kwa ajili ya jicho, Akaumwa mtu maradhi ya kutoka na roho kwa ajili ya jicho, ikaingia pahala hasada kwa ajili ya jicho, Kwanini ikawa jicho?.
Kwa sababu jicho ni (Dirisha la Roho) Na Roho ni (Very Powerful Being)ndio maana ukimuona mwanamme au mwanamke ndani unachemka(Energy)inaanza kunyanyuka, na ikinyanyuka inachukua muda kutulia na Akili kuvurugika, Na kutokana na hilo jicho hapo tena (Mind) inakamata kazi yake, na (Body)inajiweka tayari kwa kutayarisha silaha za mapambano, Hapo tena Akili ya (Mja)ikichafuka Mtu anaweza kufukuzwa kazi au kupandishwa cheo, hiyo ndio Athari ya Jicho na madhara yake, ndio maana unaambiwa liangushe likustiri, kwani kwenye kuliangusha Jicho kuna siri kubwa ndio maana aya ikamalizia na (Wahifadhi Tupu zao) Kwanini Uhifadhi tupu?.
Kwa sababu kwa kufanya hivyo unahifadhi kitu adhimu kabisa ndani ya huo Mwili wako(Body), "Wewe una Mali ghafi" kama utaitunza ndio unaupata huo utakaso (Pureness)Na kama utatumia hiyo mali ghafi yako ovyo ovyo basi utaangamia kwa kuzorota kwa afya yako, utakua huwezi kazi, zitakuvaa tafran tupu kichwani, kwa hiyo unaambiwa hifadhi hicho ulichonacho usipite ukakitupa ovyo kwa furaha ya sekunde nne, uonee huruma mwili wako kwa kuupunguzia kazi za (Overtime)kutengeneza mali ghafi(Material)kila baada ya masaa 24, Halafu tena unaambiwa jiepushe na mazungumzo, kwa sababu mazungumzo au (Sauti) ndio daraja la majaribio, hapo ndipo vinapoanza vimbunga vyote, Fitna zote zinaanzia hapo, Ndio maana utaona wanaadamu tumepewa jambo hili muhimu sana la kuzungumza, Mazungumzo ni mawasiliano, hapo ndipo unapoonesha chuki na mapenzi, kwa kutumia mazungumzo ndio unaonesha hamaki na hasira, kwa hiyo ndio maana ukaambiwa jiepushe hata na mazungumzo sio macho pekee na huyo mwanamke au mwanamme, ila ukiwa ushafikia daraja la kuweza kujimiliki(Control), vipi kujimiliki huko ni pale ukiijua maana ya "(Maneno matamu humtoa nyoka pangoni)" sasa maana hiyo utaijua vipi, kwanza lazima ufahamu nyoka hasikii vipi utamtoa pangoni, basi kujimiliki nikule kumrejesha nyoka pangoni akatulie, ukifikia daraja hiyo wewe utakua katika wale walotajwa kwenye aya ya 31 ambayo hawana dhara ima wakitizama au wakizungumza, Wana uwezo wa kumuweka Nyoka pangoni hata asitamani kutoka. Ukifikia daraja hiyo hapo tena unaweza kuzungumza unaweza kuangalia hakuna chenye kukushughulisha na wala Akili yako haisumbuliwi tena na matukio ya Nje, hiyo ndio maana ya kuambiwa jiepushe na Athari za macho na sauti.
Sunday, November 1, 2015
UFALME WA MUNGU PART 1
Asalaam Aleiykum
قُلِ ٱللَّهُمَّ مَـٰلِكَ ٱلۡمُلۡكِ تُؤۡتِى ٱلۡمُلۡكَ مَن تَشَآءُ وَتَنزِعُ ٱلۡمُلۡكَ مِمَّن تَشَآءُ وَتُعِزُّ مَن تَشَآءُ وَتُذِلُّ مَن تَشَآءُۖ بِيَدِكَ ٱلۡخَيۡرُۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَىۡءٍ۬ قَدِيرٌ۬
Hiyo ni aya ya (26)iliyomo kwenye sura ya (Al-Imran) inatafsirika hivi:"Sema Ewe Mollah wangu uliyemiliki Ufalme wote, Humpa Ufalme umtakaye,na humuondolea(Ufalme)umtakaye, Na humtukuza umtakaye, Na humdhalilisha umtakaye,Kheri imo mikononi mwako, bila shaka Wewe ni Mwenye uweza juu ya kila kitu".
Aya imeanza kwa kuambiwa "Sema",Kwanini ikawa sema ?Kwa sababu ukiambiwa sema ina maana unaujua ukweli, umeshaushuhudia ukweli, unaishi ndani ya ukweli, huna khofu tena kufa katika ukweli. kwa kuwa ushaujua ukweli siku zote upo na kwenye Ufalme wa Mwenye enzi Mungu hakuna lugha ila kuna shuhuda, Sasa kwa yule Mwenye kujua au kushuhudia ukweli anaambiwa wafikishie ujumbe huu wale wasojua au wasofahamu, ufanye nini?, Uwajulishe haya"Sema hivi" Ewe Mollah Wangu uliyemiliki Ufalme wote, ikitajwa kumiliki wenye Ufahamu mdogo wanadhani na yeye pia Mfalme kwa hiyo wanaanza kuuhusisha Ufalme huo Miliki na (Imagination)zao labda yuko hivi au vile, kumbuka hapo imetumika lugha ili kuwasiliana na wewe na hizo fahamu zako juu ya tendo hilo la Ufalme.
Ewe Mollah Mwenye kumiliki huo Ufalme wa kila kitu, Uwe Ufalme wenyewe wa Vinyama au Wanaadamu au kundi la majini, basi Wewe ni Mwenye kumpa huo "Uongozi"(Ufalme)umtakaye, Uwe Ufalme au Uongozi huo kwenye (Family)au kwenye Kabila, au Ufalme wa Nchi wa kuwaongoza watu, basi Wewe Unamchagua umtakaye awe Kiongozi kwa njia unazozijua wewe katika sehemu au pahala hapo, Na humuondoshea Ufalme huo Umtakaye na haya yote yamo kwenye uwezo wako.
Sasa nini Kitatokezea iwapo kuna baadhi ya Watu Wenyewe watapinga au kukataa au kumuondosha kwa nguvu yule ulomridhia wewe? Nini Dalili zake?, Tunafahamu Wewe ni Mwenye Uweza wa kila kitu, na si mwenye kushindwa katika jambo lolote, lakini pia tunatambua umetupa Wanaadamu Uhuru au uwezo wa kujiamulia tunavyotaka wenyewe(Hiyo ndio Democracy), ila umetuwekea Shuruti ikiwa uamuzi huo ni wa makosa utatuadhibu, na ukiwa katika Matakwa na maridhio kama ulivyopanga wewe basi umetwambia katika hiyo aya hapo juu(Kheri imo mikononi mwako).
Ilipotaja aya kuwa Kheri imo mikononi mwake ndipo ilipoachia huo Uhuru yakwamba kama kikundi au kundi au Mtu pekee kakubali kuridhia anavyopanga na kutaka yule ambaye kamiliki kila jambo, na kwa njia ya (Huria kabisa)ambayo ni ridhaa ya kila mmoja wenu kukubali, anakutieni mapenzi na nyinyi waja wake kulikubali lile ambalo kakuchagulieni ili akupeni hiyo kheri, mkitokezea kuupinga Ufalme wa Mwenye enzi Mungu nini kinatokezea?
Endelea part 2
قُلِ ٱللَّهُمَّ مَـٰلِكَ ٱلۡمُلۡكِ تُؤۡتِى ٱلۡمُلۡكَ مَن تَشَآءُ وَتَنزِعُ ٱلۡمُلۡكَ مِمَّن تَشَآءُ وَتُعِزُّ مَن تَشَآءُ وَتُذِلُّ مَن تَشَآءُۖ بِيَدِكَ ٱلۡخَيۡرُۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَىۡءٍ۬ قَدِيرٌ۬
Hiyo ni aya ya (26)iliyomo kwenye sura ya (Al-Imran) inatafsirika hivi:"Sema Ewe Mollah wangu uliyemiliki Ufalme wote, Humpa Ufalme umtakaye,na humuondolea(Ufalme)umtakaye, Na humtukuza umtakaye, Na humdhalilisha umtakaye,Kheri imo mikononi mwako, bila shaka Wewe ni Mwenye uweza juu ya kila kitu".
Aya imeanza kwa kuambiwa "Sema",Kwanini ikawa sema ?Kwa sababu ukiambiwa sema ina maana unaujua ukweli, umeshaushuhudia ukweli, unaishi ndani ya ukweli, huna khofu tena kufa katika ukweli. kwa kuwa ushaujua ukweli siku zote upo na kwenye Ufalme wa Mwenye enzi Mungu hakuna lugha ila kuna shuhuda, Sasa kwa yule Mwenye kujua au kushuhudia ukweli anaambiwa wafikishie ujumbe huu wale wasojua au wasofahamu, ufanye nini?, Uwajulishe haya"Sema hivi" Ewe Mollah Wangu uliyemiliki Ufalme wote, ikitajwa kumiliki wenye Ufahamu mdogo wanadhani na yeye pia Mfalme kwa hiyo wanaanza kuuhusisha Ufalme huo Miliki na (Imagination)zao labda yuko hivi au vile, kumbuka hapo imetumika lugha ili kuwasiliana na wewe na hizo fahamu zako juu ya tendo hilo la Ufalme.
Ewe Mollah Mwenye kumiliki huo Ufalme wa kila kitu, Uwe Ufalme wenyewe wa Vinyama au Wanaadamu au kundi la majini, basi Wewe ni Mwenye kumpa huo "Uongozi"(Ufalme)umtakaye, Uwe Ufalme au Uongozi huo kwenye (Family)au kwenye Kabila, au Ufalme wa Nchi wa kuwaongoza watu, basi Wewe Unamchagua umtakaye awe Kiongozi kwa njia unazozijua wewe katika sehemu au pahala hapo, Na humuondoshea Ufalme huo Umtakaye na haya yote yamo kwenye uwezo wako.
Sasa nini Kitatokezea iwapo kuna baadhi ya Watu Wenyewe watapinga au kukataa au kumuondosha kwa nguvu yule ulomridhia wewe? Nini Dalili zake?, Tunafahamu Wewe ni Mwenye Uweza wa kila kitu, na si mwenye kushindwa katika jambo lolote, lakini pia tunatambua umetupa Wanaadamu Uhuru au uwezo wa kujiamulia tunavyotaka wenyewe(Hiyo ndio Democracy), ila umetuwekea Shuruti ikiwa uamuzi huo ni wa makosa utatuadhibu, na ukiwa katika Matakwa na maridhio kama ulivyopanga wewe basi umetwambia katika hiyo aya hapo juu(Kheri imo mikononi mwako).
Ilipotaja aya kuwa Kheri imo mikononi mwake ndipo ilipoachia huo Uhuru yakwamba kama kikundi au kundi au Mtu pekee kakubali kuridhia anavyopanga na kutaka yule ambaye kamiliki kila jambo, na kwa njia ya (Huria kabisa)ambayo ni ridhaa ya kila mmoja wenu kukubali, anakutieni mapenzi na nyinyi waja wake kulikubali lile ambalo kakuchagulieni ili akupeni hiyo kheri, mkitokezea kuupinga Ufalme wa Mwenye enzi Mungu nini kinatokezea?
Endelea part 2
UFALME WA MUNGU PART 2
Asalaam Aleiykum
Nini Kinatokezea?
Yanatokezea Madhara makubwa iwe kwenye Nchi, Jamii, mpaka kwenye familia au Kikundi mpaka mtakapo kaa sawa na kukubali maamuzi ya Mollah wenu, Mpaka mrudi katika njia alopanga yeye Mollah Mwenye kumiliki, lakini iwapo mtaendelea na Ubishi basi maangamizi yake yanakua makubwa kwa wale wote wenye kushabikia uvunjifu huo wa amri ya Mwenye enzi Mungu, ndio utaona wenye kufaidika wachache sana, na wenye kuumia zaidi ni wale wenye kusimamia na kuutetea udhalimu huo hali zao zinakua ni duni kabisa, huwaburura na vizazi vyao katika hali hiyo ikawa Nchi au kijiji kimeathirika vibaya sana kutokana na hizo dhuluma zinazotendwa.
Aya inaendelea kusema "Humtukuza"amtakaye utaona wale walodhulumiwa au kukiri amri ya Mwenye enzi Mungu ndio wananyanyuliwa kimaisha japo wapo katika Mji huo huo, na ama wale wenye kushiriki kupinga amri ya Mwenye enzi Mungu, aya inasema" humdhalilisha amtakaye"hufanywa watu hao hali ya chini, hudhalilishwa wakapita kuomba huku na kule, huteremkiwa na umasikini mkubwa, Shida na Maradhi, mashaka ya maisha na kila aina ya dhiki, Na hupewa adui yao ndio kuwa Mfalme wa kuwamiliki na kuwatesa kwa njia ya dhahiri au kwa siri, na hautopatikana ufumbuzi mpaka mridhie Matakwa ya Mwenye Kuumiliki huo Ufalme.
Na Yeye ndie humtukuza kwa Ufalme wa Cheo katika hii dunia na huko akhera. Msije mkahadaika kuwaona wale wenye kupinga amri za Mwenye enzi Mungu wanafuraha, hao hawana furaha na wao wanajua kwenye nafsi zao moto unawaka lakini hawajui vipi watauzima, mtaona kwenu wanapendeza kumbe ndani wanateketea.
Basi ikiwa swali zima na makusudio yake ya Ufalme huo yamekuingia ndani ya fahamu yako, sasa wacha tutembelee maajabu mengine ya huo Ufalme upate maarifa ya kuufahamu.
تُولِجُ ٱلَّيۡلَ فِى ٱلنَّهَارِ وَتُولِجُ ٱلنَّهَارَ فِى ٱلَّيۡلِۖ وَتُخۡرِجُ ٱلۡحَىَّ مِنَ ٱلۡمَيِّتِ وَتُخۡرِجُ ٱلۡمَيِّتَ مِنَ ٱلۡحَىِّۖ وَتَرۡزُقُ مَن تَشَآءُ بِغَيۡرِ حِسَابٍ۬
Huuingiza usiku katika mchana, na huingiza mchana katika usiku, Na hutoa aliye hai katika asiye uhai,Na hutoa Mfu katika aliye hai, Na humpa Riziki umtakaye bila hesabu.
Sasa Zama katika maajabu haya ili upate kujua nani Mwenye kumiliki hivyo vyote, Jambo la kwanza lazima kulifahamu hivi viwili vyote vipo, na vinaishi kama wewe unavoishi, kwani wewe si unajua tegemeo letu lilivo kuhusu Jua na huu Usiku, maajabu haya mawili kwa nje utaona kimoja kikija tunaamka na kufanya kazi na cha pili kikifatia tunakwenda kulala, lakini ushawahi kwenda (Deep)kwenye viwili hivyo?.
Endelea Part 3
Nini Kinatokezea?
Yanatokezea Madhara makubwa iwe kwenye Nchi, Jamii, mpaka kwenye familia au Kikundi mpaka mtakapo kaa sawa na kukubali maamuzi ya Mollah wenu, Mpaka mrudi katika njia alopanga yeye Mollah Mwenye kumiliki, lakini iwapo mtaendelea na Ubishi basi maangamizi yake yanakua makubwa kwa wale wote wenye kushabikia uvunjifu huo wa amri ya Mwenye enzi Mungu, ndio utaona wenye kufaidika wachache sana, na wenye kuumia zaidi ni wale wenye kusimamia na kuutetea udhalimu huo hali zao zinakua ni duni kabisa, huwaburura na vizazi vyao katika hali hiyo ikawa Nchi au kijiji kimeathirika vibaya sana kutokana na hizo dhuluma zinazotendwa.
Aya inaendelea kusema "Humtukuza"amtakaye utaona wale walodhulumiwa au kukiri amri ya Mwenye enzi Mungu ndio wananyanyuliwa kimaisha japo wapo katika Mji huo huo, na ama wale wenye kushiriki kupinga amri ya Mwenye enzi Mungu, aya inasema" humdhalilisha amtakaye"hufanywa watu hao hali ya chini, hudhalilishwa wakapita kuomba huku na kule, huteremkiwa na umasikini mkubwa, Shida na Maradhi, mashaka ya maisha na kila aina ya dhiki, Na hupewa adui yao ndio kuwa Mfalme wa kuwamiliki na kuwatesa kwa njia ya dhahiri au kwa siri, na hautopatikana ufumbuzi mpaka mridhie Matakwa ya Mwenye Kuumiliki huo Ufalme.
Na Yeye ndie humtukuza kwa Ufalme wa Cheo katika hii dunia na huko akhera. Msije mkahadaika kuwaona wale wenye kupinga amri za Mwenye enzi Mungu wanafuraha, hao hawana furaha na wao wanajua kwenye nafsi zao moto unawaka lakini hawajui vipi watauzima, mtaona kwenu wanapendeza kumbe ndani wanateketea.
Basi ikiwa swali zima na makusudio yake ya Ufalme huo yamekuingia ndani ya fahamu yako, sasa wacha tutembelee maajabu mengine ya huo Ufalme upate maarifa ya kuufahamu.
تُولِجُ ٱلَّيۡلَ فِى ٱلنَّهَارِ وَتُولِجُ ٱلنَّهَارَ فِى ٱلَّيۡلِۖ وَتُخۡرِجُ ٱلۡحَىَّ مِنَ ٱلۡمَيِّتِ وَتُخۡرِجُ ٱلۡمَيِّتَ مِنَ ٱلۡحَىِّۖ وَتَرۡزُقُ مَن تَشَآءُ بِغَيۡرِ حِسَابٍ۬
Huuingiza usiku katika mchana, na huingiza mchana katika usiku, Na hutoa aliye hai katika asiye uhai,Na hutoa Mfu katika aliye hai, Na humpa Riziki umtakaye bila hesabu.
Sasa Zama katika maajabu haya ili upate kujua nani Mwenye kumiliki hivyo vyote, Jambo la kwanza lazima kulifahamu hivi viwili vyote vipo, na vinaishi kama wewe unavoishi, kwani wewe si unajua tegemeo letu lilivo kuhusu Jua na huu Usiku, maajabu haya mawili kwa nje utaona kimoja kikija tunaamka na kufanya kazi na cha pili kikifatia tunakwenda kulala, lakini ushawahi kwenda (Deep)kwenye viwili hivyo?.
Endelea Part 3
UFALME WA MUNGU PART 3
Asalaam Aleiykum
Unapotaka kuviangalia viwili hivi vifanyavyo kazi zake inabidi kwanza tukujulishe vipi maneno hayo ya kuingizwa usiku ndani ya mchana na mchana ndani ya usiku, Na kwanini ikawa unaingizwa? (Ametukuka yule ambaye anakimiliki kila kitu kwenye Ulimwengu huu) kwanini ikatumika lugha hiyo ya kuingizwa, ili usije kufanya tena mzaha na Uwezo wa Mwenye enzi Mungu na kupinga amri zake, nakuchukua na kukufahamisha mfano ambao utaanzisha muamko kwenye akili yako, kama vipi? Chumba kikiwa kiza ukiingiza Taa, kiza kinafanya nini? kinatoweka, lakini swali la kujiuliza kinakwenda wapi? ndio maana nikakwambia viwili hivyo vyote vipo na vinaishi kama unavyoishi wewe, unachotakiwa ni kufanya utafiti wa Kidini ukutane na viwili hivi kimoja baada ya chengine, kwanini nikasema hivyo kwa sababu viwili hivi havikutani vinapishana, lakini havikutani. (Na Mfano huo huo kwa wale wenye ubishi kuwa labda Moto wa Jahannam hakuna nawaambia watizame Moto wa kibiriti mwanzo unakua haupo ukiwasha tu mara huo, unatokezea wapi?lazima ujiulize huu moto kuna sehemu unajificha? hayo ni maswali ya changa moto nakupa uyafanyie kazi usisubiri kila kitu nikuletee mezani ukisome).
Naam kuyataka kuyajua mawili hayo itakubidi ukashuhudie mwenyewe vipi vinaingizwa viwili hivyo katika nyakati mbili yaani kwenye Sala ya Magharibi kuna tukio linatokea ambalo huwa mchana(Light) ushaondoka na Usiku haujaingia(Dark) ukiweza kushuhudia tukio hilo kwa muono wa ndani kabisa utajua vipi Ufalme wa Mwenye enzi Mungu unavofanya kazi yake.
Na Jengine ni hili la kutolewa Roho ukawa unaishi kwenye Umauti au Kupewa Roho ukawa unaishi kwenye Uhai ni la kukujulisha kuwa wewe unapita katika sehemu hizi mbili ambazo hazikutani na kama ukiweza kulifanyia kazi hilo ukajua siri iliyopo hapo basi utakuwa mwenye kufaulu(Katika hili sitaki kueleza kwa kirefu kutokana na hatari zake) ila nasema baina ya Uhai na Umauti ni mpito, katikati kuna kitu hapa ambacho siri yake utakutana nayo Mwenyewe siku Mauti yatakapowasili kwako, kwa hiyo jua kufa utakufa lakini haitakua mwisho wako, kwa hiyo usiogope sana ukaanza kuomba dua za Mungu ninusuru na kifo wakati yeye ndiye aliyeumba viwili hivyo na wakati wetu ukifika sote lazima tuondoke, lazima ulivue hilo guo la (Body) yako na urejee Nyumbani.
Namalizia kwa kusema huyo Mwenye kumiliki hayo yote ndiye pia Mwenye kumiliki hiyo Riziki na humpa amtakaye pasi na hesabu kwa kadir na kima anachotaka yeye,(Usije ukaona hee mbona mafuta arabuni hayakauki) hivyo ndivyo Uwezo wa Mwenye enzi Mungu ufanyavyo kazi zake,Na kwa Mwenye enzi Mungu akitaka kumpa mtu hakuna hesabu, hakai akasema labda hichi, au hivi humiminia amtakaye pasina na hesabu,ila hesabu tunazo sisi ndio maana hatupewi kutokana na khofu zetu, Lakini tukiondoa khofu ya ufukara, khofu ya kifo tutapewa bila ya hesabu.
Unapotaka kuviangalia viwili hivi vifanyavyo kazi zake inabidi kwanza tukujulishe vipi maneno hayo ya kuingizwa usiku ndani ya mchana na mchana ndani ya usiku, Na kwanini ikawa unaingizwa? (Ametukuka yule ambaye anakimiliki kila kitu kwenye Ulimwengu huu) kwanini ikatumika lugha hiyo ya kuingizwa, ili usije kufanya tena mzaha na Uwezo wa Mwenye enzi Mungu na kupinga amri zake, nakuchukua na kukufahamisha mfano ambao utaanzisha muamko kwenye akili yako, kama vipi? Chumba kikiwa kiza ukiingiza Taa, kiza kinafanya nini? kinatoweka, lakini swali la kujiuliza kinakwenda wapi? ndio maana nikakwambia viwili hivyo vyote vipo na vinaishi kama unavyoishi wewe, unachotakiwa ni kufanya utafiti wa Kidini ukutane na viwili hivi kimoja baada ya chengine, kwanini nikasema hivyo kwa sababu viwili hivi havikutani vinapishana, lakini havikutani. (Na Mfano huo huo kwa wale wenye ubishi kuwa labda Moto wa Jahannam hakuna nawaambia watizame Moto wa kibiriti mwanzo unakua haupo ukiwasha tu mara huo, unatokezea wapi?lazima ujiulize huu moto kuna sehemu unajificha? hayo ni maswali ya changa moto nakupa uyafanyie kazi usisubiri kila kitu nikuletee mezani ukisome).
Naam kuyataka kuyajua mawili hayo itakubidi ukashuhudie mwenyewe vipi vinaingizwa viwili hivyo katika nyakati mbili yaani kwenye Sala ya Magharibi kuna tukio linatokea ambalo huwa mchana(Light) ushaondoka na Usiku haujaingia(Dark) ukiweza kushuhudia tukio hilo kwa muono wa ndani kabisa utajua vipi Ufalme wa Mwenye enzi Mungu unavofanya kazi yake.
Na Jengine ni hili la kutolewa Roho ukawa unaishi kwenye Umauti au Kupewa Roho ukawa unaishi kwenye Uhai ni la kukujulisha kuwa wewe unapita katika sehemu hizi mbili ambazo hazikutani na kama ukiweza kulifanyia kazi hilo ukajua siri iliyopo hapo basi utakuwa mwenye kufaulu(Katika hili sitaki kueleza kwa kirefu kutokana na hatari zake) ila nasema baina ya Uhai na Umauti ni mpito, katikati kuna kitu hapa ambacho siri yake utakutana nayo Mwenyewe siku Mauti yatakapowasili kwako, kwa hiyo jua kufa utakufa lakini haitakua mwisho wako, kwa hiyo usiogope sana ukaanza kuomba dua za Mungu ninusuru na kifo wakati yeye ndiye aliyeumba viwili hivyo na wakati wetu ukifika sote lazima tuondoke, lazima ulivue hilo guo la (Body) yako na urejee Nyumbani.
Namalizia kwa kusema huyo Mwenye kumiliki hayo yote ndiye pia Mwenye kumiliki hiyo Riziki na humpa amtakaye pasi na hesabu kwa kadir na kima anachotaka yeye,(Usije ukaona hee mbona mafuta arabuni hayakauki) hivyo ndivyo Uwezo wa Mwenye enzi Mungu ufanyavyo kazi zake,Na kwa Mwenye enzi Mungu akitaka kumpa mtu hakuna hesabu, hakai akasema labda hichi, au hivi humiminia amtakaye pasina na hesabu,ila hesabu tunazo sisi ndio maana hatupewi kutokana na khofu zetu, Lakini tukiondoa khofu ya ufukara, khofu ya kifo tutapewa bila ya hesabu.
Sunday, October 18, 2015
NJIA YA KUHIFADHI SALA PART 1
Asalaam Aleiykum
Nimeona kuna sababu ya kuleta darsa hii baada ya kushuhudia hasara inayopatikana juu yetu katika kusali halafu ikawa huipati sala yenyewe, Na inachangia pia Mtu kutokujua maana nzima ya hiyo Sala.
Sasa wacha tuanze kwa kujua japo kwa ufupi Nini Sala?, Sala ni(Maombi)ya Mapenzi ya Utiifu yanotokea Rohoni, Ni kwa ajili ya Shukurani ya kujua umeumbwa na mpaka wakati huo unasimamisha sala unathibitisha kwa yakini kuwa upo uwezo wa hali ya juu ambao hauna shaka ulokufanya na kukupa wewe na vyengine nafasi ya kuufahamu na Kuabudu, Na sasa kwa unyenyekevu wewe binafsi umesimama kutokana na Uwezo huo usio ufahamu unasema "Allah Akbar", Wewe unakiri na kutaraji alokupa neema hizo zote azidi kukupa radhi zake za kuweza kukufunulia, kukufungulia zaidi milango ya fahamu na kwa mapenzi yake akupe uwezo wa kujua yalio zaidi katika ufalme wake.
Utaona nimetaja kufahamu na kutokufahamu kwa sababu kila ukenda (Deep)kwenye Sala yako mambo mepya yanafunguka, hisia tafauti zinaongezeke.
Hiyo ndio Sala ambayo unatanguliza shukurani kwa baraka na uwezo ulopewa wa kuweza kumfahamu yeye Mollah wako na kumtii, Sasa kwanini lazima uifanyie hifadhi sala yako, kabla ya kwenda mbele itabidi ujue tafauti ya (Kuhifadhi na Kulinda).
Kulinda ni tendo la nje lenye kuhakikisha hupati dhara, huibiwi, kwa ufupi ni tendo la nje, Lakini kuhifadhi maana yake ni kutunza,kua Muangalifu hicho kitu au jambo haliharibiki, kwenye kulinda unakua mtazamaji na kwenye kuhifadhi unakua muangaliji, kwa hiyo hifadhi ina mahusiano na tendo la ndani.
Ndio maana aya ikasema(Quraa-Baqarah-238)
"حَـٰفِظُواْ عَلَى ٱلصَّلَوَٲتِ وَٱلصَّلَوٰةِ ٱلۡوُسۡطَىٰ وَقُومُواْ لِلَّهِ قَـٰنِتِينَ "
Angalieni sana Sala(Zenu)na khasa ile sala ya kati na kati, Na simameni kwa unyenyekevu katika kumuabudu Mwenye enzi Mungu.
Kwanini ikawa Hifadhi na sio Linda? kwa sababu siku hizi umezuka mtindo unaambiwa linda, na mimi napiga kelele ili usiharibikiwe nakwambia hifadhi, unatakiwa Mja ukiipeleka sala yako kwa Mollah wako uwe mnyenyekevu na mapenzi ya hali ya juu, na hilo silioni kwa Waumin wengi, Sala zimeondoka nyoyoni mwetu na kilichobaki na kupatikana ni Sala ya njia ya nje kwenye taratibu za (Viungo), ndio maana unaona akimaliza Sala anatukana, akimaliza sala anafanya mzaha, akimaliza sala anakwenda kuiba, akimaliza sala anafanya zinaa, akimaliza sala anasema uongo, sasa hapo sala ipo wapi? vipi yanaweza kuwa maneno ya Mwenye enzi Mungu hayakamatani na matendo yako, inasema Quraan sura ya (Ankabut aya ya 45)
"ٱتۡلُ مَآ أُوحِىَ إِلَيۡكَ مِنَ ٱلۡكِتَـٰبِ وَأَقِمِ ٱلصَّلَوٰةَۖ إِنَّ ٱلصَّلَوٰةَ تَنۡهَىٰ عَنِ ٱلۡفَحۡشَآءِ وَٱلۡمُنكَرِۗ وَلَذِكۡرُ ٱللَّهِ أَڪۡبَرُۗ وَٱللَّهُ يَعۡلَمُ مَا تَصۡنَعُونَ "
Soma uliyoletewa Wahyi(Uliyofunuliwa)katika kitabu, na usimamishe sala, bila shaka Sala(Ikisaliwa itakiwavyo)humzuiliya (Mtu)mambo machafu na maovu, na kwa yakini Kumkumbuka Mwenye enzi Mungu(Ndani ya hiyo Sala ni jambo)kubwa kabisa, Na Mwenye enzi Mungu anayajua mnayoyatenda.
Aya imeweka wazi hapo mwanzo yasome yale yaloletwa kwenye kitabu, nenda (Deep) kwenye hiyo aya ulochagua kuisoma wakati unasimamisha Sala,(pengine ndani ya hiyo aya utapata maana itakayofungua jambo kwenye Akili yako)lakini wapi unasoma kama kasuku, hutulii ukachambua hicho ukisomacho, unasoma aya kama mazoea huku akili inapanga mambo mengine kabisa, ifanye Sala yako(Iwe mfano kama unavocheka, jiulize wakati unacheka kuna wazo lolote linaingia hakuna, na ukenda (Deep)kwenye kucheka utaona lazima yatoke machozi, kwa hiyo jua furaha na msiba viko pamoja na hivyo hivyo elewa kwenda (deep) kwenye Sala na kuepushwa na Maasi pia viko pamoja ila tafauti yako hujenda (Deep).
Endelea part 2
Nimeona kuna sababu ya kuleta darsa hii baada ya kushuhudia hasara inayopatikana juu yetu katika kusali halafu ikawa huipati sala yenyewe, Na inachangia pia Mtu kutokujua maana nzima ya hiyo Sala.
Sasa wacha tuanze kwa kujua japo kwa ufupi Nini Sala?, Sala ni(Maombi)ya Mapenzi ya Utiifu yanotokea Rohoni, Ni kwa ajili ya Shukurani ya kujua umeumbwa na mpaka wakati huo unasimamisha sala unathibitisha kwa yakini kuwa upo uwezo wa hali ya juu ambao hauna shaka ulokufanya na kukupa wewe na vyengine nafasi ya kuufahamu na Kuabudu, Na sasa kwa unyenyekevu wewe binafsi umesimama kutokana na Uwezo huo usio ufahamu unasema "Allah Akbar", Wewe unakiri na kutaraji alokupa neema hizo zote azidi kukupa radhi zake za kuweza kukufunulia, kukufungulia zaidi milango ya fahamu na kwa mapenzi yake akupe uwezo wa kujua yalio zaidi katika ufalme wake.
Utaona nimetaja kufahamu na kutokufahamu kwa sababu kila ukenda (Deep)kwenye Sala yako mambo mepya yanafunguka, hisia tafauti zinaongezeke.
Hiyo ndio Sala ambayo unatanguliza shukurani kwa baraka na uwezo ulopewa wa kuweza kumfahamu yeye Mollah wako na kumtii, Sasa kwanini lazima uifanyie hifadhi sala yako, kabla ya kwenda mbele itabidi ujue tafauti ya (Kuhifadhi na Kulinda).
Kulinda ni tendo la nje lenye kuhakikisha hupati dhara, huibiwi, kwa ufupi ni tendo la nje, Lakini kuhifadhi maana yake ni kutunza,kua Muangalifu hicho kitu au jambo haliharibiki, kwenye kulinda unakua mtazamaji na kwenye kuhifadhi unakua muangaliji, kwa hiyo hifadhi ina mahusiano na tendo la ndani.
Ndio maana aya ikasema(Quraa-Baqarah-238)
"حَـٰفِظُواْ عَلَى ٱلصَّلَوَٲتِ وَٱلصَّلَوٰةِ ٱلۡوُسۡطَىٰ وَقُومُواْ لِلَّهِ قَـٰنِتِينَ "
Angalieni sana Sala(Zenu)na khasa ile sala ya kati na kati, Na simameni kwa unyenyekevu katika kumuabudu Mwenye enzi Mungu.
Kwanini ikawa Hifadhi na sio Linda? kwa sababu siku hizi umezuka mtindo unaambiwa linda, na mimi napiga kelele ili usiharibikiwe nakwambia hifadhi, unatakiwa Mja ukiipeleka sala yako kwa Mollah wako uwe mnyenyekevu na mapenzi ya hali ya juu, na hilo silioni kwa Waumin wengi, Sala zimeondoka nyoyoni mwetu na kilichobaki na kupatikana ni Sala ya njia ya nje kwenye taratibu za (Viungo), ndio maana unaona akimaliza Sala anatukana, akimaliza sala anafanya mzaha, akimaliza sala anakwenda kuiba, akimaliza sala anafanya zinaa, akimaliza sala anasema uongo, sasa hapo sala ipo wapi? vipi yanaweza kuwa maneno ya Mwenye enzi Mungu hayakamatani na matendo yako, inasema Quraan sura ya (Ankabut aya ya 45)
"ٱتۡلُ مَآ أُوحِىَ إِلَيۡكَ مِنَ ٱلۡكِتَـٰبِ وَأَقِمِ ٱلصَّلَوٰةَۖ إِنَّ ٱلصَّلَوٰةَ تَنۡهَىٰ عَنِ ٱلۡفَحۡشَآءِ وَٱلۡمُنكَرِۗ وَلَذِكۡرُ ٱللَّهِ أَڪۡبَرُۗ وَٱللَّهُ يَعۡلَمُ مَا تَصۡنَعُونَ "
Soma uliyoletewa Wahyi(Uliyofunuliwa)katika kitabu, na usimamishe sala, bila shaka Sala(Ikisaliwa itakiwavyo)humzuiliya (Mtu)mambo machafu na maovu, na kwa yakini Kumkumbuka Mwenye enzi Mungu(Ndani ya hiyo Sala ni jambo)kubwa kabisa, Na Mwenye enzi Mungu anayajua mnayoyatenda.
Aya imeweka wazi hapo mwanzo yasome yale yaloletwa kwenye kitabu, nenda (Deep) kwenye hiyo aya ulochagua kuisoma wakati unasimamisha Sala,(pengine ndani ya hiyo aya utapata maana itakayofungua jambo kwenye Akili yako)lakini wapi unasoma kama kasuku, hutulii ukachambua hicho ukisomacho, unasoma aya kama mazoea huku akili inapanga mambo mengine kabisa, ifanye Sala yako(Iwe mfano kama unavocheka, jiulize wakati unacheka kuna wazo lolote linaingia hakuna, na ukenda (Deep)kwenye kucheka utaona lazima yatoke machozi, kwa hiyo jua furaha na msiba viko pamoja na hivyo hivyo elewa kwenda (deep) kwenye Sala na kuepushwa na Maasi pia viko pamoja ila tafauti yako hujenda (Deep).
Endelea part 2
NJIA YA KUHIFADHI SALA PART 2
Asalaam Aleiykum
Unapata Darsa kama hii ili uzinduke, isifike siku ya maulizo ukashangaa unapewa Daftari lako unalikuta jeupeee, wakati mwenyewe unajijua kipindi hakikupiti. Sasa kama unataka kuijua hiyo sala basi wacha nikwambie Sala ni lile tendo zima lenye kukutanisha wewe na Mollah wako, kwa ajili hiyo haiwezekani mkutano huo ukawa kama vile unavyokutana na rafiki yako(Saboso).
Lazima uwe katika katika hali nyengine yenye matumaini na ilojaa mapenzi, usifanye jambo la Sala kwa njia ya dharau, na vilevile tambua ukiipeleka Sala yako kama ilivosemwa kwenye aya ilotangulia, ikawa ina nidhamu kamili iliyokamilika, basi kuna mambo yanapatikana kama hilo la kuepushwa na Maasi na Machafu, kupata zawadi ya kusamehewa kutoka kwa Mollah wako, Kupata zawadi za Baraka na furaha, Na utaanza kupata ishara za kuipata Sala kwa kuanza kuacha baadhi ya mambo kama, kuimba Taraab, kuangalia TV, baraza za kipuuzi, utaacha mambo mengi, na huko kuacha usije uka (Force)utapata maradhi, kwa sababu huko kuacha kuna njia mbili wacha nizitaje.
Njia ya kwanza ni ile ya (Force)kuacha jambo bado unalitaka, ndio maana utaona watu wengi wanaadhirika, Mfano unatangaza sasa hulewi tena, watoto wakikutania tu kwa ghafla unataka (beer)unaruka ile Bardii, yaani iwe (cold) Unasahau kama umeacha, au umekua Kizee mambo huyawezi. Halafu kuna huku kuwacha kwa aina ya pili nako ni (Natural) umekwenda (Deep) na mara (Prayer's happen to you) ita utakavyo umeombewa dua, siku hizi (Khamsa Salawati)la Muhimu ukenda (Deep)kwenye Sala unakua umefika kwenye (Source).
Kwa hiyo ukirudi kwenye jukwaa la Ulimwengu unakua Mtu mpya, mambo ya zamani yanaondoka, Lakini ukiacha kwa njia ya force mambo bado yanabakia kwenye Akili(Mind), lakini ukiwacha kwa njia ya (Natural)hakuna kinachobakia. Sasa ufanye nini kuitunza Sala yako?, Kuna mambo mengi yenye kukuzuia kwenda (Deep) kwenye sala yako. Sina haja ya kuvitaja vitu vyote hivyo lakini nitakwambia kwa ufupi ili uanze kuchukua tahadhari na kuweza kuitunza Sala yako.
Itabidi uanze mataarisho angalau dakika kumi kabla ya kuanza sala yako, lakini siku hizi tunaweza kufundisha vipi kujiandaa huku nje lakini mambo yanatokea Msikitini sekunde chache kabla ya kuanza Sala yenyewe, "Anasimama" Imam wetu wa leo na kuamrisha wekeni safu sawa na kuhakikisha hamuachi nafasi "Ibilis" kupita, basi muda huo huo akimaliza maneno hayo vitizame visa vinavyotokezea kwa Maamuma huku nyuma.
endelea part 3
Unapata Darsa kama hii ili uzinduke, isifike siku ya maulizo ukashangaa unapewa Daftari lako unalikuta jeupeee, wakati mwenyewe unajijua kipindi hakikupiti. Sasa kama unataka kuijua hiyo sala basi wacha nikwambie Sala ni lile tendo zima lenye kukutanisha wewe na Mollah wako, kwa ajili hiyo haiwezekani mkutano huo ukawa kama vile unavyokutana na rafiki yako(Saboso).
Lazima uwe katika katika hali nyengine yenye matumaini na ilojaa mapenzi, usifanye jambo la Sala kwa njia ya dharau, na vilevile tambua ukiipeleka Sala yako kama ilivosemwa kwenye aya ilotangulia, ikawa ina nidhamu kamili iliyokamilika, basi kuna mambo yanapatikana kama hilo la kuepushwa na Maasi na Machafu, kupata zawadi ya kusamehewa kutoka kwa Mollah wako, Kupata zawadi za Baraka na furaha, Na utaanza kupata ishara za kuipata Sala kwa kuanza kuacha baadhi ya mambo kama, kuimba Taraab, kuangalia TV, baraza za kipuuzi, utaacha mambo mengi, na huko kuacha usije uka (Force)utapata maradhi, kwa sababu huko kuacha kuna njia mbili wacha nizitaje.
Njia ya kwanza ni ile ya (Force)kuacha jambo bado unalitaka, ndio maana utaona watu wengi wanaadhirika, Mfano unatangaza sasa hulewi tena, watoto wakikutania tu kwa ghafla unataka (beer)unaruka ile Bardii, yaani iwe (cold) Unasahau kama umeacha, au umekua Kizee mambo huyawezi. Halafu kuna huku kuwacha kwa aina ya pili nako ni (Natural) umekwenda (Deep) na mara (Prayer's happen to you) ita utakavyo umeombewa dua, siku hizi (Khamsa Salawati)la Muhimu ukenda (Deep)kwenye Sala unakua umefika kwenye (Source).
Kwa hiyo ukirudi kwenye jukwaa la Ulimwengu unakua Mtu mpya, mambo ya zamani yanaondoka, Lakini ukiacha kwa njia ya force mambo bado yanabakia kwenye Akili(Mind), lakini ukiwacha kwa njia ya (Natural)hakuna kinachobakia. Sasa ufanye nini kuitunza Sala yako?, Kuna mambo mengi yenye kukuzuia kwenda (Deep) kwenye sala yako. Sina haja ya kuvitaja vitu vyote hivyo lakini nitakwambia kwa ufupi ili uanze kuchukua tahadhari na kuweza kuitunza Sala yako.
Itabidi uanze mataarisho angalau dakika kumi kabla ya kuanza sala yako, lakini siku hizi tunaweza kufundisha vipi kujiandaa huku nje lakini mambo yanatokea Msikitini sekunde chache kabla ya kuanza Sala yenyewe, "Anasimama" Imam wetu wa leo na kuamrisha wekeni safu sawa na kuhakikisha hamuachi nafasi "Ibilis" kupita, basi muda huo huo akimaliza maneno hayo vitizame visa vinavyotokezea kwa Maamuma huku nyuma.
endelea part 3
NJIA YA KUHIFADHI SALA PART 3
Asalaam Aleiykum
Sala nzima inageuka (Break Dance) utaona Mtu anahangaika lazima vidole vyako na vyake vigusane, akikukosa vidole analifata goti, akikosa goti anayumba kwenye Bega lazima akuguse, nyote wawili mnakua hamna sala ila mnakazi ya kukimbiana na "Ibilis" kakaa nyuma hana haja hata ya kupita anakuchekeni kwa mambo ya kipuuzi.
Sasa nini umeamrishwa ufanye ukiingia ndani ya hiyo Sala(Kumbuka mwanzo imetajwa uhifadhi) Na sasa aya iliyomo kwenye sura ya (Muuminoon aya 2)inasema
"ٱلَّذِينَ هُمۡ فِى صَلَاتِہِمۡ خَـٰشِعُونَ"
Ambao katika Sala zao huwa ni wanyenyekevu.
Unyenyekevu ulotajwa hapo ni ule wa mazingira ya sala yako, inatakiwa katika muda wote wakati umo katika hiyo Sala matendo yako yote yadumu ndani katika hiyo Sala, Bila ya kuwachia wazo lolote kuingia na kukutoa katika hali hiyo ya Sala yako, Ukiwa kwenye Kisimamo, kwenye Rukuu au Sijda uwe unamkumbuka Mollah wako kwa Tasbih zote.
Kwanini ujizoeshe hali hiyo kwa sababu ukichunguza utaona kila kitu kinakuja wakati wa kuanza sala,kwa sababu wakati ule unapata utulivu,na huo ndio wenye kutakiwa ukikurubia kwa Mollah wako, sasa cha kufanya kwanza ni kuizoesha hiyo (mind) au Akili izoee hali ya kumsabahi Mollah wako, usivunjike moyo mwanzoni itashindikana, huwezi kuishinda akili mara moja, na wala usibishane nayo kwa sababu ukifanya hivyo kushindana na Akili ndio utakaribisha magazeti kwenye Sala yako, vyama vya siasa vitakuja hapo, lakini ukifanya kwa taratibu zake za kuizoesha Akili Tasbih za kumkumbuka na kumtaja Mollah wako utaanza kuona kichwani hakuji tena mambo machafu, hukumbuki biashara wala madeni, hapo tena utakuwa tayari kuleta unyenyekevu na utulivu ndani ya Sala yako, Utaona Mwenyewe Kisimamo chako kimeanza kuwa kirefu, Rukuu zako na Sijda zako zinakua ndefu zenye utulivu, Na ukiipata hali hiyo ndio unakua ushaanza kwenda (Deep) na ukenda (Deep) kuna mambo mengi yanatokezea ndani ya hiyo Sala.
Kumbuka Sala ni Maombi, siku utakayoipata sala yako vema utanyamaza kimya, Na siku hiyo ndio utaacha kupeleka maombi yako ya Biashara, sijui ushinde kesi, mwanao apate visa, afanye uzuri mtihani wake, kazini upande cheo,Jirani aharibikiwe, vyote hivyo vitasimama kwa sababu siku hiyo utanyamaza kimya kwa kuwa umegundua kile ambacho Akili (Mind)yako ikiongea, hicho kitu kinanyamaza, Wewe ukinyamaza hicho kitu kinaongea, kuanzia hapo kila ukiingia kwenye sala na kutoka utakua ukisema "kile nilokipoteza miaka yote nimekiona ndani ya Sala", sasa sitaki maasi, sasa sitaki machafu ila nasadikisha Mollah wangu pekee ndie anostahiki kuabudiwa, na kuanzia hapo utaanza kuhifadhi kila kipindi cha Sala zako.
Sala nzima inageuka (Break Dance) utaona Mtu anahangaika lazima vidole vyako na vyake vigusane, akikukosa vidole analifata goti, akikosa goti anayumba kwenye Bega lazima akuguse, nyote wawili mnakua hamna sala ila mnakazi ya kukimbiana na "Ibilis" kakaa nyuma hana haja hata ya kupita anakuchekeni kwa mambo ya kipuuzi.
Sasa nini umeamrishwa ufanye ukiingia ndani ya hiyo Sala(Kumbuka mwanzo imetajwa uhifadhi) Na sasa aya iliyomo kwenye sura ya (Muuminoon aya 2)inasema
"ٱلَّذِينَ هُمۡ فِى صَلَاتِہِمۡ خَـٰشِعُونَ"
Ambao katika Sala zao huwa ni wanyenyekevu.
Unyenyekevu ulotajwa hapo ni ule wa mazingira ya sala yako, inatakiwa katika muda wote wakati umo katika hiyo Sala matendo yako yote yadumu ndani katika hiyo Sala, Bila ya kuwachia wazo lolote kuingia na kukutoa katika hali hiyo ya Sala yako, Ukiwa kwenye Kisimamo, kwenye Rukuu au Sijda uwe unamkumbuka Mollah wako kwa Tasbih zote.
Kwanini ujizoeshe hali hiyo kwa sababu ukichunguza utaona kila kitu kinakuja wakati wa kuanza sala,kwa sababu wakati ule unapata utulivu,na huo ndio wenye kutakiwa ukikurubia kwa Mollah wako, sasa cha kufanya kwanza ni kuizoesha hiyo (mind) au Akili izoee hali ya kumsabahi Mollah wako, usivunjike moyo mwanzoni itashindikana, huwezi kuishinda akili mara moja, na wala usibishane nayo kwa sababu ukifanya hivyo kushindana na Akili ndio utakaribisha magazeti kwenye Sala yako, vyama vya siasa vitakuja hapo, lakini ukifanya kwa taratibu zake za kuizoesha Akili Tasbih za kumkumbuka na kumtaja Mollah wako utaanza kuona kichwani hakuji tena mambo machafu, hukumbuki biashara wala madeni, hapo tena utakuwa tayari kuleta unyenyekevu na utulivu ndani ya Sala yako, Utaona Mwenyewe Kisimamo chako kimeanza kuwa kirefu, Rukuu zako na Sijda zako zinakua ndefu zenye utulivu, Na ukiipata hali hiyo ndio unakua ushaanza kwenda (Deep) na ukenda (Deep) kuna mambo mengi yanatokezea ndani ya hiyo Sala.
Kumbuka Sala ni Maombi, siku utakayoipata sala yako vema utanyamaza kimya, Na siku hiyo ndio utaacha kupeleka maombi yako ya Biashara, sijui ushinde kesi, mwanao apate visa, afanye uzuri mtihani wake, kazini upande cheo,Jirani aharibikiwe, vyote hivyo vitasimama kwa sababu siku hiyo utanyamaza kimya kwa kuwa umegundua kile ambacho Akili (Mind)yako ikiongea, hicho kitu kinanyamaza, Wewe ukinyamaza hicho kitu kinaongea, kuanzia hapo kila ukiingia kwenye sala na kutoka utakua ukisema "kile nilokipoteza miaka yote nimekiona ndani ya Sala", sasa sitaki maasi, sasa sitaki machafu ila nasadikisha Mollah wangu pekee ndie anostahiki kuabudiwa, na kuanzia hapo utaanza kuhifadhi kila kipindi cha Sala zako.
Sunday, October 4, 2015
MATIBABU YA ROHO PART 1
Asalaam Aleiykum
Naanza Darsa yangu ya leo kwa maneno yalotamkwa na (Professor)mmoja kwenye (University)nilohudhuria sherehe za kuhitimu (Graduation)Mahafali ya Mwanangu hivi karibuni,"Professor" huyo alisema hivi "Na nukuu""Tumefanya uchunguzi na sasa tumegundua kuwa Ukisoma au Ukipata Elimu kuna mambo kadhaa unaepukana nayo, akayataja baadhi ya mambo hayo na kusema, "Unaepukana na mambo ya ukhalifu(Criminal activity)akataja jengine na kusema unaepusha mzigo kwa serekali ya kukutibu, akimaanisha unajiepusha na maradhi,(Unaishi vizuri)katika kuchunga Afya yako, kutokana na hilo jambo la elimu pia unakua na Maisha bora katika uhai wako.
Mimi Nakubaliana na (Professor) huyo katika suala la Mtu kukusanya (Information), unakua unajua na unafahamu kuwa ukivuta sigara utakufa na Cancer, kwa hiyo unaacha kuvuta, lakini tukumbuke maneno haya ya (Elimu)au kujua yalitamkwa ndani ya (Quraan)miaka kama 1400 ilopita kwenye sura ya (Az-Zumar-39.9)
قُلْ هَلْ يَسْتَوِي الَّذِينَ يَعْلَمُونَ وَالَّذِينَ لَا يَعْلَمُونَ
Sasa cha kushangaza zaidi kwanini wenye kujua ndio wanateseka?,Nini kinawaponza?,Mbona imekua tafauti inaonekana wasojua ndio wanastarehe, wasojua hawana wasiwasi wanafurahia maisha haya kama vinyama vinavyofurahi. Sasa kwetu sisi kimezidi nini mpaka hatuna furaha, Majumbani hakuna mapenzi, kila mtu kachoka anaona bora aende barazani, au aende (disco)kuliko kukaa ndani, ana khofu mara mwenzie atamparura, basi ikiwa imefikia hali hiyo lazima kuna mambo ambayo yanasababisha hali hiyo.
Sasa Ingia kwenye Darsa hii ya (matibabu ya Roho)ili upate kumeza kidonge chako na kupata nafuu ya maradhi hayo, Kumbuka vizuri hakuna chenye kuigusa Roho yako, lakini hiyo Roho imeponzwa na jambo moja tu nalo hiyo uwezo wa kujua, nikiwa na maana wewe Mwenye kusoma sasa hivi, ndio Mwenye na hiyo Asili ya kujua ambayo hatimaye unaweka hizo (Information)katika kumbukumbu ya Akili yako. Japokua yenye kushikwa na maradhi ni Mwili(Body)na Akili(Mind)Lakini huwezi kuvitibu viwili hivyo mpaka kwanza uifanyie marekebisho ya matibabu Roho yako, ndio Maana Mwenye enzi Mungu akasema kutumia (Jumla)katika sura ya (Anfal aya ya 53)
ذَٲلِكَ بِأَنَّ ٱللَّهَ لَمۡ يَكُ مُغَيِّرً۬ا نِّعۡمَةً أَنۡعَمَهَا عَلَىٰ قَوۡمٍ حَتَّىٰ يُغَيِّرُواْ مَا بِأَنفُسِہِمۡۙ وَأَنَّ ٱللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٌ۬
Hayo (yakuawafikia hizo Balaa za kukosa Raha) ni kwa sababu Mwenye enzi Mungu habadilishi kabisa neema alizo waneemesha watu, hata(mpaka)wabadilishe wao yaliyomo nyoni mwao, hakika Mwenye enzi Mungu ni Mwenye kusikia na Mwenye Kulijua kila jambo.
Kwa hiyo Nyoyoni kwenye hiyo Roho kuna Maradhi na hiyo ndio kazi ninayo ifanya ili na wewe urejeshe na kurejeshewa Furaha yako. Lakini kwanza lazima ujijue unaumwa Nini?
Endelea Part 2
Naanza Darsa yangu ya leo kwa maneno yalotamkwa na (Professor)mmoja kwenye (University)nilohudhuria sherehe za kuhitimu (Graduation)Mahafali ya Mwanangu hivi karibuni,"Professor" huyo alisema hivi "Na nukuu""Tumefanya uchunguzi na sasa tumegundua kuwa Ukisoma au Ukipata Elimu kuna mambo kadhaa unaepukana nayo, akayataja baadhi ya mambo hayo na kusema, "Unaepukana na mambo ya ukhalifu(Criminal activity)akataja jengine na kusema unaepusha mzigo kwa serekali ya kukutibu, akimaanisha unajiepusha na maradhi,(Unaishi vizuri)katika kuchunga Afya yako, kutokana na hilo jambo la elimu pia unakua na Maisha bora katika uhai wako.
Mimi Nakubaliana na (Professor) huyo katika suala la Mtu kukusanya (Information), unakua unajua na unafahamu kuwa ukivuta sigara utakufa na Cancer, kwa hiyo unaacha kuvuta, lakini tukumbuke maneno haya ya (Elimu)au kujua yalitamkwa ndani ya (Quraan)miaka kama 1400 ilopita kwenye sura ya (Az-Zumar-39.9)
قُلْ هَلْ يَسْتَوِي الَّذِينَ يَعْلَمُونَ وَالَّذِينَ لَا يَعْلَمُونَ
Sasa cha kushangaza zaidi kwanini wenye kujua ndio wanateseka?,Nini kinawaponza?,Mbona imekua tafauti inaonekana wasojua ndio wanastarehe, wasojua hawana wasiwasi wanafurahia maisha haya kama vinyama vinavyofurahi. Sasa kwetu sisi kimezidi nini mpaka hatuna furaha, Majumbani hakuna mapenzi, kila mtu kachoka anaona bora aende barazani, au aende (disco)kuliko kukaa ndani, ana khofu mara mwenzie atamparura, basi ikiwa imefikia hali hiyo lazima kuna mambo ambayo yanasababisha hali hiyo.
Sasa Ingia kwenye Darsa hii ya (matibabu ya Roho)ili upate kumeza kidonge chako na kupata nafuu ya maradhi hayo, Kumbuka vizuri hakuna chenye kuigusa Roho yako, lakini hiyo Roho imeponzwa na jambo moja tu nalo hiyo uwezo wa kujua, nikiwa na maana wewe Mwenye kusoma sasa hivi, ndio Mwenye na hiyo Asili ya kujua ambayo hatimaye unaweka hizo (Information)katika kumbukumbu ya Akili yako. Japokua yenye kushikwa na maradhi ni Mwili(Body)na Akili(Mind)Lakini huwezi kuvitibu viwili hivyo mpaka kwanza uifanyie marekebisho ya matibabu Roho yako, ndio Maana Mwenye enzi Mungu akasema kutumia (Jumla)katika sura ya (Anfal aya ya 53)
ذَٲلِكَ بِأَنَّ ٱللَّهَ لَمۡ يَكُ مُغَيِّرً۬ا نِّعۡمَةً أَنۡعَمَهَا عَلَىٰ قَوۡمٍ حَتَّىٰ يُغَيِّرُواْ مَا بِأَنفُسِہِمۡۙ وَأَنَّ ٱللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٌ۬
Hayo (yakuawafikia hizo Balaa za kukosa Raha) ni kwa sababu Mwenye enzi Mungu habadilishi kabisa neema alizo waneemesha watu, hata(mpaka)wabadilishe wao yaliyomo nyoni mwao, hakika Mwenye enzi Mungu ni Mwenye kusikia na Mwenye Kulijua kila jambo.
Kwa hiyo Nyoyoni kwenye hiyo Roho kuna Maradhi na hiyo ndio kazi ninayo ifanya ili na wewe urejeshe na kurejeshewa Furaha yako. Lakini kwanza lazima ujijue unaumwa Nini?
Endelea Part 2
MATIBABU YA ROHO PART 2
Asalaam Aleiykum
Ugonjwa ulo nao ni hatari, na kama haujatibiwa basi mpaka utaondoka kwenye Dunia hii utakua unaumwa na Ugonjwa wa (usununu)hali yakua huna Furaha, Sasa Magonjwa gani ya Roho yanotusumbua? huwa nashangaa sana nikipata mashtaka au malalamiko ya Watu wengi husikii kabisa kutajwa Maradhi yanomsumbua Mtu bali hutajwa sababu nyengine, kama Mume wangu hanisaidii chochote, au Mke wangu kawa kisirani hatizami watoto ipasavyo, au Watoto wamekua (Manunda)wajeuri ndani ya nyumba, sina masikilizano na Mke wangu, au siku hizi sina furaha kabisa kwa kila nitendacho, au bure namchukia fulani, nasikia kero tu kwenye maisha yangu na ndani ya nafsi yangu, au jambo dogo tu nahamaki,Nikisikia Asalaam Aleiykum Bwana nasikia nimeitwa Mtwana naanzisha ugonvi.
Kwa Muono wangu takriban Maisha yako yote yamekua ya Chuki,Visasi, Ghadhabu, Pengine unakerwa kazini ukirudi nyumbani mtoto kamwaga maji unampiga kama vile unaua nyoka, nini kimetokezea Majumbani kwa ujumla na hata kwa kila mmoja wetu.Jee tuseme hiyo Rehma na Baraka imeondoka kile kipindi cha (Honey Moon)ilipokwisha?halafu cha ubaya zaidi Mtu akisha choka huku nje anakusanya mambo yake yote halafu anaigeukia Dini, hapo inapatikana hatari kubwa, bora ageukie mambo mengine kuliko kuvaa joho la dini, hupati isipokua chuki tupu, unamuona hana furaha kwa sababu kachanganya (Madawa).Utaona anaanza kufukuza mpaka wale wanaotaka kujisalimisha kwa Mollah wako. kwanini ikawa hivyo? kwa sababu Dini yake, Matendo yake yanakua ya Maradhi matupu tuko nao na tunawaona wanavyoteseka ,kwa kuwa hawajapata dawa ya kuitibu Roho yake.
Sasa ukitaka matibabu ufanye nini?, hapa kuna uchaguzi wa aina mbili, Ima uendelee na Maradhi ya Roho, au utafute Dawa, ambayo wengi wanakwenda kwa (Doctor)atibiwe maradhi ya Roho, (Doctor)au Mganga wa kienyeji hatibu maradhi ya Roho, wao wanasaidia kukupa nafuu ya Mwili(body) na Akili(Mind)anafanya nini?anakupa matibabu ya aina tatu, anakupa Vidonge, anakupeleka kwa (Therapist) au (Counselling)sikatai vitu hivyo vinasaidia kuleta Nafuu kwenye (Body) na (Mind) lakini hakuna manufaa kwenye Ulimwengu wa Roho, Katika kuhangaika huko kidogo wamegundua kwa mbali kuwa kuna kitu nje ya viwili hivyo ambacho hakipo kwenye uwezo wao ambacho kama utakifanyia (therapy au counselling) unaweza kupata nafuu, ndio unaona watu wengi wanaishi kwenye nafuu tu, kwa wale wenye kupata angalau hayo matibabu ya kisayansi, Wengi wanataka kupona lakini masikini hawaijui dawa, hawajui wafanye nini.
Leo unapewa muelekeo wa hiyo Dawa ili maradhi yako yapone, ili na wewe uweze kuishi Furahani.
Endelea part 3
Ugonjwa ulo nao ni hatari, na kama haujatibiwa basi mpaka utaondoka kwenye Dunia hii utakua unaumwa na Ugonjwa wa (usununu)hali yakua huna Furaha, Sasa Magonjwa gani ya Roho yanotusumbua? huwa nashangaa sana nikipata mashtaka au malalamiko ya Watu wengi husikii kabisa kutajwa Maradhi yanomsumbua Mtu bali hutajwa sababu nyengine, kama Mume wangu hanisaidii chochote, au Mke wangu kawa kisirani hatizami watoto ipasavyo, au Watoto wamekua (Manunda)wajeuri ndani ya nyumba, sina masikilizano na Mke wangu, au siku hizi sina furaha kabisa kwa kila nitendacho, au bure namchukia fulani, nasikia kero tu kwenye maisha yangu na ndani ya nafsi yangu, au jambo dogo tu nahamaki,Nikisikia Asalaam Aleiykum Bwana nasikia nimeitwa Mtwana naanzisha ugonvi.
Kwa Muono wangu takriban Maisha yako yote yamekua ya Chuki,Visasi, Ghadhabu, Pengine unakerwa kazini ukirudi nyumbani mtoto kamwaga maji unampiga kama vile unaua nyoka, nini kimetokezea Majumbani kwa ujumla na hata kwa kila mmoja wetu.Jee tuseme hiyo Rehma na Baraka imeondoka kile kipindi cha (Honey Moon)ilipokwisha?halafu cha ubaya zaidi Mtu akisha choka huku nje anakusanya mambo yake yote halafu anaigeukia Dini, hapo inapatikana hatari kubwa, bora ageukie mambo mengine kuliko kuvaa joho la dini, hupati isipokua chuki tupu, unamuona hana furaha kwa sababu kachanganya (Madawa).Utaona anaanza kufukuza mpaka wale wanaotaka kujisalimisha kwa Mollah wako. kwanini ikawa hivyo? kwa sababu Dini yake, Matendo yake yanakua ya Maradhi matupu tuko nao na tunawaona wanavyoteseka ,kwa kuwa hawajapata dawa ya kuitibu Roho yake.
Sasa ukitaka matibabu ufanye nini?, hapa kuna uchaguzi wa aina mbili, Ima uendelee na Maradhi ya Roho, au utafute Dawa, ambayo wengi wanakwenda kwa (Doctor)atibiwe maradhi ya Roho, (Doctor)au Mganga wa kienyeji hatibu maradhi ya Roho, wao wanasaidia kukupa nafuu ya Mwili(body) na Akili(Mind)anafanya nini?anakupa matibabu ya aina tatu, anakupa Vidonge, anakupeleka kwa (Therapist) au (Counselling)sikatai vitu hivyo vinasaidia kuleta Nafuu kwenye (Body) na (Mind) lakini hakuna manufaa kwenye Ulimwengu wa Roho, Katika kuhangaika huko kidogo wamegundua kwa mbali kuwa kuna kitu nje ya viwili hivyo ambacho hakipo kwenye uwezo wao ambacho kama utakifanyia (therapy au counselling) unaweza kupata nafuu, ndio unaona watu wengi wanaishi kwenye nafuu tu, kwa wale wenye kupata angalau hayo matibabu ya kisayansi, Wengi wanataka kupona lakini masikini hawaijui dawa, hawajui wafanye nini.
Leo unapewa muelekeo wa hiyo Dawa ili maradhi yako yapone, ili na wewe uweze kuishi Furahani.
Endelea part 3
MATIBABU YA ROHO PART 3
Asalaam Aleiykum
Sasa ukitaka hiyo Dawa lazima ukijue hichi cha Nne ambacho si (Madoctor)wala(Waganga)wenye kukijua, hukipati kitu hicho ambacho ndio dawa yenyewe kwa kutoa Rushwa wala kujidai kwa cheo chako ulo nacho, Dawa hii au kitu hicho anatoa Mwenyewe alokupa hiyo (Roho), Akikupa dawa hii wewe unakua Furahani, sasa dawa gani hii yenye kutakiwa na kila mtu.
Dawa hii hapewi ila Mtu ila wachache wenye kutimiza masharti yake, ita Dawa hii au kitu hichi upendavyo, Kiite (Taqwa) au Mapenzi, kiite Utiifu au Ucha Mungu lakini Muhimu ukipate kama alivosema Mwenye enzi Mungu wakati anazungumza au kumpelekea (Wahyi) Nabii Musa a.s kwa kumwambia(Mwisho wa aya ya 39)" ۥۚ وَأَلۡقَيۡتُ عَلَيۡكَ مَحَبَّةً۬ مِّنِّى وَلِتُصۡنَعَ عَلَىٰ عَيۡنِىٓ (٣"
Na Nimekutia Mapenzi yanotokana na Mimi, Na ili ulelewe machoni mwangu(Katika uangalizi wangu )
Hapo kumetajwa mambo makubwa yanataka siku nzima kuchambuliwa ila kwa haraka nakufahamisha hivi, huna furaha katika Dunia hii isipokua uteremkiwe na mapenzi ya Mwenye enzi Mungu, na yakisha teremka ndio unaweza (Kushare)na wenzio kama alivofanya Nabii Musa a.s baada ya kuwaona watu wake wanateseka ndio yakamunigia mapenzi ya kuwavua kutoka kwenye mateso hayo.
Tunaendelea na sisi kutafuta hali kama hiyo ya mapenzi na Furaha, kukitafuta hicho cha nne, huwezi kukipata lazima urejee au niite (repentance)uondokane na tabia ya uasi wowote ule ulo nao, pengine umeacha tu lakini (Inward)kwenye nafsi yako hujabadilika, kwa hiyo kama unaendelea na jeuri na (punishment)adhabu inaendelea unafanywa uwe huna furaha kwa kila ambacho hujakitakia msamaha au kutubu kama mnavyoita, au kusamehe na kusamehewa.
Sasa ufanye nini kuyapata hayo Mapenzi? kuna Masharti yake lazima yatimizwe ndio uwe unaishi kwenye Furaha, kumbuka mapenzi ndio yalobeba hiyo Furaha, kwa hiyo lazima uyapate mapezi ndio uwe furahani kama dunia hii ilivozungukwa na mapenzi matupu ikiwa utafungua macho yako na kuona hilo. Sasa ikiwa hivyo lazima ujiulize mbona wewe unaishi na maradhi? ya Chuki,Hamaki,Hasira,Wivu,na Choyo na mengineyo, daima huko Furahani.
Inatakiwa jambo la mwanzo ulitizame kwenye Ulimwengu huu kila kitu kwenye Ulimwengu huu kimeumbwa kwa Mapenzi ya Mwenye enzi Mungu kuanzia kuumbwa kwako na kila kilichomo, sasa nini kosa lako, Kosa lako wewe umetoka kwenye njia ilonyooka kutokana na mambo mengi sio ya haki na sheria uliyoyafanya ili kuipata hiyo Furaha na mapenzi ndio unatakiwa urejee au urudi ujisafishe. Na hapo ndio unakutana na tafsiri yangu ya neno (Love), maana yake kutokana na mimi ni hii.
(Look Over and View your Emptiness).
Na hiyo pia ndio maana ya yale maneno (Yafanyie wepesi Mizigo yako).
Endelea part 4
Sasa ukitaka hiyo Dawa lazima ukijue hichi cha Nne ambacho si (Madoctor)wala(Waganga)wenye kukijua, hukipati kitu hicho ambacho ndio dawa yenyewe kwa kutoa Rushwa wala kujidai kwa cheo chako ulo nacho, Dawa hii au kitu hicho anatoa Mwenyewe alokupa hiyo (Roho), Akikupa dawa hii wewe unakua Furahani, sasa dawa gani hii yenye kutakiwa na kila mtu.
Dawa hii hapewi ila Mtu ila wachache wenye kutimiza masharti yake, ita Dawa hii au kitu hichi upendavyo, Kiite (Taqwa) au Mapenzi, kiite Utiifu au Ucha Mungu lakini Muhimu ukipate kama alivosema Mwenye enzi Mungu wakati anazungumza au kumpelekea (Wahyi) Nabii Musa a.s kwa kumwambia(Mwisho wa aya ya 39)" ۥۚ وَأَلۡقَيۡتُ عَلَيۡكَ مَحَبَّةً۬ مِّنِّى وَلِتُصۡنَعَ عَلَىٰ عَيۡنِىٓ (٣"
Na Nimekutia Mapenzi yanotokana na Mimi, Na ili ulelewe machoni mwangu(Katika uangalizi wangu )
Hapo kumetajwa mambo makubwa yanataka siku nzima kuchambuliwa ila kwa haraka nakufahamisha hivi, huna furaha katika Dunia hii isipokua uteremkiwe na mapenzi ya Mwenye enzi Mungu, na yakisha teremka ndio unaweza (Kushare)na wenzio kama alivofanya Nabii Musa a.s baada ya kuwaona watu wake wanateseka ndio yakamunigia mapenzi ya kuwavua kutoka kwenye mateso hayo.
Tunaendelea na sisi kutafuta hali kama hiyo ya mapenzi na Furaha, kukitafuta hicho cha nne, huwezi kukipata lazima urejee au niite (repentance)uondokane na tabia ya uasi wowote ule ulo nao, pengine umeacha tu lakini (Inward)kwenye nafsi yako hujabadilika, kwa hiyo kama unaendelea na jeuri na (punishment)adhabu inaendelea unafanywa uwe huna furaha kwa kila ambacho hujakitakia msamaha au kutubu kama mnavyoita, au kusamehe na kusamehewa.
Sasa ufanye nini kuyapata hayo Mapenzi? kuna Masharti yake lazima yatimizwe ndio uwe unaishi kwenye Furaha, kumbuka mapenzi ndio yalobeba hiyo Furaha, kwa hiyo lazima uyapate mapezi ndio uwe furahani kama dunia hii ilivozungukwa na mapenzi matupu ikiwa utafungua macho yako na kuona hilo. Sasa ikiwa hivyo lazima ujiulize mbona wewe unaishi na maradhi? ya Chuki,Hamaki,Hasira,Wivu,na Choyo na mengineyo, daima huko Furahani.
Inatakiwa jambo la mwanzo ulitizame kwenye Ulimwengu huu kila kitu kwenye Ulimwengu huu kimeumbwa kwa Mapenzi ya Mwenye enzi Mungu kuanzia kuumbwa kwako na kila kilichomo, sasa nini kosa lako, Kosa lako wewe umetoka kwenye njia ilonyooka kutokana na mambo mengi sio ya haki na sheria uliyoyafanya ili kuipata hiyo Furaha na mapenzi ndio unatakiwa urejee au urudi ujisafishe. Na hapo ndio unakutana na tafsiri yangu ya neno (Love), maana yake kutokana na mimi ni hii.
(Look Over and View your Emptiness).
Na hiyo pia ndio maana ya yale maneno (Yafanyie wepesi Mizigo yako).
Endelea part 4
MATIBABU YA ROHO PART 4
Asalaam Aleiykum
Binaadamu hapo ulipo una mizigo mingi, dawa haiwezi kufanya kazi kirahisi mpaka uipunguze ili uwache nafasi (empty)mapenzi yaje kukaa sio kupita kwenye moyo wako, Utafanyaje?.Cha kwanza kukumbuka wewe ni (Kinyama)Niseseme hivyo ukaona natukana, ikisema (Biology)ndio inafundisha, Kumbuka sote ni Vinyama, tafauti yetu sisi tumepewa mitihani, na makosa au kutofaulu katika Mtihani huo ndio kuna kunyima mapenzi na furaha.
Sasa ikiwa umewakosea Viumbe wenzio basi jambo la mwanzo kulifanya kaombe msamaha kwa kila ulomkosea unayemkumbuka , kumbuka mwanzoni mwa Darsa tumezungumzia jambo la (Kujua) kwa hiyo ukenda kwa Mtu kwa moyo mkunjufu, ikawa (sincere and humble)bila ya jeuri, ukakiri kwa kujua kosa lako na yeye alokukosea akajua kwa njia ya haki kweli umekuja kuomba msamaha hapo inakua kazi imemalizika, mzigo umeshatua,(Kujua inageuka kujulikana)na tatizo hilo linamalizika nafasi inakua(Empty).
Ikifikia hali kama hiyo basi jua kama atakusamehe sawa na kama hajakusamehe huo unakua ugonjwa wa Roho yake, Ikisha geuka nyumbani kwako kwa Mkeo au Mumeo huko ndiko kwenye shina la matatizo yote ya kukunyima Raha, fanya siku maalum ugeuke Babu jinga umuweke kitako Mwenzio umuombe Samahani, mwambie macho yameniponza lakini kuanzia leo sitizami nje ntakua naangalia ndani, nilikua nakupuuza wewe (soul mate)wangu kwa hilo nisamehe, Mpaka watoto waombe samahani usipande Kiburi ndicho chenye kukuzuia usiyapate mapenzi na Furaha ya Roho, anza kutumia wakati wako na Mkeo, Wanao, cheza na familia yako, msaidie watoto na kazi za nyumbani, usione aibu ukiambiwa kupiga deki piga, fanya chai mfanyie chai,zoa taka zizoe, Wallahi ukiwa unafanya kwa Ridhaa yako kidogo kidogo kuna mambo yataanza kukushukia moyoni mwako utashangaa yanatokea wapi, ifanye siri yako, ukibubujikwa na machozi usijizuie yaache yatoke.
Basi zidisha furaha na watoto wako, usiwafanye wakuogope, kuwa nao karibu, wafanye marafiki zako, kidogo kidogo utaanza kuona unapona Furaha inarudi kwenye Roho yako, alama za kukunja uso zinapotea, utaanza kujua nini maana ya Samahani, Samahani haina maana yoyote huku nje, lakini ndani ina thamani kubwa, Samahani ndio hiyo (Emptiness)nini kinyume cha (Emptiness)ni hiyo (Fullyness)Samahani imejaa mapenzi ndani mwake, kwani hujawahi kusamehewa ukajiona unakuwaje?.
Mwalimu akikusamehe au mzazi unahisi nini?, Jee Mtu akikusamehe Deni unakua katika hali gani, sasa ikiwa Mwanaadamu mwenzio anakupa furaha ya dharura kama hiyo nini habari yetu sisi unaposamehewa na Mollah wako?.
Mollah ambaye amewapa mapenzi yake wanomuasi kuliko wewe, anawapa majambazi na wahalifu, anawapa wauaji na wanaodhulumu, hali gani inakua inakua kama wewe utakaa msikitini au nyumbani kwako chumbani ikawa unakumbuka Dhanmbi moja baada ya nyengine na kila ukikumbuka basi unasali Rakaa mbili za Sala ya Toba, usifanye uvivu kabisa, na kila ukisimama Utamuomba Mollah wako kama hivi "Ewe Rabbi Mollah wangu hakika mimi kwa yakini nimefeli Mtihani wako, Na najua kwa yakini nimefanyaa jinsi kadhaa wa kadhaa, basi kwa dhati ya uwezo wako uloniumbia mimi nakuomba Mollah wangu unisamehe", utaomba hivyo ndani ya kila sijda.
Baada ya kufanya hayo kwa kadir ya uwezo wako wa kukumbuka makosa yako, na ikiwa maombi yako ilikua ya Ikhlas basi baada ya siku chache au hata zisifike utajikuta umerejea kwenye(Emptiness)kama (Mtoto)huna mzigo, na hapo tena ndipo utajua (Kilichofanyika kimefanyika)huwezi ku-(reverse)na ukijua hivyo muda huo huo ushapata matibabu(Depression)zinaondoka kwenye Roho.Furaha inaanza kukuteremkia na furaha ikiteremka wakati wowote mapenzi yanaweza kukushukia, unachotakiwa hivi sasa usubiri kwa kusali, Usubiri kwa kuwakumbatia na kuwasaidia mayatima,usubiri kwa kuwalisha masikini, na ghafla utajikuta umejaa mapenzi na huo ndio Ucha Mungu, na huyo ndio Mja Mwema, na hayo ndio matibabu ya Roho ambayo ukiyapata utakua na furaha mpaka siku yako ya kuondoka kwenye Ulimwengu huu.
Tunamuomba Mollah wetu atujaalie tuyapate mapenzi na Furaha zitokazo kwake na zidumu kwenye Roho zetu.
Binaadamu hapo ulipo una mizigo mingi, dawa haiwezi kufanya kazi kirahisi mpaka uipunguze ili uwache nafasi (empty)mapenzi yaje kukaa sio kupita kwenye moyo wako, Utafanyaje?.Cha kwanza kukumbuka wewe ni (Kinyama)Niseseme hivyo ukaona natukana, ikisema (Biology)ndio inafundisha, Kumbuka sote ni Vinyama, tafauti yetu sisi tumepewa mitihani, na makosa au kutofaulu katika Mtihani huo ndio kuna kunyima mapenzi na furaha.
Sasa ikiwa umewakosea Viumbe wenzio basi jambo la mwanzo kulifanya kaombe msamaha kwa kila ulomkosea unayemkumbuka , kumbuka mwanzoni mwa Darsa tumezungumzia jambo la (Kujua) kwa hiyo ukenda kwa Mtu kwa moyo mkunjufu, ikawa (sincere and humble)bila ya jeuri, ukakiri kwa kujua kosa lako na yeye alokukosea akajua kwa njia ya haki kweli umekuja kuomba msamaha hapo inakua kazi imemalizika, mzigo umeshatua,(Kujua inageuka kujulikana)na tatizo hilo linamalizika nafasi inakua(Empty).
Ikifikia hali kama hiyo basi jua kama atakusamehe sawa na kama hajakusamehe huo unakua ugonjwa wa Roho yake, Ikisha geuka nyumbani kwako kwa Mkeo au Mumeo huko ndiko kwenye shina la matatizo yote ya kukunyima Raha, fanya siku maalum ugeuke Babu jinga umuweke kitako Mwenzio umuombe Samahani, mwambie macho yameniponza lakini kuanzia leo sitizami nje ntakua naangalia ndani, nilikua nakupuuza wewe (soul mate)wangu kwa hilo nisamehe, Mpaka watoto waombe samahani usipande Kiburi ndicho chenye kukuzuia usiyapate mapenzi na Furaha ya Roho, anza kutumia wakati wako na Mkeo, Wanao, cheza na familia yako, msaidie watoto na kazi za nyumbani, usione aibu ukiambiwa kupiga deki piga, fanya chai mfanyie chai,zoa taka zizoe, Wallahi ukiwa unafanya kwa Ridhaa yako kidogo kidogo kuna mambo yataanza kukushukia moyoni mwako utashangaa yanatokea wapi, ifanye siri yako, ukibubujikwa na machozi usijizuie yaache yatoke.
Basi zidisha furaha na watoto wako, usiwafanye wakuogope, kuwa nao karibu, wafanye marafiki zako, kidogo kidogo utaanza kuona unapona Furaha inarudi kwenye Roho yako, alama za kukunja uso zinapotea, utaanza kujua nini maana ya Samahani, Samahani haina maana yoyote huku nje, lakini ndani ina thamani kubwa, Samahani ndio hiyo (Emptiness)nini kinyume cha (Emptiness)ni hiyo (Fullyness)Samahani imejaa mapenzi ndani mwake, kwani hujawahi kusamehewa ukajiona unakuwaje?.
Mwalimu akikusamehe au mzazi unahisi nini?, Jee Mtu akikusamehe Deni unakua katika hali gani, sasa ikiwa Mwanaadamu mwenzio anakupa furaha ya dharura kama hiyo nini habari yetu sisi unaposamehewa na Mollah wako?.
Mollah ambaye amewapa mapenzi yake wanomuasi kuliko wewe, anawapa majambazi na wahalifu, anawapa wauaji na wanaodhulumu, hali gani inakua inakua kama wewe utakaa msikitini au nyumbani kwako chumbani ikawa unakumbuka Dhanmbi moja baada ya nyengine na kila ukikumbuka basi unasali Rakaa mbili za Sala ya Toba, usifanye uvivu kabisa, na kila ukisimama Utamuomba Mollah wako kama hivi "Ewe Rabbi Mollah wangu hakika mimi kwa yakini nimefeli Mtihani wako, Na najua kwa yakini nimefanyaa jinsi kadhaa wa kadhaa, basi kwa dhati ya uwezo wako uloniumbia mimi nakuomba Mollah wangu unisamehe", utaomba hivyo ndani ya kila sijda.
Baada ya kufanya hayo kwa kadir ya uwezo wako wa kukumbuka makosa yako, na ikiwa maombi yako ilikua ya Ikhlas basi baada ya siku chache au hata zisifike utajikuta umerejea kwenye(Emptiness)kama (Mtoto)huna mzigo, na hapo tena ndipo utajua (Kilichofanyika kimefanyika)huwezi ku-(reverse)na ukijua hivyo muda huo huo ushapata matibabu(Depression)zinaondoka kwenye Roho.Furaha inaanza kukuteremkia na furaha ikiteremka wakati wowote mapenzi yanaweza kukushukia, unachotakiwa hivi sasa usubiri kwa kusali, Usubiri kwa kuwakumbatia na kuwasaidia mayatima,usubiri kwa kuwalisha masikini, na ghafla utajikuta umejaa mapenzi na huo ndio Ucha Mungu, na huyo ndio Mja Mwema, na hayo ndio matibabu ya Roho ambayo ukiyapata utakua na furaha mpaka siku yako ya kuondoka kwenye Ulimwengu huu.
Tunamuomba Mollah wetu atujaalie tuyapate mapenzi na Furaha zitokazo kwake na zidumu kwenye Roho zetu.
Sunday, September 20, 2015
JUU MIUJIZA CHINI MIUJIZA PART 1
Asalaam Aleiykum
Napenda kuwapa taarifa wale wenye kufatilia darsa zangu kutokana na shughuli za Kifamilia, Kijamii na Kikazi huenda mkashuhudia upungufu wa Darsa zangu, hilo limetokana na ongezeko la shughuli za uwajibikaji wangu katika hayo mambo matatu niloyataja, na asije akadhania mtu hii ndio darsa yangu ya mwisho au akaona Bahari imekauka Inshaallah penye Uhai tutaendelea kupeana yale ambayo Mollah wangu ananipa mimi nijifunze kwa ushirika na nyinyi.
Naam ikiwa wiki hii tunashuhudia kilele cha Ibada ya Hajj wacha na sisi wenye kutamani tulizungumze tukio hili kwa undani wa hali ya juu kabisa na upeo mwengine tafauti na ule ulozoea, Kwanini nikasema hivyo, kwa sababu mimi ntakufahamisha tukio moja tu ambalo litabadilisha muono wako na uangalizi wa mambo ya Ibada hii kwa Jumla, Na kama utakua utagundua mapya yakaingia katika fahamu yako, basi ijue hiyo ndio Darsa. Sasa nini maana ya neno hili Darsa?, Neno hili limetokana kwenye Lugha ya Kihindi kumaanisha Mkusanyiko wa kuwa karibu na Mwenye enzi Mungu.
Kama utaniuliza mimi nini Hajj ntakwambia Hajj ni ile siku ya Mkusanyiko wa Arafa, ukikosa Arafa huna Hijja, lazima ukahijji tena. Sasa kwanini Ikawa Arafa hii ndio inatuchukua kwenye Darsa yetu ya leo ya (Juu Miujiza chini Miujiza). Pata faida hii na wewe ukoge kwenye Bahari ya Miujiza ili ubadilike uwe Mtu wa aina nyengine kabisa, yajue mambo ili na wewe ukenda (Makka) ujue kumbe (Juu Miujiza chini Miujiza)Na kama ilivo desturi yangu naazima aya mbili kuizungumzia hiyo Miujiza ya Arafa.
Najua itakua tafauti na zile ulizozoea kuzisikia zikiizungumza Ibada hii ya Hajj, lakini ni lazima wengine tupite njia tafauti ili nipate kufika kwenye ufalme wa fahamu yako.Na hii itakufanya kila ukiisikia aya hii itakukumbusha mengi kama inavofanya kwangu mimi inazidi kunipeleka (Deep)na mwisho wake siujui, basi ikiwa unataka kuungana na mimi endelea part 2
Napenda kuwapa taarifa wale wenye kufatilia darsa zangu kutokana na shughuli za Kifamilia, Kijamii na Kikazi huenda mkashuhudia upungufu wa Darsa zangu, hilo limetokana na ongezeko la shughuli za uwajibikaji wangu katika hayo mambo matatu niloyataja, na asije akadhania mtu hii ndio darsa yangu ya mwisho au akaona Bahari imekauka Inshaallah penye Uhai tutaendelea kupeana yale ambayo Mollah wangu ananipa mimi nijifunze kwa ushirika na nyinyi.
Naam ikiwa wiki hii tunashuhudia kilele cha Ibada ya Hajj wacha na sisi wenye kutamani tulizungumze tukio hili kwa undani wa hali ya juu kabisa na upeo mwengine tafauti na ule ulozoea, Kwanini nikasema hivyo, kwa sababu mimi ntakufahamisha tukio moja tu ambalo litabadilisha muono wako na uangalizi wa mambo ya Ibada hii kwa Jumla, Na kama utakua utagundua mapya yakaingia katika fahamu yako, basi ijue hiyo ndio Darsa. Sasa nini maana ya neno hili Darsa?, Neno hili limetokana kwenye Lugha ya Kihindi kumaanisha Mkusanyiko wa kuwa karibu na Mwenye enzi Mungu.
Kama utaniuliza mimi nini Hajj ntakwambia Hajj ni ile siku ya Mkusanyiko wa Arafa, ukikosa Arafa huna Hijja, lazima ukahijji tena. Sasa kwanini Ikawa Arafa hii ndio inatuchukua kwenye Darsa yetu ya leo ya (Juu Miujiza chini Miujiza). Pata faida hii na wewe ukoge kwenye Bahari ya Miujiza ili ubadilike uwe Mtu wa aina nyengine kabisa, yajue mambo ili na wewe ukenda (Makka) ujue kumbe (Juu Miujiza chini Miujiza)Na kama ilivo desturi yangu naazima aya mbili kuizungumzia hiyo Miujiza ya Arafa.
Najua itakua tafauti na zile ulizozoea kuzisikia zikiizungumza Ibada hii ya Hajj, lakini ni lazima wengine tupite njia tafauti ili nipate kufika kwenye ufalme wa fahamu yako.Na hii itakufanya kila ukiisikia aya hii itakukumbusha mengi kama inavofanya kwangu mimi inazidi kunipeleka (Deep)na mwisho wake siujui, basi ikiwa unataka kuungana na mimi endelea part 2
JUU MIUJIZA CHINI MIUJIZA PART 2
Asalaam Aleiykum
يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ ٱتَّقُواْ رَبَّكُمُ ٱلَّذِى خَلَقَكُم مِّن نَّفۡسٍ۬ وَٲحِدَةٍ۬ وَخَلَقَ مِنۡہَا زَوۡجَهَا وَبَثَّ مِنۡہُمَا رِجَالاً۬ كَثِيرً۬ا وَنِسَآءً۬ۚ وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ ٱلَّذِى تَسَآءَلُونَ بِهِۦ وَٱلۡأَرۡحَامَۚ إِنَّ ٱللَّهَ كَانَ عَلَيۡكُمۡ رَقِيبً۬
"Enyi Wanaadamu Mcheni Mollah wenu ambaye amekuumbeni katika nafsi moja, Na akamuumba Mkewe katika nafsi ile ile, Na akaeneza Wanaume wengi na Wanawake kutoka katika wawili hao, Na Mcheni Mwenye enzi Mungu ambaye kwake mnamuomba(na kuwafanyia)haki jamaa, na kile (Kilichokuhifadhi)hakika Mwenye enzi Mungu ni Mlinzi juu yenu."
Yameshuka Maneno ya Miujiza katika aya hii lakini inatakiwa Mwanaadamu ende (Deep) kuyatizama na kuyagundua kiini na chanzo cha maneno haya ili apate ufumbuzi, kwa njia ya kawaida kama Akili imekutulia unaona kila siku uchambuzi wa aya hiyo kwa juu juu, unaona wewe sote tulivo fanana kuanzia Pua, masikio, Macho, mikono, miguu, vidole na takriban kila kitu mimi na Mwengine yoyote hatuna tafauti, awe Mtu Mfalme au Rais awe na ukubwa wowote tumefanana kuanzia ndani mpaka nje hatuna tafauti, na hicho ndio hicho cha kutizamwa mwanzo ili upate uhakika wa mwanzo.
Hiyo ndio Ardhi aliyoumbiwa kila mmoja wetu na hilo ndilo la miujiza wa chini. Kuna jengine ambalo hili hulifahamu mpaka uende (Deep) kwenye ufalme wako wa Fahamu huko ndiko utakapo kutana na hilo la Muujiza wa Juu na hapo ndipo utakapo tambua hiyo maana ya (Nafsi moja) kwani Katika Ufalme huo ndiko iliko hiyo (Singularity)huko ndiko unakutana na ukweli ya kwamba kilichomo katika nafsi yangu na kwako ndio hicho hicho hatuna tafauti, kama tulivofanana nje na ndani tumefanana(Kutokana na yeye Adam tukamuumbia Hawa) tafauti yetu ni katika (Level) ni ya Nje, huyu Mwanamke yule Mwanamme lakini sote ni sawa kama ilivyo (Ardhi) mipaka iko Juu lakini chini (Ardhi) ni Moja, Bahari ikikauka tunakwenda kote kwa miguu, basi baada ya aya hiyo ndio ikafatia hii ya pili sura ya (Al hujraat 13)
يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ ٱتَّقُواْ رَبَّكُمُ ٱلَّذِى خَلَقَكُم مِّن نَّفۡسٍ۬ وَٲحِدَةٍ۬ وَخَلَقَ مِنۡہَا زَوۡجَهَا وَبَثَّ مِنۡہُمَا رِجَالاً۬ كَثِيرً۬ا وَنِسَآءً۬ۚ وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ ٱلَّذِى تَسَآءَلُونَ بِهِۦ وَٱلۡأَرۡحَامَۚ إِنَّ ٱللَّهَ كَانَ عَلَيۡكُمۡ رَقِيبً۬
"Enyi Wanaadamu Mcheni Mollah wenu ambaye amekuumbeni katika nafsi moja, Na akamuumba Mkewe katika nafsi ile ile, Na akaeneza Wanaume wengi na Wanawake kutoka katika wawili hao, Na Mcheni Mwenye enzi Mungu ambaye kwake mnamuomba(na kuwafanyia)haki jamaa, na kile (Kilichokuhifadhi)hakika Mwenye enzi Mungu ni Mlinzi juu yenu."
Yameshuka Maneno ya Miujiza katika aya hii lakini inatakiwa Mwanaadamu ende (Deep) kuyatizama na kuyagundua kiini na chanzo cha maneno haya ili apate ufumbuzi, kwa njia ya kawaida kama Akili imekutulia unaona kila siku uchambuzi wa aya hiyo kwa juu juu, unaona wewe sote tulivo fanana kuanzia Pua, masikio, Macho, mikono, miguu, vidole na takriban kila kitu mimi na Mwengine yoyote hatuna tafauti, awe Mtu Mfalme au Rais awe na ukubwa wowote tumefanana kuanzia ndani mpaka nje hatuna tafauti, na hicho ndio hicho cha kutizamwa mwanzo ili upate uhakika wa mwanzo.
Hiyo ndio Ardhi aliyoumbiwa kila mmoja wetu na hilo ndilo la miujiza wa chini. Kuna jengine ambalo hili hulifahamu mpaka uende (Deep) kwenye ufalme wako wa Fahamu huko ndiko utakapo kutana na hilo la Muujiza wa Juu na hapo ndipo utakapo tambua hiyo maana ya (Nafsi moja) kwani Katika Ufalme huo ndiko iliko hiyo (Singularity)huko ndiko unakutana na ukweli ya kwamba kilichomo katika nafsi yangu na kwako ndio hicho hicho hatuna tafauti, kama tulivofanana nje na ndani tumefanana(Kutokana na yeye Adam tukamuumbia Hawa) tafauti yetu ni katika (Level) ni ya Nje, huyu Mwanamke yule Mwanamme lakini sote ni sawa kama ilivyo (Ardhi) mipaka iko Juu lakini chini (Ardhi) ni Moja, Bahari ikikauka tunakwenda kote kwa miguu, basi baada ya aya hiyo ndio ikafatia hii ya pili sura ya (Al hujraat 13)
يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقۡنَـٰكُم مِّن ذَكَرٍ۬ وَأُنثَىٰ وَجَعَلۡنَـٰكُمۡ شُعُوبً۬ا وَقَبَآٮِٕلَ لِتَعَارَفُوٓاْۚ إِنَّ أَڪۡرَمَكُمۡ عِندَ ٱللَّهِ أَتۡقَٮٰكُمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ۬
JUU MIUJIZA CHINI MIUJIZA PART 3
Asalaam Aleiykum
يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقۡنَـٰكُم مِّن ذَكَرٍ۬ وَأُنثَىٰ وَجَعَلۡنَـٰكُمۡ شُعُوبً۬ا وَقَبَآٮِٕلَ لِتَعَارَفُوٓاْۚ إِنَّ أَڪۡرَمَكُمۡ عِندَ ٱللَّهِ أَتۡقَٮٰكُمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ۬
"Enyi Wanaadamu kwa hakika tumekuumbeni (Nyote)kwa (Yule)Mwanaume (Mmoja) (Adam)na Yule Mwanamke (Mmoja)(Hawa)Na tumekufanyeni Mataifa na Makabila (Mbali mbali) ili Mjuane, Hakika mbora wenu Mbele ya Mwenye enzi Mungu ni yule amchaye(Ampendaye)Mollah zaidi katika nyinyi, kwa yakini Mwenye enzi Mungu ni Mjuzi na Mwenye habari(za Mambo yote)"
Utaona katika aya hiyo hapo juu limeingia neno kujaaliwa siku zote nasema kujaaliwa ni(Temprary)kunaondoka, na kitendo hicho ni cha muda, na vikiondoka vitendo hivyo wewe unabakia mweupe, ikiondoshwa Kabila na kufanana unarejea kwenye hiyo (Singularity) kama vile mtoto umzae Mombasa akalelewe Arusha anakuwa hana fahamu yoyote ya wazee wake wala kabila lake, kwa hiyo ndio ikasemwa hiyo (Jaala) ni ya kujuana na kutafautishana tu, ila mwenye cheo na utukufu miongoni mwenu ni yule atoacha majivuno ya Kabila na kujuana juana akarejea kwenye hiyo Nafsi moja kwa ajili ya mapenzi ya Mwenye enzi Mungu.
Na hili la mapenzi ya utiifu kwa Mollah wetu ndilo lenye kutukutanisha sote katika kisimamo cha Arafa, hapo ndipo penye ule usawa wa Tajiri na Masikini, Mgonjwa na Mwenye afya kila mmoja kabeba jumba lake la Ardhi(Nafsi)moja zimekusanyika mbele ya Ufalme wa Mwenye enzi Mungu na kutamka maneno haya.
"Labaika Allah Humma Labaika""Laa sharika laka Labaika"
Unaitikia umati wa Nafsi moja, lakini kuitikia huko lazima furaha yake iwe unajua ndani ya nafsi yako kujua na kuamini kuwa "Nimeitikia wito wako Mollah wangu nikijua Wewe huna Mshirika" Nimekubali na ninathibitisha kwa yakini sote tulosimama hapa ni nafsi moja "Inokushukuru Wewe na kuzisifu neema zako za huu uhai na kila ulichotukirimu hakika kimetokana na Ufalme wako usiokua na Mshirika".
Hapo ndipo penye kukusanywa Nafsi ilotakasika safi isiyo na madhanmbi na ile ilo chafu ilojaa Madhanmbi na kusafishwa kwa pamoja na uwezo wa Mwenye enzi Mungu hapo ndipo inapokutana Miujiza kutoka Juu ikakutana na Miujiza ya chini. Na kama ukiikosa nafasi hiyo ukawa umeshghulika na (Wassup) itakua umesimama lakini unakosa mambo mengi, lakini ikiwa utatulia hapo utaona mambo ya ajabu ambayo utashindwa kuhadithia, katika mkusanyiko huo kuna nguvu inayotawala ambayo haina mfano, cha kufanya hapo ni kuzidi kuongeza dua ili uipate miujiza ya juu na ya chini.
يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقۡنَـٰكُم مِّن ذَكَرٍ۬ وَأُنثَىٰ وَجَعَلۡنَـٰكُمۡ شُعُوبً۬ا وَقَبَآٮِٕلَ لِتَعَارَفُوٓاْۚ إِنَّ أَڪۡرَمَكُمۡ عِندَ ٱللَّهِ أَتۡقَٮٰكُمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ۬
"Enyi Wanaadamu kwa hakika tumekuumbeni (Nyote)kwa (Yule)Mwanaume (Mmoja) (Adam)na Yule Mwanamke (Mmoja)(Hawa)Na tumekufanyeni Mataifa na Makabila (Mbali mbali) ili Mjuane, Hakika mbora wenu Mbele ya Mwenye enzi Mungu ni yule amchaye(Ampendaye)Mollah zaidi katika nyinyi, kwa yakini Mwenye enzi Mungu ni Mjuzi na Mwenye habari(za Mambo yote)"
Utaona katika aya hiyo hapo juu limeingia neno kujaaliwa siku zote nasema kujaaliwa ni(Temprary)kunaondoka, na kitendo hicho ni cha muda, na vikiondoka vitendo hivyo wewe unabakia mweupe, ikiondoshwa Kabila na kufanana unarejea kwenye hiyo (Singularity) kama vile mtoto umzae Mombasa akalelewe Arusha anakuwa hana fahamu yoyote ya wazee wake wala kabila lake, kwa hiyo ndio ikasemwa hiyo (Jaala) ni ya kujuana na kutafautishana tu, ila mwenye cheo na utukufu miongoni mwenu ni yule atoacha majivuno ya Kabila na kujuana juana akarejea kwenye hiyo Nafsi moja kwa ajili ya mapenzi ya Mwenye enzi Mungu.
Na hili la mapenzi ya utiifu kwa Mollah wetu ndilo lenye kutukutanisha sote katika kisimamo cha Arafa, hapo ndipo penye ule usawa wa Tajiri na Masikini, Mgonjwa na Mwenye afya kila mmoja kabeba jumba lake la Ardhi(Nafsi)moja zimekusanyika mbele ya Ufalme wa Mwenye enzi Mungu na kutamka maneno haya.
"Labaika Allah Humma Labaika""Laa sharika laka Labaika"
Unaitikia umati wa Nafsi moja, lakini kuitikia huko lazima furaha yake iwe unajua ndani ya nafsi yako kujua na kuamini kuwa "Nimeitikia wito wako Mollah wangu nikijua Wewe huna Mshirika" Nimekubali na ninathibitisha kwa yakini sote tulosimama hapa ni nafsi moja "Inokushukuru Wewe na kuzisifu neema zako za huu uhai na kila ulichotukirimu hakika kimetokana na Ufalme wako usiokua na Mshirika".
Hapo ndipo penye kukusanywa Nafsi ilotakasika safi isiyo na madhanmbi na ile ilo chafu ilojaa Madhanmbi na kusafishwa kwa pamoja na uwezo wa Mwenye enzi Mungu hapo ndipo inapokutana Miujiza kutoka Juu ikakutana na Miujiza ya chini. Na kama ukiikosa nafasi hiyo ukawa umeshghulika na (Wassup) itakua umesimama lakini unakosa mambo mengi, lakini ikiwa utatulia hapo utaona mambo ya ajabu ambayo utashindwa kuhadithia, katika mkusanyiko huo kuna nguvu inayotawala ambayo haina mfano, cha kufanya hapo ni kuzidi kuongeza dua ili uipate miujiza ya juu na ya chini.
Sunday, September 6, 2015
MAISHA BILA YA DHANMBI PART 1
Asalaam Aleiykum
Nakuchukua katika Safari hii adhimu wanayo kwenda watu kidogo sana na mara chache sana, Safari yenyewe ni hii ya kiumbe kuweza kufanikiwa kuishi bila ya Dhanmbi, Swali la kujiuliza jee inawezekana kuishi katika hali hiyo?, Na kama inawezekana waloweza walifanya vipi?, Na nini faida yake?.
Kuweza kuyajua hayo inabidi twende (Deep)kwenye Darsa yetu ya leo tupate kuyachambua mambo, kwa bahati nzuri mengine yatakua mepya kwako, lakini upya wake utakupa muangaza wa vipi kulishughulikia tendo hilo la kuishi bila ya Dhanmbi, Nisije nikasema hivyo Mtu akaona ni rahisi jambo hili, ni gumu sana lakini linawezekana kwa kujizoesha na kulifanyia mazoezi tendo hili la kuishi bila ya Dhanmbi.
Na Iwapo utafanikiwa kuyafata maelekezo kwa ukamilifu ukaipata hali hiyo ya kuishi bila ya dhanmbi basi unakua ni Kiumbe ulofuzu kwa vitendo na unapata dalili zitokazo Mbinguni kwa uhakika zinaonekana waziwazi. Mpaka ukifika Umri wa kuijua Dhanmbi basi unajua sambamba kwamba dhanmbi ni (Chaguo), kama hujachagua dhanmbi unabaki katika hali gani?, napenda unifahamu bila ya chaguo hakuna Dhanmbi, Na hiyo ndio (Nature)yako.
Sasa kama hujachagua Dhanmbi unabaki katika hali gani, kuna hali tatu za mpito kiumbe lazima uzipite, Hali ya kwanza ni ile ya (Choiceless Awareness), Na ya pili ni (Machenical Awareness) na ya tatu ni hiyo ya (Awareness), Labda niseme kwa maana ya Kiswahili kifupi ni (Fahamu).
Sasa Tafsiri yangu mimi neno hili maana yake ni (Kujua kwa Kuona), najua utasema huyo anaanza, bora nikupe mfano wa haraka ili tupate kufahamiana, "Kisa kimo ndani ya Quraan"Malaika walipoambiwa na Mollah wao niambieni majina ya vitu hivi ikiwa mnavijua, walikua wanaviona lakini hawavijui mpaka Nabii Adam a.s akwaambia hichi ni kitu fulani", Kwa hiyo unaweza kujua kuendesha gari lakini ukapofuka macho ukawa huwezi kuendesha tena na hapo inakua (Part of awareness) Fahamu imeondoshwa na huwezi kuendesha tena hiyo gari, Na huo ndio mfano wa mnyama mbuzi anafugwa anampa mkulima maziwa lakini hana fahamu kua kuna siku atachinjwa awe kiburudisho cha karamu. Tumo katika darsa ya (Kuishi bila ya Dhanmbi)nakupa mifano hii ili nikupe picha ya (Akili) uweze kujua vipi utaishi bila ya Dhanmbi.
Endelea Part 2
Nakuchukua katika Safari hii adhimu wanayo kwenda watu kidogo sana na mara chache sana, Safari yenyewe ni hii ya kiumbe kuweza kufanikiwa kuishi bila ya Dhanmbi, Swali la kujiuliza jee inawezekana kuishi katika hali hiyo?, Na kama inawezekana waloweza walifanya vipi?, Na nini faida yake?.
Kuweza kuyajua hayo inabidi twende (Deep)kwenye Darsa yetu ya leo tupate kuyachambua mambo, kwa bahati nzuri mengine yatakua mepya kwako, lakini upya wake utakupa muangaza wa vipi kulishughulikia tendo hilo la kuishi bila ya Dhanmbi, Nisije nikasema hivyo Mtu akaona ni rahisi jambo hili, ni gumu sana lakini linawezekana kwa kujizoesha na kulifanyia mazoezi tendo hili la kuishi bila ya Dhanmbi.
Na Iwapo utafanikiwa kuyafata maelekezo kwa ukamilifu ukaipata hali hiyo ya kuishi bila ya dhanmbi basi unakua ni Kiumbe ulofuzu kwa vitendo na unapata dalili zitokazo Mbinguni kwa uhakika zinaonekana waziwazi. Mpaka ukifika Umri wa kuijua Dhanmbi basi unajua sambamba kwamba dhanmbi ni (Chaguo), kama hujachagua dhanmbi unabaki katika hali gani?, napenda unifahamu bila ya chaguo hakuna Dhanmbi, Na hiyo ndio (Nature)yako.
Sasa kama hujachagua Dhanmbi unabaki katika hali gani, kuna hali tatu za mpito kiumbe lazima uzipite, Hali ya kwanza ni ile ya (Choiceless Awareness), Na ya pili ni (Machenical Awareness) na ya tatu ni hiyo ya (Awareness), Labda niseme kwa maana ya Kiswahili kifupi ni (Fahamu).
Sasa Tafsiri yangu mimi neno hili maana yake ni (Kujua kwa Kuona), najua utasema huyo anaanza, bora nikupe mfano wa haraka ili tupate kufahamiana, "Kisa kimo ndani ya Quraan"Malaika walipoambiwa na Mollah wao niambieni majina ya vitu hivi ikiwa mnavijua, walikua wanaviona lakini hawavijui mpaka Nabii Adam a.s akwaambia hichi ni kitu fulani", Kwa hiyo unaweza kujua kuendesha gari lakini ukapofuka macho ukawa huwezi kuendesha tena na hapo inakua (Part of awareness) Fahamu imeondoshwa na huwezi kuendesha tena hiyo gari, Na huo ndio mfano wa mnyama mbuzi anafugwa anampa mkulima maziwa lakini hana fahamu kua kuna siku atachinjwa awe kiburudisho cha karamu. Tumo katika darsa ya (Kuishi bila ya Dhanmbi)nakupa mifano hii ili nikupe picha ya (Akili) uweze kujua vipi utaishi bila ya Dhanmbi.
Endelea Part 2
MAISHA BILA YA DHANMBI PART 2
Asalaam Aleiykum
Najua unataka niseme kwa ufupi useme nishafahamu, vipi utafahamu hatujayapita hayo mafungu matatu ya (Awareness)Fahamu tukajua inakuaje, lazima tujiulize jee tuna uwezo wa kupita kwenye hizo daraja tatu?, Jawabu ndio uwezo upo tena kwa uchaguzi wako mwenyewe, hapa itabidi uwe makini katika kusoma kwako usije ukakosa kugundua siri iliyomo kwenye darsa hii, usije ukakikosa hicho chenye kukufanya uishi (Maisha bila ya Dhanmbi)iwapo utanifahamu.
Naam naanza kukileta kitu hicho kidogo kidogo kwa kukuuliza kwani wewe hujawahi "Kuamka usingizini ghafla kwa sekunde chache ukawa hujijui wewe nani na uko wapi"ikawa unaanza kuogopa, halafu fahamu zinakujia unafurahi, basi hapo kuna kitu unatakiwa ukigundue, unatakiwa ujiulize huyo anayejua na kuona"sijui niko wapi"na"Mbona sifikiri chochote"huyo ni nani?.
Ukigundua huyo ni nani basi hizo ndio (Level)za (Awareness)nilizozitaja hapo mwanzoni hiyo inojua na kuona na kujiuliza mwanzo, hiyo ndio wewe(Pure Being)na hiyo ndio aloitaja Mollah wako kwenye sura ya (Qiyama aya ya 14 na 15)
"بَلِ ٱلۡإِنسَـٰنُ عَلَىٰ نَفۡسِهِۦ بَصِيرَةٌ۬ "
"Bali Mwanaadamu ni shahidi juu ya nafsi yake".
Huo ushahidi ndio msingi wa darsa yetu na huo ndio hiyo (Awareness)Fahamu ambayo kwa ujanja wako unailetea aya inofata.
"وَلَوۡ أَلۡقَىٰ مَعَاذِيرَهُ ۥ "
"Ingawa unatoa dharura"
Ikiwa umenifatilia kwa makini utaziona hapo zimetajwa hizo awamu za fahamu nilizozitaja mwanzoni, ya kwanza ni ile ya (Pure Being) na ya Pili ni ile ya (Awareness) na ya tatu ni hiyo ya dharura ya (Machenical Awareness)au ya kuleta nyudhuru katika kuitumia hiyo Fahamu yako.
Sasa tuendelee na uchambuzi wetu tujue vipi tutaishi bila ya Dhanmbi, kuna watu wana wasiwasi kuhusu kutizamwa na Malaika wawili katika shughuli za maisha yao, wengine wanalipinga hilo la Malaika wawili kuandika matendo yako, Mimi leo nawaambia wewe mwenyewe unaweza kujiangalia kila kitu na kuishi bila ya dhanmbi, sasa tatizo liko wapi?, tatizo limetokea tokea wakati ule tulipooneshwa sehemu zetu za (Siri)na hapo imetumika (Symbol)sura ya (Aaraf aya ya 27)
يَـٰبَنِىٓ ءَادَمَ لَا يَفۡتِنَنَّڪُمُ ٱلشَّيۡطَـٰنُ كَمَآ أَخۡرَجَ أَبَوَيۡكُم مِّنَ ٱلۡجَنَّةِ يَنزِعُ عَنۡہُمَا لِبَاسَہُمَا لِيُرِيَهُمَا سَوۡءَٲتِہِمَآۗ
"Enyi wanaadamu Shetani asikutieni katika matata(Fitina), kama alivowatoa wazee wenu katika pepo, akawavua nguo zao ili kuwaonyesha tupu zao,(Mpaka mwisho wa aya)"
Kuna mambo ya kuzingatiwa hapo usije ukadhani hee kuvua nguo tu ndio kumenifanya nifukuzwe peponi? Sasa nguo zipi hizo walizovuliwa?, wacha tutembee kwenye bustani tuchume faida mbili tatu ili ukiondoka hapa upate kujua mambo mapya ya kuyafanyia kazi.
Mwenye enzi Mungu kataja kwenye aya ya nyuma yake aya ya (26)kwa kusema "Enyi wanaadamu hakika tumekuteremshieni nguo zifichazo tupu zenu, na nguo za pambo, na nguo za Ucha (Mungu)Utawa ndio bora, hayo ni katika ishara za Mwenye enzi Mungu ili wapate kukumbuka".
Hapo ndio makusudio ya hilo guo la Ucha Mungu(Innocence)ukivuliwa guo hilo ndio unapoanza kutenda makosa yote, kwa sababu ukiangalia mambo yote yanatokana na huko kuonekana kwa (tupu) au tuite (sex) kila kitu kina mahusiano na hilo, magonvi yote, utafutaji wa Mali mbio zote zinaongozwa na jambo hilo, ndio maana ukaambiwa kitu cha mwanzo kikatajwa hicho, na ukenda (Deep) utagundua ni hiyo fahamu ambayo (Ukibaleghe)au ukifikia(Puberty) tu fahamu zako zinakua nyengine kabisa, na hilo ndilo linotupelekea kuonyeshwa (Tupu)zao, na kumbuka ukioneshwa (Tupu yako)kwa kujua (Raha za Ufanyaji kazi yake)Maono hayo yanakua ni ya nje kwa hiyo kuanzia hapo ulipo(Baleghe) hukutizama tena ndani, kila mmoja wetu anatizama
nje, na hatizami Mtu mwenyewe ila anatumia Kioo, na hicho Kioo ni hao Watu(Mfano)Imam anauliza watu nimesalisha vizuri, Sheikh anauliza wasikilizaji mawaidha yangu mazuri, watu wananipenda, Jitizame wewe Mwenyewe unavotegemea watu wakusifu, shuruti wakwambie fulani mtu mzuri, lakini ukisikia wamesema Mtu mbaya hapo hapo unaingiwa na maradhi, kwanini wamesema hivyo, Kioo Kiminicheza?, tuyatizame maisha yetu yote ili tupate kujijua sisi ni nani, lakini Mwanaadamu anaogopa kuifata aya akajitizama nafsi yake kwa sababu anajua akianza kujiangalia atakosa uhondo, bora alale aendelee kuishi na Dhanmbi, wakati njia ya kuishi bila ya dhanmbi ipo? sasa ufanye nini?
Endelea Part 3
Najua unataka niseme kwa ufupi useme nishafahamu, vipi utafahamu hatujayapita hayo mafungu matatu ya (Awareness)Fahamu tukajua inakuaje, lazima tujiulize jee tuna uwezo wa kupita kwenye hizo daraja tatu?, Jawabu ndio uwezo upo tena kwa uchaguzi wako mwenyewe, hapa itabidi uwe makini katika kusoma kwako usije ukakosa kugundua siri iliyomo kwenye darsa hii, usije ukakikosa hicho chenye kukufanya uishi (Maisha bila ya Dhanmbi)iwapo utanifahamu.
Naam naanza kukileta kitu hicho kidogo kidogo kwa kukuuliza kwani wewe hujawahi "Kuamka usingizini ghafla kwa sekunde chache ukawa hujijui wewe nani na uko wapi"ikawa unaanza kuogopa, halafu fahamu zinakujia unafurahi, basi hapo kuna kitu unatakiwa ukigundue, unatakiwa ujiulize huyo anayejua na kuona"sijui niko wapi"na"Mbona sifikiri chochote"huyo ni nani?.
Ukigundua huyo ni nani basi hizo ndio (Level)za (Awareness)nilizozitaja hapo mwanzoni hiyo inojua na kuona na kujiuliza mwanzo, hiyo ndio wewe(Pure Being)na hiyo ndio aloitaja Mollah wako kwenye sura ya (Qiyama aya ya 14 na 15)
"بَلِ ٱلۡإِنسَـٰنُ عَلَىٰ نَفۡسِهِۦ بَصِيرَةٌ۬ "
"Bali Mwanaadamu ni shahidi juu ya nafsi yake".
Huo ushahidi ndio msingi wa darsa yetu na huo ndio hiyo (Awareness)Fahamu ambayo kwa ujanja wako unailetea aya inofata.
"وَلَوۡ أَلۡقَىٰ مَعَاذِيرَهُ ۥ "
"Ingawa unatoa dharura"
Ikiwa umenifatilia kwa makini utaziona hapo zimetajwa hizo awamu za fahamu nilizozitaja mwanzoni, ya kwanza ni ile ya (Pure Being) na ya Pili ni ile ya (Awareness) na ya tatu ni hiyo ya dharura ya (Machenical Awareness)au ya kuleta nyudhuru katika kuitumia hiyo Fahamu yako.
Sasa tuendelee na uchambuzi wetu tujue vipi tutaishi bila ya Dhanmbi, kuna watu wana wasiwasi kuhusu kutizamwa na Malaika wawili katika shughuli za maisha yao, wengine wanalipinga hilo la Malaika wawili kuandika matendo yako, Mimi leo nawaambia wewe mwenyewe unaweza kujiangalia kila kitu na kuishi bila ya dhanmbi, sasa tatizo liko wapi?, tatizo limetokea tokea wakati ule tulipooneshwa sehemu zetu za (Siri)na hapo imetumika (Symbol)sura ya (Aaraf aya ya 27)
يَـٰبَنِىٓ ءَادَمَ لَا يَفۡتِنَنَّڪُمُ ٱلشَّيۡطَـٰنُ كَمَآ أَخۡرَجَ أَبَوَيۡكُم مِّنَ ٱلۡجَنَّةِ يَنزِعُ عَنۡہُمَا لِبَاسَہُمَا لِيُرِيَهُمَا سَوۡءَٲتِہِمَآۗ
"Enyi wanaadamu Shetani asikutieni katika matata(Fitina), kama alivowatoa wazee wenu katika pepo, akawavua nguo zao ili kuwaonyesha tupu zao,(Mpaka mwisho wa aya)"
Kuna mambo ya kuzingatiwa hapo usije ukadhani hee kuvua nguo tu ndio kumenifanya nifukuzwe peponi? Sasa nguo zipi hizo walizovuliwa?, wacha tutembee kwenye bustani tuchume faida mbili tatu ili ukiondoka hapa upate kujua mambo mapya ya kuyafanyia kazi.
Mwenye enzi Mungu kataja kwenye aya ya nyuma yake aya ya (26)kwa kusema "Enyi wanaadamu hakika tumekuteremshieni nguo zifichazo tupu zenu, na nguo za pambo, na nguo za Ucha (Mungu)Utawa ndio bora, hayo ni katika ishara za Mwenye enzi Mungu ili wapate kukumbuka".
Hapo ndio makusudio ya hilo guo la Ucha Mungu(Innocence)ukivuliwa guo hilo ndio unapoanza kutenda makosa yote, kwa sababu ukiangalia mambo yote yanatokana na huko kuonekana kwa (tupu) au tuite (sex) kila kitu kina mahusiano na hilo, magonvi yote, utafutaji wa Mali mbio zote zinaongozwa na jambo hilo, ndio maana ukaambiwa kitu cha mwanzo kikatajwa hicho, na ukenda (Deep) utagundua ni hiyo fahamu ambayo (Ukibaleghe)au ukifikia(Puberty) tu fahamu zako zinakua nyengine kabisa, na hilo ndilo linotupelekea kuonyeshwa (Tupu)zao, na kumbuka ukioneshwa (Tupu yako)kwa kujua (Raha za Ufanyaji kazi yake)Maono hayo yanakua ni ya nje kwa hiyo kuanzia hapo ulipo(Baleghe) hukutizama tena ndani, kila mmoja wetu anatizama
nje, na hatizami Mtu mwenyewe ila anatumia Kioo, na hicho Kioo ni hao Watu(Mfano)Imam anauliza watu nimesalisha vizuri, Sheikh anauliza wasikilizaji mawaidha yangu mazuri, watu wananipenda, Jitizame wewe Mwenyewe unavotegemea watu wakusifu, shuruti wakwambie fulani mtu mzuri, lakini ukisikia wamesema Mtu mbaya hapo hapo unaingiwa na maradhi, kwanini wamesema hivyo, Kioo Kiminicheza?, tuyatizame maisha yetu yote ili tupate kujijua sisi ni nani, lakini Mwanaadamu anaogopa kuifata aya akajitizama nafsi yake kwa sababu anajua akianza kujiangalia atakosa uhondo, bora alale aendelee kuishi na Dhanmbi, wakati njia ya kuishi bila ya dhanmbi ipo? sasa ufanye nini?
Endelea Part 3
MAISHA BILA YA DHANMBI PART 3
Asalaam Aleiykum
Sasa litizame Neno kuoneshwa (Tupu zao)hiyo ni (Symbol), Tulikua hatujui tukapewa (Fahamu)au(Knowledge)lakini cha muhimu kwa mara ya mwanzo tuliweza kujitizama (Nafsi)zetu, na tokea hapo sio Watu wengi walo rudi nyuma kujitizama tena nafsi yake, Imeingia tafaruku ya kuzitafuta Raha za Dunia Mtu yuko tayari kuchupa Motoni lakini asikose Raha za muda mfupi.
Kitu cha kukiangalia hapa ni lile tukio, lakini naomba tulitizame (Kisomi)sio(Kivitendo)kutokana na kuoneshwa huko inatulazimu tuelewe kwamba(Fahamu)zetu zina uwezo wa kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja, Tuna uwezo wa kuona nje na kuona ndani kwa wakati mmoja, Unaweza kukitizama kitu nje na ukajiona wewe Mwenye kutizama, hiyo naita mimi (Double take)zinoangalia nje ni Fahamu na zinoangalia ndani ni Fahamu.
Sasa ukiweza kuangalia vyote viwili kwa wakati mmoja hiyo ndio (Awareness)na hiyo ndio itakufanya (Uishi bila ya Dhanmbi), Sasa ufanye vipi kuipata hali hiyo?, kwa sababu mpaka umri ulofikia mafundisho mengi yameshaingia katika kichwa chako huna haja tena yakuleta nyudhuru tena, kila kitu kimo ndani ya (Mind)yako, kwa hiyo Sasa inabidi uanze kufuta yale yote yaloandikwa kichwani mwako, vipi utafuta?, kwanza lazima uelewe (Mind) yako ina mtindo wa kurejea mambo, sababu ni kama (computer)haina jambo jipya, kwa hiyo ukijichunguza utajikuta hata hizo dhanmbi zako sio mpya ila za kurejea rejea.
Sasa kuanzia leo Dhanmbi zako wewe unazijua, kama atakujia Mwanamke au Mwanamme katika jambo la la Matamanio, basi usimtizame huyo alokujia pekee jitizame na wewe nini kinatokezea ndani yako, kumbuka kila kwenye (Action) lazima iwepo(Re-Action) Na vyote viwili wewe unavishuhudia, na hiyo ndio maana ya kila "Mwanaadamu anaiona Nafsi yake".
Basi ukishalijua hilo sasa ukitaka kupokea Rushwa mtizame mtoaji jitizame na wewe ni kimaanisha tizama (Mind)yako nini kinatokea?, Ukisema Uongo pia wakati unausema itizame nafsi yako inavodanganya, hata ukiwa unalewa umekamata chupa basi jiangalie mvinyo unavokwenda ndani, ukipata hamaki tizama nini kinatokea ndani yako, ikiwa unakwiba umebobea kwenye wizi basi wakati unakwiba tizama ndani huyu nani anofanya wizi huu, na pia ukiwa unazini au kufanya maasi yoyote yale usisahau kujikumbuka na wewe mfanyaji, kuna wakati ukijikumbuka kuwa wewe ndio mfanyaji ghafla utasita na hutotenda tena hilo tukio na hapo ndio Akili inapotea.
Najua nikisema (Akili) inapotea kuna watu watashtuka, Naam lazima ushituke, Akili kupotea ni mambo makubwa inabidi nikufahamishe vizuri usije kikakupata kisa kama kilichonipata mimi huko kwetu Tanzania.(Ngoja nikupe mkasa huo japo kidogo)nilikua mapumzikoni nyumbani nikawa nimekaa na vijana kwenye baraza"Akapita kijana nikaambiwa mzee unamuona huyu kijana kapoteza saa"mimi nikamuonea huruma nikasema twendeni tukamsaidie nikawa wa mwanzo kunyanyuka"wale vijana nilokaa nao wakaona maskini sasa tumepata wagonjwa wawili"hiyo ni kwa sababu mimi sikuelewa kupoteza saa kumbe ni maradhi ya Akili", basi wacha nifafanue vizuri tusije sote tukapoteza maana.
Huku kupotea kwa Akili kuko kwa aina mbili, Aina ya kwanza Akili inakwenda Ardhini na kukaa kwenye(Body), ndio utasikia kazama ama ana wazimu wa kutafuta mali, au ana wazimu wa wanawake au wa wanaume, au utasikia pombe imemuharibu Akili, na mwisho utasikia kapata maradhi ya wazimu au akili imeshindwa kuchukua amerukwa na Akili, na Akili ikiruka ndio Mja haponi tena, kwani inakua Akili ishapotea lakini sio kwa hiyari .
Aina ya pili nakuomba uifahamu kwa uangalifu Akili ipo lakini unaipotea, au unakwenda (Beyond)unakua tafauti na Akili yako, au unakua (Master) na hiyo ndio tafauti yake, na huyu Mwenye kui(Master)ina maana akili yake imekwenda(Mbinguni)juu, na huko ndio (Kumcha Mungu)Na huyo ndie Mwenye kuangalia Nafsi yake ambaye anaishi bila ya (Dhanmbi), kila kitu anakiona (clear)mnapata mifano midogo midogo, kwani wewe kuna mambo mangapi umeyawacha unajua kwanini?umekwenda (Beyond)lakini bila ya kujijua, unaacha ulevi, unaacha uzinifu (something happen)lakini hujijui, nifanyacho mimi sasa hivi ni kukumbusha tu, lakini isiwe umeacha mambo hayo kwa ajili ya maradhi au sababu zengine huwezi kufanya, kwani ukifanya hivyo bado utakuwepo Ardhini, bado huioni nafsi yako, bado unatufanyia ujanja ujanja,unaacha mbele za watu lakini kwenye Akili yako kutwa unazini, unasema uongo,unalewa, unatakiwa uwache kwa kuipotea akili yako kwa kwenda (Mbinguni)(Beyond)Mcha Mungu ikimbie Akili hiyo mpaka watu wakikutizama wanajua siku hizi hachezi mchiriku, hatizami senema za mambo machafu, kaacha kusema uongo na mengi mengineyo. Vipi utafanya hilo ni kwa kuamua kwenda (Beyond). Ufanye vipi?
Kumbuka katika chochote chenye kutendeka kuna mambo matatu yanatokea, (Mfano)unataka kufanya Uzinifu, Mwanamke au Mwanamme kashakuja unataka kufanya kitendo, jambo la kwanza mtizame huyo "alokuja"(1)Halafu kuna Akili yako ilojaa Shauku(2), na Jambo la tatu(3) na hilo ndio muhimu ukiweza kulikumbuka hilo lenye kuona hayo mawili ya mwanzo hilo ndio wewe", Ukiweza kulikumbuka hilo bila ya kuleta dharura ya kulisahau au kulipuuza hapo ndio utafanikiwa kuigundua au kuifahamu maana ya kila "Mja ni Mwenye kuiona Nafsi yake", na hiyo ndio (Pure Being). Na hapo utaweza kuishi bila ya dhanmbi, na hicho ndicho chenye Mapenzi, Afya, Furaha na matumaini.
Hicho ndio kile kisichoguswa na Maradhi wala kero na hata dhiki, na hii ndio maana ya "Tafsiri ya hizo aya mbili""Bali Mwanaadamu ni Mwenye kuiona Nafsi yake""Japo analeta Nyudhuru".
Nakupa dawa uifanyie kazi, lakini kama utaendelea kununua (Kaseti)zikupe nyudhuru za mawaidha mazuri basi endelea, lakini hii ndio haki na huu ndio ukweli.
Sasa litizame Neno kuoneshwa (Tupu zao)hiyo ni (Symbol), Tulikua hatujui tukapewa (Fahamu)au(Knowledge)lakini cha muhimu kwa mara ya mwanzo tuliweza kujitizama (Nafsi)zetu, na tokea hapo sio Watu wengi walo rudi nyuma kujitizama tena nafsi yake, Imeingia tafaruku ya kuzitafuta Raha za Dunia Mtu yuko tayari kuchupa Motoni lakini asikose Raha za muda mfupi.
Kitu cha kukiangalia hapa ni lile tukio, lakini naomba tulitizame (Kisomi)sio(Kivitendo)kutokana na kuoneshwa huko inatulazimu tuelewe kwamba(Fahamu)zetu zina uwezo wa kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja, Tuna uwezo wa kuona nje na kuona ndani kwa wakati mmoja, Unaweza kukitizama kitu nje na ukajiona wewe Mwenye kutizama, hiyo naita mimi (Double take)zinoangalia nje ni Fahamu na zinoangalia ndani ni Fahamu.
Sasa ukiweza kuangalia vyote viwili kwa wakati mmoja hiyo ndio (Awareness)na hiyo ndio itakufanya (Uishi bila ya Dhanmbi), Sasa ufanye vipi kuipata hali hiyo?, kwa sababu mpaka umri ulofikia mafundisho mengi yameshaingia katika kichwa chako huna haja tena yakuleta nyudhuru tena, kila kitu kimo ndani ya (Mind)yako, kwa hiyo Sasa inabidi uanze kufuta yale yote yaloandikwa kichwani mwako, vipi utafuta?, kwanza lazima uelewe (Mind) yako ina mtindo wa kurejea mambo, sababu ni kama (computer)haina jambo jipya, kwa hiyo ukijichunguza utajikuta hata hizo dhanmbi zako sio mpya ila za kurejea rejea.
Sasa kuanzia leo Dhanmbi zako wewe unazijua, kama atakujia Mwanamke au Mwanamme katika jambo la la Matamanio, basi usimtizame huyo alokujia pekee jitizame na wewe nini kinatokezea ndani yako, kumbuka kila kwenye (Action) lazima iwepo(Re-Action) Na vyote viwili wewe unavishuhudia, na hiyo ndio maana ya kila "Mwanaadamu anaiona Nafsi yake".
Basi ukishalijua hilo sasa ukitaka kupokea Rushwa mtizame mtoaji jitizame na wewe ni kimaanisha tizama (Mind)yako nini kinatokea?, Ukisema Uongo pia wakati unausema itizame nafsi yako inavodanganya, hata ukiwa unalewa umekamata chupa basi jiangalie mvinyo unavokwenda ndani, ukipata hamaki tizama nini kinatokea ndani yako, ikiwa unakwiba umebobea kwenye wizi basi wakati unakwiba tizama ndani huyu nani anofanya wizi huu, na pia ukiwa unazini au kufanya maasi yoyote yale usisahau kujikumbuka na wewe mfanyaji, kuna wakati ukijikumbuka kuwa wewe ndio mfanyaji ghafla utasita na hutotenda tena hilo tukio na hapo ndio Akili inapotea.
Najua nikisema (Akili) inapotea kuna watu watashtuka, Naam lazima ushituke, Akili kupotea ni mambo makubwa inabidi nikufahamishe vizuri usije kikakupata kisa kama kilichonipata mimi huko kwetu Tanzania.(Ngoja nikupe mkasa huo japo kidogo)nilikua mapumzikoni nyumbani nikawa nimekaa na vijana kwenye baraza"Akapita kijana nikaambiwa mzee unamuona huyu kijana kapoteza saa"mimi nikamuonea huruma nikasema twendeni tukamsaidie nikawa wa mwanzo kunyanyuka"wale vijana nilokaa nao wakaona maskini sasa tumepata wagonjwa wawili"hiyo ni kwa sababu mimi sikuelewa kupoteza saa kumbe ni maradhi ya Akili", basi wacha nifafanue vizuri tusije sote tukapoteza maana.
Huku kupotea kwa Akili kuko kwa aina mbili, Aina ya kwanza Akili inakwenda Ardhini na kukaa kwenye(Body), ndio utasikia kazama ama ana wazimu wa kutafuta mali, au ana wazimu wa wanawake au wa wanaume, au utasikia pombe imemuharibu Akili, na mwisho utasikia kapata maradhi ya wazimu au akili imeshindwa kuchukua amerukwa na Akili, na Akili ikiruka ndio Mja haponi tena, kwani inakua Akili ishapotea lakini sio kwa hiyari .
Aina ya pili nakuomba uifahamu kwa uangalifu Akili ipo lakini unaipotea, au unakwenda (Beyond)unakua tafauti na Akili yako, au unakua (Master) na hiyo ndio tafauti yake, na huyu Mwenye kui(Master)ina maana akili yake imekwenda(Mbinguni)juu, na huko ndio (Kumcha Mungu)Na huyo ndie Mwenye kuangalia Nafsi yake ambaye anaishi bila ya (Dhanmbi), kila kitu anakiona (clear)mnapata mifano midogo midogo, kwani wewe kuna mambo mangapi umeyawacha unajua kwanini?umekwenda (Beyond)lakini bila ya kujijua, unaacha ulevi, unaacha uzinifu (something happen)lakini hujijui, nifanyacho mimi sasa hivi ni kukumbusha tu, lakini isiwe umeacha mambo hayo kwa ajili ya maradhi au sababu zengine huwezi kufanya, kwani ukifanya hivyo bado utakuwepo Ardhini, bado huioni nafsi yako, bado unatufanyia ujanja ujanja,unaacha mbele za watu lakini kwenye Akili yako kutwa unazini, unasema uongo,unalewa, unatakiwa uwache kwa kuipotea akili yako kwa kwenda (Mbinguni)(Beyond)Mcha Mungu ikimbie Akili hiyo mpaka watu wakikutizama wanajua siku hizi hachezi mchiriku, hatizami senema za mambo machafu, kaacha kusema uongo na mengi mengineyo. Vipi utafanya hilo ni kwa kuamua kwenda (Beyond). Ufanye vipi?
Kumbuka katika chochote chenye kutendeka kuna mambo matatu yanatokea, (Mfano)unataka kufanya Uzinifu, Mwanamke au Mwanamme kashakuja unataka kufanya kitendo, jambo la kwanza mtizame huyo "alokuja"(1)Halafu kuna Akili yako ilojaa Shauku(2), na Jambo la tatu(3) na hilo ndio muhimu ukiweza kulikumbuka hilo lenye kuona hayo mawili ya mwanzo hilo ndio wewe", Ukiweza kulikumbuka hilo bila ya kuleta dharura ya kulisahau au kulipuuza hapo ndio utafanikiwa kuigundua au kuifahamu maana ya kila "Mja ni Mwenye kuiona Nafsi yake", na hiyo ndio (Pure Being). Na hapo utaweza kuishi bila ya dhanmbi, na hicho ndicho chenye Mapenzi, Afya, Furaha na matumaini.
Hicho ndio kile kisichoguswa na Maradhi wala kero na hata dhiki, na hii ndio maana ya "Tafsiri ya hizo aya mbili""Bali Mwanaadamu ni Mwenye kuiona Nafsi yake""Japo analeta Nyudhuru".
Nakupa dawa uifanyie kazi, lakini kama utaendelea kununua (Kaseti)zikupe nyudhuru za mawaidha mazuri basi endelea, lakini hii ndio haki na huu ndio ukweli.
Sunday, August 23, 2015
MARA UMEUSAHAU MARA UMEUKUMBUKA PART 1
Asalaam Aleiykum
Unapokwenda Hospital jambo la mwanzo unafanyiwa uchunguzi wa vipimo ili upate kujulikana unaumwa nini, Na Mimi leo katika darsa ya leo nimekuja na (Thermometer)langu ili nipate kukupima, nipate kujua na kukujulisha jee maradhi haya ya (Mara umeusahau mara umeukumbuka)unayo?. Na kama unayo basi wakati wa kupewa dawa ya kuyaondosha ushafika.
Sasa ni kitu gani hicho mara umekisahau mara umekikumbuka, maradhi haya unaweza kuyaita kwa majina mengi, lakini nakupa (mfano)wa matatu haya ambayo yatakuwezesha kujua kama kweli umekamatwa na maradhi haya. Sasa yaite upendavyo lakini la mwanzo kabisa ni Mollah wako, halafu linafatia Uislam wako na la tatu ni huo Ucha Mungu wako, hivyo ndio vitu ambavyo (Mara unavikumbuka mara unavisahau).
Sasa wacha tuangalie kabla ya kufanya uganguzi ni vipi Maradhi haya yamekuzunguka, Tuchukue (Mfano)wa kwanza(Uislam wako)umeutizama kwa makini katika mwenendo wako wa maisha, huoni kama unalivaa na kulivua koti hilo la (Uislam),Vipi inakua hali hiyo?, Ukenda kinyume na Amri yoyote ya Mollah wako wakati ule unakua (Umeusahau Uislam wako)Mfano:Umetoa au kupokea Rushwa, Unaiba kwa Mtu au kwa Watu au Serekalini, Uzinifu, Ukijaa Chuki, Ukisema Uongo, Kutegemea Waganga, Na Mengi mengineyo ya Ufisadi wakati huo wote unakua (Mara Umeusahau) Kwanini nikasema Mara, kwa sababu Mara nyengine Unakumbuka unarejea kwa kufanya Toba ndio nikaita (Mara Unaukumbuka)Uislam wako.
Hiyo ndio hali tulonayo sote, tumo kwenye kuyumba na lengine ama niite la pili ni hili kwenye(Ucha Mungu)wako, utafanya Ibada , utakua Mtiifu, Lakini wacha upate mtihani kidogo au Mtu akukwae, jiangalie vipi unavua ngozi ya kondoo, Watu wanakushangaa mbona kageuka chui, ana nini huyu? Huyu si Mcha Mungu, mbona hataki kusaidia wenzie, mbona matusi yanamiminika, umesahau kuwa wewe wiki ilopita ulikua (Mcha Mungu), vipi wiki hii hutaki kumsamehe Mtu, hutaki kuzungumza na Mtu, na ukifikwa na Mtihani wa kukosa cheo au Mali, au kula hasara au umekosa Mke au hujaipata kazi unayoitaka, hapo ndio mama wee unatizama Mbinguni kwa hasira, uso umeukunja, sala zote za sunna unaacha(Mara Umeusahau Mara Umeukumbuka).
Na Jambo la Tatu ni hilo la Mollah wako ambaye amekufanyia hisani ya kukuumba ukiwa Muislam, kutokana na yeye ukashuhudia hapana apasaye kuabudiwa kwa haki isipokua yeye Mollah wangu Mlezi, Na kwa kila kitu changu mimi na (Surrender)Nasilimu, Nakua Muislam kwa vitendo na mwenendo wa Tabia sasa Inakuaje (Mara Unamsahau mara Unamkumbuka)?
Endelea part 2
Unapokwenda Hospital jambo la mwanzo unafanyiwa uchunguzi wa vipimo ili upate kujulikana unaumwa nini, Na Mimi leo katika darsa ya leo nimekuja na (Thermometer)langu ili nipate kukupima, nipate kujua na kukujulisha jee maradhi haya ya (Mara umeusahau mara umeukumbuka)unayo?. Na kama unayo basi wakati wa kupewa dawa ya kuyaondosha ushafika.
Sasa ni kitu gani hicho mara umekisahau mara umekikumbuka, maradhi haya unaweza kuyaita kwa majina mengi, lakini nakupa (mfano)wa matatu haya ambayo yatakuwezesha kujua kama kweli umekamatwa na maradhi haya. Sasa yaite upendavyo lakini la mwanzo kabisa ni Mollah wako, halafu linafatia Uislam wako na la tatu ni huo Ucha Mungu wako, hivyo ndio vitu ambavyo (Mara unavikumbuka mara unavisahau).
Sasa wacha tuangalie kabla ya kufanya uganguzi ni vipi Maradhi haya yamekuzunguka, Tuchukue (Mfano)wa kwanza(Uislam wako)umeutizama kwa makini katika mwenendo wako wa maisha, huoni kama unalivaa na kulivua koti hilo la (Uislam),Vipi inakua hali hiyo?, Ukenda kinyume na Amri yoyote ya Mollah wako wakati ule unakua (Umeusahau Uislam wako)Mfano:Umetoa au kupokea Rushwa, Unaiba kwa Mtu au kwa Watu au Serekalini, Uzinifu, Ukijaa Chuki, Ukisema Uongo, Kutegemea Waganga, Na Mengi mengineyo ya Ufisadi wakati huo wote unakua (Mara Umeusahau) Kwanini nikasema Mara, kwa sababu Mara nyengine Unakumbuka unarejea kwa kufanya Toba ndio nikaita (Mara Unaukumbuka)Uislam wako.
Hiyo ndio hali tulonayo sote, tumo kwenye kuyumba na lengine ama niite la pili ni hili kwenye(Ucha Mungu)wako, utafanya Ibada , utakua Mtiifu, Lakini wacha upate mtihani kidogo au Mtu akukwae, jiangalie vipi unavua ngozi ya kondoo, Watu wanakushangaa mbona kageuka chui, ana nini huyu? Huyu si Mcha Mungu, mbona hataki kusaidia wenzie, mbona matusi yanamiminika, umesahau kuwa wewe wiki ilopita ulikua (Mcha Mungu), vipi wiki hii hutaki kumsamehe Mtu, hutaki kuzungumza na Mtu, na ukifikwa na Mtihani wa kukosa cheo au Mali, au kula hasara au umekosa Mke au hujaipata kazi unayoitaka, hapo ndio mama wee unatizama Mbinguni kwa hasira, uso umeukunja, sala zote za sunna unaacha(Mara Umeusahau Mara Umeukumbuka).
Na Jambo la Tatu ni hilo la Mollah wako ambaye amekufanyia hisani ya kukuumba ukiwa Muislam, kutokana na yeye ukashuhudia hapana apasaye kuabudiwa kwa haki isipokua yeye Mollah wangu Mlezi, Na kwa kila kitu changu mimi na (Surrender)Nasilimu, Nakua Muislam kwa vitendo na mwenendo wa Tabia sasa Inakuaje (Mara Unamsahau mara Unamkumbuka)?
Endelea part 2
MARA UMEUSAHAU MARA UMEUKUMBUKA PART 2
Asalaam Aleiykum
Unasahau Kutii Amri zake, Unasahau kumkumbuka hata kwenye hiyo Sala unashindwa kumkumbuka, na hiyo ndio hali yetu sote (Isipokua wachache)sasa ikiwa wewe umo katika kundi hili la (Mara Umeusahau Mara Umeukumbuka)unatakiwa sasa ujifanyie Matibabu, Vipi yanapatikana Matibabu hayo?, Ndio nakwambia kachukue dawa kwenye (Sura ya Fussilat aya ya 30 na 31)
إِنَّ ٱلَّذِينَ قَالُواْ رَبُّنَا ٱللَّهُ ثُمَّ ٱسۡتَقَـٰمُواْ تَتَنَزَّلُ عَلَيۡهِمُ ٱلۡمَلَـٰٓٮِٕڪَةُ أَلَّا تَخَافُواْ وَلَا تَحۡزَنُواْ وَأَبۡشِرُواْ بِٱلۡجَنَّةِ ٱلَّتِى كُنتُمۡ تُوعَدُونَ
"Wale waliosema, Mollah wetu ni Mwenye enzi Mungu, kisha wakenda mwendo mzuri, hao huwateremkia Malaika(Na kuwaambia)Msiogope wala Msihuzunike na Furahini kwa pepo mliyokua mkihaidiwa"
نَحۡنُ أَوۡلِيَآؤُكُمۡ فِى ٱلۡحَيَوٰةِ ٱلدُّنۡيَا وَفِى ٱلۡأَخِرَةِۖ وَلَكُمۡ فِيهَا مَا تَشۡتَهِىٓ أَنفُسُكُمۡ وَلَكُمۡ فِيهَا مَا تَدَّعُونَ
"Sisi ni vipenzi vyenu katika maisha ya Dunia na (Huku)Akhera, Na Humo mtapata vitu vinavyopendwa na Nafsi zenu, Na Humo mtapata mtakavyovitaka".
Kwa wale walosema Mollah wetu ndie Mlezi halafu wakafata Amri zote ziloteremshwa, basi wakisema na kukamata huo msimamo wa mwendo mzuri, upi msimamo wenyewe? wakuto kusahau amri zake, na kumkumbuka Yeye Mollah wako kwa kadir ya uwezo wako, basi cha kwanza kinachofatia unaondoshewa usahaulivu na kubaki na hali ya kukumbuka daima, kwani wakati wa kusahau ndio wakati unaotenda Dhanmbi, lakini ukiwa katika hali ya kukumbuka hutendi dhanmbi abadan, na huo ndio "Uislam" mimi na wewe hatukua na haja ya kusema kauli hiyo kwa kuwa tumezaliwa ndani ya Uislam, lakini jee tumeishi Kiislam?.
Wacha basi nikujulishe maana na kusudio ya kauli hiyo, Kauli hii inatamkwa na yoyote yule ambaye Roho yake iko tayari Ku(Surrender) ni kauli ya badiliko la (conciousness)yako kuwa sasa mimi nishagonga ukuta, hapa nilipofika basi tena, na sasa nimekubali nafata amri zote wala sitoiacha hata moja Mollah wangu, mwanzo ni umo tu ndani ya Uislam ila sasa umeamua kuwa na Imani thabit ya Kiislam.
Umeamua kuanzia sasa kutambua Kiroho kuwa Mollah wako ndio alokuumba na kuanzia sasa unamuachia kila kitu yeye ndio awe mlezi wa matokeo yake, Sasa Roho hii yenye kuona haya inafikia vipi kugundua hilo?. Inatafakari Roho yako kwa nguvu za Fikra na kuzingatia(Mfano) Ufalme wa maisha ya Vinyama, kama Ndege au Kuku umtizame kwa undani kabisa utaona hata vinyama hivyo vina Family zao, vina makaazi yao, vina tafauta riziki kama mimi, vinalisha watoto wao, na wanyama wengine wananyonyesha, Mpaka Samaki hali kadhalika,vikiumwa ndie Yeye Mollah wangu anaviponesha,Vinyama hivi vinacheza kwa Furaha, vinalala kama ninavolala, ukiona hali hiyo kwa kutumia Roho yako na siyo Akili yako,Ndio unasema vyote hivi viko kwenye Rehma, Baraka na Neema ya Mwenye enzi Mungu, Nini hali yangu mimi nilopewa uwezo wa kumjua Mollah wangu? Mbona (Mara Nimemsahau Mara Nimemkumbuka)Basi ukigundua Ufalme huo lazima ujiulize kuwa hao hawakupewa uchaguzi huu, na mimi nimepewa uchaguzi wa Ima kusahau au kuchagua kukumbuka, basi kutokana na hali hiyo sasa Mollah wangu nakuachia kila jambo langu wewe ndio uwe Muamuzi wake, Na mimi nasimama kwenye njia ilonyooka yenye haki.
Huko ndio kukiri kwa Roho(Kauli ilotajwa mwanzo wa Aya), na kuamini kwa vitendo kuwa hakuna kinachotendeka isipokua kwa uwezo wa Allah, na unatakiwa useme kwa kutumia Roho yako na sio ulimi wako, basi ukiweza kutamka katika Roho yako ukawa umenuia kuisimamia Haki, Basi hapo hapo unateremshiwa (Body Guard) Kwanini inaitwa (Bodyguard) kwa sababu dhumuni kubwa ni kuulinda huo Mwili, lakini hao wanakua wa Kibinaadamu wanalinda nje lakini (Malaika) wao wanakulinda nje na ndani, vipi wanafanya hivyo?
endelea part3
Unasahau Kutii Amri zake, Unasahau kumkumbuka hata kwenye hiyo Sala unashindwa kumkumbuka, na hiyo ndio hali yetu sote (Isipokua wachache)sasa ikiwa wewe umo katika kundi hili la (Mara Umeusahau Mara Umeukumbuka)unatakiwa sasa ujifanyie Matibabu, Vipi yanapatikana Matibabu hayo?, Ndio nakwambia kachukue dawa kwenye (Sura ya Fussilat aya ya 30 na 31)
إِنَّ ٱلَّذِينَ قَالُواْ رَبُّنَا ٱللَّهُ ثُمَّ ٱسۡتَقَـٰمُواْ تَتَنَزَّلُ عَلَيۡهِمُ ٱلۡمَلَـٰٓٮِٕڪَةُ أَلَّا تَخَافُواْ وَلَا تَحۡزَنُواْ وَأَبۡشِرُواْ بِٱلۡجَنَّةِ ٱلَّتِى كُنتُمۡ تُوعَدُونَ
"Wale waliosema, Mollah wetu ni Mwenye enzi Mungu, kisha wakenda mwendo mzuri, hao huwateremkia Malaika(Na kuwaambia)Msiogope wala Msihuzunike na Furahini kwa pepo mliyokua mkihaidiwa"
نَحۡنُ أَوۡلِيَآؤُكُمۡ فِى ٱلۡحَيَوٰةِ ٱلدُّنۡيَا وَفِى ٱلۡأَخِرَةِۖ وَلَكُمۡ فِيهَا مَا تَشۡتَهِىٓ أَنفُسُكُمۡ وَلَكُمۡ فِيهَا مَا تَدَّعُونَ
"Sisi ni vipenzi vyenu katika maisha ya Dunia na (Huku)Akhera, Na Humo mtapata vitu vinavyopendwa na Nafsi zenu, Na Humo mtapata mtakavyovitaka".
Kwa wale walosema Mollah wetu ndie Mlezi halafu wakafata Amri zote ziloteremshwa, basi wakisema na kukamata huo msimamo wa mwendo mzuri, upi msimamo wenyewe? wakuto kusahau amri zake, na kumkumbuka Yeye Mollah wako kwa kadir ya uwezo wako, basi cha kwanza kinachofatia unaondoshewa usahaulivu na kubaki na hali ya kukumbuka daima, kwani wakati wa kusahau ndio wakati unaotenda Dhanmbi, lakini ukiwa katika hali ya kukumbuka hutendi dhanmbi abadan, na huo ndio "Uislam" mimi na wewe hatukua na haja ya kusema kauli hiyo kwa kuwa tumezaliwa ndani ya Uislam, lakini jee tumeishi Kiislam?.
Wacha basi nikujulishe maana na kusudio ya kauli hiyo, Kauli hii inatamkwa na yoyote yule ambaye Roho yake iko tayari Ku(Surrender) ni kauli ya badiliko la (conciousness)yako kuwa sasa mimi nishagonga ukuta, hapa nilipofika basi tena, na sasa nimekubali nafata amri zote wala sitoiacha hata moja Mollah wangu, mwanzo ni umo tu ndani ya Uislam ila sasa umeamua kuwa na Imani thabit ya Kiislam.
Umeamua kuanzia sasa kutambua Kiroho kuwa Mollah wako ndio alokuumba na kuanzia sasa unamuachia kila kitu yeye ndio awe mlezi wa matokeo yake, Sasa Roho hii yenye kuona haya inafikia vipi kugundua hilo?. Inatafakari Roho yako kwa nguvu za Fikra na kuzingatia(Mfano) Ufalme wa maisha ya Vinyama, kama Ndege au Kuku umtizame kwa undani kabisa utaona hata vinyama hivyo vina Family zao, vina makaazi yao, vina tafauta riziki kama mimi, vinalisha watoto wao, na wanyama wengine wananyonyesha, Mpaka Samaki hali kadhalika,vikiumwa ndie Yeye Mollah wangu anaviponesha,Vinyama hivi vinacheza kwa Furaha, vinalala kama ninavolala, ukiona hali hiyo kwa kutumia Roho yako na siyo Akili yako,Ndio unasema vyote hivi viko kwenye Rehma, Baraka na Neema ya Mwenye enzi Mungu, Nini hali yangu mimi nilopewa uwezo wa kumjua Mollah wangu? Mbona (Mara Nimemsahau Mara Nimemkumbuka)Basi ukigundua Ufalme huo lazima ujiulize kuwa hao hawakupewa uchaguzi huu, na mimi nimepewa uchaguzi wa Ima kusahau au kuchagua kukumbuka, basi kutokana na hali hiyo sasa Mollah wangu nakuachia kila jambo langu wewe ndio uwe Muamuzi wake, Na mimi nasimama kwenye njia ilonyooka yenye haki.
Huko ndio kukiri kwa Roho(Kauli ilotajwa mwanzo wa Aya), na kuamini kwa vitendo kuwa hakuna kinachotendeka isipokua kwa uwezo wa Allah, na unatakiwa useme kwa kutumia Roho yako na sio ulimi wako, basi ukiweza kutamka katika Roho yako ukawa umenuia kuisimamia Haki, Basi hapo hapo unateremshiwa (Body Guard) Kwanini inaitwa (Bodyguard) kwa sababu dhumuni kubwa ni kuulinda huo Mwili, lakini hao wanakua wa Kibinaadamu wanalinda nje lakini (Malaika) wao wanakulinda nje na ndani, vipi wanafanya hivyo?
endelea part3
MARA UMEUSAHAU MARA UMEUKUMBUKA PART 3
Asalaam Aleiykum
Imesemwa katika aya ya 31 sisi ni vipenzi vyako hapa Duniani, na huko kulindwa kwa ndani unaondoshewa khofu kwenye Akili yako, Mtu akija na (Kinyamkela chake)Shetani au Uchawi,unakingwa bila hata ya Mwenyewe kujua, habari ya utakula nini kwako haikugusi kabisa, utalala wapi vyote hivyo unaondoshewa, unakua huna khofu, hata Mauti unayakubali,unatambua wakati wangu ushafika wakurudi nyumbani.
Halafu tena unaondoshewa na hiyo huzuni, nayo ni hayo Maradhi kwenye mwili wako, kwani viwili hivi vikikukamata Mwili unaumwa, unahuzunika na huku khofu inakuingia unajiuliza ndio nakufa, kwa hiyo utaona ikatajwa kwenye aya ya 30(Unabashiriwa na Malaika wakati wa kutoka Roho usikhofu wala kuhuzunika) wewe huwaoni lakini unakhisi, vipi hisia zenyewe unazipata(Wakati inapoondoka khofu na huzuni, kinachobaki ni) (Bliss), lakini lazima upate huo msimamo wa kukumbuka daima.
Basi wacha nifunge darsa hii kwa kukupa dawa ambayo huwenda ikakusaidia kuupata huo msimamo wa kukumbuka moja kwa moja bila ya kusahau, Nini kinachotakiwa?, dawa ya kwanza kabisa ni ile ya kukumbuka, utafanya vipi? utakunya kwa siku mara moja, chukua jina la Mwenye enzi Mungu na maana yake(Kama hujui niulize)na utalitamka moyoni mwako kuanzia Sala ya alfajiri mpaka kuingia sala ya alfajiri nyengine, utayasoma majina yote 99 ya Mollah wako bila ya kukosa hata siku moja, itakuchukua miezi mitatu na siku 9, na ukiona bado hujapata huo msimamo wa kukumbuka ina maana bado unaendelea(Mara Umeusahau Mara Umeukumbuka) basi anza tena hiyo dawa na inshaallah kuna siku hutosahau tena na utakua ushafuzu, utajua Mwenyewe nini nimekusudia, utaangua kicheko kujiona umo katika hali ya kukumbuka daima, na hapo huna haja ya kutangaza na kila ukikaa utaangua kicheko cha furaha kwa kujiona hutendi dhanmbi na hapo utaigundua maana ya (Bliss) na ile tafsiri ya "Wale Walosema Hakika Mollah wetu ndie mlezi wetu", utakua unaishi Ulimwengu mwengine kabisa ambao kila Mja mwema anatarijiwa kuishi katika hali hiyo yenye furaha na afya, neema na baraka. Mollah atujaalie sote katika hilo.
Imesemwa katika aya ya 31 sisi ni vipenzi vyako hapa Duniani, na huko kulindwa kwa ndani unaondoshewa khofu kwenye Akili yako, Mtu akija na (Kinyamkela chake)Shetani au Uchawi,unakingwa bila hata ya Mwenyewe kujua, habari ya utakula nini kwako haikugusi kabisa, utalala wapi vyote hivyo unaondoshewa, unakua huna khofu, hata Mauti unayakubali,unatambua wakati wangu ushafika wakurudi nyumbani.
Halafu tena unaondoshewa na hiyo huzuni, nayo ni hayo Maradhi kwenye mwili wako, kwani viwili hivi vikikukamata Mwili unaumwa, unahuzunika na huku khofu inakuingia unajiuliza ndio nakufa, kwa hiyo utaona ikatajwa kwenye aya ya 30(Unabashiriwa na Malaika wakati wa kutoka Roho usikhofu wala kuhuzunika) wewe huwaoni lakini unakhisi, vipi hisia zenyewe unazipata(Wakati inapoondoka khofu na huzuni, kinachobaki ni) (Bliss), lakini lazima upate huo msimamo wa kukumbuka daima.
Basi wacha nifunge darsa hii kwa kukupa dawa ambayo huwenda ikakusaidia kuupata huo msimamo wa kukumbuka moja kwa moja bila ya kusahau, Nini kinachotakiwa?, dawa ya kwanza kabisa ni ile ya kukumbuka, utafanya vipi? utakunya kwa siku mara moja, chukua jina la Mwenye enzi Mungu na maana yake(Kama hujui niulize)na utalitamka moyoni mwako kuanzia Sala ya alfajiri mpaka kuingia sala ya alfajiri nyengine, utayasoma majina yote 99 ya Mollah wako bila ya kukosa hata siku moja, itakuchukua miezi mitatu na siku 9, na ukiona bado hujapata huo msimamo wa kukumbuka ina maana bado unaendelea(Mara Umeusahau Mara Umeukumbuka) basi anza tena hiyo dawa na inshaallah kuna siku hutosahau tena na utakua ushafuzu, utajua Mwenyewe nini nimekusudia, utaangua kicheko kujiona umo katika hali ya kukumbuka daima, na hapo huna haja ya kutangaza na kila ukikaa utaangua kicheko cha furaha kwa kujiona hutendi dhanmbi na hapo utaigundua maana ya (Bliss) na ile tafsiri ya "Wale Walosema Hakika Mollah wetu ndie mlezi wetu", utakua unaishi Ulimwengu mwengine kabisa ambao kila Mja mwema anatarijiwa kuishi katika hali hiyo yenye furaha na afya, neema na baraka. Mollah atujaalie sote katika hilo.
Sunday, August 9, 2015
ZAWADI KUTOKA MBINGUNI PART 1
Asalaam Aleiykum
Mwenye enzi Mungu ni mwenye kumimina Zawadi za kila aina kwa waje wake, ziko nyingi kubwa na ndogo za kila aina, lakini leo nataka kuzizungumza hizi tatu zenye kumfanya Mwanaadamu awe furahani, awe kila saa na dakika yumo kwenye hicho kitu kiitwacho (Bliss) ikiwa ataweza kuyapata mambo matatu haya kwa pamoja. basi atakua Mwenye kufuzu kuliko kukubwa,
Mambo yenyewe ni "Mapenzi", "Imani", na "Huruma".
Nikiangalia Jamii wakati huu tulo nao yananijaa masikitiko moyoni kuona sio watu wengi wenye kuzipata neema hizo tatu zilizo muhimu, Nini kimetokezea?.
Naweza kuhadithia lakini siwezi kufanya tathmin ya mambo yalivo haribika katika kipindi kifupi cha miaka 40 ilopita, Sisi tuloshuhudia mwisho mwisho tulikuta bado japo kwa uchache "Mapenzi, Imani na Huruma"zimo kwenye nyoyo za watu, Na ulikua ukiwauliza walikua hawana jawabu la kukupa, isipokua wanakujibu tulishikana, tulikua kama ndugu, tukisaidiana, tukipendana, hilo ndio lilikua jawabu lao.
Ukumbuke uzuri enzi hizo elimu ya Dini ilikua haipatikani kirahisi, si watu wengi walokua wakisoma madrsa au kusikiliza mawaidha, sasa nini kilikuwepo wakati huo?. Kilokuwepo wakati huo ni hicho kitu kiitwacho "Imani", Na huwezi kujua kama kilikuwepo mpaka uisome aya hii iliyomo kwenye sura ya (Hujurat aya ya 14)
قَالَتِ ٱلۡأَعۡرَابُ ءَامَنَّاۖ قُل لَّمۡ تُؤۡمِنُواْ وَلَـٰكِن قُولُوٓاْ أَسۡلَمۡنَا وَلَمَّا يَدۡخُلِ ٱلۡإِيمَـٰنُ فِى قُلُوبِكُمۡۖ وَإِن تُطِيعُواْ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُ ۥ لَا يَلِتۡكُم مِّنۡ أَعۡمَـٰلِكُمۡ شَيۡـًٔاۚ إِنَّ ٱللَّهَ غَفُورٌ۬ رَّحِيمٌ
"Walisema Waarab (Wanokaa jangwani)tumeamini, sema (Uwaambie)hamjaamini, lakini semeni tumesilimu, maana Imani haijaingia vyema nyoyoni mwenu bado. Na mkimtii Mwenye enzi Mungu na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote katika vitendo vyenu(Thawabu), kwa yakini Mwenye enzi Mungu ni mwingi wa kusamehe na Mwingi wa kurehemu."
Katika mtizamo wa aya hiyo inaonekana Kusilimu kuna kuja mwanzo(Surrender) na ukisilimu tu unapewa zawadi itokayo Mbinguni nazo ni moja katika hizo tatu(Na ukiona huna katika hizo tatu basi jijue huja Surrender)Nawauliza baadhi ya Masheikh, hivyo wewe Sheikh mzima hebu nipe ukweli mbona naona tabia zako zina Mushkeli, hivyo katika matatu hayo kuna chochote kilichotokezea katika nafsi yako, Jawabu hakuna, utawaona Masheikh mawaidha makali, maneno mengi lakini hajawahi katika nafsi yake kupata Mapenzi, Imani wala Huruma, hao ndio Masheikh wana hali gani Maamuma?.
Naam wakati huo ulopita ndio ulokua wakati wa hizo (Bidda hassan)zimekithiri, ulikua wakati wa (Madhikiri, wakati wa Maulid, wakati wa Mahitima, wakati wa Manyiradi) wakati huo ndio ule watu walofungamana na Hadith sahihi ya Bwana Mtume s.a.w ilosema "Yoyote yule atakae leta jambo zuri katika Uislam atapata ujira wake kwa jambo hilo". Nimefurahi hivi karibuni kuwasikia wanazuoni Wakubwa wa Kiislam kwenye Baraza la Eid lilofanyika Abu Dhabi wametoa wito au (Fatwa) wakitaka turejee kwenye zile zama za (Bidda hassan), kuliko kubakia kwenye nakama na Moto tulo nao hivi sasa wa uharibifu wa Dini hii ya Kiislam, Makala hiyo iloandikwa kwenye (AP-na Yahoo tarehe 19 July ninayo au mtu anaweza kufatilia akasoma mwenyewe).
Naam Tunaendelea na Darsa yetu ya kutaka kuelewa wapi vitu vitatu hivi vinatokea, tunajikumbusha zama zilopita watu wakiwa wame(Surrender) walipata zawadi gani kutoka mbinguni?.
Endelea part 2
Mwenye enzi Mungu ni mwenye kumimina Zawadi za kila aina kwa waje wake, ziko nyingi kubwa na ndogo za kila aina, lakini leo nataka kuzizungumza hizi tatu zenye kumfanya Mwanaadamu awe furahani, awe kila saa na dakika yumo kwenye hicho kitu kiitwacho (Bliss) ikiwa ataweza kuyapata mambo matatu haya kwa pamoja. basi atakua Mwenye kufuzu kuliko kukubwa,
Mambo yenyewe ni "Mapenzi", "Imani", na "Huruma".
Nikiangalia Jamii wakati huu tulo nao yananijaa masikitiko moyoni kuona sio watu wengi wenye kuzipata neema hizo tatu zilizo muhimu, Nini kimetokezea?.
Naweza kuhadithia lakini siwezi kufanya tathmin ya mambo yalivo haribika katika kipindi kifupi cha miaka 40 ilopita, Sisi tuloshuhudia mwisho mwisho tulikuta bado japo kwa uchache "Mapenzi, Imani na Huruma"zimo kwenye nyoyo za watu, Na ulikua ukiwauliza walikua hawana jawabu la kukupa, isipokua wanakujibu tulishikana, tulikua kama ndugu, tukisaidiana, tukipendana, hilo ndio lilikua jawabu lao.
Ukumbuke uzuri enzi hizo elimu ya Dini ilikua haipatikani kirahisi, si watu wengi walokua wakisoma madrsa au kusikiliza mawaidha, sasa nini kilikuwepo wakati huo?. Kilokuwepo wakati huo ni hicho kitu kiitwacho "Imani", Na huwezi kujua kama kilikuwepo mpaka uisome aya hii iliyomo kwenye sura ya (Hujurat aya ya 14)
قَالَتِ ٱلۡأَعۡرَابُ ءَامَنَّاۖ قُل لَّمۡ تُؤۡمِنُواْ وَلَـٰكِن قُولُوٓاْ أَسۡلَمۡنَا وَلَمَّا يَدۡخُلِ ٱلۡإِيمَـٰنُ فِى قُلُوبِكُمۡۖ وَإِن تُطِيعُواْ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُ ۥ لَا يَلِتۡكُم مِّنۡ أَعۡمَـٰلِكُمۡ شَيۡـًٔاۚ إِنَّ ٱللَّهَ غَفُورٌ۬ رَّحِيمٌ
"Walisema Waarab (Wanokaa jangwani)tumeamini, sema (Uwaambie)hamjaamini, lakini semeni tumesilimu, maana Imani haijaingia vyema nyoyoni mwenu bado. Na mkimtii Mwenye enzi Mungu na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote katika vitendo vyenu(Thawabu), kwa yakini Mwenye enzi Mungu ni mwingi wa kusamehe na Mwingi wa kurehemu."
Katika mtizamo wa aya hiyo inaonekana Kusilimu kuna kuja mwanzo(Surrender) na ukisilimu tu unapewa zawadi itokayo Mbinguni nazo ni moja katika hizo tatu(Na ukiona huna katika hizo tatu basi jijue huja Surrender)Nawauliza baadhi ya Masheikh, hivyo wewe Sheikh mzima hebu nipe ukweli mbona naona tabia zako zina Mushkeli, hivyo katika matatu hayo kuna chochote kilichotokezea katika nafsi yako, Jawabu hakuna, utawaona Masheikh mawaidha makali, maneno mengi lakini hajawahi katika nafsi yake kupata Mapenzi, Imani wala Huruma, hao ndio Masheikh wana hali gani Maamuma?.
Naam wakati huo ulopita ndio ulokua wakati wa hizo (Bidda hassan)zimekithiri, ulikua wakati wa (Madhikiri, wakati wa Maulid, wakati wa Mahitima, wakati wa Manyiradi) wakati huo ndio ule watu walofungamana na Hadith sahihi ya Bwana Mtume s.a.w ilosema "Yoyote yule atakae leta jambo zuri katika Uislam atapata ujira wake kwa jambo hilo". Nimefurahi hivi karibuni kuwasikia wanazuoni Wakubwa wa Kiislam kwenye Baraza la Eid lilofanyika Abu Dhabi wametoa wito au (Fatwa) wakitaka turejee kwenye zile zama za (Bidda hassan), kuliko kubakia kwenye nakama na Moto tulo nao hivi sasa wa uharibifu wa Dini hii ya Kiislam, Makala hiyo iloandikwa kwenye (AP-na Yahoo tarehe 19 July ninayo au mtu anaweza kufatilia akasoma mwenyewe).
Naam Tunaendelea na Darsa yetu ya kutaka kuelewa wapi vitu vitatu hivi vinatokea, tunajikumbusha zama zilopita watu wakiwa wame(Surrender) walipata zawadi gani kutoka mbinguni?.
Endelea part 2
Subscribe to:
Posts (Atom)