Asalaam Aleiykum
Zanzibar kuna msemo zamani ukitumika unasema "kavunja ukuta wa watu kwa harufu ya chakula kitamu". Maneno mazito yameficha maana kubwa yenye mazingatio kwa wenye uwezo wa kufikiri.
neno la mwanzo kabisa limetumika kuvunja ukuta,, inatuonesha lazima mvunjaji alikua na bidii, kafanya jitihada kubwa mpaka kuweza kuuvunja Ukuta, Ukuta wenyewe siwake, na sababu gani ilomfanya avunje?, Ni harufu tu ya chakula kitamu, swali kakijuaje kama chakula kitamu, hapo inaashiria kuwa lazima kawahi kukila chakula hicho ndio maana alivosikia tu harufu yake akaamua kuuvunja ukuta wa watu.
Ikiwa Ukuta Umevunjwa kwa ajili ya harufu ya chakula kitamu tu, hapo inaonesha mvunjaji lazima kashawahi kukionja chakula ndio maana akachukua juhudi za kuuvunja Ukuta huo, Basi katika hali kama hiyo na sisi Binaadamu tunatakiwa tufanye juhudi za kuuvunja Ukuta wa Shetani ili tupate kurudi peponi. Nikisema kuingia peponi ntakua nimekosea katika lugha ya kitaalamu iloambatana na ufahamu, lugha sahihi ya kutumika ni kurejea Peponi, kwa sababu Jinsi yetu kila Mmoja kashaonja Pepo, kilichotufanya tusahau ni kazi ya Shetani ambayo anaendelea kutusahaulisha kwamba hapo mwanzo alitutoa Peponi, Sasa nini kinachotufanya tuikumbuke Pepo?.
Endelea Part 2
Saturday, December 15, 2018
DALILI ZA KURUDI PEPONI PART 2
Asalaam Aleiykum
Kwa kuwa kila Mmoja wetu kashaonja Pepo kupitia Kwa Baba yetu Nabii Adam a.s ndio maana tunapenda Raha na Kuchukia Karaha, Raha ndio (Nature) yetu, Karaha au madhila au mateso ni jambo lenye kutokezea tu, lakini husikii hata siku moja mtu kazoea shida, shida haizoeleki, lakini Raha inazoeleka na ndio kawaida ya Mwanaadamu, kutokana wakati fulani Nafsi hii ilikuwepo Peponi, kutokana na Ubishi wetu au ita utundu au ushawishi ndio tukajikuta tuko kwenye Ulimwengu huu ili tuonje Mambo ya kilimwengu yawe Mtihani wetu wa kututizama tunaendelea na jeuri yetu au tutamtii Mollah wetu na kurejea kwenye makaazi yetu ya salama yaliyopo Peponi, Na ikiwa bado tunaendelea na ile jeuri yetu basi tutajikuta hata huko upande wa pili (Akhera) Bado makaazi yetu ni Motoni.
Na Moto ni mgumu zaidi kuliko mifano ya mateso tuyapatayo hapa Ulimwenguni, Mwanaadamu hachukui dhiki, jitizame hapa Ulimwenguni ikikufika dhiki au mateso unakuaje, Tizama Maradhi yakikufika unakua ghali gani, au madhila yakiwasili unakuaje, sasa hayo ni majaribio tu ya Ulimwengu huu nini habari yako wewe na mimi kuhusu Adhabu yake Mwenye Enzi Mungu ambayo ni kubwa zaidi kuliko shida hizi za Ulimwengu.
Lakini Mwenye Enzi Mungu si Mwenye kutaka kuwaadhibu viumbe vyake ndio maana kaweka milango ya Toba wazi mpaka mwisho wa Uhai wako ili apate kukusamehe, lakini kama hutaki hiyo ni shauri yako, Na matatizo yote yanakuja pale ukenda mbali na Njia ya Mwenye Enzi Mungu, ndio Maana tukapewa Sala tano ili ziweze kutukumbusha, ndio maana katika hiyo Sala tumepewa sura tunaisoma kila mara maneno haya."Wewe tu ndio tunakuabudu, Na wewe tu ndiye tunayekuomba msaada". Kila tukikosea tunaomba toba na kutaka muongozo kutoka kwako, tukishikwa na maradhi, tukiwa kwenye hatari au khofu wewe pekee ndie tunakutegemea.
Na tunapokwenda kinyume na maagizo yako tukateleza basi husema, "Tuongoze njia ilonyooka""Njia ya wale Uliowaneemesha, siyo (Ya wale Walokasirikiwa, wala (Ya) wale waliopotea.
Wepi walokasirikiwa ni wale wamo kwenye dini lakini matendo yao ni maovu, Na walopotea ni wale ambao hawana habari na njia ya Mwenye enzi Mungu kabisaa.
Sasa unapokua hufati Amri za Mwenye enzi Mungu ndio unakua humo katika hiyo njia ilonyooka, Lakini ukiwa katika njia ilonyooka ukiambiwa usile tunda huli, ndio itakapofika siku ya kutolewa Roho?.
Endelea part 3
Kwa kuwa kila Mmoja wetu kashaonja Pepo kupitia Kwa Baba yetu Nabii Adam a.s ndio maana tunapenda Raha na Kuchukia Karaha, Raha ndio (Nature) yetu, Karaha au madhila au mateso ni jambo lenye kutokezea tu, lakini husikii hata siku moja mtu kazoea shida, shida haizoeleki, lakini Raha inazoeleka na ndio kawaida ya Mwanaadamu, kutokana wakati fulani Nafsi hii ilikuwepo Peponi, kutokana na Ubishi wetu au ita utundu au ushawishi ndio tukajikuta tuko kwenye Ulimwengu huu ili tuonje Mambo ya kilimwengu yawe Mtihani wetu wa kututizama tunaendelea na jeuri yetu au tutamtii Mollah wetu na kurejea kwenye makaazi yetu ya salama yaliyopo Peponi, Na ikiwa bado tunaendelea na ile jeuri yetu basi tutajikuta hata huko upande wa pili (Akhera) Bado makaazi yetu ni Motoni.
Na Moto ni mgumu zaidi kuliko mifano ya mateso tuyapatayo hapa Ulimwenguni, Mwanaadamu hachukui dhiki, jitizame hapa Ulimwenguni ikikufika dhiki au mateso unakuaje, Tizama Maradhi yakikufika unakua ghali gani, au madhila yakiwasili unakuaje, sasa hayo ni majaribio tu ya Ulimwengu huu nini habari yako wewe na mimi kuhusu Adhabu yake Mwenye Enzi Mungu ambayo ni kubwa zaidi kuliko shida hizi za Ulimwengu.
Lakini Mwenye Enzi Mungu si Mwenye kutaka kuwaadhibu viumbe vyake ndio maana kaweka milango ya Toba wazi mpaka mwisho wa Uhai wako ili apate kukusamehe, lakini kama hutaki hiyo ni shauri yako, Na matatizo yote yanakuja pale ukenda mbali na Njia ya Mwenye Enzi Mungu, ndio Maana tukapewa Sala tano ili ziweze kutukumbusha, ndio maana katika hiyo Sala tumepewa sura tunaisoma kila mara maneno haya."Wewe tu ndio tunakuabudu, Na wewe tu ndiye tunayekuomba msaada". Kila tukikosea tunaomba toba na kutaka muongozo kutoka kwako, tukishikwa na maradhi, tukiwa kwenye hatari au khofu wewe pekee ndie tunakutegemea.
Na tunapokwenda kinyume na maagizo yako tukateleza basi husema, "Tuongoze njia ilonyooka""Njia ya wale Uliowaneemesha, siyo (Ya wale Walokasirikiwa, wala (Ya) wale waliopotea.
Wepi walokasirikiwa ni wale wamo kwenye dini lakini matendo yao ni maovu, Na walopotea ni wale ambao hawana habari na njia ya Mwenye enzi Mungu kabisaa.
Sasa unapokua hufati Amri za Mwenye enzi Mungu ndio unakua humo katika hiyo njia ilonyooka, Lakini ukiwa katika njia ilonyooka ukiambiwa usile tunda huli, ndio itakapofika siku ya kutolewa Roho?.
Endelea part 3
DALILI ZA KURUDI PEPONI PART 3
Asalaam Aleiykum
Dalili za unapokwenda, unapewa hapa hapa Ulimwenguni, Kwa kawaida Wanaadamu tumepewa uwezo fulani wa kuona na kusikia kwa kiasi maalum, na kitu chengine ambacho kiko katika hizo (Six sense) Ni Harufu lakini hii inatupotea kwa haraka katika Ulimwengu huu tunaoishi sisi, Lakini siku ya kutolewa Roho kitu cha Mwanzo kurejeshewa ni hiyo harufu ndio itakayokujulisha kwamba sasa unarejea Peponi au unakwenda Motoni, huna haja ya kusubiri, aya inasemaje katika sura ya Waqqiah (88-89)
"فَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ "
"Basi akiwa (Mtu huyo anayekufa) Ni Miongoni mwa Wale walokaribishwa (Na Mwenye enzi Mungu). Wepi walokaribishwa, Walokaribishwa ni wale walokua karibu wakigonga Mlango wa Akhera, Kukoje kuwa Karibu na Ufalme wa Mwenye enzi Mungu, Ni kule kutenda Mema, Kufanya Ibada, kutoa sadaka, kuwa na tabia njema, kuishi na binaadamu wenzio kwa vizuri, hapo ndio unafunguliwa Mlango na kukaribishwa katika Ufalme wa Mwenye Enzi Mungu, utajua siku gani kama umekaribishwa, siku ile ya kuja kutolewa Roho yako, nini kitatokea?".
"فَرَوۡحٌ۬ وَرَيۡحَانٌ۬ وَجَنَّتُ نَعِيمٍ۬"
Basi ni Raha(Kubwa)Na Manukato(Mazuri) Na Mabustani yenye Neema.
Naam Hiyo ndio habari, Siku ya Kutolewa Roho ni siku ya (Furaha au Raha kubwa)usiyopata kuiona, Siku zote unajiona unafurahi, unacheza ngoma,muziki na hivi na vile, zote hizo sio furaha(Sababu zinatokea kwenye Akili), kwani furaha na raha ya kweli inatokea kwenye Roho, na wewe na mimi tuko kwenye misukosuko mikubwa hatuwezi kupata Raha, tunaonja chembe ya Raha, nayo ni katika tendo la Ndoa(sex) ndio maana unakwenda tena na tena ili upate hali hiyo, unagusa kitu chenye kuitwa (Bliss)kwa sekunde tu, ikisha unarudi katika hali yako ya tafran, lakini wakati wa kutolewa Roho kama ulikuwa mtu Mwema basi unapewa hali kama hiyo mara (Billion)furaha tupu, unakufa unaona raha, unakufa huku unacheka, Na dalili mnaziona wakati mnajitaarisha katika tendo la ndoa kwa wenye kujua siri na wasiojua yanafanyika mataarisho ya harufu nzuri, unajua kwanini ?, kwa sababu wakati ule mnakwenda kuyagusa maji ya uhai, na kama utakua (Alert) utapata (experience) vipi unakua (Sensitive) katika jambo la harufu, kwa sababu wakati ule Roho inashiriki, ndio maana huna (Control) na Roho ni yenye kupenda harufu nzuri, harufu nzuri inafatana na (Bliss).
Ndio utaona yanawekwa Manukato mazuri mazuri,nyudi zinachomwa, na hivyo ndio vyakula vya Roho, Kwa hiyo na siku ya kutolewa Roho yako, Elewa Mwenye Enzi Mungu sio kaupamba Ulimwengu huu kwa Mataa pekee bali na Manukato mazuri mazuri, Na wewe ukitolewa Roho unaanza kusikia Harufu nzuri za Manukato(Na Ukiwa maiti pia unatiwa harufu nzuri kwenye Mwili wako kwa ajili ya kuzikwa), Tahadhari sana ukimalizikia uhai wako unasikia harufu mbaya, ogopa dalili hizo jua huna marejeo mazuri, ndio utaona macho yanatutoka, khofu imetujaa kwa kuwa tunajua wapi tunamalizikia, Na jambo la tatu unaondoshewa pazia, huna haja ya kusubiri, ukiondoshwa upeo wa kuona ndio hapo unaanza kuona yaliyopo huko,(Ndio yule sahaba alivofunguliwa maono ya peponi wakati wa kutoka roho yake akasema,"Bora ingekua mbali, kwa ajili ya ule wema alomfanyia mtu wa kumbeba, na kile kipande cha mkate akasema bora ungekua mzima, na ile nguo akasema bora ingekua mpya)hayo ndio mambo alooneshwa akawa anapiga kelele, pengine alikua akipewa mfano kwa sisi wenye uhai sasa hivi tuyafanye, kama angetoa mkate mzima baada ya kupewa nyumba ya chini peponi, angepewa kasri ya dhahabu peponi.
Naam kwa hiyo dalili zinaanza hapa hapa wakati wa kutoka Roho yako. Na kama ulikuwa Mtu mwema wa kheri za kawaida aya ya 90-91 inofatia inasema unapata "usalama". Mollah wetu tujaalie katika hao, wala usitunyime ladha za kuionja pepo yako na mazuri yalioko huko.
Amin
Dalili za unapokwenda, unapewa hapa hapa Ulimwenguni, Kwa kawaida Wanaadamu tumepewa uwezo fulani wa kuona na kusikia kwa kiasi maalum, na kitu chengine ambacho kiko katika hizo (Six sense) Ni Harufu lakini hii inatupotea kwa haraka katika Ulimwengu huu tunaoishi sisi, Lakini siku ya kutolewa Roho kitu cha Mwanzo kurejeshewa ni hiyo harufu ndio itakayokujulisha kwamba sasa unarejea Peponi au unakwenda Motoni, huna haja ya kusubiri, aya inasemaje katika sura ya Waqqiah (88-89)
"فَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ "
"Basi akiwa (Mtu huyo anayekufa) Ni Miongoni mwa Wale walokaribishwa (Na Mwenye enzi Mungu). Wepi walokaribishwa, Walokaribishwa ni wale walokua karibu wakigonga Mlango wa Akhera, Kukoje kuwa Karibu na Ufalme wa Mwenye enzi Mungu, Ni kule kutenda Mema, Kufanya Ibada, kutoa sadaka, kuwa na tabia njema, kuishi na binaadamu wenzio kwa vizuri, hapo ndio unafunguliwa Mlango na kukaribishwa katika Ufalme wa Mwenye Enzi Mungu, utajua siku gani kama umekaribishwa, siku ile ya kuja kutolewa Roho yako, nini kitatokea?".
"فَرَوۡحٌ۬ وَرَيۡحَانٌ۬ وَجَنَّتُ نَعِيمٍ۬"
Basi ni Raha(Kubwa)Na Manukato(Mazuri) Na Mabustani yenye Neema.
Naam Hiyo ndio habari, Siku ya Kutolewa Roho ni siku ya (Furaha au Raha kubwa)usiyopata kuiona, Siku zote unajiona unafurahi, unacheza ngoma,muziki na hivi na vile, zote hizo sio furaha(Sababu zinatokea kwenye Akili), kwani furaha na raha ya kweli inatokea kwenye Roho, na wewe na mimi tuko kwenye misukosuko mikubwa hatuwezi kupata Raha, tunaonja chembe ya Raha, nayo ni katika tendo la Ndoa(sex) ndio maana unakwenda tena na tena ili upate hali hiyo, unagusa kitu chenye kuitwa (Bliss)kwa sekunde tu, ikisha unarudi katika hali yako ya tafran, lakini wakati wa kutolewa Roho kama ulikuwa mtu Mwema basi unapewa hali kama hiyo mara (Billion)furaha tupu, unakufa unaona raha, unakufa huku unacheka, Na dalili mnaziona wakati mnajitaarisha katika tendo la ndoa kwa wenye kujua siri na wasiojua yanafanyika mataarisho ya harufu nzuri, unajua kwanini ?, kwa sababu wakati ule mnakwenda kuyagusa maji ya uhai, na kama utakua (Alert) utapata (experience) vipi unakua (Sensitive) katika jambo la harufu, kwa sababu wakati ule Roho inashiriki, ndio maana huna (Control) na Roho ni yenye kupenda harufu nzuri, harufu nzuri inafatana na (Bliss).
Ndio utaona yanawekwa Manukato mazuri mazuri,nyudi zinachomwa, na hivyo ndio vyakula vya Roho, Kwa hiyo na siku ya kutolewa Roho yako, Elewa Mwenye Enzi Mungu sio kaupamba Ulimwengu huu kwa Mataa pekee bali na Manukato mazuri mazuri, Na wewe ukitolewa Roho unaanza kusikia Harufu nzuri za Manukato(Na Ukiwa maiti pia unatiwa harufu nzuri kwenye Mwili wako kwa ajili ya kuzikwa), Tahadhari sana ukimalizikia uhai wako unasikia harufu mbaya, ogopa dalili hizo jua huna marejeo mazuri, ndio utaona macho yanatutoka, khofu imetujaa kwa kuwa tunajua wapi tunamalizikia, Na jambo la tatu unaondoshewa pazia, huna haja ya kusubiri, ukiondoshwa upeo wa kuona ndio hapo unaanza kuona yaliyopo huko,(Ndio yule sahaba alivofunguliwa maono ya peponi wakati wa kutoka roho yake akasema,"Bora ingekua mbali, kwa ajili ya ule wema alomfanyia mtu wa kumbeba, na kile kipande cha mkate akasema bora ungekua mzima, na ile nguo akasema bora ingekua mpya)hayo ndio mambo alooneshwa akawa anapiga kelele, pengine alikua akipewa mfano kwa sisi wenye uhai sasa hivi tuyafanye, kama angetoa mkate mzima baada ya kupewa nyumba ya chini peponi, angepewa kasri ya dhahabu peponi.
Naam kwa hiyo dalili zinaanza hapa hapa wakati wa kutoka Roho yako. Na kama ulikuwa Mtu mwema wa kheri za kawaida aya ya 90-91 inofatia inasema unapata "usalama". Mollah wetu tujaalie katika hao, wala usitunyime ladha za kuionja pepo yako na mazuri yalioko huko.
Amin
Tuesday, October 30, 2018
ALAMA SITA ZA MWENYE ENZI MUNGU PART 1
Asalaam Aleiykum
Siku katika masiku ya mahudhurio yangu kwenye maziko nilifatwa na Mtu baada ya kuzika na kwa Mfadhaiko mkubwa akaniuliza hivyo Mzee wangu ndio kalala pale kaburini?, Hivi ndio utakua mwisho wetu wote sisi?, hivi tutakaa Kaburini kwa Muda gani?, Na nini habari ya lile dongo unalofunikwa nalo?. Nijulishe Mzee wangu ana hali gani sasa hivi. Nikamwambia uwepo wako ni ishara ya Mwenye enzi Mungu lakini kwa kuwa Akili yako imeshughulika na mambo mengine huzioni Ishara hizo, kwa wale wenye kufahamu Ishara za Mwenye enzi Mungu wanaelewa siku ya kuzaliwa(au Kutunga mimba)unaletwa na Malaika, Na siku ya kufa kwako pia unachukuliwa na Malaika.
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦۤ أَنۡ خَلَقَكُم مِّن تُرَابٍ۬ ثُمَّ إِذَآ أَنتُم بَشَرٌ۬ تَنتَشِرُونَ
Na Katika Ishara zake (Za kuonyesha uwepo wake)Ni huku kukuumbeni kwa udongo, kisha mekua watu mnaonea (Kutapakaa kila sehemu).
Mwanaadamu (Nature)yako ni udongo kwa hiyo usishughulike sana wakati unakwenda kwenye (Re-Cycle Process) Umeumbwa kwa udongo na unarudi kwenye hali ile ile ya udongo, wewe ni udongo kama lilivo jabali, ukuta, mti lakini najua khofu yako iko pahala pamoja, vipi itakua utakapofukiwa kwenye Ardhi, ndio maana Mtume s.a.w akahimiza nendeni makaburini, hudhurieni maziko, ukipata ufunuo wakuwa udongo unafukiwa wewe unabaki, Utapata nafuu fulani, utapata unyenyekevu kwenye Moyo wako wakutafuta Nani huyu Mwenye kubaki, Na Nani huyo Mwenye kujua kama anabaki, Na akibaki anakwenda wapi, Ukipata kuigundua hiyo (Separation) ndio utajua nini dini,Nani Mwenye Enzi Mungu, sio kusoma haisaidii lazima upate (Feeling) hizo wewe Mwenyewe, ujiulize nani huyu Mwenye wasiwasi wa kuzikwa, halafu ujiulize nini itakua habari yangu mimi, jibu langu kwa yule mtu likawa hivi, Ama kuhusu (Body)yako kweli inaoza chini ya Ardhi, lakini kuna kitu chengine Adhimu, kuna hiyo (Spirit)au Roho ndio wanopanda nayo Malaika na kuipeleka inapotakiwa(Huko Barzaq), kwa hiyo Binaadamu vitu viwili (Udongo)ni guo au jumba la kukaa hiyo Roho , na cha Pili ni hiyo Roho ndio yenye dhamana yote ya Maisha yako.
Naam na Ishara ya Pili ni hii:
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦۤ أَنۡ خَلَقَ لَكُم مِّنۡ أَنفُسِكُمۡ أَزۡوَٲجً۬ا لِّتَسۡكُنُوٓاْ إِلَيۡهَا وَجَعَلَ بَيۡنَڪُم مَّوَدَّةً۬ وَرَحۡمَةًۚ إِنَّ فِى ذَٲلِكَ لَأَيَـٰتٍ۬ لِّقَوۡمٍ۬ يَتَفَكَّرُونَ
Na Katika Ishara zake (Za kuonyesha Ihsani zake juu yenu) Ni kuwa Amekuumbieni wake zenu katika jinsi yenu ili mupate utulivu kwao, naye ameyajaalia mapenzi na huruma baina yenu, Bila shaka katika haya zimo ishara kwa watu wanaofikiri.
Watu gani wenye kufikiri ni wale walogundua kuwa huyu Mwenzangu ni nusu ya mimi, Nabii Adam alikua na Bibi Hawa Mbinguni wakafukuzwa ikisha wakapoteana, Na wewe na huyo ulonaye pia mlipoteana, Na sasa mekutana mpo pamoja na hizo ni ishara kubwa kama utazingatia, jiulize kwanini unaacha watu wote mpaka unamuoa fulani, imekuaje habari hiyo, mekutana vipi?, kwanini ikawa huyo ulonaye, Na katika Ishara zake mwanzo yanazuka mapenzi yakimalizika inabakia Rehma au ita huruma, unajua nini huruma?, Mapenzi ni Furaha, huruma ni kujitolea bila ya Masharti kama wafanyavo waume kwa wake zao na wake kwa waume zao.
Endelea part 2
Siku katika masiku ya mahudhurio yangu kwenye maziko nilifatwa na Mtu baada ya kuzika na kwa Mfadhaiko mkubwa akaniuliza hivyo Mzee wangu ndio kalala pale kaburini?, Hivi ndio utakua mwisho wetu wote sisi?, hivi tutakaa Kaburini kwa Muda gani?, Na nini habari ya lile dongo unalofunikwa nalo?. Nijulishe Mzee wangu ana hali gani sasa hivi. Nikamwambia uwepo wako ni ishara ya Mwenye enzi Mungu lakini kwa kuwa Akili yako imeshughulika na mambo mengine huzioni Ishara hizo, kwa wale wenye kufahamu Ishara za Mwenye enzi Mungu wanaelewa siku ya kuzaliwa(au Kutunga mimba)unaletwa na Malaika, Na siku ya kufa kwako pia unachukuliwa na Malaika.
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦۤ أَنۡ خَلَقَكُم مِّن تُرَابٍ۬ ثُمَّ إِذَآ أَنتُم بَشَرٌ۬ تَنتَشِرُونَ
Na Katika Ishara zake (Za kuonyesha uwepo wake)Ni huku kukuumbeni kwa udongo, kisha mekua watu mnaonea (Kutapakaa kila sehemu).
Mwanaadamu (Nature)yako ni udongo kwa hiyo usishughulike sana wakati unakwenda kwenye (Re-Cycle Process) Umeumbwa kwa udongo na unarudi kwenye hali ile ile ya udongo, wewe ni udongo kama lilivo jabali, ukuta, mti lakini najua khofu yako iko pahala pamoja, vipi itakua utakapofukiwa kwenye Ardhi, ndio maana Mtume s.a.w akahimiza nendeni makaburini, hudhurieni maziko, ukipata ufunuo wakuwa udongo unafukiwa wewe unabaki, Utapata nafuu fulani, utapata unyenyekevu kwenye Moyo wako wakutafuta Nani huyu Mwenye kubaki, Na Nani huyo Mwenye kujua kama anabaki, Na akibaki anakwenda wapi, Ukipata kuigundua hiyo (Separation) ndio utajua nini dini,Nani Mwenye Enzi Mungu, sio kusoma haisaidii lazima upate (Feeling) hizo wewe Mwenyewe, ujiulize nani huyu Mwenye wasiwasi wa kuzikwa, halafu ujiulize nini itakua habari yangu mimi, jibu langu kwa yule mtu likawa hivi, Ama kuhusu (Body)yako kweli inaoza chini ya Ardhi, lakini kuna kitu chengine Adhimu, kuna hiyo (Spirit)au Roho ndio wanopanda nayo Malaika na kuipeleka inapotakiwa(Huko Barzaq), kwa hiyo Binaadamu vitu viwili (Udongo)ni guo au jumba la kukaa hiyo Roho , na cha Pili ni hiyo Roho ndio yenye dhamana yote ya Maisha yako.
Naam na Ishara ya Pili ni hii:
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦۤ أَنۡ خَلَقَ لَكُم مِّنۡ أَنفُسِكُمۡ أَزۡوَٲجً۬ا لِّتَسۡكُنُوٓاْ إِلَيۡهَا وَجَعَلَ بَيۡنَڪُم مَّوَدَّةً۬ وَرَحۡمَةًۚ إِنَّ فِى ذَٲلِكَ لَأَيَـٰتٍ۬ لِّقَوۡمٍ۬ يَتَفَكَّرُونَ
Na Katika Ishara zake (Za kuonyesha Ihsani zake juu yenu) Ni kuwa Amekuumbieni wake zenu katika jinsi yenu ili mupate utulivu kwao, naye ameyajaalia mapenzi na huruma baina yenu, Bila shaka katika haya zimo ishara kwa watu wanaofikiri.
Watu gani wenye kufikiri ni wale walogundua kuwa huyu Mwenzangu ni nusu ya mimi, Nabii Adam alikua na Bibi Hawa Mbinguni wakafukuzwa ikisha wakapoteana, Na wewe na huyo ulonaye pia mlipoteana, Na sasa mekutana mpo pamoja na hizo ni ishara kubwa kama utazingatia, jiulize kwanini unaacha watu wote mpaka unamuoa fulani, imekuaje habari hiyo, mekutana vipi?, kwanini ikawa huyo ulonaye, Na katika Ishara zake mwanzo yanazuka mapenzi yakimalizika inabakia Rehma au ita huruma, unajua nini huruma?, Mapenzi ni Furaha, huruma ni kujitolea bila ya Masharti kama wafanyavo waume kwa wake zao na wake kwa waume zao.
Endelea part 2
ALAMA SITA ZA MWENYE ENZI MUNGU PART 2
Asalaam Aleiykum
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦ خَلۡقُ ٱلسَّمَـٰوَٲتِ وَٱلۡأَرۡضِ وَٱخۡتِلَـٰفُ أَلۡسِنَتِڪُمۡ وَأَلۡوَٲنِكُمۡۚ إِنَّ فِى ذَٲلِكَ لَأَيَـٰتٍ۬ لِّلۡعَـٰلِمِينَ
Na katika ishara zake(Za kuonesha uweza wake)Ni kuumba Mbingu na Ardhi, Na kuhitalifiana lugha zenu na rangi zenu, Kwa yakini katika haya zimo ishara kwa wenye ujuzi.
Sasa hivi tunapata Maalumati kutoka kwa wanasayansi vipi Mbingu ilivyo na Ardhi ilivyo. Ama kwa wenye ujuzi ni wale walotambua kuwa Mwenye enzi Mungu hana Lugha, lugha kakuumbieni nyinyi ili mpate kuwasiliana na hayo yamo kwenye (Utility)ya Akili, Na hilo la Rangi limo kwenye (Geographical Location). Wepi wenye ujuzi ni wale wenye kufanya utafiti(Wanasayansi).
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦ مَنَامُكُم بِٱلَّيۡلِ وَٱلنَّہَارِ وَٱبۡتِغَآؤُكُم مِّن فَضۡلِهِۦۤۚ إِنَّ فِى ذَٲلِكَ لَأَيَـٰتٍ۬ لِّقَوۡمٍ۬ يَسۡمَعُونَ
Na Katika Ishara zake(Za kuonesha hekima yake)Ni kulala kwenu usiku na (Kuamka)Mchana, Na kutafuta kwenu Fadhila yake, Hakika katika hayo zimo ishara kwa watu wanaosikia. Hakuna Mwanaadamu anoweza kuepuka kulala, ukiweza kukaa macho baada ya miezi miwili utaanza kusema peke yako na ukifika mwezi wa tatu unakufa, Na yale maajabu yakutafuta riziki kwa wengine kupewa zaidi na wengine kupewa kidogo. Wepi wenye kusikia ni wale Waloamini dalili za Mwenye Enzi Mungu.
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦ خَلۡقُ ٱلسَّمَـٰوَٲتِ وَٱلۡأَرۡضِ وَٱخۡتِلَـٰفُ أَلۡسِنَتِڪُمۡ وَأَلۡوَٲنِكُمۡۚ إِنَّ فِى ذَٲلِكَ لَأَيَـٰتٍ۬ لِّلۡعَـٰلِمِينَ
Na katika ishara zake(Za kuonesha uweza wake)Ni kuumba Mbingu na Ardhi, Na kuhitalifiana lugha zenu na rangi zenu, Kwa yakini katika haya zimo ishara kwa wenye ujuzi.
Sasa hivi tunapata Maalumati kutoka kwa wanasayansi vipi Mbingu ilivyo na Ardhi ilivyo. Ama kwa wenye ujuzi ni wale walotambua kuwa Mwenye enzi Mungu hana Lugha, lugha kakuumbieni nyinyi ili mpate kuwasiliana na hayo yamo kwenye (Utility)ya Akili, Na hilo la Rangi limo kwenye (Geographical Location). Wepi wenye ujuzi ni wale wenye kufanya utafiti(Wanasayansi).
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦ مَنَامُكُم بِٱلَّيۡلِ وَٱلنَّہَارِ وَٱبۡتِغَآؤُكُم مِّن فَضۡلِهِۦۤۚ إِنَّ فِى ذَٲلِكَ لَأَيَـٰتٍ۬ لِّقَوۡمٍ۬ يَسۡمَعُونَ
Na Katika Ishara zake(Za kuonesha hekima yake)Ni kulala kwenu usiku na (Kuamka)Mchana, Na kutafuta kwenu Fadhila yake, Hakika katika hayo zimo ishara kwa watu wanaosikia. Hakuna Mwanaadamu anoweza kuepuka kulala, ukiweza kukaa macho baada ya miezi miwili utaanza kusema peke yako na ukifika mwezi wa tatu unakufa, Na yale maajabu yakutafuta riziki kwa wengine kupewa zaidi na wengine kupewa kidogo. Wepi wenye kusikia ni wale Waloamini dalili za Mwenye Enzi Mungu.
ALAMA SITA ZA MWENYE ENZI MUNGU PART 3
Asalaam Aleiykum
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦ يُرِيڪُمُ ٱلۡبَرۡقَ خَوۡفً۬ا وَطَمَعً۬ا وَيُنَزِّلُ مِنَ ٱلسَّمَآءِ مَآءً۬ فَيُحۡىِۦ بِهِ ٱلۡأَرۡضَ بَعۡدَ مَوۡتِهَآۚ إِنَّ فِى ذَٲلِكَ لَأَيَـٰتٍ۬ لِّقَوۡمٍ۬ يَعۡقِلُونَ
Na katika Ishara zake (Za kuonesha nguvu zake) Ni kukuonesheni umeme kwa (Kukutieni)Khofu na Tamaa (Ya kuja mvua),Na kuyateremsha maji kutoka mawinguni, kwa hayo huifufua ardhi baada ya kufa kwake, Bila shaka katika haya zimo ishara kwa watu wanofahamu.
Ni ishara ya Umeme inayomshitua Mwanaadamu ndio maana hata ukifa kwa umeme au umenasa kidogo kwenye Umeme wanasema (Electric Shock), limetumika neno la kufufuliwa ili upate kujua mfano huo wa kufufuliwa ardhi na wewe umekuhusu, kama unafahamu sawa sawa au umeishughulisha akili utafahamu kuwa Ardhi inaishi kama unavoishi wewe, kwanini isiwe hivyo wakati wewe Mwenyewe Ardhi tupu, na ndio ukichunguza kwa undani utaona tafauti baina yako na (Body)Mwili wako, mnafanya kazi mbili tafauti, (Body) yako inafanya kazi zake (Automatic) na wewe Mwenyewe ni (Manual)lakini bado hujazipata fahamu hizo.
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦۤ أَن تَقُومَ ٱلسَّمَآءُ وَٱلۡأَرۡضُ بِأَمۡرِهِۦۚ ثُمَّ إِذَا دَعَاكُمۡ دَعۡوَةً۬ مِّنَ ٱلۡأَرۡضِ إِذَآ أَنتُمۡ تَخۡرُجُونَ
Na katika Ishara zake(Za kuonesha uwezo wake)Ni kuwa Mbingu na Ardhi zimesimama Kwa Amri yake, kisha atakapokuiteni wito mmoja tu (Nyote) mtatoka Ardhini.Ikiwa unafikiri, au una ujuzi, pengine unasikia au unafahamu basi katika Ulimwengu huu kuna sheria Mbili za Maumbile nazo ni (Levitation na Gravitation) ndio zilofanya Mbingu na Ardhi kusimama katika hesabu zake, Na itakapopulizwa hilo Baragumu (Sonic sound). Kumbuka hivi sasa Meumbwa kutokana na hiyo Ardhi na litakapopigwa parapanda hiyo hiyo Ardhi ndio itakukusanya tena kukupa (Body)mpya ili usimame Mbele ya Mollah wako. Huo ndio uwezo wa Mwenye enzi Mungu na ndizo Alama anazotupa ili tuzingatie tupate kumkumbuka yeye Muumba wetu.
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦ يُرِيڪُمُ ٱلۡبَرۡقَ خَوۡفً۬ا وَطَمَعً۬ا وَيُنَزِّلُ مِنَ ٱلسَّمَآءِ مَآءً۬ فَيُحۡىِۦ بِهِ ٱلۡأَرۡضَ بَعۡدَ مَوۡتِهَآۚ إِنَّ فِى ذَٲلِكَ لَأَيَـٰتٍ۬ لِّقَوۡمٍ۬ يَعۡقِلُونَ
Na katika Ishara zake (Za kuonesha nguvu zake) Ni kukuonesheni umeme kwa (Kukutieni)Khofu na Tamaa (Ya kuja mvua),Na kuyateremsha maji kutoka mawinguni, kwa hayo huifufua ardhi baada ya kufa kwake, Bila shaka katika haya zimo ishara kwa watu wanofahamu.
Ni ishara ya Umeme inayomshitua Mwanaadamu ndio maana hata ukifa kwa umeme au umenasa kidogo kwenye Umeme wanasema (Electric Shock), limetumika neno la kufufuliwa ili upate kujua mfano huo wa kufufuliwa ardhi na wewe umekuhusu, kama unafahamu sawa sawa au umeishughulisha akili utafahamu kuwa Ardhi inaishi kama unavoishi wewe, kwanini isiwe hivyo wakati wewe Mwenyewe Ardhi tupu, na ndio ukichunguza kwa undani utaona tafauti baina yako na (Body)Mwili wako, mnafanya kazi mbili tafauti, (Body) yako inafanya kazi zake (Automatic) na wewe Mwenyewe ni (Manual)lakini bado hujazipata fahamu hizo.
وَمِنۡ ءَايَـٰتِهِۦۤ أَن تَقُومَ ٱلسَّمَآءُ وَٱلۡأَرۡضُ بِأَمۡرِهِۦۚ ثُمَّ إِذَا دَعَاكُمۡ دَعۡوَةً۬ مِّنَ ٱلۡأَرۡضِ إِذَآ أَنتُمۡ تَخۡرُجُونَ
Na katika Ishara zake(Za kuonesha uwezo wake)Ni kuwa Mbingu na Ardhi zimesimama Kwa Amri yake, kisha atakapokuiteni wito mmoja tu (Nyote) mtatoka Ardhini.Ikiwa unafikiri, au una ujuzi, pengine unasikia au unafahamu basi katika Ulimwengu huu kuna sheria Mbili za Maumbile nazo ni (Levitation na Gravitation) ndio zilofanya Mbingu na Ardhi kusimama katika hesabu zake, Na itakapopulizwa hilo Baragumu (Sonic sound). Kumbuka hivi sasa Meumbwa kutokana na hiyo Ardhi na litakapopigwa parapanda hiyo hiyo Ardhi ndio itakukusanya tena kukupa (Body)mpya ili usimame Mbele ya Mollah wako. Huo ndio uwezo wa Mwenye enzi Mungu na ndizo Alama anazotupa ili tuzingatie tupate kumkumbuka yeye Muumba wetu.
Sunday, September 30, 2018
MAZOEZI YA KUFA PART 1
Asalaam Aleiykum
Mungu kampa Zawadi Mbili Mwanaadamu kwa ajili ya Mapenzi alonayo kwa viumbe vyake, Zawadi ya kwanza ni Maisha ya Umauti, Kwa ajili hiyo ndio utaona mtoto akizaliwa kitu cha mwanzo anatafuta kuvuta pumzi, Na kama hajavuta pumzi utaona madaktari wanavo hangaika kuhakikisha mtoto anahema, Napenda ufahamu Pumzi ni daraja la kuishi.
Halafu zawadi ya pili ni uhai, Na jambo hili la uhai linamalizika kwa kitendo cha mwisho cha Binaadamu kutoa pumzi. Kutokana na mifano hiyo miwili yanapatikana katika umri wetu wote mazoezi ya kufa, Kuna alama mbili ambazo ikiwa utazingatia utaziona (Mtoto kitendo cha kwanza kuvuta pumzi, na Mtu mzima anapokufa kitendo cha mwisho anachofanya ni kutoa pumzi)za mwisho.
Kutokana na mifano hiyo inapatikana Alama ya kuzaliwa kwako na kufa kwako. Tuko katika Ulimwengu huu kila mmoja wetu ni Marehemu mtarajiwa, kama utajua ukweli huo basi utakua huna haja ya kukimbia ukweli huo ulotuzunguka kila pembe ya maisha yetu.
Naam ikiwa ukweli ni huo mimi na wewe tumejiandaa vipi na tukio hili la Umauti, Sasa kama bado unapuuza tukio hili au unakimbia kadhia hii ya mazoezi ya kufa basi nakuletea Alama ya pili nayo ni Usingizi. Aliposema Mwenye Enzi Mungu anachukua Roho za Waja wake wakati wamelala, Unashangaa na kupata wasiwasi inakuaje, hali kama hiyo?, ukaleta ubishi mbona nikilala naendelea kuhema Roho inachukuliwa vipi?. Tuko katika darsa ya (Mazoezi ya Kufa) Na mimi nakupeleka katika uvutaji wa Pumzi, jaribu kuzifata pumzi zako mwanzo mpaka mwisho zinapoishia, hapo kuna kitu utagundua iwe siri yako Mwenyewe, iko (Gap) ambayo pumzi zishakwisha lakini wewe hujafa ukiweza kuigundua ukaipata (Gap) hiyo hapo utakutana na kile kisichokufa.
Naam tunaendelea na darsa yetu, tuko katika alama ya pili kama wewe unaendelea kuleta ubishi unafahamishwa mbona hata machine inafanya kazi hiyo ya kuuweka mwili wako usioze, ukaendelea kuhema, mpaka madaktari wakasema sasa tuzime machine. Kwa hiyo Roho yako haitegemei kuhema, kuhema ni kazi ya Mwili na Akili yako.
Endelea Part 2
Mungu kampa Zawadi Mbili Mwanaadamu kwa ajili ya Mapenzi alonayo kwa viumbe vyake, Zawadi ya kwanza ni Maisha ya Umauti, Kwa ajili hiyo ndio utaona mtoto akizaliwa kitu cha mwanzo anatafuta kuvuta pumzi, Na kama hajavuta pumzi utaona madaktari wanavo hangaika kuhakikisha mtoto anahema, Napenda ufahamu Pumzi ni daraja la kuishi.
Halafu zawadi ya pili ni uhai, Na jambo hili la uhai linamalizika kwa kitendo cha mwisho cha Binaadamu kutoa pumzi. Kutokana na mifano hiyo miwili yanapatikana katika umri wetu wote mazoezi ya kufa, Kuna alama mbili ambazo ikiwa utazingatia utaziona (Mtoto kitendo cha kwanza kuvuta pumzi, na Mtu mzima anapokufa kitendo cha mwisho anachofanya ni kutoa pumzi)za mwisho.
Kutokana na mifano hiyo inapatikana Alama ya kuzaliwa kwako na kufa kwako. Tuko katika Ulimwengu huu kila mmoja wetu ni Marehemu mtarajiwa, kama utajua ukweli huo basi utakua huna haja ya kukimbia ukweli huo ulotuzunguka kila pembe ya maisha yetu.
Naam ikiwa ukweli ni huo mimi na wewe tumejiandaa vipi na tukio hili la Umauti, Sasa kama bado unapuuza tukio hili au unakimbia kadhia hii ya mazoezi ya kufa basi nakuletea Alama ya pili nayo ni Usingizi. Aliposema Mwenye Enzi Mungu anachukua Roho za Waja wake wakati wamelala, Unashangaa na kupata wasiwasi inakuaje, hali kama hiyo?, ukaleta ubishi mbona nikilala naendelea kuhema Roho inachukuliwa vipi?. Tuko katika darsa ya (Mazoezi ya Kufa) Na mimi nakupeleka katika uvutaji wa Pumzi, jaribu kuzifata pumzi zako mwanzo mpaka mwisho zinapoishia, hapo kuna kitu utagundua iwe siri yako Mwenyewe, iko (Gap) ambayo pumzi zishakwisha lakini wewe hujafa ukiweza kuigundua ukaipata (Gap) hiyo hapo utakutana na kile kisichokufa.
Naam tunaendelea na darsa yetu, tuko katika alama ya pili kama wewe unaendelea kuleta ubishi unafahamishwa mbona hata machine inafanya kazi hiyo ya kuuweka mwili wako usioze, ukaendelea kuhema, mpaka madaktari wakasema sasa tuzime machine. Kwa hiyo Roho yako haitegemei kuhema, kuhema ni kazi ya Mwili na Akili yako.
Endelea Part 2
MAZOEZI YA KUFA PART 2
Asalaam Aleiykum
Umo katika darsa ya Mazingatio ya kufa, na hicho ni kitendo pekee ambacho hakika kitatokea, kama ulivozaliwa na lazima upitie katika kadhia hii ya Umauti, sikusudii kukutisha hilo nawaachia Masheikh, mimi nakuandaa na Ukweli ulokuzunguka ili usikwepe majukumu yako, kwa sababu siku zote tunazani kifo kinatokea kwa wenzetu na sisi siku yetu iko mbali, hivyo sivyo siku zetu zishakaribia ila tunasubiri wakati.
Basi kama umo katika safari hii fupi ya maisha wacha sasa nikuchukue katika Alama ya tatu nayo ni kuzeeka kwako, Alama hiyo ni ile ya kupungua uwezo wa vitu ndani ya Mwili wako, na dalili zake ndio hayo Maradhi, au kwa lugha nyengine tunaita uzee. Kwa Matukio hayo utajiona kumbe unaishi baina ya Mauti na Uhai. Ukivuta pumzi uhai na ukitoa pumzi ni Mauti.
Sasa jiulize kwanini dini zote zinasisitiza uhudhurie Maziko au ukadhuru Makaburi, hapo kuna hekima gani, ushapata kujiuliza, jee unajua nini kinatokea, na kwanini ikawa lazima mazikoni au makaburini?. Nini siri ya Jambo hili, Umo katika mazoezi ya kufa pata habari kamili uwe katika walojiandaa, siku hii hata ikitokea ghfla ujue safari ishawadia, Kwanini Mauti, Nini Kitakukumbusha kwenye huyo Maiti?. Itabidi turudi kwenye Mahudhurio ya Mazishi, Watu wengi wanakwenda Mazikoni lakini wanakosa madhumuni halisi ya kitendo chenyewe cha kuzika. Utaona Masheikh wanakimbilia kuonesha kuwa wao wanajua kuzika, na wale walohudhuria wanakua wameshughulika kubadilishana number za simu, na hadith za mitaani, hapo tena utaona wanafanya haraka haraka na kumfukia maiti ikisha hao wanakwenda zao.
Sio lazima muoneshe misimamo au Iman zenu kwenye Miili ya watu wa watu, utaona wanawaambia watu kaeni kimya na kila mtu amuombee Maiti kimya kimya. Unajua maana ya kimya?(Be silent) hiyo ni (Meditation) unatakiwa ufanye mazoezi ndio uweze kukaa kimya, au unaweza kuwa kimya nje, ndani unatukana mwanzo mpaka mwisho, iangalie Akili yako kutwa inasema, kamata kalamu uandike, chukua dakika 10 tu halafu uone umeweza kukaa kimya?, ukiweza kukaa kimya basi nenda sasa ukaombe dua ya Ikhlas, na hivi ndivo tunavo wafanyia Maiti zetu tuna tupa na kwenda zetu, Alipoambiwa Mtume s.a.w akae kimya ni kwa ajili ya wale wanafiki wa dini, ndio ikateremka aya usiwaombee kwenye makaburi yao, lakini vyengine alikua akiomba tena kwa sauti, na masahaba wakubwa wakubwa walikua wakenda na kusoma Quraan juu ya Makaburi.
Sasa ukiwaambia watu kaeni kimya maana yake (Be Silent)maana yake kuwa kimya nje na ndani ndio utaweza kutoa dua ya Ikhlas vyenginevyo Matusi matupu, kwa sababu watu wamo kwenye mazungumzo ya kidunia, ghafla unawaambia kaeni kimya muombeeni dua Maiti ya (Sincere) jambo hilo haliwezekani kabisa.
Wacha niwaeleze kisa hapa ili na nyinyi mpate faida muhimu. Dua ya Ikhlas inatokea Moyoni kule kwenye kutokea machozi kwa mfano, Na wewe Moyoni umehama siku nyingi hata kulia huwezi tena,kutokana na mambo kadhaa uliyoyafanya unayajua mwenyewe, Nikupeni kisa cha Mwanangu siku moja nilimwambia Acha kutizama TV ili usali, kwa bahati Msala ulikua karibu na alikua kashatia Udhu, moja kwa moja akafunga Sala, Alivomaliza kusali nikamwambia mbona hujatia Nia ya Sala?, akanijibu tumefundishwa Nia haina nafasi katika Ulimi, wewe una nyanyuka na ufunge Sala.Nikataka kumfundisha kwa Lugha ya kijitu kizima lakini nikaona hatonifahamu.
Nilimuuliza wakati ulipokua unasali ulikua unafikiri nini?, Akanijibu nikwambie ukweli Baba nilikua naangalia ile film ndani ya Sala mwanzo mpaka mwisho, Na hayo ndio mafundisho yenu mnayopewa, Sasa pata faida ya Nia uijue kwa undani, kwa sababu watu watachukua kihadithi kimoja ndio watafanya dini nzima ime (Base) Na hadith hiyo, nasema hadith inaweza kuwa kweli au ya uongo au ya udhaifu, sasa mimi nakupa kitu cha ukweli unachoweza kukithibitisha Mwenyewe bila ya Hadith.Kwanini ikaletwa Nia, Nifahamishe vizuri hapa ifahamike, Ukiwa wewe ni Mcha Mungu huna haja ya Nia, Kwa sababu Wewe unaishi kwenye moyo, Na kuishi kwenye moyo ndio Taqwa. Ama kwa sisi tunoishi kwenye Akili, ndio wenye hekima kwa huruma zao wakatupa zawadi ya Nia kwa ajili ya kukata mazungumzo, au nyimbo, au matusi, ndio ikawa unasema nanuia kusali Sala fulani kwa sauti ya kujisikia mwenyewe rakaa fulani na mimi ni Maamuma au Imam, hiyo ni nyenzo ya kukufanya uweze kuingia na kushuka kwenye moyo ili uwe (Hadhir)(Alert) upate chembe ya unyenyekevu. Sasa vipi na wewe utaifahamu siri hii . Endelea part 3
Umo katika darsa ya Mazingatio ya kufa, na hicho ni kitendo pekee ambacho hakika kitatokea, kama ulivozaliwa na lazima upitie katika kadhia hii ya Umauti, sikusudii kukutisha hilo nawaachia Masheikh, mimi nakuandaa na Ukweli ulokuzunguka ili usikwepe majukumu yako, kwa sababu siku zote tunazani kifo kinatokea kwa wenzetu na sisi siku yetu iko mbali, hivyo sivyo siku zetu zishakaribia ila tunasubiri wakati.
Basi kama umo katika safari hii fupi ya maisha wacha sasa nikuchukue katika Alama ya tatu nayo ni kuzeeka kwako, Alama hiyo ni ile ya kupungua uwezo wa vitu ndani ya Mwili wako, na dalili zake ndio hayo Maradhi, au kwa lugha nyengine tunaita uzee. Kwa Matukio hayo utajiona kumbe unaishi baina ya Mauti na Uhai. Ukivuta pumzi uhai na ukitoa pumzi ni Mauti.
Sasa jiulize kwanini dini zote zinasisitiza uhudhurie Maziko au ukadhuru Makaburi, hapo kuna hekima gani, ushapata kujiuliza, jee unajua nini kinatokea, na kwanini ikawa lazima mazikoni au makaburini?. Nini siri ya Jambo hili, Umo katika mazoezi ya kufa pata habari kamili uwe katika walojiandaa, siku hii hata ikitokea ghfla ujue safari ishawadia, Kwanini Mauti, Nini Kitakukumbusha kwenye huyo Maiti?. Itabidi turudi kwenye Mahudhurio ya Mazishi, Watu wengi wanakwenda Mazikoni lakini wanakosa madhumuni halisi ya kitendo chenyewe cha kuzika. Utaona Masheikh wanakimbilia kuonesha kuwa wao wanajua kuzika, na wale walohudhuria wanakua wameshughulika kubadilishana number za simu, na hadith za mitaani, hapo tena utaona wanafanya haraka haraka na kumfukia maiti ikisha hao wanakwenda zao.
Sio lazima muoneshe misimamo au Iman zenu kwenye Miili ya watu wa watu, utaona wanawaambia watu kaeni kimya na kila mtu amuombee Maiti kimya kimya. Unajua maana ya kimya?(Be silent) hiyo ni (Meditation) unatakiwa ufanye mazoezi ndio uweze kukaa kimya, au unaweza kuwa kimya nje, ndani unatukana mwanzo mpaka mwisho, iangalie Akili yako kutwa inasema, kamata kalamu uandike, chukua dakika 10 tu halafu uone umeweza kukaa kimya?, ukiweza kukaa kimya basi nenda sasa ukaombe dua ya Ikhlas, na hivi ndivo tunavo wafanyia Maiti zetu tuna tupa na kwenda zetu, Alipoambiwa Mtume s.a.w akae kimya ni kwa ajili ya wale wanafiki wa dini, ndio ikateremka aya usiwaombee kwenye makaburi yao, lakini vyengine alikua akiomba tena kwa sauti, na masahaba wakubwa wakubwa walikua wakenda na kusoma Quraan juu ya Makaburi.
Sasa ukiwaambia watu kaeni kimya maana yake (Be Silent)maana yake kuwa kimya nje na ndani ndio utaweza kutoa dua ya Ikhlas vyenginevyo Matusi matupu, kwa sababu watu wamo kwenye mazungumzo ya kidunia, ghafla unawaambia kaeni kimya muombeeni dua Maiti ya (Sincere) jambo hilo haliwezekani kabisa.
Wacha niwaeleze kisa hapa ili na nyinyi mpate faida muhimu. Dua ya Ikhlas inatokea Moyoni kule kwenye kutokea machozi kwa mfano, Na wewe Moyoni umehama siku nyingi hata kulia huwezi tena,kutokana na mambo kadhaa uliyoyafanya unayajua mwenyewe, Nikupeni kisa cha Mwanangu siku moja nilimwambia Acha kutizama TV ili usali, kwa bahati Msala ulikua karibu na alikua kashatia Udhu, moja kwa moja akafunga Sala, Alivomaliza kusali nikamwambia mbona hujatia Nia ya Sala?, akanijibu tumefundishwa Nia haina nafasi katika Ulimi, wewe una nyanyuka na ufunge Sala.Nikataka kumfundisha kwa Lugha ya kijitu kizima lakini nikaona hatonifahamu.
Nilimuuliza wakati ulipokua unasali ulikua unafikiri nini?, Akanijibu nikwambie ukweli Baba nilikua naangalia ile film ndani ya Sala mwanzo mpaka mwisho, Na hayo ndio mafundisho yenu mnayopewa, Sasa pata faida ya Nia uijue kwa undani, kwa sababu watu watachukua kihadithi kimoja ndio watafanya dini nzima ime (Base) Na hadith hiyo, nasema hadith inaweza kuwa kweli au ya uongo au ya udhaifu, sasa mimi nakupa kitu cha ukweli unachoweza kukithibitisha Mwenyewe bila ya Hadith.Kwanini ikaletwa Nia, Nifahamishe vizuri hapa ifahamike, Ukiwa wewe ni Mcha Mungu huna haja ya Nia, Kwa sababu Wewe unaishi kwenye moyo, Na kuishi kwenye moyo ndio Taqwa. Ama kwa sisi tunoishi kwenye Akili, ndio wenye hekima kwa huruma zao wakatupa zawadi ya Nia kwa ajili ya kukata mazungumzo, au nyimbo, au matusi, ndio ikawa unasema nanuia kusali Sala fulani kwa sauti ya kujisikia mwenyewe rakaa fulani na mimi ni Maamuma au Imam, hiyo ni nyenzo ya kukufanya uweze kuingia na kushuka kwenye moyo ili uwe (Hadhir)(Alert) upate chembe ya unyenyekevu. Sasa vipi na wewe utaifahamu siri hii . Endelea part 3
MAZOEZI YA KUFA PART 3
Asalaam Aleiykum
Naam Nikamwambia Mwanangu nataka kukufundisha kitu, kwani unafahamu Mwanaadamu anasikia kwa kutumia nini? akanijibu masikio, Nikamwambia Tia Vidole vya kati masikioni uyazibe kabisa kwa nguvu, nikaanza kuongea, akanambia mwanzo ilikua (Silent)halafu (Very strange things happen)nikaanza kusikia kupitia kifuani, Nikamwambia hapo ndio inaptakiwa kutokea Nia, Dua na Sala yako, Na wewe Fanya (Experiment)utalijua hilo, Kama isivojulikana sauti inatokea wapi, Na huko kusikojulikana kunatakiwa kutoke Dua ya ikhlas, Kwa kuwa tumehama siku nyingi hatuna tena mapenzi kwenye nyoyo zetu, Na hususan wale wenye kuukimbilia Usheikh wajitahidi sana kuwa na mapenzi, yako mafundisho ntakupeni kama mtataka kurudi kwenye moyo, kama mtataka ku (Fall in love)Mfanye nini, Wacha nikufundishe njia hii labda unaweza kupata mapenzi, unaweza kuwa Mtu wa Taqwa, ufanye nini?.Mazoezi hayo mwanzo yatakushitua lakini hayana neno baada ya miezi utajiona vipi umebadilika, Raha kubwa itashuka juu ya nafsi yako, mazoezi haya yako ya aina mbili moja ni kurudi kwa hiyari nayo ni (Surrender) na ya pili (By force) ni Ku (Imagine)kila ukikumbuka jione huna(Imagine) (Kichwa).
Hapo utajiona vipi mawazo yanavotoweka, utaanza kuona ajabu baada ya kufikiri kwa Akili sasa unatumia moyo, kidogo kidogo utakua unashuka Moyoni, utaanza kupenda kila kitu, Wanyama, miti wanaadamu, Na hapo ndio utaanza kuupandisha mti wa Taqwa moyoni mwako, hapo ndio unaweza kuomba dua kwa ikhlas.
Naam tulikua tunachuma matunda ya fahamu sasa turejee kwenye darsa yetu ya Mazoezi ya kufa, kwanini makaburini, kwanini Maiti, ulipoambiwa uhudhurie viwili hivyo dhumuni ni kukufanya uzinduke na kukutana na kile chenye kuishi milele. Lakini mnakwenda Kuzika umebeba na duka lako, umebeba urafiki au hadith za mipira au za kisiasa. Kutokana na hali hiyo mambo muhimu yanakupita huyaoni kabisa. vipi unatakiwa ufanye ukenda kuzika, sio utupe maiti ikisha huyo ukimbie, Unatakiwa Fikra na mawazo yako yote yazingatie huyo maiti toka mwanzo mpaka mwisho anazikwa, upate nafasi uone vipi anatolewa, vipi anazikwa, vipi anafukiwa, nini kinatokea, ikiwa unakwenda mazikoni kikweli kweli basi itakua rahisi kwako wewe baada ya miezi kadhaa kugundua Almasi, kitu adhimu kabisa utakijua, kama mwanzo nilivokwambia kuna kitu baina ya kuvuta pumzi na kutoa na hapa makaburini, kiko kitu pia kama utakifatilia na kuzinduka, utaona (Energy) Maalum, utaona kinachozikwa ni kiwiliwili tu, Na wewe Kiburi kitakutoka kwa mara ya Mwanzo utakautana na kusutana na nafsi yako kwamba wewe ni (Nothingness)ukipata zawadi ya kuamka mazikoni(Your life)haitokua ile ile tena utagundua kitu muhimu sana, hutokubali tena kuondoka makaburini bila ya kuomba dua, utafunguliwa pazia na utapata kujua kwanini tunamsalia maiti, na huyu anosaliwa anafaidika vipi, hilo litakuandaa vizuri na mazoezi haya ya kufa, nakupa changa moto mengine kayatafute Mwenyewe Inshaallah Mwenye enzi Mungu atakufungulia kuyaona ili khofu ya kufa ikutoke kwa ajili ya matendo mema, kwa ajili ya kumpenda Mollah wako, nimekujulisha mawili matatu natumai yatakusaidia kwenye mazoezi yako. Nakuomba niombee kama ninavokuombea.
Mollah tupe takhfif wakati wa kutoka Roho zetu, tuletee Manukato mazuri ya Janat firdous yawe maliwazo yetu kwa ajili ya kukutana na Wewe, utukutanishe na wenzetu walo wema, tudumishe kwenye Ibada utupe Mwisho Mwema, tuongoze katika njia ilonyooka kama ulivo waongoza walopita, wala usitutie Sheitani tukawa na viburi na kufanya mambo tusoyajua mpaka umetubainishia ukweli ulotoka kwako.
Amin
Naam Nikamwambia Mwanangu nataka kukufundisha kitu, kwani unafahamu Mwanaadamu anasikia kwa kutumia nini? akanijibu masikio, Nikamwambia Tia Vidole vya kati masikioni uyazibe kabisa kwa nguvu, nikaanza kuongea, akanambia mwanzo ilikua (Silent)halafu (Very strange things happen)nikaanza kusikia kupitia kifuani, Nikamwambia hapo ndio inaptakiwa kutokea Nia, Dua na Sala yako, Na wewe Fanya (Experiment)utalijua hilo, Kama isivojulikana sauti inatokea wapi, Na huko kusikojulikana kunatakiwa kutoke Dua ya ikhlas, Kwa kuwa tumehama siku nyingi hatuna tena mapenzi kwenye nyoyo zetu, Na hususan wale wenye kuukimbilia Usheikh wajitahidi sana kuwa na mapenzi, yako mafundisho ntakupeni kama mtataka kurudi kwenye moyo, kama mtataka ku (Fall in love)Mfanye nini, Wacha nikufundishe njia hii labda unaweza kupata mapenzi, unaweza kuwa Mtu wa Taqwa, ufanye nini?.Mazoezi hayo mwanzo yatakushitua lakini hayana neno baada ya miezi utajiona vipi umebadilika, Raha kubwa itashuka juu ya nafsi yako, mazoezi haya yako ya aina mbili moja ni kurudi kwa hiyari nayo ni (Surrender) na ya pili (By force) ni Ku (Imagine)kila ukikumbuka jione huna(Imagine) (Kichwa).
Hapo utajiona vipi mawazo yanavotoweka, utaanza kuona ajabu baada ya kufikiri kwa Akili sasa unatumia moyo, kidogo kidogo utakua unashuka Moyoni, utaanza kupenda kila kitu, Wanyama, miti wanaadamu, Na hapo ndio utaanza kuupandisha mti wa Taqwa moyoni mwako, hapo ndio unaweza kuomba dua kwa ikhlas.
Naam tulikua tunachuma matunda ya fahamu sasa turejee kwenye darsa yetu ya Mazoezi ya kufa, kwanini makaburini, kwanini Maiti, ulipoambiwa uhudhurie viwili hivyo dhumuni ni kukufanya uzinduke na kukutana na kile chenye kuishi milele. Lakini mnakwenda Kuzika umebeba na duka lako, umebeba urafiki au hadith za mipira au za kisiasa. Kutokana na hali hiyo mambo muhimu yanakupita huyaoni kabisa. vipi unatakiwa ufanye ukenda kuzika, sio utupe maiti ikisha huyo ukimbie, Unatakiwa Fikra na mawazo yako yote yazingatie huyo maiti toka mwanzo mpaka mwisho anazikwa, upate nafasi uone vipi anatolewa, vipi anazikwa, vipi anafukiwa, nini kinatokea, ikiwa unakwenda mazikoni kikweli kweli basi itakua rahisi kwako wewe baada ya miezi kadhaa kugundua Almasi, kitu adhimu kabisa utakijua, kama mwanzo nilivokwambia kuna kitu baina ya kuvuta pumzi na kutoa na hapa makaburini, kiko kitu pia kama utakifatilia na kuzinduka, utaona (Energy) Maalum, utaona kinachozikwa ni kiwiliwili tu, Na wewe Kiburi kitakutoka kwa mara ya Mwanzo utakautana na kusutana na nafsi yako kwamba wewe ni (Nothingness)ukipata zawadi ya kuamka mazikoni(Your life)haitokua ile ile tena utagundua kitu muhimu sana, hutokubali tena kuondoka makaburini bila ya kuomba dua, utafunguliwa pazia na utapata kujua kwanini tunamsalia maiti, na huyu anosaliwa anafaidika vipi, hilo litakuandaa vizuri na mazoezi haya ya kufa, nakupa changa moto mengine kayatafute Mwenyewe Inshaallah Mwenye enzi Mungu atakufungulia kuyaona ili khofu ya kufa ikutoke kwa ajili ya matendo mema, kwa ajili ya kumpenda Mollah wako, nimekujulisha mawili matatu natumai yatakusaidia kwenye mazoezi yako. Nakuomba niombee kama ninavokuombea.
Mollah tupe takhfif wakati wa kutoka Roho zetu, tuletee Manukato mazuri ya Janat firdous yawe maliwazo yetu kwa ajili ya kukutana na Wewe, utukutanishe na wenzetu walo wema, tudumishe kwenye Ibada utupe Mwisho Mwema, tuongoze katika njia ilonyooka kama ulivo waongoza walopita, wala usitutie Sheitani tukawa na viburi na kufanya mambo tusoyajua mpaka umetubainishia ukweli ulotoka kwako.
Amin
Friday, August 31, 2018
SHAHIDI WA SHUHUDA PART 1
Asalaam Aleiykum
Jee umeshawahi kukutana na Shahidi wa Shuhuda?.
Basi ikiwa hujakutana nae Wacha nikuchukue katika safari ili tukamtafute huyu Shuhuda, Kwanini nikaitaja Safari kwa sababu safari ni muhimu sana katika kugundua mambo mepya, usikubali kukaa sehemu moja utakua hugundui au kujifunza mambo mepya, Ndio Maana Nabii Musa a.s akaambiwa nenda kwa Mja wetu tulompa elimu, Na wewe usikae pahala pamoja na ukasoma kitabu kimoja utakuja kuondoka Ulimwenguni hapa huna faida hata moja, nenda kasome pita ukitafuta huku na kule asaa kuna siku na wewe utafunguliwa Mlango wa Shuhuda, Na utakapo ingia katika Jumba la Shuhuda unakua Mtu Mwengine kabisa. Kila Mmoja wetu anao uwezekano huo ila tunashindana kati juhudi ya kuutafuta mji huu wa Shuhuda.
Leo nimeanza darsa yangu kwa kukuletea mfano wa safari, Ikiwa wewe Mweupe au Mweusi ntakupeleka Mji usika ili usipoteze lengo, Basi wacha tuanze na Mtu Mweusi kama nilivyo mimi, Kama wewe Mweusi Fikiria nimekutoa Tanzania nimekupeleka (Nigeria)katikati ya Jiji la lagos, huna Jina, hujui lugha, wala mtu yoyote yule, Na wala hao watu hawakujui umetokea wapi, (Label)zote zimepotea, Nini Habari yako itakua katika mji huo wa kigeni?. Hilo litakujulisha jambo moja kwamba kwenye Kwenye Ulimwengu huu Wewe umekuja huna Jina, huna Lugha, Hujui chochote, Ama kuhusu majina unapewa na Wazazi wako (Label)kama begi vile, ili ukitaka kutumwa au kusomeshwa wapate kukutambua, ikisha wanakurithisha na Lugha ili mpate kuwasiliana wanaita (Mother Tongue) vikikamilika hivyo sasa wanakupeleka (School)huko Shule ndipo unakwenda kuliwa nyama, umechunguza wewe kwamba huko (School) ndio unatumia masaa mengi kuliko nyumbani, hapo tena wanaijaza Akili yako mpaka ikijaa, wanakukabidhi kwenye Jamii ambako nako inafanyika kazi ya wewe Uishi vipi, kunaigia fujo ya kila aina mpaka unachagua kujijua na kujinata mie (Fulani) au nimetoka nchi fulani.
endelea part 2
Jee umeshawahi kukutana na Shahidi wa Shuhuda?.
Basi ikiwa hujakutana nae Wacha nikuchukue katika safari ili tukamtafute huyu Shuhuda, Kwanini nikaitaja Safari kwa sababu safari ni muhimu sana katika kugundua mambo mepya, usikubali kukaa sehemu moja utakua hugundui au kujifunza mambo mepya, Ndio Maana Nabii Musa a.s akaambiwa nenda kwa Mja wetu tulompa elimu, Na wewe usikae pahala pamoja na ukasoma kitabu kimoja utakuja kuondoka Ulimwenguni hapa huna faida hata moja, nenda kasome pita ukitafuta huku na kule asaa kuna siku na wewe utafunguliwa Mlango wa Shuhuda, Na utakapo ingia katika Jumba la Shuhuda unakua Mtu Mwengine kabisa. Kila Mmoja wetu anao uwezekano huo ila tunashindana kati juhudi ya kuutafuta mji huu wa Shuhuda.
Leo nimeanza darsa yangu kwa kukuletea mfano wa safari, Ikiwa wewe Mweupe au Mweusi ntakupeleka Mji usika ili usipoteze lengo, Basi wacha tuanze na Mtu Mweusi kama nilivyo mimi, Kama wewe Mweusi Fikiria nimekutoa Tanzania nimekupeleka (Nigeria)katikati ya Jiji la lagos, huna Jina, hujui lugha, wala mtu yoyote yule, Na wala hao watu hawakujui umetokea wapi, (Label)zote zimepotea, Nini Habari yako itakua katika mji huo wa kigeni?. Hilo litakujulisha jambo moja kwamba kwenye Kwenye Ulimwengu huu Wewe umekuja huna Jina, huna Lugha, Hujui chochote, Ama kuhusu majina unapewa na Wazazi wako (Label)kama begi vile, ili ukitaka kutumwa au kusomeshwa wapate kukutambua, ikisha wanakurithisha na Lugha ili mpate kuwasiliana wanaita (Mother Tongue) vikikamilika hivyo sasa wanakupeleka (School)huko Shule ndipo unakwenda kuliwa nyama, umechunguza wewe kwamba huko (School) ndio unatumia masaa mengi kuliko nyumbani, hapo tena wanaijaza Akili yako mpaka ikijaa, wanakukabidhi kwenye Jamii ambako nako inafanyika kazi ya wewe Uishi vipi, kunaigia fujo ya kila aina mpaka unachagua kujijua na kujinata mie (Fulani) au nimetoka nchi fulani.
endelea part 2
SHAHIDI WA SHUHUDA PART 2
Asalaam Aleiykum
Ukifika hapo "Mwenye enzi Mungu" anakuzindua ili ikuondoke Ari na kiburi na jeuri ilokuingia anakukumbusha (Quraan-Hujarat aya 13).
"يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقۡنَـٰكُم مِّن ذَكَرٍ۬ وَأُنثَىٰ وَجَعَلۡنَـٰكُمۡ شُعُوبً۬ا وَقَبَآٮِٕلَ لِتَعَارَفُوٓاْۚ إِنَّ أَڪۡرَمَكُمۡ عِندَ ٱللَّهِ أَتۡقَٮٰكُمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ۬ "
Enyi Watu Kwa hakika tumekuumbeni(nyote) Kwa Mwanaume(Mmoja Adam)Na Mwanamke (Mmoja Hawa) Na tumekufanyieni Mataifa na Makabila(Mbali mbali) ili mjuane, Hakika ahishimiwaye sana Miongoni mwenu Mbele ya Mwenye enzi Mungu ni yule amchaye Mungu zaidi katika nyinyi. Kwa yakini Mwenye enzi Mungu ni mjuzi, Mwenye habari (za Mambo yote).
Naam Maneno yana mazingatio makubwa, Unajulishwa wewe ni kiumbe ima uwe mwanamke au mwanaume hapa kwenye Ulimwengu huu huna chako, vyote vimezibitiwa na Mollah wako, umekuja Ulimwenguni hapa huna hata jina, na hayo mlopewa Utaifa au huo Ukabila wako ni njia ya kukufanya mjuane, msije mkapigana vikumbo, kwa sababu nyinyi ni viumbe, Umekuja Ulimwenguni hapa hata nguo hukuvaa, hushangai pale mtoto akizaliwa anaitwa nani? (Nameless)ni Mgeni au kiumbe kilovamia Dunia hii na kime(Surrender)kiumbe hiki kuna watu wata (Take care)Basi Nakukumbusha na siku yako ya kufa pia kuna Viumbe upande wa pili wana (Take care) tena kama ulivokuja mara ya mwanzo.
Hivyo vitu ulivyo navyo ni kwa Matumizi ya (Temprory) kwenye Ulimwengu huu, Sasa unatakiwa ufanye nini khasa ikiwa hivi vyote ni vitu vya mpito, Hapo ndio inaingia Maana ya Dini. Dini Mafundisho yake utafute Ukaribu na Mollah wako, ndio inaitwa (Taqwa)lakini vipi utapata ukaribu na Mollah wako wakati hupo karibu hata kwako Mwenyewe, Kuipata (Taqwa) lazima uwe umefika katika ( A state) au hali ya Ushuhuda, sasa swali vipi unakutana na hali hiyo ya Ushuhuda, ndipo unapoambiwa Shahidi kashuhudia.
Endelea part 3
Ukifika hapo "Mwenye enzi Mungu" anakuzindua ili ikuondoke Ari na kiburi na jeuri ilokuingia anakukumbusha (Quraan-Hujarat aya 13).
"يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقۡنَـٰكُم مِّن ذَكَرٍ۬ وَأُنثَىٰ وَجَعَلۡنَـٰكُمۡ شُعُوبً۬ا وَقَبَآٮِٕلَ لِتَعَارَفُوٓاْۚ إِنَّ أَڪۡرَمَكُمۡ عِندَ ٱللَّهِ أَتۡقَٮٰكُمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ۬ "
Enyi Watu Kwa hakika tumekuumbeni(nyote) Kwa Mwanaume(Mmoja Adam)Na Mwanamke (Mmoja Hawa) Na tumekufanyieni Mataifa na Makabila(Mbali mbali) ili mjuane, Hakika ahishimiwaye sana Miongoni mwenu Mbele ya Mwenye enzi Mungu ni yule amchaye Mungu zaidi katika nyinyi. Kwa yakini Mwenye enzi Mungu ni mjuzi, Mwenye habari (za Mambo yote).
Naam Maneno yana mazingatio makubwa, Unajulishwa wewe ni kiumbe ima uwe mwanamke au mwanaume hapa kwenye Ulimwengu huu huna chako, vyote vimezibitiwa na Mollah wako, umekuja Ulimwenguni hapa huna hata jina, na hayo mlopewa Utaifa au huo Ukabila wako ni njia ya kukufanya mjuane, msije mkapigana vikumbo, kwa sababu nyinyi ni viumbe, Umekuja Ulimwenguni hapa hata nguo hukuvaa, hushangai pale mtoto akizaliwa anaitwa nani? (Nameless)ni Mgeni au kiumbe kilovamia Dunia hii na kime(Surrender)kiumbe hiki kuna watu wata (Take care)Basi Nakukumbusha na siku yako ya kufa pia kuna Viumbe upande wa pili wana (Take care) tena kama ulivokuja mara ya mwanzo.
Hivyo vitu ulivyo navyo ni kwa Matumizi ya (Temprory) kwenye Ulimwengu huu, Sasa unatakiwa ufanye nini khasa ikiwa hivi vyote ni vitu vya mpito, Hapo ndio inaingia Maana ya Dini. Dini Mafundisho yake utafute Ukaribu na Mollah wako, ndio inaitwa (Taqwa)lakini vipi utapata ukaribu na Mollah wako wakati hupo karibu hata kwako Mwenyewe, Kuipata (Taqwa) lazima uwe umefika katika ( A state) au hali ya Ushuhuda, sasa swali vipi unakutana na hali hiyo ya Ushuhuda, ndipo unapoambiwa Shahidi kashuhudia.
Endelea part 3
SHAHIDI WA SHUHUDA PART 3
Asalaam Aleiykum
Hapa sasa ndio tunaingia katika Muujiza wetu wa Shuhuda, Wewe Binaadamu ni (unique Being)Na katika hiyo (Being)yako ndio inapatikana (Taqwa)lakini lazima ujue au ufate (Process)zake ndio ufanikiwe, Sasa tuingie kwenye Darsa, Mnyama au Wewe nyote mkizaliwa mnapata sifa au sehemu ya kuona na kusikia, ndio maana utaona Mtoto anapita katika (Process)ya kuuliza hichi nini, yule nani, Kwa hiyo katika njia ya Shahidi anapatikana na Shuhuda.
Ntafafanua ili mpate kunifahamu, Wewe hapo ulipo ukitizama kitu unagawika mafungu mawili, mtazamaji na chenye kutizamwa, lakini huwezi kufahamu lazima kiingie cha tatu hapo, Nayo ndio hiyo Akili, kwa hiyo utaona Akili ni neema kubwa ya kuweza kutujulisha sisi hicho chenye kutizamwa ni kitu gani, ndio maana kama huna Akili utasikia lakini hujui umesikia nini, na utaona pia hujui umeona nini, Ndio maana Akili ikaitwa Neema Kubwa kutoka kwa Mollah wetu, Lakini sasa matatizo yetu tunabaki kwenye Akili, na hapo ndipo sote tuna haribikiwa, kwa sababu Akili ni yenye kukusanya Mambo na kutufundisha tu ndio kazi yake, ndio wengi tunasalia hapo, ikisha tunzunguka baina ya (Past and Future), Lakini ukizinduka utaelewa kiko kitu cha nne, tena nakwambia kwa uhakika hichi cha nne siwezi kukizungumzia sijui nini, lakini naweza kusema nimekutana nacho na miujiza yake haielezeki, ila ntakufahamisha ikiwa utanifahamu basi na wewe utafanya kazi ya kukitafuta hakiji kwa jitihada zako ila kwa Rehma za Mwenye enzi Mungu akitaka kukuonesha, na hicho ni kitu cha Nne ndio hiyo Shuhuda, ukipata hicho hutobaki kuwa Binaadamu wa kawaida maisha yako yatabadilika.
Sasa kumbuka ile aya ilotaja Mollah wako alipowaambia Malaika anataka kuumba Mwanaadamu, ikisha akamfundisha majina, rudi pale kabla ya kufundishwa, hiyo ndio (Being) yako, hapo ndipo inapoishi Taqwa, Kuna anaye tizama, kinachotizamwa ikisha inaingia Akili kutafisiri, sasa jiulize huyu wa Nne Mwenye kuyajua hayo yote nani?. ukiweza kufahamu utakua ushaingia kwenye Taqwa, na hapo ndio (Bliss)hutoki tena, na hayo ndio makaazi yako, hapo ndio nyumbani, lakini tumetoka haturudi mpaka siku ile ya kufa, ukirudi sasa hivi utakua furahani, utatoka msibani, madhila yatakupungua, dhanmbi hutendi tena, hamu zitakatika, katika hali hiyo haijui maradhi, kama vile isivojua kuzeeka, jichunguze kuna nyakati unajiona (Body) imezeeka lakini wewe bado hiyo ndio Shuhuda ipate hiyo upate Taqwa.
Hapa sasa ndio tunaingia katika Muujiza wetu wa Shuhuda, Wewe Binaadamu ni (unique Being)Na katika hiyo (Being)yako ndio inapatikana (Taqwa)lakini lazima ujue au ufate (Process)zake ndio ufanikiwe, Sasa tuingie kwenye Darsa, Mnyama au Wewe nyote mkizaliwa mnapata sifa au sehemu ya kuona na kusikia, ndio maana utaona Mtoto anapita katika (Process)ya kuuliza hichi nini, yule nani, Kwa hiyo katika njia ya Shahidi anapatikana na Shuhuda.
Ntafafanua ili mpate kunifahamu, Wewe hapo ulipo ukitizama kitu unagawika mafungu mawili, mtazamaji na chenye kutizamwa, lakini huwezi kufahamu lazima kiingie cha tatu hapo, Nayo ndio hiyo Akili, kwa hiyo utaona Akili ni neema kubwa ya kuweza kutujulisha sisi hicho chenye kutizamwa ni kitu gani, ndio maana kama huna Akili utasikia lakini hujui umesikia nini, na utaona pia hujui umeona nini, Ndio maana Akili ikaitwa Neema Kubwa kutoka kwa Mollah wetu, Lakini sasa matatizo yetu tunabaki kwenye Akili, na hapo ndipo sote tuna haribikiwa, kwa sababu Akili ni yenye kukusanya Mambo na kutufundisha tu ndio kazi yake, ndio wengi tunasalia hapo, ikisha tunzunguka baina ya (Past and Future), Lakini ukizinduka utaelewa kiko kitu cha nne, tena nakwambia kwa uhakika hichi cha nne siwezi kukizungumzia sijui nini, lakini naweza kusema nimekutana nacho na miujiza yake haielezeki, ila ntakufahamisha ikiwa utanifahamu basi na wewe utafanya kazi ya kukitafuta hakiji kwa jitihada zako ila kwa Rehma za Mwenye enzi Mungu akitaka kukuonesha, na hicho ni kitu cha Nne ndio hiyo Shuhuda, ukipata hicho hutobaki kuwa Binaadamu wa kawaida maisha yako yatabadilika.
Sasa kumbuka ile aya ilotaja Mollah wako alipowaambia Malaika anataka kuumba Mwanaadamu, ikisha akamfundisha majina, rudi pale kabla ya kufundishwa, hiyo ndio (Being) yako, hapo ndipo inapoishi Taqwa, Kuna anaye tizama, kinachotizamwa ikisha inaingia Akili kutafisiri, sasa jiulize huyu wa Nne Mwenye kuyajua hayo yote nani?. ukiweza kufahamu utakua ushaingia kwenye Taqwa, na hapo ndio (Bliss)hutoki tena, na hayo ndio makaazi yako, hapo ndio nyumbani, lakini tumetoka haturudi mpaka siku ile ya kufa, ukirudi sasa hivi utakua furahani, utatoka msibani, madhila yatakupungua, dhanmbi hutendi tena, hamu zitakatika, katika hali hiyo haijui maradhi, kama vile isivojua kuzeeka, jichunguze kuna nyakati unajiona (Body) imezeeka lakini wewe bado hiyo ndio Shuhuda ipate hiyo upate Taqwa.
Tuesday, July 31, 2018
MAAJABU YA UHAI PART 1
Asalaam Aleiykum
Binaadamu tunaishi katika kiza kikubwa cha (Sahau) Ndani ya kiza hiki tunavishana vyeo vya kila aina, vyengine vya utajiri, umasikini, ushujaa, uhodari, na kadhalika lakini tunasahau Udhaifu wetu sisi kuwa hatuwezi kutenda lolote bila kupewa fursa hiyo na Mwenye enzi Mungu. Walimwengu tunajinasibu na mambo mengi tuyafanyao lakini tunasahau kuwa sio sisi wenye kutenda, Na linalotufanya kusahau ni kile kiburi cha sisi kumsahau yule alotuumba akatujaalia uwezo wa kutenda.
Kuna mambo mingi ya mfano ambayo kila ukenda (Deep)kwa kuyatafakari utajikuta kuwa sisi wanaadamu ni viumbe dhaifu kabisa na wenye kumtegemea Mollah wetu kwa kila kitu.
Hakuna kitu chenye kunipa furaha kama nikitafakari na kuisoma sura ya (Al-Qalam)aya ya 1-2, "Naapa kwa Kalamu, Na wayaandikayo (Kwa kalamu hiyo)""Kwa Neema ya Mollah wako wewe si Mwendawazimu".
Sasa nikiangalia Akili naona ni kitengo maalum cha Mwanaadamu kuwasiliana na Ulimwengu wa Nje, Na hii ni Neema kubwa kutoka kwa Mollah wetu, Na wala haukua huu ni wenda wazimu, ila wazimu tunajitia wenyewe pale tunapokwenda kinyume na kuandika yasotakiwa(Ita Dhanmbi, haramu)utaamua Mwenyewe mimi niko naogelea kwenye darsa ya Ajabu ya Maisha na hapa leo nakutana na ajabu hizo ambazo nimechagua ni (Share) na wewe.
Naam Ikiwa Akili kazi yake kuandika na kurekodi, basi lazima vipatikane vitu vyengine vyenye kuwasiliana na Akili(Medium)au vipeleka habari. Ukiwa unakubaliana na mimi tuendelee part 2 tupate habari zaidi ya (Ajabu ya Maisha).
Binaadamu tunaishi katika kiza kikubwa cha (Sahau) Ndani ya kiza hiki tunavishana vyeo vya kila aina, vyengine vya utajiri, umasikini, ushujaa, uhodari, na kadhalika lakini tunasahau Udhaifu wetu sisi kuwa hatuwezi kutenda lolote bila kupewa fursa hiyo na Mwenye enzi Mungu. Walimwengu tunajinasibu na mambo mengi tuyafanyao lakini tunasahau kuwa sio sisi wenye kutenda, Na linalotufanya kusahau ni kile kiburi cha sisi kumsahau yule alotuumba akatujaalia uwezo wa kutenda.
Kuna mambo mingi ya mfano ambayo kila ukenda (Deep)kwa kuyatafakari utajikuta kuwa sisi wanaadamu ni viumbe dhaifu kabisa na wenye kumtegemea Mollah wetu kwa kila kitu.
Hakuna kitu chenye kunipa furaha kama nikitafakari na kuisoma sura ya (Al-Qalam)aya ya 1-2, "Naapa kwa Kalamu, Na wayaandikayo (Kwa kalamu hiyo)""Kwa Neema ya Mollah wako wewe si Mwendawazimu".
Sasa nikiangalia Akili naona ni kitengo maalum cha Mwanaadamu kuwasiliana na Ulimwengu wa Nje, Na hii ni Neema kubwa kutoka kwa Mollah wetu, Na wala haukua huu ni wenda wazimu, ila wazimu tunajitia wenyewe pale tunapokwenda kinyume na kuandika yasotakiwa(Ita Dhanmbi, haramu)utaamua Mwenyewe mimi niko naogelea kwenye darsa ya Ajabu ya Maisha na hapa leo nakutana na ajabu hizo ambazo nimechagua ni (Share) na wewe.
Naam Ikiwa Akili kazi yake kuandika na kurekodi, basi lazima vipatikane vitu vyengine vyenye kuwasiliana na Akili(Medium)au vipeleka habari. Ukiwa unakubaliana na mimi tuendelee part 2 tupate habari zaidi ya (Ajabu ya Maisha).
MAAJABU YA UHAI PART 2
Asalaam Aleiykum
Vitu hivyo vyenye kuwasiliana na Akili vimepewa jina na kuitwa ( 5 Sense)"Kuona, kusikia,kutaste,kunusa na kugusa" vyote hivi vina(Report)kwenye Akili, Akili kazi yake kuandika au kurecord, Sasa ikiwa Akili inapelekewa kila kitu ina maana Akili ni nyenzo kama nyenzo nyengine za kutendea kazi katika Mwili wako, Tukiweza kuitenga Akili au kuiweka pembeni lazima tukubaliane kuzifata hizo (Sense)tujue nazo zinapata wa nguvu au uwezo wa kuripoti kwa Akili.
Inatubidi tujiulize nini (Source) yake, iweje hata tunaweza kuona, kusikia, kuhisi,kugusa,kutest, ni lazima kuna (Original source)ambayo inatoa (Command) hizo, na kama ipo basi itakua ndio inotuma (Massage) kwenye (Sense) na (Sense) ndio inapeleka (Massage) kwenye Akili, Na ni lazima hii (Source) iwe (Advance) kuliko (Sense) kuliko Akili yenyewe, kazi kubwa Mwanaadamu inatakiwa uifanye kuijua hii (Original source) Na Maajabu ya hii (Source)daima imejificha.
Ukiweza kuifahamu hii (Source), kwanini nikasema kuifahamu, kwa sababu ningesema kuijua ingebidi nitumie Akili, vitu vyote vinojulikana unatumia Akili, lakini visivojulikana inatumika Fahamu, ndio maana yakaitwa Maajabu, kuna vitu vinatokea havikai kwenye (Memory) unashangaa ilikuaje ikatokea vile, hesabu, maana zote zinapotea, huna (Reason) kabisa ya kuhusisha kilochotokea na maisha ya kawaida unabaki kunyamaza kimya huko ndiko kufahamu.
Ukiona unajua basi hiyo imetokea katika dunia ya Akili, kumbuka siku zote kujua kumehusiana na Akili. Naam Kwa hiyo hicho ninachozungumza sio cha Ulimwengu huu, hiyo (Source) huwezi kuigusa, huwezi kuiona, huwezi kuihisi lakini unafahamu hii (Source) ni Mimi, kama vile ukiamka unavojifahamu nimeamka, lakini cha ajabu ukilala hujifahamu kama umelala?, unajua kwanini kwa sababu ukiamka unatumia Akili kujua kuwa umeamka, mara moja moja ukiamka ghafla, au umeshituka bado hujawasiliana na Akili utajikuta unajiuliza mie nani, niko wapi hapo hujapata (Contact) ya kujua, lakini unajifahamu mie kitu fulani(The Being).
Sasa utatupa shida ukitaka tukufahamishe wewe nani, kwa sababu wakati unalala (Sense) zinaondoka lakini wewe uko pale pale.
Endelea Part 3
Vitu hivyo vyenye kuwasiliana na Akili vimepewa jina na kuitwa ( 5 Sense)"Kuona, kusikia,kutaste,kunusa na kugusa" vyote hivi vina(Report)kwenye Akili, Akili kazi yake kuandika au kurecord, Sasa ikiwa Akili inapelekewa kila kitu ina maana Akili ni nyenzo kama nyenzo nyengine za kutendea kazi katika Mwili wako, Tukiweza kuitenga Akili au kuiweka pembeni lazima tukubaliane kuzifata hizo (Sense)tujue nazo zinapata wa nguvu au uwezo wa kuripoti kwa Akili.
Inatubidi tujiulize nini (Source) yake, iweje hata tunaweza kuona, kusikia, kuhisi,kugusa,kutest, ni lazima kuna (Original source)ambayo inatoa (Command) hizo, na kama ipo basi itakua ndio inotuma (Massage) kwenye (Sense) na (Sense) ndio inapeleka (Massage) kwenye Akili, Na ni lazima hii (Source) iwe (Advance) kuliko (Sense) kuliko Akili yenyewe, kazi kubwa Mwanaadamu inatakiwa uifanye kuijua hii (Original source) Na Maajabu ya hii (Source)daima imejificha.
Ukiweza kuifahamu hii (Source), kwanini nikasema kuifahamu, kwa sababu ningesema kuijua ingebidi nitumie Akili, vitu vyote vinojulikana unatumia Akili, lakini visivojulikana inatumika Fahamu, ndio maana yakaitwa Maajabu, kuna vitu vinatokea havikai kwenye (Memory) unashangaa ilikuaje ikatokea vile, hesabu, maana zote zinapotea, huna (Reason) kabisa ya kuhusisha kilochotokea na maisha ya kawaida unabaki kunyamaza kimya huko ndiko kufahamu.
Ukiona unajua basi hiyo imetokea katika dunia ya Akili, kumbuka siku zote kujua kumehusiana na Akili. Naam Kwa hiyo hicho ninachozungumza sio cha Ulimwengu huu, hiyo (Source) huwezi kuigusa, huwezi kuiona, huwezi kuihisi lakini unafahamu hii (Source) ni Mimi, kama vile ukiamka unavojifahamu nimeamka, lakini cha ajabu ukilala hujifahamu kama umelala?, unajua kwanini kwa sababu ukiamka unatumia Akili kujua kuwa umeamka, mara moja moja ukiamka ghafla, au umeshituka bado hujawasiliana na Akili utajikuta unajiuliza mie nani, niko wapi hapo hujapata (Contact) ya kujua, lakini unajifahamu mie kitu fulani(The Being).
Sasa utatupa shida ukitaka tukufahamishe wewe nani, kwa sababu wakati unalala (Sense) zinaondoka lakini wewe uko pale pale.
Endelea Part 3
MAAJABU YA UHAI PART 3
Asalaam Aleiykum
Binaadamu ukipata bahati ya kwenda (Beyond) ya viwili hivyo utafika pahala yaani (Akili na Sense) utapata maarifa ya kuwa (Super Being) kwanini nikasema maarifa kwa sababu Akili haipo tena, sense hazipo tena, unabahatika wakati Mwengine kwenye usingizi wako, ukajiona unapaa unakwenda sehemu za ajabu lakini kama nilivosema unakua hujui nini kimetokea, hujui ni kweli au ndoto, lakini umeona mambo ya ajabu na unashindwa kuyaeleza, na tafauti ni hii ukiweza kuhadithia basi ujue ni ndoto, na ukishindwa kuhadithia basi ni hiyo daraja ya (super being).
Mambo hayo hayo unayaokutana nayo yakawa hayana maelezo, hujui useme nini na hayo hayo yako kwenye huu mfano hai, ambao kwa sasa unafahamu unaishi lakini hujui (Source)yako ya maisha, hujawahi hata siku moja kufanya maulizo ya maisha yako, wewe na mnyama mnaishi sawa sawa, tafauti moja mnyama hajui kama atakufa wewe unajua, lakini hujapata kujiuliza nini haya maajabu ya uhai, nini (source)yake kwanini na lala nikiamka?.
Ukipata Ushujaa wa kuanza kwenda katika maulizo hayo ya nini uhai, ndipo utajikuta kwamba wewe sichochote, unaishi ndani ya hiyo "(Qadir)ya Mwenye enzi Mungu alosema akitaka jambo liwe linakuwa". Utaanza kujua kidogo kidogo kumbe mimi hata uwezo wa kuhema sina ila Mwenye enzi Mungu wangu ndio Mwenye kunifanyia Neema hii ya kuvuta pumzi, utauona udhaifu wako, hata kuzaliwa kwako utaelewa kuwa umeletwa hapa duniani, utaacha kufanya (Birthday)zote, utashangaa ukijua kumbe kukutana kwa watu wawili kwa njia ya mapenzi ndio limetokea tukio la mimi kuja Ulimwenguni humu. Utafahamu uzuri zaidi ikiwa pumzi mpaka atake Mwenye enzi Mungu basi na huo Utajiri au Akili ulizonazo basi (Source)yake ni Mwenye enzi Mungu, yeye ndio anosababisha kila jambo katika Ulimwengu huu.
Ukiona unajenga majumba, unasaidia Maskini, unanunua magari basi ujue sio wewe kuna (Source)inayokuwezesha ili uwe hivo, Kwa Mapenzi ya Mollah wako umechaguliwa wewe kwa muda kushika madaraka hayo, ndio maana kuna msemo (Tumekuja bila ya kitu na tutaondoka bila ya kitu).La Muhimu (Find yourself) halafu ishi katika (Being)yako, hapo ndio kwenye makaazi ya Taqwa, hutegemei Akili tena katika kuishi ila Unamtegemea Mollah wako, hapo Kiburi kitaondoka, chuki haikai tena, Tamaa huna tena, mahitaji ya dunia utayapa mgongo, na kila kitakachotokea utakua unajua kwa uhakika kimetoka kwa Mollah wako na utakua Mwepesi wa kupokea, utakua umeunganisha maisha yako baina ya Ardhi na Mbingu una (Dis-Appear) ungali uhai, na hiyo ndio (Bliss).
Binaadamu ukipata bahati ya kwenda (Beyond) ya viwili hivyo utafika pahala yaani (Akili na Sense) utapata maarifa ya kuwa (Super Being) kwanini nikasema maarifa kwa sababu Akili haipo tena, sense hazipo tena, unabahatika wakati Mwengine kwenye usingizi wako, ukajiona unapaa unakwenda sehemu za ajabu lakini kama nilivosema unakua hujui nini kimetokea, hujui ni kweli au ndoto, lakini umeona mambo ya ajabu na unashindwa kuyaeleza, na tafauti ni hii ukiweza kuhadithia basi ujue ni ndoto, na ukishindwa kuhadithia basi ni hiyo daraja ya (super being).
Mambo hayo hayo unayaokutana nayo yakawa hayana maelezo, hujui useme nini na hayo hayo yako kwenye huu mfano hai, ambao kwa sasa unafahamu unaishi lakini hujui (Source)yako ya maisha, hujawahi hata siku moja kufanya maulizo ya maisha yako, wewe na mnyama mnaishi sawa sawa, tafauti moja mnyama hajui kama atakufa wewe unajua, lakini hujapata kujiuliza nini haya maajabu ya uhai, nini (source)yake kwanini na lala nikiamka?.
Ukipata Ushujaa wa kuanza kwenda katika maulizo hayo ya nini uhai, ndipo utajikuta kwamba wewe sichochote, unaishi ndani ya hiyo "(Qadir)ya Mwenye enzi Mungu alosema akitaka jambo liwe linakuwa". Utaanza kujua kidogo kidogo kumbe mimi hata uwezo wa kuhema sina ila Mwenye enzi Mungu wangu ndio Mwenye kunifanyia Neema hii ya kuvuta pumzi, utauona udhaifu wako, hata kuzaliwa kwako utaelewa kuwa umeletwa hapa duniani, utaacha kufanya (Birthday)zote, utashangaa ukijua kumbe kukutana kwa watu wawili kwa njia ya mapenzi ndio limetokea tukio la mimi kuja Ulimwenguni humu. Utafahamu uzuri zaidi ikiwa pumzi mpaka atake Mwenye enzi Mungu basi na huo Utajiri au Akili ulizonazo basi (Source)yake ni Mwenye enzi Mungu, yeye ndio anosababisha kila jambo katika Ulimwengu huu.
Ukiona unajenga majumba, unasaidia Maskini, unanunua magari basi ujue sio wewe kuna (Source)inayokuwezesha ili uwe hivo, Kwa Mapenzi ya Mollah wako umechaguliwa wewe kwa muda kushika madaraka hayo, ndio maana kuna msemo (Tumekuja bila ya kitu na tutaondoka bila ya kitu).La Muhimu (Find yourself) halafu ishi katika (Being)yako, hapo ndio kwenye makaazi ya Taqwa, hutegemei Akili tena katika kuishi ila Unamtegemea Mollah wako, hapo Kiburi kitaondoka, chuki haikai tena, Tamaa huna tena, mahitaji ya dunia utayapa mgongo, na kila kitakachotokea utakua unajua kwa uhakika kimetoka kwa Mollah wako na utakua Mwepesi wa kupokea, utakua umeunganisha maisha yako baina ya Ardhi na Mbingu una (Dis-Appear) ungali uhai, na hiyo ndio (Bliss).
Friday, June 15, 2018
SALA YA JAMAA PART 1
Asalaam Aleiykum
Ametukuka yule aliyeumba Nafsi moja ikisha Akutajaalia Fahamu, Namuomba atupe Fahamu ya kuelewa kuwa kwenye enzi yake sote tuko sawa na hatuna tafauti, Ila kuna ubora kwa yule atakaye mpenda Mollah wake zaidi na kumtii.
Kabla ya kuingia kwenye darsa hii kuna kitu napenda nifahamishe ili msije kuifananisha darsa hii na darsa ya (Sala ya Msikiti), kwa sababu kuna baadhi ya watu wanaona kuwa (Kaka na keki)ni neno moja, kumbe ni maneno mawili tafauti na wala hayana mahusiano.
Kwenye hii darsa ya (Sala ya Jamaa)tunakwenda kuchambua jambo lengine kabisa lenye faida na wewe ikiwa utalizingatia, Kwanini nikasema hivyo, kwa sababu unaweza kwenda Msikitini kusali lakini usisali sala ya "Jamaa" ila ukasali sala ya "Msikitini".
Najua unashangaa, ni vizuri kushangaa ndio mwanzo wa kujua, huko ndio kuweka wazi mifupa ya fahamu ili (Nipate kuifanyia Operation). Kufanya hivyo utapata kuelewa vizuri ipi Sala ya Msikitini na ipi sala ya Jamaa, Sasa tuingie kwenye darsa, Ipi Sala ya msikitini?, Sala ya Msikitini ni ile ambayo wengi wetu tunakwenda tukifika hapo tunasalishwa na "Maimam" wenye viburi, au ana mambo sio mema kwenye jamii yalochanganya kila kitu, na nyinyi mnajua ila mnanyamaza kimya na kumuachia aendelee kukuongozeni kwenye Sala zenu, Au Nyinyi wenyewe mna "Viburi"(Ego)Huu Msikiti wetu wa kundi fulani, unakwenda kwenye nyumba hiyo ya Ibada unanuia kusali Rakaa nne na katika manuizi yako unanuia maamuma japo unajua Imam ana mushkeli fulani, au una yakini hapa ninaposali haruhusiwi Imam au Sheikh Mwengine kusalisha, isipokua awe mtu wenu, hiyo ndio Sala ya Msikitini, ambayo sio mbaya ila utalipwa kama (indivisual) na sio Jamaa.
Halafu kuna aina nyengine ya Sala ambayo leo tutapiga mbizi ili tuogelee kwenye hii Sala ya Jamaa tuone ikoje Sala hii halafu utaamua mwenyewe unataka kusali sala ya msikitini au sala ya Jamaa, uamuzi ni wako wewe, basi kabla ya kuchupa kwenye bahari hiyo wacha tupate faida mbili tatu za baadhi ya mambo ili upate kujua, usije ukakatazwa usifanye kumbe vina faida na wewe.
Kuna baadhi ya makatazo unakatazwa na wewe bila ya kufikiria unayakubali hata hujiulizi ni faida yake, kama kutia nia kuna clip zinasambazwa kukataza jambo hilo, sawa hatukatai lakini wacha na sisi kabla ya kukataa tuangalie kwanini jambo hili lililetwa?.
Endelea Part 2
Ametukuka yule aliyeumba Nafsi moja ikisha Akutajaalia Fahamu, Namuomba atupe Fahamu ya kuelewa kuwa kwenye enzi yake sote tuko sawa na hatuna tafauti, Ila kuna ubora kwa yule atakaye mpenda Mollah wake zaidi na kumtii.
Kabla ya kuingia kwenye darsa hii kuna kitu napenda nifahamishe ili msije kuifananisha darsa hii na darsa ya (Sala ya Msikiti), kwa sababu kuna baadhi ya watu wanaona kuwa (Kaka na keki)ni neno moja, kumbe ni maneno mawili tafauti na wala hayana mahusiano.
Kwenye hii darsa ya (Sala ya Jamaa)tunakwenda kuchambua jambo lengine kabisa lenye faida na wewe ikiwa utalizingatia, Kwanini nikasema hivyo, kwa sababu unaweza kwenda Msikitini kusali lakini usisali sala ya "Jamaa" ila ukasali sala ya "Msikitini".
Najua unashangaa, ni vizuri kushangaa ndio mwanzo wa kujua, huko ndio kuweka wazi mifupa ya fahamu ili (Nipate kuifanyia Operation). Kufanya hivyo utapata kuelewa vizuri ipi Sala ya Msikitini na ipi sala ya Jamaa, Sasa tuingie kwenye darsa, Ipi Sala ya msikitini?, Sala ya Msikitini ni ile ambayo wengi wetu tunakwenda tukifika hapo tunasalishwa na "Maimam" wenye viburi, au ana mambo sio mema kwenye jamii yalochanganya kila kitu, na nyinyi mnajua ila mnanyamaza kimya na kumuachia aendelee kukuongozeni kwenye Sala zenu, Au Nyinyi wenyewe mna "Viburi"(Ego)Huu Msikiti wetu wa kundi fulani, unakwenda kwenye nyumba hiyo ya Ibada unanuia kusali Rakaa nne na katika manuizi yako unanuia maamuma japo unajua Imam ana mushkeli fulani, au una yakini hapa ninaposali haruhusiwi Imam au Sheikh Mwengine kusalisha, isipokua awe mtu wenu, hiyo ndio Sala ya Msikitini, ambayo sio mbaya ila utalipwa kama (indivisual) na sio Jamaa.
Halafu kuna aina nyengine ya Sala ambayo leo tutapiga mbizi ili tuogelee kwenye hii Sala ya Jamaa tuone ikoje Sala hii halafu utaamua mwenyewe unataka kusali sala ya msikitini au sala ya Jamaa, uamuzi ni wako wewe, basi kabla ya kuchupa kwenye bahari hiyo wacha tupate faida mbili tatu za baadhi ya mambo ili upate kujua, usije ukakatazwa usifanye kumbe vina faida na wewe.
Kuna baadhi ya makatazo unakatazwa na wewe bila ya kufikiria unayakubali hata hujiulizi ni faida yake, kama kutia nia kuna clip zinasambazwa kukataza jambo hilo, sawa hatukatai lakini wacha na sisi kabla ya kukataa tuangalie kwanini jambo hili lililetwa?.
Endelea Part 2
SALA YA JAMAA PART 2
Asalaam Aleyikum
Naam nini Nia?, Nia ni kusudio la kutenda jambo, sasa swali wapi kusudio hili linaishi na vipi linakuja mpaka likawa hai?. Tendo hili la Nia linaishi kwenye (Moyo) hiyo ni kwa lugha nyepesi, Kwa lugha ngumu tutaita kwenye (Roho) au lugha ya sayansi tuite (Subconscious)yako.
Ndio Maana hadith maarufu ya (Mtume s.a.w)ikasema "Hakika ya Amal yoyote ni kwenye Nia yako", Unaweza kuingia kwenye Ibada bila ya kutamka chochote, hiyo ni sawa na vizuri sana, lakini kufanya hivyo kuna shuruti lazima wewe uwe katika wale wenye kutajwa wanamkumbuka Mollah wao wakiwa wamesimama au kukaa au wamelala, hao wanaweza kufanya Ibada zao bila ya manuizi, kwa sababu wao wakati wote wako pamoja na Mollah wao, lakini matatizo yanakuja pale mimi na wewe ambao nusu tumelala na nusu tuko macho, sisi nini tunatakiwa tufanye inabidi tuamshwe, ndio ikawekwa Adhana, kukumbushwa wakati wa sala, halafu inatubidi mimi na wewe tukurupuke sio kama hatujijui ila tunafanya manuizi ili kuunganisha (subconscious na conscious)kumbuka dakika tano zilopita ulikua pengine unatizama mpira au kusikiliza nyimbo, kwa hiyo ili uipate Sala yako kikamilifu unaondoka kwenye (Conscious)ya kusikiliza mazungumzo unaipeleka kuungana na kile kilichokuja kika kukumbusha sasa hivi kusali, ikiwa utakwenda kwenye sala bila ya kujipiga nyundo, na hivyo ndio unavotakiwa ufanye kutokana na mfundisho ya kuto kunuia, basi utajikuta kwenye hiyo Sala hujajisaidia chochote ila unaendelea kufunga mahesabu, au unapanga miadi au unaendelea kusikiliza nyimbo ndani ya sala, unapata upande sala upande nyimbo au mazungumzo.
Nikisema hivyo bado wengine watakua na wasiwasi wa jambo hilo, basi wacha nitoe mfano wa Msahafu au juzuu nzima unayo umehifadhi, unakwenda Msalani au(Chooni)haziji zenyewe zile sura mpaka utake kuzisoma, zipo (somewhere)lakini wakati ule huzihitaji kwa hiyo haziji kwenye (Conscious)yako mpaka utake.
Sasa Ulimi unahusika vipi?, ipate darsa hii ili upate kufahamu vizuri kwanini unatia nia tena kwa sauti, na hao waloleta waligundua nini katika hili?. Ulimi kwa njia ya kuitamka (Nia)una kazi mbili, Kazi ya kwanza unaiamsha Akili yako kukaa tayari kwa Ibada, kwa sababu huwezi kusema huku ukawa unafikiri, lichunguze hilo utabaini mwenyewe, Na jambo la pili kujulisha viumbe vyengine (Kama Malaika)na vyengine avijuavyo Mollah wako kwamba sasa wewe unaingia ndani ya Ibada, Ulimwengu na vilivyomo vinakusikia(Napenda uelewe sauti yako inabaki milele haipotei kabisa) Ndio maana utaona kwenye Ibada zote tunatoa sauti, ingekua Ulimi hauna nafasi basi kwenye Sala ilikua haina haja ya kutamka chochote, ila tungesema (Hakika ya Ibada zetu kwenye nia) hapa sina haja ya kupinga kauli zote mbili nazikubali za kutamka na kuto tamka zinakubalika na wala hazina mushkeli inategemea na daraja yako upo katika (Level)gani ya Kumkumbuka Mollah wako, Na wala hakuna makosa katika hilo.
Halafu kabla ya kuingia katika hiyo Sala ya Jamaa unaingia katika jambo la pili, kumbuka jambo la kwanza ni nia, Na hili la pili ni (Tohara Udhu), kusafisha Mwili wako kwa ajili ya kwenda kuungana na Mollah wako.
Na katika Udhu kuna mazingatio makubwa vile unavojisafisha kiwiliwili chako, inokwenda kusali ni Roho yako, lakini vipi utakwenda wewe na guo lilochafuka kwa Mollah wako, ndio hapo unaingia Udhu, unasafisha Mikono (Symbolic) kama kiwiliwili hichi kimeshika vya haramu, au Uso na macho vimeona vya haramu, au miguu ilipita au kwenda kwenye haramu, au masikio yalisikia vya haramu sasa mimi najisafisha ili kusogea na kuungana na Mollah wangu nikiwa safi. Sasa tutaingia katika sala Ya Jamaa,
Endelea part 3
Naam nini Nia?, Nia ni kusudio la kutenda jambo, sasa swali wapi kusudio hili linaishi na vipi linakuja mpaka likawa hai?. Tendo hili la Nia linaishi kwenye (Moyo) hiyo ni kwa lugha nyepesi, Kwa lugha ngumu tutaita kwenye (Roho) au lugha ya sayansi tuite (Subconscious)yako.
Ndio Maana hadith maarufu ya (Mtume s.a.w)ikasema "Hakika ya Amal yoyote ni kwenye Nia yako", Unaweza kuingia kwenye Ibada bila ya kutamka chochote, hiyo ni sawa na vizuri sana, lakini kufanya hivyo kuna shuruti lazima wewe uwe katika wale wenye kutajwa wanamkumbuka Mollah wao wakiwa wamesimama au kukaa au wamelala, hao wanaweza kufanya Ibada zao bila ya manuizi, kwa sababu wao wakati wote wako pamoja na Mollah wao, lakini matatizo yanakuja pale mimi na wewe ambao nusu tumelala na nusu tuko macho, sisi nini tunatakiwa tufanye inabidi tuamshwe, ndio ikawekwa Adhana, kukumbushwa wakati wa sala, halafu inatubidi mimi na wewe tukurupuke sio kama hatujijui ila tunafanya manuizi ili kuunganisha (subconscious na conscious)kumbuka dakika tano zilopita ulikua pengine unatizama mpira au kusikiliza nyimbo, kwa hiyo ili uipate Sala yako kikamilifu unaondoka kwenye (Conscious)ya kusikiliza mazungumzo unaipeleka kuungana na kile kilichokuja kika kukumbusha sasa hivi kusali, ikiwa utakwenda kwenye sala bila ya kujipiga nyundo, na hivyo ndio unavotakiwa ufanye kutokana na mfundisho ya kuto kunuia, basi utajikuta kwenye hiyo Sala hujajisaidia chochote ila unaendelea kufunga mahesabu, au unapanga miadi au unaendelea kusikiliza nyimbo ndani ya sala, unapata upande sala upande nyimbo au mazungumzo.
Nikisema hivyo bado wengine watakua na wasiwasi wa jambo hilo, basi wacha nitoe mfano wa Msahafu au juzuu nzima unayo umehifadhi, unakwenda Msalani au(Chooni)haziji zenyewe zile sura mpaka utake kuzisoma, zipo (somewhere)lakini wakati ule huzihitaji kwa hiyo haziji kwenye (Conscious)yako mpaka utake.
Sasa Ulimi unahusika vipi?, ipate darsa hii ili upate kufahamu vizuri kwanini unatia nia tena kwa sauti, na hao waloleta waligundua nini katika hili?. Ulimi kwa njia ya kuitamka (Nia)una kazi mbili, Kazi ya kwanza unaiamsha Akili yako kukaa tayari kwa Ibada, kwa sababu huwezi kusema huku ukawa unafikiri, lichunguze hilo utabaini mwenyewe, Na jambo la pili kujulisha viumbe vyengine (Kama Malaika)na vyengine avijuavyo Mollah wako kwamba sasa wewe unaingia ndani ya Ibada, Ulimwengu na vilivyomo vinakusikia(Napenda uelewe sauti yako inabaki milele haipotei kabisa) Ndio maana utaona kwenye Ibada zote tunatoa sauti, ingekua Ulimi hauna nafasi basi kwenye Sala ilikua haina haja ya kutamka chochote, ila tungesema (Hakika ya Ibada zetu kwenye nia) hapa sina haja ya kupinga kauli zote mbili nazikubali za kutamka na kuto tamka zinakubalika na wala hazina mushkeli inategemea na daraja yako upo katika (Level)gani ya Kumkumbuka Mollah wako, Na wala hakuna makosa katika hilo.
Halafu kabla ya kuingia katika hiyo Sala ya Jamaa unaingia katika jambo la pili, kumbuka jambo la kwanza ni nia, Na hili la pili ni (Tohara Udhu), kusafisha Mwili wako kwa ajili ya kwenda kuungana na Mollah wako.
Na katika Udhu kuna mazingatio makubwa vile unavojisafisha kiwiliwili chako, inokwenda kusali ni Roho yako, lakini vipi utakwenda wewe na guo lilochafuka kwa Mollah wako, ndio hapo unaingia Udhu, unasafisha Mikono (Symbolic) kama kiwiliwili hichi kimeshika vya haramu, au Uso na macho vimeona vya haramu, au miguu ilipita au kwenda kwenye haramu, au masikio yalisikia vya haramu sasa mimi najisafisha ili kusogea na kuungana na Mollah wangu nikiwa safi. Sasa tutaingia katika sala Ya Jamaa,
Endelea part 3
SALA YA JAMAA PART 3
Asalaam Aleiykum
Nini Jamaa?
Jamaa maana yake ni ku(Unified oneness together) kwanini ikawa hivyo, Quraan (An Nisai aya 1).
يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ ٱتَّقُواْ رَبَّكُمُ ٱلَّذِى خَلَقَكُم مِّن نَّفۡسٍ۬ وَٲحِدَةٍ۬ وَخَلَقَ مِنۡہَا زَوۡجَهَا وَبَثَّ مِنۡہُمَا رِجَالاً۬ كَثِيرً۬ا وَنِسَآءً۬ۚ وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ ٱلَّذِى تَسَآءَلُونَ بِهِۦ وَٱلۡأَرۡحَامَۚ إِنَّ ٱللَّهَ كَانَ عَلَيۡكُمۡ رَقِيبً۬ا
"Enyi Watu Mcheni Mollah wenu ambaye amekuumbeni katika Nafsi Moja, Na akamuumba mkewe katika nafsi ile ile, Na akaeneza Wanaume wengi na Wanawake kutoka katika wawili hao, Mcheni Mwenye enzi Mungu ambaye kwake (Mnaomba)Mnaombana, Na Muwatazame Jamaa, Hakika Mwenye enzi Mungu ni Mlinzi juu yenu".
Vipi inakua, nakupa nafasi ili na wewe uijue Sala ya Jamaa kwa njia ya Tawhid, Nyinyi jiangalieni kwanza kwa njia ya nje vipi mlivo fanana hakuna tafauti, uwe mweupe au mweusi uwe kabila au dini yoyote lakini nyote mefanana katika Maumbile, Wanaume wako sawa na Wanawake wote wako sawa, Na hali hiyo hiyo ndani yenu pia Meungana kama Nafsi moja ila hamjachunguzana, kama utajaaliwa kupewa macho ya Mcha Mungu ukaiona Miujiza ya Roho utaona kumbe sote tuna Nafsi Moja, Kumbe mimi na yule ndani yetu ni kitu kimoja.
Mollah wetu huyo huyo Mwenye Kuamrisha wewe uzaliwe na Kufa ndie Yeye Mwenye kuamrisha Mwengine azaliwe na kufa kwa njia hiyo hiyo, Nani Mwenye kukupa Wewe uwezo wa kuona ndio alompa Jirani yako, ndugu yako, rafiki yako, Mzee wako uwezo huo huo wa kuona na kusikia, Nani Mwenye kutupa sote kwa pamoja uwezo wa Kuhema bila ya Amri yetu isipokua yeye Mollah wetu anatupa kwa pamoja tunahema bila ya masharti sote tukiwa chumba kimoja, pumzi ndani pumzi nje, nini habari yetu sisi kama zitazuiliwa zisije tena.
Hiyo nakupa kwa uchache ili upate kujua kumbe sisi wanaadamu sote ni (One Unity)ulichokua nacho wewe na mwenzako ana hicho hicho, ukishagundua hilo basi kuna mabadiliko yatatokea katika Nafsi yako, Na Wakati huo ndio utajua kwanini unasali Sala ya Jamaa. Utaelewa Umuhimu wakuwa na Imam Muadilifu, utatambua vilevile Wakati unasali Sala za Eid, au Sala ya Alfajiri, Magharib na Isha umuhimu wa kuitikia Amin, utaiona vipi Aamin yenu inavofungika na kutoka kwa pamoja na mkanyamaza kwa pamoja bila ya kufanya (mazoezi) yoyote ya jambo hilo.
Vipi utajua Umeipata Sala ya Jamaa pale Fikra zitakapotea, Moyo utakapo jaa ghushuu, na kama Sala ya kutoa Sauti utaona unaisikia kwa njia ya Moyo sio kichwani, na Kama ikenda (Deep)utaona machozi yanakulenga lenga, hapo utajijua umeipata Sala ya Jamaa na hata ikimalizika huna haja yakutoka mbio Msikitini bado (Energy)ya Sala iko na wewe, na hata ukitoka bado unaendelea kuwemo katika hali ya Ucha Mungu. Ukiyapata hayo ndio inakua Sala imekutokezea wewe kwenye Nafsi, Na ndio inaweza kukuepusha Na Machafu, Madhanbi, Viburi na mengineyo hapo ndipo utafahamu nini Tafauti ya Sala ya Msikitini na Sala ya Jamaa.
Nini Jamaa?
Jamaa maana yake ni ku(Unified oneness together) kwanini ikawa hivyo, Quraan (An Nisai aya 1).
يَـٰٓأَيُّہَا ٱلنَّاسُ ٱتَّقُواْ رَبَّكُمُ ٱلَّذِى خَلَقَكُم مِّن نَّفۡسٍ۬ وَٲحِدَةٍ۬ وَخَلَقَ مِنۡہَا زَوۡجَهَا وَبَثَّ مِنۡہُمَا رِجَالاً۬ كَثِيرً۬ا وَنِسَآءً۬ۚ وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ ٱلَّذِى تَسَآءَلُونَ بِهِۦ وَٱلۡأَرۡحَامَۚ إِنَّ ٱللَّهَ كَانَ عَلَيۡكُمۡ رَقِيبً۬ا
"Enyi Watu Mcheni Mollah wenu ambaye amekuumbeni katika Nafsi Moja, Na akamuumba mkewe katika nafsi ile ile, Na akaeneza Wanaume wengi na Wanawake kutoka katika wawili hao, Mcheni Mwenye enzi Mungu ambaye kwake (Mnaomba)Mnaombana, Na Muwatazame Jamaa, Hakika Mwenye enzi Mungu ni Mlinzi juu yenu".
Vipi inakua, nakupa nafasi ili na wewe uijue Sala ya Jamaa kwa njia ya Tawhid, Nyinyi jiangalieni kwanza kwa njia ya nje vipi mlivo fanana hakuna tafauti, uwe mweupe au mweusi uwe kabila au dini yoyote lakini nyote mefanana katika Maumbile, Wanaume wako sawa na Wanawake wote wako sawa, Na hali hiyo hiyo ndani yenu pia Meungana kama Nafsi moja ila hamjachunguzana, kama utajaaliwa kupewa macho ya Mcha Mungu ukaiona Miujiza ya Roho utaona kumbe sote tuna Nafsi Moja, Kumbe mimi na yule ndani yetu ni kitu kimoja.
Mollah wetu huyo huyo Mwenye Kuamrisha wewe uzaliwe na Kufa ndie Yeye Mwenye kuamrisha Mwengine azaliwe na kufa kwa njia hiyo hiyo, Nani Mwenye kukupa Wewe uwezo wa kuona ndio alompa Jirani yako, ndugu yako, rafiki yako, Mzee wako uwezo huo huo wa kuona na kusikia, Nani Mwenye kutupa sote kwa pamoja uwezo wa Kuhema bila ya Amri yetu isipokua yeye Mollah wetu anatupa kwa pamoja tunahema bila ya masharti sote tukiwa chumba kimoja, pumzi ndani pumzi nje, nini habari yetu sisi kama zitazuiliwa zisije tena.
Hiyo nakupa kwa uchache ili upate kujua kumbe sisi wanaadamu sote ni (One Unity)ulichokua nacho wewe na mwenzako ana hicho hicho, ukishagundua hilo basi kuna mabadiliko yatatokea katika Nafsi yako, Na Wakati huo ndio utajua kwanini unasali Sala ya Jamaa. Utaelewa Umuhimu wakuwa na Imam Muadilifu, utatambua vilevile Wakati unasali Sala za Eid, au Sala ya Alfajiri, Magharib na Isha umuhimu wa kuitikia Amin, utaiona vipi Aamin yenu inavofungika na kutoka kwa pamoja na mkanyamaza kwa pamoja bila ya kufanya (mazoezi) yoyote ya jambo hilo.
Vipi utajua Umeipata Sala ya Jamaa pale Fikra zitakapotea, Moyo utakapo jaa ghushuu, na kama Sala ya kutoa Sauti utaona unaisikia kwa njia ya Moyo sio kichwani, na Kama ikenda (Deep)utaona machozi yanakulenga lenga, hapo utajijua umeipata Sala ya Jamaa na hata ikimalizika huna haja yakutoka mbio Msikitini bado (Energy)ya Sala iko na wewe, na hata ukitoka bado unaendelea kuwemo katika hali ya Ucha Mungu. Ukiyapata hayo ndio inakua Sala imekutokezea wewe kwenye Nafsi, Na ndio inaweza kukuepusha Na Machafu, Madhanbi, Viburi na mengineyo hapo ndipo utafahamu nini Tafauti ya Sala ya Msikitini na Sala ya Jamaa.
Friday, May 4, 2018
DARSA YA RAMADHAN PART 1
Asalaam Aleiykum
Hutaki nikupe siri itakayokufanya Funga yako iwe bora na yenye kukubaliwa na Mollah wako, Hupendi wewe kuwa na furaha moyoni mwako kwa kujua Mwaka huu kwa mara ya mwanzo nimeipata Taqwa, huna hamu yakuwafahamisha wengine yakwamba funga iko namna hivi, basi ikiwa Mwenye kuyataka hayo wacha nikufahamishe sababu za weye kuambiwa ufunge.
Tuliza macho kwenye darsa hii nikuchukue katika safari fupi ili upate kunifahamu vizuri.
Siku zote Masheikh wanaanza na aya hii iliyomo sura ya (Baqarah aya ya 183)
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ كُتِبَ عَلَيۡڪُمُ ٱلصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِڪُمۡ لَعَلَّكُمۡ تَتَّقُونَ
"Enyi Mloamini Mmelazimishwa Kufunga kama walivyolazimishwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Mungu".
Wacha nikuchukue twende kwenye Bustani tukachume tunda la Saum na hakuna kwengine lilipoanzia Tunda hili ila huko Mbinguni pale Mwenye enzi Mungu alipowaambia Malaika kwenye sura ya (Hijr aya ya 28 na 29)
وَإِذۡ قَالَ رَبُّكَ لِلۡمَلَـٰٓٮِٕكَةِ إِنِّى خَـٰلِقُۢ بَشَرً۬ا مِّن صَلۡصَـٰلٍ۬ مِّنۡ حَمَإٍ۬ مَّسۡنُونٍ۬
"Na Mollah wako alipowaambia Malaika, Hakika Mimi nitamuumba Mtu(Binaadamu) kwa Udongo Mkavu unaotoa Sauti, Wenye kutokana na matope meusi yalovunda".
فَإِذَا سَوَّيۡتُهُ ۥ وَنَفَخۡتُ فِيهِ مِن رُّوحِى فَقَعُواْ لَهُ ۥ سَـٰجِدِينَ
"Basi nitakapomkamilisha na kumpulizia Roho inayotokana na Mimi, basi Mumuangukie kwa kumtii(Sujud)".
Hapo kwenye aya hizo mbili kuna mambo lazima uyatupie macho upate faida zake, Mambo yepi?, la kwanza lenye kuonesha udhaifu wako kuwa wewe ni udongo mkavu unaotoa sauti, tena ulovunda ndio maana ukifa unaanza kutoa harufu.
Na hiyo aya ya Pili inakupandisha daraja kubwa yakuwa wewe ni Roho iliyotokana na Mwenye enzi Mungu, basi nitakapomaliza kumuumba poromekeni kumtii, msujudieni hichi kiumbe changu. Sasa jambo la mwanzo kujitambua wewe ni (Khalifa)wala usikubali mtu mwengine akakwambia vengine, kwa hayo unayotenda labda itakua dunia imekulevya, Na umejisahau kama wewe ni (Khalifa) katika Ardhi hii.
Hili neno (Khalifa)likazie macho sana lina maana kubwa katika Darsa hii ya Ramadhan. Naam sasa umeshajijua kwamba wewe ni (Khalifa)na hapa Ulimwenguni unapita tu, (Ndio maana Mtu akifa tunasema sote ni wa Mwenye enzi Mungu na kwake tunarejea) ilipotajwa kuhusu (Khalifa)"Malaika kwenye aya ya (30)Sura ya (Baqarah)"wakasema Utaweka humo watakaofanya Uharibifu humo na kumwaga damu,"Mwenye enzi Mungu akawajibu"Hakika Mimi nayajua msiyoyajua".
Sasa hapo Malaika walijuaje kuwa tutafanya visa Ardhini, Jawabu ni kutokana Majini walotutangulia walileta uharibifu kwenye Ardhi hii, Mollah wetu akatufundisha na anaendelea kutufundisha chungu ya Mambo yaliyomo kwenye Ardhi hii, haya ma(Computer)magari,meli,Madege, kila machine iliyomo kwenye Ardhi hii ni kutokana na elimu anayotufunulia yeye na sisi kuweza kutekeleza. Sasa haya yote yamehusiana nini na Saum.
Endelea part 2
Hutaki nikupe siri itakayokufanya Funga yako iwe bora na yenye kukubaliwa na Mollah wako, Hupendi wewe kuwa na furaha moyoni mwako kwa kujua Mwaka huu kwa mara ya mwanzo nimeipata Taqwa, huna hamu yakuwafahamisha wengine yakwamba funga iko namna hivi, basi ikiwa Mwenye kuyataka hayo wacha nikufahamishe sababu za weye kuambiwa ufunge.
Tuliza macho kwenye darsa hii nikuchukue katika safari fupi ili upate kunifahamu vizuri.
Siku zote Masheikh wanaanza na aya hii iliyomo sura ya (Baqarah aya ya 183)
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ كُتِبَ عَلَيۡڪُمُ ٱلصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِڪُمۡ لَعَلَّكُمۡ تَتَّقُونَ
"Enyi Mloamini Mmelazimishwa Kufunga kama walivyolazimishwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Mungu".
Wacha nikuchukue twende kwenye Bustani tukachume tunda la Saum na hakuna kwengine lilipoanzia Tunda hili ila huko Mbinguni pale Mwenye enzi Mungu alipowaambia Malaika kwenye sura ya (Hijr aya ya 28 na 29)
وَإِذۡ قَالَ رَبُّكَ لِلۡمَلَـٰٓٮِٕكَةِ إِنِّى خَـٰلِقُۢ بَشَرً۬ا مِّن صَلۡصَـٰلٍ۬ مِّنۡ حَمَإٍ۬ مَّسۡنُونٍ۬
"Na Mollah wako alipowaambia Malaika, Hakika Mimi nitamuumba Mtu(Binaadamu) kwa Udongo Mkavu unaotoa Sauti, Wenye kutokana na matope meusi yalovunda".
فَإِذَا سَوَّيۡتُهُ ۥ وَنَفَخۡتُ فِيهِ مِن رُّوحِى فَقَعُواْ لَهُ ۥ سَـٰجِدِينَ
"Basi nitakapomkamilisha na kumpulizia Roho inayotokana na Mimi, basi Mumuangukie kwa kumtii(Sujud)".
Hapo kwenye aya hizo mbili kuna mambo lazima uyatupie macho upate faida zake, Mambo yepi?, la kwanza lenye kuonesha udhaifu wako kuwa wewe ni udongo mkavu unaotoa sauti, tena ulovunda ndio maana ukifa unaanza kutoa harufu.
Na hiyo aya ya Pili inakupandisha daraja kubwa yakuwa wewe ni Roho iliyotokana na Mwenye enzi Mungu, basi nitakapomaliza kumuumba poromekeni kumtii, msujudieni hichi kiumbe changu. Sasa jambo la mwanzo kujitambua wewe ni (Khalifa)wala usikubali mtu mwengine akakwambia vengine, kwa hayo unayotenda labda itakua dunia imekulevya, Na umejisahau kama wewe ni (Khalifa) katika Ardhi hii.
Hili neno (Khalifa)likazie macho sana lina maana kubwa katika Darsa hii ya Ramadhan. Naam sasa umeshajijua kwamba wewe ni (Khalifa)na hapa Ulimwenguni unapita tu, (Ndio maana Mtu akifa tunasema sote ni wa Mwenye enzi Mungu na kwake tunarejea) ilipotajwa kuhusu (Khalifa)"Malaika kwenye aya ya (30)Sura ya (Baqarah)"wakasema Utaweka humo watakaofanya Uharibifu humo na kumwaga damu,"Mwenye enzi Mungu akawajibu"Hakika Mimi nayajua msiyoyajua".
Sasa hapo Malaika walijuaje kuwa tutafanya visa Ardhini, Jawabu ni kutokana Majini walotutangulia walileta uharibifu kwenye Ardhi hii, Mollah wetu akatufundisha na anaendelea kutufundisha chungu ya Mambo yaliyomo kwenye Ardhi hii, haya ma(Computer)magari,meli,Madege, kila machine iliyomo kwenye Ardhi hii ni kutokana na elimu anayotufunulia yeye na sisi kuweza kutekeleza. Sasa haya yote yamehusiana nini na Saum.
Endelea part 2
DARSA YA RAMADHAN PART 2
Asalaam Aleiykum
Mwanaadamu ukijua cheo chako kikubwa ulichopewa na Mwenye Enzi Mungu utakua furahani Milele, ndio maana (Ibilisi)akasema laa siwezi kumsujudia kiumbe huyo. Tizama vipi Mwanaadamu thamani yako ilivyo, ndio sasa katika Mwezi huu wa Ramadhan unaitwa, lakini sio wote wenye kuitwa ila wale (Masikini kwenye Ibada)wale wenye kuutaka Ucha Mungu ndio watakao rithi Ufalme au Pepo ya Mwenye enzi Mungu.
Kwanini ikawa hawa tu ndio watarithi kwa sababu wao wameamini, ndio maana aya ya kuamrisha kufunga haikusema Waislamu kwa sababu lazima iwepo Imani ndio uweze kufunga, sasa hawa wenye kuamini wanakubali kwa karibu zaidi Mwenye enzi Mungu yupo na Amri zake zipo lakini hawajui vipi kuipata yakini hiyo, ndio imeletwa Ramadhan ili utoke kwenye Imani upige hatua ya kwenda kwenye Taqwa au (Uthibitisho).
Na hiyo ni (Stage)ya Pili kabla ya kuingia ile ya tatu ya (Ushuhuda au Shahid) au wengine wanaita (Truth). Kwa hiyo hapo Wanaitwa "Enyi Mloamini"Njooni mpate kufundishwa nyinyi hamjui kitu, kuna mambo mawili ndani ya hii Ramadhan, yepi mambo hayo Mawili?, Umo kwenye darsa ya Ramadhan fanya hima ujiandae uwape habari njema na wenzio ili na wao wapate faida ya kufunga.
Ama hilo jambo la kwanza ndio hilo Wasomi wanalipigia kelele, funga utapata Afya, funga Mwili(Body)inajitibu yenyewe, kila kitu kinaambatana na body, (Unakumbuka kule Mwanzo Mwenye enzi Mungu aliposema Ntamuumba kwa udongo mkavu unotoa sauti)basi naam hiyo ni sehemu katika sehemu moja ya hii kuamrishwa kufunga, ila kuna sehemu hii ya pili wengi hawajui, hawajapata (Ushahidi)(Truth)Na hichi cha pili ndio sababu kuu ya Ramadhan.
Kitu gani hichi cha pili?.
Kumbuka Miezi yote kumi na moja umezama kwenye mambo ya dunia, umemsahau Mollah wako, ndio katika Mwezi huu Mmoja Mollah wako kakuita "Ewe Kiumbe"changu rudi kwa Mwezi huu mmoja uwe na mimi, Nini (Saum)? Saum ni (Union with god) hiyo ndio Taqwa, Khalifa anakutana na Mfalme wake.
Nini kitapatikana iwapo Khalifa huyu atafunga inavotakiwa?.
Hapa itabidi nieleze faida itakayo patikana hapa Ulimwenguni, Ama ile ya Akhera ajuwae yeye Mollah wetu, Ama hapa Ulimwenguni zipo faida Mbili, ya kwanza yule Mwenye kupata (Union)na Mollah wake, na hiyo ya pili ya yule Mwenye kupata (Total Union).
Ama yule Mwenye kupata (Union)tu, yule atakua kapata hiyo Taqwa, na huyo pekee ndie Mwenye kuweza kuhadithia lakini kwa dalili tu naweza kukwambia yanatokezea (Mapenzi)kwenye nafsi yako na mfano wake (Kaisome aya ya 177 sura ya Baqarah)ndio utajua, sio mapenzi haya ya kawaida ya kumpenda Mwanamke au vitu bali inakuwa (Total love) hiyo ndio Taqwa, inakuaje, wewe unajua vipi mapenzi yanavoingia katika Akili, sasa Taqwa ndio inakua mapenzi ya Mollah wako na wewe ndio unaingia katika ile aya ya "Wanaomkumbuka Mollah wakiwa wamesimama, wamekaa mpaka wakiwa wamelala" ukiipata hali kama hiyo hapo ndio Taqwa inakua ime (Happen) na hicho ndio kinachotakiwa katika Ramadhan ukipate(Focus)yako yote iwe kwa Mollah wako.
Hazikutoki fikra za Mollah wako hata mara moja na uwepo kokote pale, uwepo Mpirani au senema uwepo harusini au kwenye futari Mollah wako haondoki tena kwenye mawazo yako, ikikuta hali kama hiyo basi utaona unafatiwa na furaha na manukato ya kheri unangara kwa wanaadamu wenzio.
Ama yule Mwenye kupata (Total Union)Yeye anapotea kabisa anakua mtu mwengine kabisa, kauli zake ni zengine kabisa, Nuru yake ni nyengine kabisa(Feeling)zake nyengine anaishi kwenye (Bliss)utamuona (Something of beyond happen) kitu chenyewe ni hiyo ilotajwa kwenye sura ya (Al-Qadir).
"إِنَّآ أَنزَلۡنَـٰهُ فِى لَيۡلَةِ ٱلۡقَدۡرِ "
"Hakika Tumeiteremsha(Quraan) kwenye Usiku wa Heshima(Wa Nguvu)"(Usiku wa Ramadhan)
Nini hicho kiloteremshwa katika usiku huo ni hii Quraan, aliyoteremshiwa Bwana Mtume s.a.w. lakini kuna mengine yamo humo huwa yanateremshwa ambayo nitafafanua yametajwa kwenye sura hiyo.
Endelea part 3
Mwanaadamu ukijua cheo chako kikubwa ulichopewa na Mwenye Enzi Mungu utakua furahani Milele, ndio maana (Ibilisi)akasema laa siwezi kumsujudia kiumbe huyo. Tizama vipi Mwanaadamu thamani yako ilivyo, ndio sasa katika Mwezi huu wa Ramadhan unaitwa, lakini sio wote wenye kuitwa ila wale (Masikini kwenye Ibada)wale wenye kuutaka Ucha Mungu ndio watakao rithi Ufalme au Pepo ya Mwenye enzi Mungu.
Kwanini ikawa hawa tu ndio watarithi kwa sababu wao wameamini, ndio maana aya ya kuamrisha kufunga haikusema Waislamu kwa sababu lazima iwepo Imani ndio uweze kufunga, sasa hawa wenye kuamini wanakubali kwa karibu zaidi Mwenye enzi Mungu yupo na Amri zake zipo lakini hawajui vipi kuipata yakini hiyo, ndio imeletwa Ramadhan ili utoke kwenye Imani upige hatua ya kwenda kwenye Taqwa au (Uthibitisho).
Na hiyo ni (Stage)ya Pili kabla ya kuingia ile ya tatu ya (Ushuhuda au Shahid) au wengine wanaita (Truth). Kwa hiyo hapo Wanaitwa "Enyi Mloamini"Njooni mpate kufundishwa nyinyi hamjui kitu, kuna mambo mawili ndani ya hii Ramadhan, yepi mambo hayo Mawili?, Umo kwenye darsa ya Ramadhan fanya hima ujiandae uwape habari njema na wenzio ili na wao wapate faida ya kufunga.
Ama hilo jambo la kwanza ndio hilo Wasomi wanalipigia kelele, funga utapata Afya, funga Mwili(Body)inajitibu yenyewe, kila kitu kinaambatana na body, (Unakumbuka kule Mwanzo Mwenye enzi Mungu aliposema Ntamuumba kwa udongo mkavu unotoa sauti)basi naam hiyo ni sehemu katika sehemu moja ya hii kuamrishwa kufunga, ila kuna sehemu hii ya pili wengi hawajui, hawajapata (Ushahidi)(Truth)Na hichi cha pili ndio sababu kuu ya Ramadhan.
Kitu gani hichi cha pili?.
Kumbuka Miezi yote kumi na moja umezama kwenye mambo ya dunia, umemsahau Mollah wako, ndio katika Mwezi huu Mmoja Mollah wako kakuita "Ewe Kiumbe"changu rudi kwa Mwezi huu mmoja uwe na mimi, Nini (Saum)? Saum ni (Union with god) hiyo ndio Taqwa, Khalifa anakutana na Mfalme wake.
Nini kitapatikana iwapo Khalifa huyu atafunga inavotakiwa?.
Hapa itabidi nieleze faida itakayo patikana hapa Ulimwenguni, Ama ile ya Akhera ajuwae yeye Mollah wetu, Ama hapa Ulimwenguni zipo faida Mbili, ya kwanza yule Mwenye kupata (Union)na Mollah wake, na hiyo ya pili ya yule Mwenye kupata (Total Union).
Ama yule Mwenye kupata (Union)tu, yule atakua kapata hiyo Taqwa, na huyo pekee ndie Mwenye kuweza kuhadithia lakini kwa dalili tu naweza kukwambia yanatokezea (Mapenzi)kwenye nafsi yako na mfano wake (Kaisome aya ya 177 sura ya Baqarah)ndio utajua, sio mapenzi haya ya kawaida ya kumpenda Mwanamke au vitu bali inakuwa (Total love) hiyo ndio Taqwa, inakuaje, wewe unajua vipi mapenzi yanavoingia katika Akili, sasa Taqwa ndio inakua mapenzi ya Mollah wako na wewe ndio unaingia katika ile aya ya "Wanaomkumbuka Mollah wakiwa wamesimama, wamekaa mpaka wakiwa wamelala" ukiipata hali kama hiyo hapo ndio Taqwa inakua ime (Happen) na hicho ndio kinachotakiwa katika Ramadhan ukipate(Focus)yako yote iwe kwa Mollah wako.
Hazikutoki fikra za Mollah wako hata mara moja na uwepo kokote pale, uwepo Mpirani au senema uwepo harusini au kwenye futari Mollah wako haondoki tena kwenye mawazo yako, ikikuta hali kama hiyo basi utaona unafatiwa na furaha na manukato ya kheri unangara kwa wanaadamu wenzio.
Ama yule Mwenye kupata (Total Union)Yeye anapotea kabisa anakua mtu mwengine kabisa, kauli zake ni zengine kabisa, Nuru yake ni nyengine kabisa(Feeling)zake nyengine anaishi kwenye (Bliss)utamuona (Something of beyond happen) kitu chenyewe ni hiyo ilotajwa kwenye sura ya (Al-Qadir).
"إِنَّآ أَنزَلۡنَـٰهُ فِى لَيۡلَةِ ٱلۡقَدۡرِ "
"Hakika Tumeiteremsha(Quraan) kwenye Usiku wa Heshima(Wa Nguvu)"(Usiku wa Ramadhan)
Nini hicho kiloteremshwa katika usiku huo ni hii Quraan, aliyoteremshiwa Bwana Mtume s.a.w. lakini kuna mengine yamo humo huwa yanateremshwa ambayo nitafafanua yametajwa kwenye sura hiyo.
Endelea part 3
DARSA YA RAMADHAN PART 3
Asalaam Aleiykum
وَمَآ أَدۡرَٮٰكَ مَا لَيۡلَةُ ٱلۡقَدۡرِ
"Na Jambo gani litokujulisha Nini huo Usiku Wa Laylatul Qadir"
Kuna baadhi ya watu hapa wanasema ni kushushwa kwa Quraan kwenye (Lahwi Mahfoudh)Sasa ikiwa Mwenye Kufahamu utajua kuwa huko Mbinguni hakuna Mchana wala Usiku, ilipotajwa Usiku kusudio lake (Usiku huu Wenye Heshima wenye Nguvu) Ni ule Usiku Aloteremshiwa Bwana Mtume s.a.w Hii Quraan.
Sasa Kwanini ukaambiwa nini kitokujulisha Wewe Usiku huu?. Hapo inaonesha unatakiwa Wewe kuujua Usiku huu, Lakini Kujua na kujulishwa ni mambo mawili tafauti kujua itakua kama wengine unajua kuwa Usiku huu umo ndani ya Ramadhan, kwa Mwaka mara moja tunapita ndani ya Usiku huu, Lakini Kujulishwa hapo ni ile (Experience)ukotokezee Usiku huu ndani ya Nafsi yako.
لَيۡلَةُ ٱلۡقَدۡرِ خَيۡرٌ۬ مِّنۡ أَلۡفِ شَہۡرٍ۬
"Huu Usiku wa Heshima(Nguvu)ni Bora kuliko Miezi Elfu"
Hapa kuna Tafsiri Mbili inabidi tuzipitie, Umo katika Darsa ya Ramadhan pata faida ya kujua mambo ili upate mafanikio. Tafsiri ya kwanza "Kama utaupata Usiku huu" basi hata kama kama utaishi hiyo Miaka 83 basi haiwi bora kama Usiku huu, Ibada zote ulizozifanya na kheri zote unozijua wewe hazifanani na Usiku huu.
Ama Tafsiri ya Pili (ambayo wengine wameitetea kuwa ndio sahihi)"Usiku huu ukiupata (Power)yake au Nuru yake inotokozea kwenye Roho yako ni kupita miezi elfu imurike kwa pamoja kwenye Ulimwengu huu, hapo ndio likapatikana kwa Wale walo (Experience) Wakaita Nyota ya Jaha", Mtu hajui la kusema anaona kageuka Nuru juu ya Nuru, Ndio Maana utaona hata katika ule Mlima nje kidogo ya Makka alipopewa hiyo Quraan Bwana Mtume s.a.w kwa mara ya Mwanzo panaitwa (Jabar Noor).
تَنَزَّلُ ٱلۡمَلَـٰٓٮِٕكَةُ وَٱلرُّوحُ فِيہَا بِإِذۡنِ رَبِّہِم مِّن كُلِّ أَمۡرٍ۬
"Huteremka Malaika na Roho (Za viumbe watakatifu)katika (Usiku)huo kwa Idhini ya Mollah wao kwa kila Jambo."Hapo ndipo niliposema Ukiipata ile (Total Union)Basi unapata cheo cha Utakatifu(Pure Born again)Unakua safi kama ulozaliwa leo, "Ndio maana ikasemwa ni Bora kuliko hiyo miaka 83 utakayoishi". Unakua Umesamehewa ungali uhai na unapewa Nguvu fulani na uwezo fulani inakua hata Binaadamu wenzio wanahisi kuna mabadiliko fulani, mara utasikia dua yake hairudi, yule ana (Makarama) na hivi na vile.
Unapata hayo kwa ajili ya Idhin ya Mollah wako.
سَلَـٰمٌ هِىَ حَتَّىٰ مَطۡلَعِ ٱلۡفَجۡرِ
"Ni Amani (Usiku)huo mpaka mapambazuko ya Alfajiri".
Ukiamka unakua (New Man Transform)(Your past is gone).
Naam tulikua tunachuma tunda sasa wacha turejee kwenye Mzizi wenyewe wa Mti wa Saum. Sasa Neno Funga linatajwa siku zote unalisikia na kulisoma lakini pengine hujawahi kwenda (Deep)ukalifahamu maana yake, Funga kwa Mwanaadamu imekusudiwa uzuie kitu kisiingie ndani.
Sasa utajiuliza kwanini Mwanaadamu anatakiwa afunge, Unatakiwa Ufunge kwa ajili urejee kwenye (Basic)yako ya Maumbile, Au Msingi wako wa Kuumbwa, au kupatikana ile (Separation) Niloitaja mwanzo (Ya Dongo kavu linotoa sauti na Roho yako).Sasa vipi unatakiwa Ufunge uipate hiyo Taqwa, au utoke kwenye Dongo urudi kwenye Roho,(Ndio maana Ramadhan ikaitwa Ustaadh Mwenye kulea Roho)hapo kuna Mambo (4)lazima uyapate ili funga yako itimie, Na funga ikitimia basi (Automatic) unakutana na Taqwa. Napenda Uelewe hiyo Taqwa inatokea au unaijua au imo ndani ya kifua chako, wakati wakuipata Wewe ndio utakua Shahidi wa hilo, Na ukishuhudia kuwa umeipata Taqwa basi moja kwa moja Jijue Sauwm yako imekubaliwa Na Mollah wako Mlezi.
Mambo gani hayo yanotakiwa katika hiyo funga?.
Unapewa darsa hii kabla ya Ramadhan ili na wewe Uwe katika walofunga mwaka huu, Mambo gani hayo (4)Yanokuchukua kukupeleka mji wa Saum ili kuitafuta hiyo Taqwa. (1)Jambo la kwanza unotakiwa ulifunge ni Chakula , Nini kinatokea?, Unaponyima (Body) Mwili wako chakula unaupa (Shock)nini kimetokea, mbona huyu hatupi huduma yetu, hapo mwili unatoka kwenye (Automatic mode)unakwenda kwenye (Manual) unaanza kujihudumia wenyewe kwa kwenda kwenye (Akiba)zake, ukianza kwenda kwenye Akiba ndio unapita kila pahala kutizama wapi kumeharibika, wapi kuna vuja unaanza kujikarabati(Kujitibu)ndio ukaambiwa kufunga siha.
(2)Jambo la pili Baada ya chakula usiruhusu kitu kuingia Mwilini mwako, kama (Sex)na mengineyo kwani yataishughulisha (System) yako isijue inafanya nini.
(3)Jambo la Tatu Ni Mashikio na Macho Usisikilize Nyimbo(Music)Mambo machafu, Habari za Uongo, na vyote vibaya vyenye kupita kutumia sauti, na jicho lisitizame mambo ya kidunia yenye (Munkar) Funga vipasha habari vyote (Tv, wassup, facebook, instagram)hama kwenye mwezi huu.
(4)Na jambo la nne ambalo ndilo litaweza kukujulisha nini hiyo Taqwa ni hili la kuzungumza, ukiweza jiepushe kuongea sana kwani ukiongea sana una(Miss)yanotokea kwenye nafsi yako, kwa sababu hukai kimya, ukikaa kimya unaweza "Kuona Mawazo yako yanavo zaa Maneno, Na Maneno yako yanakua vitendo, Na vitendo vyako vinakua tabia, Na Tabia yako ndio inakua (Nembo) yako fulani (Mchiriku)kweli, anaongea sana, Na Mtu Mkimya pia anatajwa fulani hazungumzi, basi katika Mwezi huu na wewe kuwa asiyezungumza, hapo ndio utakapoipata Saum kwa kujizuia kuongea sana kama alivosema Bibi Maryam kwenye (sura ya Maryam aya 26)
فَإِمَّا تَرَيِنَّ مِنَ ٱلۡبَشَرِ أَحَدً۬ا فَقُولِىٓ إِنِّى نَذَرۡتُ لِلرَّحۡمَـٰنِ صَوۡمً۬ا فَلَنۡ أُڪَلِّمَ ٱلۡيَوۡمَ إِنسِيًّ۬ا
"Na kama ukimuona Mtu yoyote (akakuuliza habari ya mtoto huyu)Sema Hakika mimi nimeweka Nadhir kwa (Mollah)Mwingi wa Rehma ya Kufunga, Kwa hivyo leo sitosema na Mtu".
Naam na wewe jizuie, kuongea sana, ndio maana mkaambiwa ikisha Mkakae msikitini(Kimya) Kumbuka kila kitu kinatokea kwenye Ukimya, ukijizuia na vyote hivyo Akili inakua haina la kufanya, Na Akili ikisimama Taqwa inatokezea na hiyo ndio Saum. Mollah wangu ni Mwenye kujua zaidi, Nakutakieni Mwezi wa Kheri na Baraka na saum zenye kukubaliwa, Mollah atujaalie Ufalme wake sote tuingie katika pepo yake, Atusameh dhanmbi zetu zilopita za sasa na zinokuja, Awasamehe pia walotangulia kabla yetu awatilie nuru katika makaazi yao huko walipo.
Amin.
وَمَآ أَدۡرَٮٰكَ مَا لَيۡلَةُ ٱلۡقَدۡرِ
"Na Jambo gani litokujulisha Nini huo Usiku Wa Laylatul Qadir"
Kuna baadhi ya watu hapa wanasema ni kushushwa kwa Quraan kwenye (Lahwi Mahfoudh)Sasa ikiwa Mwenye Kufahamu utajua kuwa huko Mbinguni hakuna Mchana wala Usiku, ilipotajwa Usiku kusudio lake (Usiku huu Wenye Heshima wenye Nguvu) Ni ule Usiku Aloteremshiwa Bwana Mtume s.a.w Hii Quraan.
Sasa Kwanini ukaambiwa nini kitokujulisha Wewe Usiku huu?. Hapo inaonesha unatakiwa Wewe kuujua Usiku huu, Lakini Kujua na kujulishwa ni mambo mawili tafauti kujua itakua kama wengine unajua kuwa Usiku huu umo ndani ya Ramadhan, kwa Mwaka mara moja tunapita ndani ya Usiku huu, Lakini Kujulishwa hapo ni ile (Experience)ukotokezee Usiku huu ndani ya Nafsi yako.
لَيۡلَةُ ٱلۡقَدۡرِ خَيۡرٌ۬ مِّنۡ أَلۡفِ شَہۡرٍ۬
"Huu Usiku wa Heshima(Nguvu)ni Bora kuliko Miezi Elfu"
Hapa kuna Tafsiri Mbili inabidi tuzipitie, Umo katika Darsa ya Ramadhan pata faida ya kujua mambo ili upate mafanikio. Tafsiri ya kwanza "Kama utaupata Usiku huu" basi hata kama kama utaishi hiyo Miaka 83 basi haiwi bora kama Usiku huu, Ibada zote ulizozifanya na kheri zote unozijua wewe hazifanani na Usiku huu.
Ama Tafsiri ya Pili (ambayo wengine wameitetea kuwa ndio sahihi)"Usiku huu ukiupata (Power)yake au Nuru yake inotokozea kwenye Roho yako ni kupita miezi elfu imurike kwa pamoja kwenye Ulimwengu huu, hapo ndio likapatikana kwa Wale walo (Experience) Wakaita Nyota ya Jaha", Mtu hajui la kusema anaona kageuka Nuru juu ya Nuru, Ndio Maana utaona hata katika ule Mlima nje kidogo ya Makka alipopewa hiyo Quraan Bwana Mtume s.a.w kwa mara ya Mwanzo panaitwa (Jabar Noor).
تَنَزَّلُ ٱلۡمَلَـٰٓٮِٕكَةُ وَٱلرُّوحُ فِيہَا بِإِذۡنِ رَبِّہِم مِّن كُلِّ أَمۡرٍ۬
"Huteremka Malaika na Roho (Za viumbe watakatifu)katika (Usiku)huo kwa Idhini ya Mollah wao kwa kila Jambo."Hapo ndipo niliposema Ukiipata ile (Total Union)Basi unapata cheo cha Utakatifu(Pure Born again)Unakua safi kama ulozaliwa leo, "Ndio maana ikasemwa ni Bora kuliko hiyo miaka 83 utakayoishi". Unakua Umesamehewa ungali uhai na unapewa Nguvu fulani na uwezo fulani inakua hata Binaadamu wenzio wanahisi kuna mabadiliko fulani, mara utasikia dua yake hairudi, yule ana (Makarama) na hivi na vile.
Unapata hayo kwa ajili ya Idhin ya Mollah wako.
سَلَـٰمٌ هِىَ حَتَّىٰ مَطۡلَعِ ٱلۡفَجۡرِ
"Ni Amani (Usiku)huo mpaka mapambazuko ya Alfajiri".
Ukiamka unakua (New Man Transform)(Your past is gone).
Naam tulikua tunachuma tunda sasa wacha turejee kwenye Mzizi wenyewe wa Mti wa Saum. Sasa Neno Funga linatajwa siku zote unalisikia na kulisoma lakini pengine hujawahi kwenda (Deep)ukalifahamu maana yake, Funga kwa Mwanaadamu imekusudiwa uzuie kitu kisiingie ndani.
Sasa utajiuliza kwanini Mwanaadamu anatakiwa afunge, Unatakiwa Ufunge kwa ajili urejee kwenye (Basic)yako ya Maumbile, Au Msingi wako wa Kuumbwa, au kupatikana ile (Separation) Niloitaja mwanzo (Ya Dongo kavu linotoa sauti na Roho yako).Sasa vipi unatakiwa Ufunge uipate hiyo Taqwa, au utoke kwenye Dongo urudi kwenye Roho,(Ndio maana Ramadhan ikaitwa Ustaadh Mwenye kulea Roho)hapo kuna Mambo (4)lazima uyapate ili funga yako itimie, Na funga ikitimia basi (Automatic) unakutana na Taqwa. Napenda Uelewe hiyo Taqwa inatokea au unaijua au imo ndani ya kifua chako, wakati wakuipata Wewe ndio utakua Shahidi wa hilo, Na ukishuhudia kuwa umeipata Taqwa basi moja kwa moja Jijue Sauwm yako imekubaliwa Na Mollah wako Mlezi.
Mambo gani hayo yanotakiwa katika hiyo funga?.
Unapewa darsa hii kabla ya Ramadhan ili na wewe Uwe katika walofunga mwaka huu, Mambo gani hayo (4)Yanokuchukua kukupeleka mji wa Saum ili kuitafuta hiyo Taqwa. (1)Jambo la kwanza unotakiwa ulifunge ni Chakula , Nini kinatokea?, Unaponyima (Body) Mwili wako chakula unaupa (Shock)nini kimetokea, mbona huyu hatupi huduma yetu, hapo mwili unatoka kwenye (Automatic mode)unakwenda kwenye (Manual) unaanza kujihudumia wenyewe kwa kwenda kwenye (Akiba)zake, ukianza kwenda kwenye Akiba ndio unapita kila pahala kutizama wapi kumeharibika, wapi kuna vuja unaanza kujikarabati(Kujitibu)ndio ukaambiwa kufunga siha.
(2)Jambo la pili Baada ya chakula usiruhusu kitu kuingia Mwilini mwako, kama (Sex)na mengineyo kwani yataishughulisha (System) yako isijue inafanya nini.
(3)Jambo la Tatu Ni Mashikio na Macho Usisikilize Nyimbo(Music)Mambo machafu, Habari za Uongo, na vyote vibaya vyenye kupita kutumia sauti, na jicho lisitizame mambo ya kidunia yenye (Munkar) Funga vipasha habari vyote (Tv, wassup, facebook, instagram)hama kwenye mwezi huu.
(4)Na jambo la nne ambalo ndilo litaweza kukujulisha nini hiyo Taqwa ni hili la kuzungumza, ukiweza jiepushe kuongea sana kwani ukiongea sana una(Miss)yanotokea kwenye nafsi yako, kwa sababu hukai kimya, ukikaa kimya unaweza "Kuona Mawazo yako yanavo zaa Maneno, Na Maneno yako yanakua vitendo, Na vitendo vyako vinakua tabia, Na Tabia yako ndio inakua (Nembo) yako fulani (Mchiriku)kweli, anaongea sana, Na Mtu Mkimya pia anatajwa fulani hazungumzi, basi katika Mwezi huu na wewe kuwa asiyezungumza, hapo ndio utakapoipata Saum kwa kujizuia kuongea sana kama alivosema Bibi Maryam kwenye (sura ya Maryam aya 26)
فَإِمَّا تَرَيِنَّ مِنَ ٱلۡبَشَرِ أَحَدً۬ا فَقُولِىٓ إِنِّى نَذَرۡتُ لِلرَّحۡمَـٰنِ صَوۡمً۬ا فَلَنۡ أُڪَلِّمَ ٱلۡيَوۡمَ إِنسِيًّ۬ا
"Na kama ukimuona Mtu yoyote (akakuuliza habari ya mtoto huyu)Sema Hakika mimi nimeweka Nadhir kwa (Mollah)Mwingi wa Rehma ya Kufunga, Kwa hivyo leo sitosema na Mtu".
Naam na wewe jizuie, kuongea sana, ndio maana mkaambiwa ikisha Mkakae msikitini(Kimya) Kumbuka kila kitu kinatokea kwenye Ukimya, ukijizuia na vyote hivyo Akili inakua haina la kufanya, Na Akili ikisimama Taqwa inatokezea na hiyo ndio Saum. Mollah wangu ni Mwenye kujua zaidi, Nakutakieni Mwezi wa Kheri na Baraka na saum zenye kukubaliwa, Mollah atujaalie Ufalme wake sote tuingie katika pepo yake, Atusameh dhanmbi zetu zilopita za sasa na zinokuja, Awasamehe pia walotangulia kabla yetu awatilie nuru katika makaazi yao huko walipo.
Amin.
Sunday, April 15, 2018
KIVULI CHA MAUTI PART 1
Asalaam Aleiykum
Katika sura ya (Mulk)kumetajwa mambo mawili ambayo yanapaswa tuyazingatie kwa undani, Maneno yenyewe ni haya "Mwenye enzi Mungu ameumba Mauti na maisha" viwili hivi vimetuzunguka na tunaishi navyo lakini wengi hatuna ujuzi wa kuvijua.
Leo umefika muda wa kujua kikoje kivuli hicho cha Mauti, Na kwanini naishi nacho halafu nikawa sikijui. Sasa Kabla ya kuendelea na darsa yetu napenda kukupa dondoo ya "Kivuli cha Mauti" ili nipate kukujulisha vilivyomo pembeni mwa "Kivuli"hicho.
Wewe Mwanaadamu yaweza kuwa pengine umeghafilika au hujui kabisa pembezoni mwa kivuli cha Mauti kuna kaa nini, Ukiangalia vizuri katika umri huu ambao unaishi katika Ulimwengu huu kuna hesabu ya Namba 7 imekuzunguka, kama Mbingu 7 na Ardhi mfano huo huo wa 7, Basi na maisha yako pia yamezungukwa na Namba hiyo ya 7, kila baada ya miaka 7 maisha yako yanabadilika ndani na nje kuanzia Riziki mpaka maumbile, ukitaka ushahidi wa hilo lifanyie uchunguzi nakujulisha wapi kwa kuanzia, rudi nyuma ulipozaliwa mpaka ukafika miaka saba ulikua unaishi ndani ya kivuli hujali kitu, huna fahamu, huogopi kufa wala chochote, ulipoanza kufika miaka saba ukaanza kupewa fahamu kidogo kidogo ndio maana hekima ya kuambiwa watoto wakifika miaka saba wafundishwe kusali, kufunga, wakiachiwa kipindi hicho kama hakijatiwa kitu kwenye Akili wakakizoea basi watakua hawafahamu tena, Sasa ilipofika saba ya pili(14) unafunguliwa raha ya (Sex).
Ulipofika Miaka (21) Pengine umemaliza (Uni au School)Ukaolewa au ukaoa, na ulipoingia saba ya nne(28)sasa unakabidhiwa utu Uzima na hapo ndio kidogo unaanza kukutana na Kivuli, unaanza kujua kumbe jua litakuchwa, kuna usiku utanivaa, kivuli kinakuja na hivyo ndio Mauti yanapowasili kwa kujitambulisha umebakiza muda sio mrefu na mimi nichukue nafasi yangu.
Katika sura ya (Mulk)kumetajwa mambo mawili ambayo yanapaswa tuyazingatie kwa undani, Maneno yenyewe ni haya "Mwenye enzi Mungu ameumba Mauti na maisha" viwili hivi vimetuzunguka na tunaishi navyo lakini wengi hatuna ujuzi wa kuvijua.
Leo umefika muda wa kujua kikoje kivuli hicho cha Mauti, Na kwanini naishi nacho halafu nikawa sikijui. Sasa Kabla ya kuendelea na darsa yetu napenda kukupa dondoo ya "Kivuli cha Mauti" ili nipate kukujulisha vilivyomo pembeni mwa "Kivuli"hicho.
Wewe Mwanaadamu yaweza kuwa pengine umeghafilika au hujui kabisa pembezoni mwa kivuli cha Mauti kuna kaa nini, Ukiangalia vizuri katika umri huu ambao unaishi katika Ulimwengu huu kuna hesabu ya Namba 7 imekuzunguka, kama Mbingu 7 na Ardhi mfano huo huo wa 7, Basi na maisha yako pia yamezungukwa na Namba hiyo ya 7, kila baada ya miaka 7 maisha yako yanabadilika ndani na nje kuanzia Riziki mpaka maumbile, ukitaka ushahidi wa hilo lifanyie uchunguzi nakujulisha wapi kwa kuanzia, rudi nyuma ulipozaliwa mpaka ukafika miaka saba ulikua unaishi ndani ya kivuli hujali kitu, huna fahamu, huogopi kufa wala chochote, ulipoanza kufika miaka saba ukaanza kupewa fahamu kidogo kidogo ndio maana hekima ya kuambiwa watoto wakifika miaka saba wafundishwe kusali, kufunga, wakiachiwa kipindi hicho kama hakijatiwa kitu kwenye Akili wakakizoea basi watakua hawafahamu tena, Sasa ilipofika saba ya pili(14) unafunguliwa raha ya (Sex).
Ulipofika Miaka (21) Pengine umemaliza (Uni au School)Ukaolewa au ukaoa, na ulipoingia saba ya nne(28)sasa unakabidhiwa utu Uzima na hapo ndio kidogo unaanza kukutana na Kivuli, unaanza kujua kumbe jua litakuchwa, kuna usiku utanivaa, kivuli kinakuja na hivyo ndio Mauti yanapowasili kwa kujitambulisha umebakiza muda sio mrefu na mimi nichukue nafasi yangu.
KIVULI CHA MAUTI PART 2
Asalaam Aleiykum
Unapotaka kufahamu ukweli wa Kivuli hicho kwanza lazima upite kwenye Muongozo wa kitabu cha Quraan aya ya pili iliyomo sura ya (Mulk) inayosema.
ٱلَّذِى خَلَقَ ٱلۡمَوۡتَ وَٱلۡحَيَوٰةَ لِيَبۡلُوَكُمۡ أَيُّكُمۡ أَحۡسَنُ عَمَلاً۬ۚ وَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلۡغَفُورُ
"Ambaye ameumba Mauti na uhai ili kukujaribuni, ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri, Naye ni Mwenye nguvu na Mwenye Msamaha".
Nakuomba zama au nenda (Deep)lazima utakutana na vitu viwili Maisha na Mauti, katikati ya mambo hayo mawili ndio kuna hicho kivuli, Sasa tuliza Akili yako nikuchukue kwenye Umahiri wa lugha ili upate kujua vipi unaishi katika viwili hivi. Napenda ufahamu kuna kitu kimoja hichi kiitwacho uhai, hiki wewe una uhakika nacho, ukiamka unajijua mimi niko hai, lakini nina hakika hujawahi kujiuliza nikilala nakwenda wapi, au niko katika hali gani, au naishi vipi?.
Nakuomba ukae ulizingatie swali hilo ambalo ndani yake kuna mazingatio makubwa kabisa ambayo sio ya Ulimwengu huu. Aya inasema "Yameumbwa Mauti na Uhai"Jee unaishi katika viwili hivi?, Na kama unaishi ile (Final)ambayo hurejei tena inaitwa nini?Ikiwa kuna Uhai au haya (Maisha)tunayoyajua basi elewa unaishi pia katika kitu kiitwacho(Mauti)ndio maana ukaambiwa viwili hivi vimeumbwa na vinaenda sambamba, kila ukenda kulala unakwenda katika hiyo awamu ya pili ya (Umauti), nisije kusema hivi ukaja kudhani zile ndoto zako ndio Ulimwengu wa (Mauti) huwezi kuufikia Ulimwengu huo mpaka upewe Hijjaza na Mollah wako, au ufanye mazoezi uweze kuuona usingizi wako.
Utakapoona usingizi wako ukashuhudia Mwili wako umelala na wewe tafauti na kiwiliwili chako una uangalia, hapo utajua nini maana ya hilo kusudio la "Kivuli cha Mauti", Ndio maana nikasema ukitegemea ndoto utakua bado unaishi kwenye Akili, Na itakua kama jua limepatwa giza limetanda, Na ukitaka kujua kwamba bado uko kwenye Akili zitizame ndoto zako zitakujulisha pale unapoota mtu wako alokufa, siku zote utamuona katika umri wa ujana au alivokua mtoto, Ni kwa sababu hiyo ndoto yako inatokea kwenye (Memory), Lakini ukimuona kwenye hali ambayo ya hivi sasa basi hapo itakua umekwenda(Beyond).
Nimesema kuna njia mbili za kuangalia hiki kivuli ama ile ya kwanza ni usingizi ambayo ni ngumu sana kwetu sisi kupata habari zake. Ama njia ya pili ni hii iliyomo kwenye sura ya.
Endelea part 3.
Unapotaka kufahamu ukweli wa Kivuli hicho kwanza lazima upite kwenye Muongozo wa kitabu cha Quraan aya ya pili iliyomo sura ya (Mulk) inayosema.
ٱلَّذِى خَلَقَ ٱلۡمَوۡتَ وَٱلۡحَيَوٰةَ لِيَبۡلُوَكُمۡ أَيُّكُمۡ أَحۡسَنُ عَمَلاً۬ۚ وَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلۡغَفُورُ
"Ambaye ameumba Mauti na uhai ili kukujaribuni, ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri, Naye ni Mwenye nguvu na Mwenye Msamaha".
Nakuomba zama au nenda (Deep)lazima utakutana na vitu viwili Maisha na Mauti, katikati ya mambo hayo mawili ndio kuna hicho kivuli, Sasa tuliza Akili yako nikuchukue kwenye Umahiri wa lugha ili upate kujua vipi unaishi katika viwili hivi. Napenda ufahamu kuna kitu kimoja hichi kiitwacho uhai, hiki wewe una uhakika nacho, ukiamka unajijua mimi niko hai, lakini nina hakika hujawahi kujiuliza nikilala nakwenda wapi, au niko katika hali gani, au naishi vipi?.
Nakuomba ukae ulizingatie swali hilo ambalo ndani yake kuna mazingatio makubwa kabisa ambayo sio ya Ulimwengu huu. Aya inasema "Yameumbwa Mauti na Uhai"Jee unaishi katika viwili hivi?, Na kama unaishi ile (Final)ambayo hurejei tena inaitwa nini?Ikiwa kuna Uhai au haya (Maisha)tunayoyajua basi elewa unaishi pia katika kitu kiitwacho(Mauti)ndio maana ukaambiwa viwili hivi vimeumbwa na vinaenda sambamba, kila ukenda kulala unakwenda katika hiyo awamu ya pili ya (Umauti), nisije kusema hivi ukaja kudhani zile ndoto zako ndio Ulimwengu wa (Mauti) huwezi kuufikia Ulimwengu huo mpaka upewe Hijjaza na Mollah wako, au ufanye mazoezi uweze kuuona usingizi wako.
Utakapoona usingizi wako ukashuhudia Mwili wako umelala na wewe tafauti na kiwiliwili chako una uangalia, hapo utajua nini maana ya hilo kusudio la "Kivuli cha Mauti", Ndio maana nikasema ukitegemea ndoto utakua bado unaishi kwenye Akili, Na itakua kama jua limepatwa giza limetanda, Na ukitaka kujua kwamba bado uko kwenye Akili zitizame ndoto zako zitakujulisha pale unapoota mtu wako alokufa, siku zote utamuona katika umri wa ujana au alivokua mtoto, Ni kwa sababu hiyo ndoto yako inatokea kwenye (Memory), Lakini ukimuona kwenye hali ambayo ya hivi sasa basi hapo itakua umekwenda(Beyond).
Nimesema kuna njia mbili za kuangalia hiki kivuli ama ile ya kwanza ni usingizi ambayo ni ngumu sana kwetu sisi kupata habari zake. Ama njia ya pili ni hii iliyomo kwenye sura ya.
Endelea part 3.
KIVULI CHA MAUTI PART 3
Asalaam Aleiykum
Alama yetu ya pili kukijua kivuli hichi ni aya iliyomo sura ya Yaasin aya ya 68.
"وَمَن نُّعَمِّرۡهُ نُنَڪِّسۡهُ فِى ٱلۡخَلۡقِۖ أَفَلَا يَعۡقِلُونَ "
Na tunayempa Umri (Ikisha)tunamrejesha nyuma katika umbo lake basi jee hawayatii Akilini(Kuzingatia).
Alama yakua sasa kivuli kinaondoka ni kupoteza kwako kwa uwezo wa mambo mengi katika Mwili wako, unatakiwa uyazingatie kuwa hivi karibuni safari itawadia ya wewe kuondoka kwenye (Maisha) na hicho kiitwacho (Mauti) viwili vyote hivi vinatoweka, na dalili zipo nyingi tunapewa ili tujiandae, viwili hivi vinaondoshwa kidogo kidogo pasi wewe kushituka, Ama kwenye maisha huwezi kwenda mbio, nywele kuwa nyeupe, huwezi harakati nyingi, Maradhi yanawasili kutokana na muda wa viungo kutenda kazi ushamalizika, na katika kadhia ya (mauti)mpaka usingizi una punguziwa, ukiona vitu vyote hivi vimewasili basi elewa sasa wakati wowote unatarajiwa urejee nyumbani, unatakiwa kulala ule usingizi wa moja kwa moja, uondoke kwenye Uhai, upite kwenye mauti ili urejee nyumbani kwa aliyekuumba.
Yote hayo yanafanyika lakini kuna kitu unakiona kivuli chake bado kipo, daima jitizame ukiumwa, ukiwa mzee, kuna kitu kinakujulisha kiko (The same)hakibadiliki, Kitu hicho kitu gani daima kipo na wewe kwa mfano wa kivuli, siku utakapo kigundua kivuli hicho ndio siku yako ya kurudi nyumbani, tegemeo langu utapokelewa kwa salama na Msamaha kutoka kwa Mollah wako kama alivosema Mwenyewe kwenye sura ya Mulk aya hiyo ya pili.
Alama yetu ya pili kukijua kivuli hichi ni aya iliyomo sura ya Yaasin aya ya 68.
"وَمَن نُّعَمِّرۡهُ نُنَڪِّسۡهُ فِى ٱلۡخَلۡقِۖ أَفَلَا يَعۡقِلُونَ "
Na tunayempa Umri (Ikisha)tunamrejesha nyuma katika umbo lake basi jee hawayatii Akilini(Kuzingatia).
Alama yakua sasa kivuli kinaondoka ni kupoteza kwako kwa uwezo wa mambo mengi katika Mwili wako, unatakiwa uyazingatie kuwa hivi karibuni safari itawadia ya wewe kuondoka kwenye (Maisha) na hicho kiitwacho (Mauti) viwili vyote hivi vinatoweka, na dalili zipo nyingi tunapewa ili tujiandae, viwili hivi vinaondoshwa kidogo kidogo pasi wewe kushituka, Ama kwenye maisha huwezi kwenda mbio, nywele kuwa nyeupe, huwezi harakati nyingi, Maradhi yanawasili kutokana na muda wa viungo kutenda kazi ushamalizika, na katika kadhia ya (mauti)mpaka usingizi una punguziwa, ukiona vitu vyote hivi vimewasili basi elewa sasa wakati wowote unatarajiwa urejee nyumbani, unatakiwa kulala ule usingizi wa moja kwa moja, uondoke kwenye Uhai, upite kwenye mauti ili urejee nyumbani kwa aliyekuumba.
Yote hayo yanafanyika lakini kuna kitu unakiona kivuli chake bado kipo, daima jitizame ukiumwa, ukiwa mzee, kuna kitu kinakujulisha kiko (The same)hakibadiliki, Kitu hicho kitu gani daima kipo na wewe kwa mfano wa kivuli, siku utakapo kigundua kivuli hicho ndio siku yako ya kurudi nyumbani, tegemeo langu utapokelewa kwa salama na Msamaha kutoka kwa Mollah wako kama alivosema Mwenyewe kwenye sura ya Mulk aya hiyo ya pili.
Saturday, March 3, 2018
KIMYA KINAFUNDISHA PART 1
Asalaam Aleiykum
Kuna Msemo wa Kiswahili Naupenda sana japokua wasemaji wameupa maana nyengine lakini kwenye Ulimwengu wa Mafundisho una maana kubwa kabisa, "Msemo Wenyewe unasema hivi, "Asofunzwa na Mamae hufunzwa na Ulimwengu".
Niliposema naupenda nilikusidia ulivotamkwa kwa maandishi yake, lakini kwa maana halisi naupinga kwa nguvu zangu zote kwa kusema hakuna Mwenye kufunzwa na Mama, Nitaukubali msemo huu ukitamkwa "Asosomeshwa na Mamae atasomeshwa na Walimwengu".
Napenda ukumbuke hayo yote alokua nayo Mama na yeye kasomeshwa, huo ni Urithi kutoka kwa Wazee wake, Darsa yangu hii nataka nikuondoshe kwenye Urithi nikupeleke kwenye Mali yako Mwenyewe, Nisafishe matope ili upate kuishuhudia (Diamond) wewe Mwenyewe.
Wameniletea Swali wananiuliza Umesoma wapi?, Mwalimu wako nani?, Umesoma Chuo gani?, Nimefurahi wameniuliza Umesoma wapi ni rahisi kuwajibu, lakini wangeniuliza umejifundisha wapi hapo ningekua na Mashaka makubwa kujibu swali kama hilo. Lakini (One Thing)naweza kusema nina uhakika sijasomeshwa na Mama yangu, Kwa hilo naogopa kumtia Aibu Mama yangu kwani Walimwengu watasema Mama yangu alikua Mwalimu mbaya, Lakini niko tayari kuwalaumu Walimwengu kwani wao ni Walimu wabaya sana, Takriban mabaya yote nime(Copy)kutoka kwao, kutokana na hilo naweza kusema nimesomea kutoka kwa kila mtu nilokutana naye katika maisha yangu.
Nini Kusoma?, Kusoma ni kukusanya (Information) za kuweza kukusaidia katika shughuli zako za kawaida, ama ukitaka kuzijua za kawaida ni huko ku(Copy)tabia, na kikazi katika kupata ajira ilo bora ili utende kazi kwa ufanisi na ujuzi mahiri kwa kile ulichosomea, ndio Maana unaambiwa somea (Biology)uwe (Doctor)Somea (International Relation)utakua Balozi, huko ndio kusoma.
Lakini kufundishwa ni (More Deep), kufundishwa inahusiana na (Life)maisha, kwa hiyo katika kufundishwa lazima vipatikane vitu vitatu(Soul)Roho, (Body)Mwili na (Mind)Akili ndio unaweza kuitwa yule kafundishwa. Sasa vipi hii Kufundishwa ina Mahusiano na hiyo sauti ya(Ukimya)ambayo hutaki kuisikiliza na kila mara unakumbushwa sauti hii ipo , na ndio inayo kufundisha, lakini wewe husikii kwa kuwa ume (Invest) kwenye makelele zaidi, ndio ukakumbushwa kwenye sura ya Muumin aya ya (3).
"وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَنِ ٱللَّغۡوِ مُعۡرِضُونَ"
Na Ambao hujiepusha na Mambo ya Kipuuzi.
Mambo ya kipuuzi ni hizo kelele za mazungumzo, mtazamo wa kipuuzi, kelele za nyimbo na mengineo, Kwanini ikawa hivyo kwa sababu wewe una (Tape Record) na hiyo ndio inokufanyia zogo ukawa husikii sauti ya ukimya.Sasa ufanye nini ili upate kuijua na kuisikiliza na kuifahamu hiyo sauti ya (Ukimya)inokufundisha?.
Endelea part 2
Kuna Msemo wa Kiswahili Naupenda sana japokua wasemaji wameupa maana nyengine lakini kwenye Ulimwengu wa Mafundisho una maana kubwa kabisa, "Msemo Wenyewe unasema hivi, "Asofunzwa na Mamae hufunzwa na Ulimwengu".
Niliposema naupenda nilikusidia ulivotamkwa kwa maandishi yake, lakini kwa maana halisi naupinga kwa nguvu zangu zote kwa kusema hakuna Mwenye kufunzwa na Mama, Nitaukubali msemo huu ukitamkwa "Asosomeshwa na Mamae atasomeshwa na Walimwengu".
Napenda ukumbuke hayo yote alokua nayo Mama na yeye kasomeshwa, huo ni Urithi kutoka kwa Wazee wake, Darsa yangu hii nataka nikuondoshe kwenye Urithi nikupeleke kwenye Mali yako Mwenyewe, Nisafishe matope ili upate kuishuhudia (Diamond) wewe Mwenyewe.
Wameniletea Swali wananiuliza Umesoma wapi?, Mwalimu wako nani?, Umesoma Chuo gani?, Nimefurahi wameniuliza Umesoma wapi ni rahisi kuwajibu, lakini wangeniuliza umejifundisha wapi hapo ningekua na Mashaka makubwa kujibu swali kama hilo. Lakini (One Thing)naweza kusema nina uhakika sijasomeshwa na Mama yangu, Kwa hilo naogopa kumtia Aibu Mama yangu kwani Walimwengu watasema Mama yangu alikua Mwalimu mbaya, Lakini niko tayari kuwalaumu Walimwengu kwani wao ni Walimu wabaya sana, Takriban mabaya yote nime(Copy)kutoka kwao, kutokana na hilo naweza kusema nimesomea kutoka kwa kila mtu nilokutana naye katika maisha yangu.
Nini Kusoma?, Kusoma ni kukusanya (Information) za kuweza kukusaidia katika shughuli zako za kawaida, ama ukitaka kuzijua za kawaida ni huko ku(Copy)tabia, na kikazi katika kupata ajira ilo bora ili utende kazi kwa ufanisi na ujuzi mahiri kwa kile ulichosomea, ndio Maana unaambiwa somea (Biology)uwe (Doctor)Somea (International Relation)utakua Balozi, huko ndio kusoma.
Lakini kufundishwa ni (More Deep), kufundishwa inahusiana na (Life)maisha, kwa hiyo katika kufundishwa lazima vipatikane vitu vitatu(Soul)Roho, (Body)Mwili na (Mind)Akili ndio unaweza kuitwa yule kafundishwa. Sasa vipi hii Kufundishwa ina Mahusiano na hiyo sauti ya(Ukimya)ambayo hutaki kuisikiliza na kila mara unakumbushwa sauti hii ipo , na ndio inayo kufundisha, lakini wewe husikii kwa kuwa ume (Invest) kwenye makelele zaidi, ndio ukakumbushwa kwenye sura ya Muumin aya ya (3).
"وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَنِ ٱللَّغۡوِ مُعۡرِضُونَ"
Na Ambao hujiepusha na Mambo ya Kipuuzi.
Mambo ya kipuuzi ni hizo kelele za mazungumzo, mtazamo wa kipuuzi, kelele za nyimbo na mengineo, Kwanini ikawa hivyo kwa sababu wewe una (Tape Record) na hiyo ndio inokufanyia zogo ukawa husikii sauti ya ukimya.Sasa ufanye nini ili upate kuijua na kuisikiliza na kuifahamu hiyo sauti ya (Ukimya)inokufundisha?.
Endelea part 2
KIMYA KINAFUNDISHA PART 2
Asalaam Aleiykum
Kinachotakiwa kifanyike itakubidi urudi uwe kama mtoto (Empty cassette)vipi utafanya inabidi ujitenge na makelele kwa njia unazozijua Mwenyewe, utakapo jitenga na mambo ya kipuuzi yaliyo nje hayaingii ndani kidogo kidogo utaanza kufuta yaliyomo(Record)ya ndani kwenye kichwa chako.
Ukifanikiwa kufuta makelele yaliyomo ndani ndio kidogo kidogo utaanza kusikia sauti yenye kufundisha, Sauti ambayo inakutoa kwenye Kiza na kukupeleka kwenye Nuru, Na hapo ndio utakapo pata maana halisi ya aya iliyomo kwenye sura ya (Insaan aya 2 na 3)
إِنَّا خَلَقۡنَا ٱلۡإِنسَـٰنَ مِن نُّطۡفَةٍ أَمۡشَاجٍ۬ نَّبۡتَلِيهِ فَجَعَلۡنَـٰهُ سَمِيعَۢا بَصِيرًا
Kwa hakika tumemuumba Mtu (Mwanaadamu)kutokana na Mbegu ya Uhai iliyochanganyika, ili tumfanyie Mtihani, kwa hivyo tukamfanya ni Mwenye kusikia na kuona.
"Wacha nikupe habari"Wewe hapo ulipo unazo hizo mbegu za uhai uwe mwanamme au mwanamke, zinakupa (Energy)unaishi nazo ndani ya Mwili, ndio maana ukimaliza tendo la ndoa unakua taabani, ndio maana usingizi wake unakua kama kifo, kwa sababu umepoteza mbegu, uhai umepungua (Ndio maana unaambiwa usifanye mambo ya uzinifu sana utakufa mapema), Naam kwa hiyo tukamfanya Mwenye kusikia na kuona, kwa kawaida tendo la kusikia unakua unasikia vitu vya nje hata siku moja hujasikia vya ndani, Hujapata kusikia moyo wako unavopiga, ila ulipokua mdogo ndio ulikua unasikia vizuri, lakini kwa sasa ni mara chache unasikiliza sauti ya ukimya, Ama ukisikiliza sauti hii utagundua ndio ilokufundisha mambo mengi"(عَلَّمَ ٱلۡإِنسَـٰنَ مَا لَمۡ يَعۡلَمۡ )"Alomfundisha Mwanaadamu chungu ya Mambo asoyajua.
Nani alokufundisha kulia, ukafundishwa kunyonya, ukafundishwa kutambaa, ukafundishwa kutembea, nani huyo ushapata kujiuliza?. Basi kabla ya kujiuliza jitizame Binaadamu wewe ujio wako kwenye Ulimwengu,(Aya Ya Mwanzo kwenye sura hii ya Insaan) Imekutaja wewe kama Mbegu, Wewe na Mti hamna Tafauti nyote Mmeumbwa, Mbegu ya Mti inatiwa chini ya tumbo la Ardhi baada ya muda inatokeza juu kwa kuchipuka na kuwa Mti, Mti huo unakua mkubwa unatoa majani na matunda, na mbegu zinotoka kwenye matunda hayo zinatawanyika kwenye ardhi hapo tena inaota miti mengine."Kama umesoma uzuri hicho kipande hapo juu cha hadithi ya Mti" basi utakua umepata fundisho na huo ndio mfano wa kufundishwa mambo mengi na Mollah wako, hicho hapo kitakua kitendo cha kutizama maisha ya mti, (Hiyo itakua sifa yako ya kuona).
Na wewe Mwenyewe unapitia (System)kama hiyo unaanza Kwenye Mbegu unatiwa kwenye tumbo ikisha watu wanasubiri miezi tisa ili utoke mtoto tumboni, unaishi unakua mkubwa unazaa na unaleta familia yako nyengine kabisa, basi ukiyajua hayo basi elewa kuna (System) Nyengine yenye kufundisha huo mti vipi kutafuta maji, vipi utakula, na (System) hiyo hiyo ndio inokufundisha wewe mambo mengi usoyajua, Jiulize kwa umakini hiyo miaka yako ulokaa (School au University) ndio ilokufundisha mambo yote unayoyajua, ikiwa sio basi jee elimu hii inatokea wapi?.
Ndio Mwenye enzi Mungu akasema ikisha tukamjaalia kusikia na kuona, sasa kwanini ikaanzwa kusikia mwanzo?
Endelea part 3
Kinachotakiwa kifanyike itakubidi urudi uwe kama mtoto (Empty cassette)vipi utafanya inabidi ujitenge na makelele kwa njia unazozijua Mwenyewe, utakapo jitenga na mambo ya kipuuzi yaliyo nje hayaingii ndani kidogo kidogo utaanza kufuta yaliyomo(Record)ya ndani kwenye kichwa chako.
Ukifanikiwa kufuta makelele yaliyomo ndani ndio kidogo kidogo utaanza kusikia sauti yenye kufundisha, Sauti ambayo inakutoa kwenye Kiza na kukupeleka kwenye Nuru, Na hapo ndio utakapo pata maana halisi ya aya iliyomo kwenye sura ya (Insaan aya 2 na 3)
إِنَّا خَلَقۡنَا ٱلۡإِنسَـٰنَ مِن نُّطۡفَةٍ أَمۡشَاجٍ۬ نَّبۡتَلِيهِ فَجَعَلۡنَـٰهُ سَمِيعَۢا بَصِيرًا
Kwa hakika tumemuumba Mtu (Mwanaadamu)kutokana na Mbegu ya Uhai iliyochanganyika, ili tumfanyie Mtihani, kwa hivyo tukamfanya ni Mwenye kusikia na kuona.
"Wacha nikupe habari"Wewe hapo ulipo unazo hizo mbegu za uhai uwe mwanamme au mwanamke, zinakupa (Energy)unaishi nazo ndani ya Mwili, ndio maana ukimaliza tendo la ndoa unakua taabani, ndio maana usingizi wake unakua kama kifo, kwa sababu umepoteza mbegu, uhai umepungua (Ndio maana unaambiwa usifanye mambo ya uzinifu sana utakufa mapema), Naam kwa hiyo tukamfanya Mwenye kusikia na kuona, kwa kawaida tendo la kusikia unakua unasikia vitu vya nje hata siku moja hujasikia vya ndani, Hujapata kusikia moyo wako unavopiga, ila ulipokua mdogo ndio ulikua unasikia vizuri, lakini kwa sasa ni mara chache unasikiliza sauti ya ukimya, Ama ukisikiliza sauti hii utagundua ndio ilokufundisha mambo mengi"(عَلَّمَ ٱلۡإِنسَـٰنَ مَا لَمۡ يَعۡلَمۡ )"Alomfundisha Mwanaadamu chungu ya Mambo asoyajua.
Nani alokufundisha kulia, ukafundishwa kunyonya, ukafundishwa kutambaa, ukafundishwa kutembea, nani huyo ushapata kujiuliza?. Basi kabla ya kujiuliza jitizame Binaadamu wewe ujio wako kwenye Ulimwengu,(Aya Ya Mwanzo kwenye sura hii ya Insaan) Imekutaja wewe kama Mbegu, Wewe na Mti hamna Tafauti nyote Mmeumbwa, Mbegu ya Mti inatiwa chini ya tumbo la Ardhi baada ya muda inatokeza juu kwa kuchipuka na kuwa Mti, Mti huo unakua mkubwa unatoa majani na matunda, na mbegu zinotoka kwenye matunda hayo zinatawanyika kwenye ardhi hapo tena inaota miti mengine."Kama umesoma uzuri hicho kipande hapo juu cha hadithi ya Mti" basi utakua umepata fundisho na huo ndio mfano wa kufundishwa mambo mengi na Mollah wako, hicho hapo kitakua kitendo cha kutizama maisha ya mti, (Hiyo itakua sifa yako ya kuona).
Na wewe Mwenyewe unapitia (System)kama hiyo unaanza Kwenye Mbegu unatiwa kwenye tumbo ikisha watu wanasubiri miezi tisa ili utoke mtoto tumboni, unaishi unakua mkubwa unazaa na unaleta familia yako nyengine kabisa, basi ukiyajua hayo basi elewa kuna (System) Nyengine yenye kufundisha huo mti vipi kutafuta maji, vipi utakula, na (System) hiyo hiyo ndio inokufundisha wewe mambo mengi usoyajua, Jiulize kwa umakini hiyo miaka yako ulokaa (School au University) ndio ilokufundisha mambo yote unayoyajua, ikiwa sio basi jee elimu hii inatokea wapi?.
Ndio Mwenye enzi Mungu akasema ikisha tukamjaalia kusikia na kuona, sasa kwanini ikaanzwa kusikia mwanzo?
Endelea part 3
KIMYA KINAFUNDISHA PART 3
Asalaam Aleiykum
Pale mwanzo nilitaja kuwa wewe uko sawa na mti sasa hapa nakutajia sababu za wewe kunyanyuliwa juu zaidi kwa mapenzi ya Mollah wako, Aliposema "Tukamjaalia kusikia na kuona", Unajua kwanini kusikia ikaanzwa mwanzo, kwa sababu kuona hata wanyama wanaona lakini kusikia inaenda (Deep)kusikia ni nyenzo ya wewe kufahamu au kujua (Mollah) wako anasema nini, hapo ndipo uliponyanyuliwa, lakini kumbuka unaweza kuona usifahamu ni kitu gani, na unaweza kusikia pia ukawa hujui wamesema nini, ukiwa katika hali hiyo basi jijue wewe bado uko kwenye fungu la wanyama, Lakini ukianza kusikiliza sauti ya ukimya ukaifahamu ndio unaondoka kidogo kidogo kwenye Unyama unaanza kuwa Binaadamu, sasa ukitoka kwenye Ubinaadamu unatakiwa uingie kwenye kundi la Muumin, hapo ndipo inaanza safari ya aya ya pili inayosema:"إِ نَّا هَدَيۡنَـٰهُ ٱلسَّبِيلَ إِمَّا شَاكِرً۬ا وَإِمَّا كَفُورًا"
"Hakika sisi tumemuongoa (Kwenye)njia Basi (Akitaka)atakua Mwenye shukurani au Mwenye kukufuru".
Vipi Uongofu huo unapatikana?. Unapatikana kwa kusikiliza sauti hiyo ya ukimya, unaposafisha (Noise) zako utaanza kusikia, vipi unasafisha mwanzoni nimezitaja na hapa naongezea, kuwa mtulivu fanya yalo mema, ukisha kuwa msafi hakuna ufisadi, wala tamaa au chuki kwenye moyo wako ghafla utaanza kusikia Sauti ya Ukimya inakufundisha, ukipata (Direct contact)utaona wewe Mwenyewe unaanza kufahamu, unaacha dhuluma, unaacha kulewa, unaacha kuzini, unaacha kusema uongo, unaanza kusali, unatoa sadaka, unasaidia maskini, wapi uongofu huu umetokea?, lazima kuna kitu kinakufundisha hichi nifanye na hichi nisifanye na hiyo ndio kauli ya tumemuongoa kwa kumfundisha na kumuonesha muongozo wenye kuambatana na khiyari katika hiyo (Roho)yako, ikisha ukapewa hiyari, baki kama mnyama ukufuru au kuwa Muumin ushukuru.
Na huko kushukuru ni kutambua kuwa Mwenye enzi Mungu kaniongoa mimi kumfata yeye kwa uwezo wake, kilichotakiwa kwangu ni kusikiliza tu anaamrisha nini, Yeye ndie aliyeniita kwenye njia ya Ufalme wake kwa Uwezo wake Mwenyewe, mbona kuna wenzangu bado wako kwenye maasi, mbona kuna wenzangu wanadhulumu watu, Lakini Mimi nafurahi kwa ajili ya Mollah wangu kunionesha njia hii ya kheri nikaifata. Siwezi kukufuru mie nikasema eti kwa uwezo wangu nimekua mtiifu, isipokua kataka Mollah wangu kwa Rehma zake kanifanya niwe Mwenye kusikiliza na kutii Amri zake, Na kwa ajili hiyo Naamini Mwenye enzi Mungu ndie Mwenye kunionesha njia hizi za kheri, kwa nguvu za ajabu kaniweka mimi katika njia hii wala sipepesuki namsikiliza yeye pekee.
Basi alo Muumin wa kweli anawaombea Yaarab Wajaalie na wengine wenye kuusikiliza wito wako wa ukimya na wauelewe na kuufata Amin.
Pale mwanzo nilitaja kuwa wewe uko sawa na mti sasa hapa nakutajia sababu za wewe kunyanyuliwa juu zaidi kwa mapenzi ya Mollah wako, Aliposema "Tukamjaalia kusikia na kuona", Unajua kwanini kusikia ikaanzwa mwanzo, kwa sababu kuona hata wanyama wanaona lakini kusikia inaenda (Deep)kusikia ni nyenzo ya wewe kufahamu au kujua (Mollah) wako anasema nini, hapo ndipo uliponyanyuliwa, lakini kumbuka unaweza kuona usifahamu ni kitu gani, na unaweza kusikia pia ukawa hujui wamesema nini, ukiwa katika hali hiyo basi jijue wewe bado uko kwenye fungu la wanyama, Lakini ukianza kusikiliza sauti ya ukimya ukaifahamu ndio unaondoka kidogo kidogo kwenye Unyama unaanza kuwa Binaadamu, sasa ukitoka kwenye Ubinaadamu unatakiwa uingie kwenye kundi la Muumin, hapo ndipo inaanza safari ya aya ya pili inayosema:"إِ نَّا هَدَيۡنَـٰهُ ٱلسَّبِيلَ إِمَّا شَاكِرً۬ا وَإِمَّا كَفُورًا"
"Hakika sisi tumemuongoa (Kwenye)njia Basi (Akitaka)atakua Mwenye shukurani au Mwenye kukufuru".
Vipi Uongofu huo unapatikana?. Unapatikana kwa kusikiliza sauti hiyo ya ukimya, unaposafisha (Noise) zako utaanza kusikia, vipi unasafisha mwanzoni nimezitaja na hapa naongezea, kuwa mtulivu fanya yalo mema, ukisha kuwa msafi hakuna ufisadi, wala tamaa au chuki kwenye moyo wako ghafla utaanza kusikia Sauti ya Ukimya inakufundisha, ukipata (Direct contact)utaona wewe Mwenyewe unaanza kufahamu, unaacha dhuluma, unaacha kulewa, unaacha kuzini, unaacha kusema uongo, unaanza kusali, unatoa sadaka, unasaidia maskini, wapi uongofu huu umetokea?, lazima kuna kitu kinakufundisha hichi nifanye na hichi nisifanye na hiyo ndio kauli ya tumemuongoa kwa kumfundisha na kumuonesha muongozo wenye kuambatana na khiyari katika hiyo (Roho)yako, ikisha ukapewa hiyari, baki kama mnyama ukufuru au kuwa Muumin ushukuru.
Na huko kushukuru ni kutambua kuwa Mwenye enzi Mungu kaniongoa mimi kumfata yeye kwa uwezo wake, kilichotakiwa kwangu ni kusikiliza tu anaamrisha nini, Yeye ndie aliyeniita kwenye njia ya Ufalme wake kwa Uwezo wake Mwenyewe, mbona kuna wenzangu bado wako kwenye maasi, mbona kuna wenzangu wanadhulumu watu, Lakini Mimi nafurahi kwa ajili ya Mollah wangu kunionesha njia hii ya kheri nikaifata. Siwezi kukufuru mie nikasema eti kwa uwezo wangu nimekua mtiifu, isipokua kataka Mollah wangu kwa Rehma zake kanifanya niwe Mwenye kusikiliza na kutii Amri zake, Na kwa ajili hiyo Naamini Mwenye enzi Mungu ndie Mwenye kunionesha njia hizi za kheri, kwa nguvu za ajabu kaniweka mimi katika njia hii wala sipepesuki namsikiliza yeye pekee.
Basi alo Muumin wa kweli anawaombea Yaarab Wajaalie na wengine wenye kuusikiliza wito wako wa ukimya na wauelewe na kuufata Amin.
Thursday, February 1, 2018
MAISHA YA SHAHIDI PART 1
Asalaam Aleiykum
Leo naanza Darsa kwa kuuliza swali ambalo ntakusaidia kujibu lakini uwe mkweli kabla ya kuendelea kuichambua darsa hii ujiulize Mwenyewe hivyo nilikua najua jawabu.
Swali: Hivyo kama nitakuuliza unajua nini maana ya kufa Shahidi? utanijibu vipi?.
Najua jawabu lako litaegemea kwenye matendo ya huko kufa Shahidi lakini sio maana asilia ya kufa Shahidi, utanambia kufa kwenye vita vya dini, au baharini, au uzazi na hivi na vile, lakini maana na kusudio lenyewe hulijui, basi kuanzia leo utapata maana yake si ya kufa Shahidi tu bali pia ya kuishi kama Shahidi.
Hakuna Jambo gumu kwa Mwanaadamu kama hilo la kuishi Kama Shahidi, Linashindikana jambo hili kutokana na Mwanaadamu kamilikiwa au (Shape)na Jamii au (Community). Kilicho mlea na kumkuza katika maisha yake ni yale mafunzo ya Tabia, hisia na muelekeo mzima wa (Eviroment)anayoishi, (Something very Powerful) Imeota kwa Mwanaadamu huyu inayoitwa (Ego) ambayo imetawala na kuweka kivuli mpaka kufikia kuwa haoni tena au hajui kama yeye ni Shahidi.
Vipi ? atakua Shahidi Wakati katawaliwa na Tabia, vipi awe Shahidi wakati karithi Tabia za Baba na Mama, vipi atakua Shahidi wakati kichwani humo kuna Mwalimu anakaa humo, Umetawaliwa na Kabila lako, umemilikiwa na unaongozwa na Jamii, vipi utakua Shahidi wakati kwenye (Mind) yako umejaa umbea, ndani humo kuna magonvi, wanawake na wanaume wanaishi humo, Dhiki ya maisha imo humo, kila mambo ulojifunza na kuyaona yamejaa humo mpaka umesahau sasa kuwa wewe Roho au Akili.
Kwenye (Stage) ulofikia Akili imeshachukua madaraka Kamili na sasa inaendesha maisha yako huku wewe ukifata Amri yake, Jiangalie kwa undani utaona kila kitu chako kimekua (Influence by the other), Hata hiyo Imani yako ya Dini unayoitegemea Masheikh ndio wameishika, unasikiliza nini wamesema, wewe Mwenyewe umekua huwezi hata kuwasiliana na Mollah wako Mpaka upitie Kwa Masheikh, umeishia unasema mimi naamini lakini hujui unaamini nini.
Na hilo linakutia wasiwasi huwezi kwenda kwa Mollah wako na moyo ulosalimika, Nini kitakacho kujulisha huo moyo ulosalimika?, hakuna chengine ila kurudi ili uwe Shahidi, kumbuka Shahidi ndio pekee anokwenda akiwa salama kwa Mollah wake. Sasa vipi Unakua umetawaliwa, itabidi nikurudishe kwenye Sala uone vipi ushahidi unavokutoka, vipi usingizi ulivokushika, au vipi hiyo (Mind) au Akili inavotawala mpaka ukawa huna ushahidi.
Wewe unapewa vipindi vitano vya Sala kuwasiliana na Mollah wako, Lakini wapi ukisimama kwenye hiyo Sala kitu cha mwanzo chenye kukujia vipi utakula sadaka ya msikitini, dukani umemuacha nani, Leo barazani wamesema nini, Kila ukikaa Akili yako masaa 24 inachambua habari mpya au ya zamani, siri za ngono, au magazeti, vipi mtamfukuza Imam, mbona hasalishi vizuri, hadith fulani inasemaje, leo hakuja kusali na sisi, sala yake haikubaliwi, utaona kadhia hii imejaa misiskitini na makanisani kwa jumla, utaona Mwili(Body)Upo Msikitini lakini (Mind) Akili ipo kwengine kabisa, sasa jiulize hapo Shahidi yuko wapi?
Endelea part 2
Leo naanza Darsa kwa kuuliza swali ambalo ntakusaidia kujibu lakini uwe mkweli kabla ya kuendelea kuichambua darsa hii ujiulize Mwenyewe hivyo nilikua najua jawabu.
Swali: Hivyo kama nitakuuliza unajua nini maana ya kufa Shahidi? utanijibu vipi?.
Najua jawabu lako litaegemea kwenye matendo ya huko kufa Shahidi lakini sio maana asilia ya kufa Shahidi, utanambia kufa kwenye vita vya dini, au baharini, au uzazi na hivi na vile, lakini maana na kusudio lenyewe hulijui, basi kuanzia leo utapata maana yake si ya kufa Shahidi tu bali pia ya kuishi kama Shahidi.
Hakuna Jambo gumu kwa Mwanaadamu kama hilo la kuishi Kama Shahidi, Linashindikana jambo hili kutokana na Mwanaadamu kamilikiwa au (Shape)na Jamii au (Community). Kilicho mlea na kumkuza katika maisha yake ni yale mafunzo ya Tabia, hisia na muelekeo mzima wa (Eviroment)anayoishi, (Something very Powerful) Imeota kwa Mwanaadamu huyu inayoitwa (Ego) ambayo imetawala na kuweka kivuli mpaka kufikia kuwa haoni tena au hajui kama yeye ni Shahidi.
Vipi ? atakua Shahidi Wakati katawaliwa na Tabia, vipi awe Shahidi wakati karithi Tabia za Baba na Mama, vipi atakua Shahidi wakati kichwani humo kuna Mwalimu anakaa humo, Umetawaliwa na Kabila lako, umemilikiwa na unaongozwa na Jamii, vipi utakua Shahidi wakati kwenye (Mind) yako umejaa umbea, ndani humo kuna magonvi, wanawake na wanaume wanaishi humo, Dhiki ya maisha imo humo, kila mambo ulojifunza na kuyaona yamejaa humo mpaka umesahau sasa kuwa wewe Roho au Akili.
Kwenye (Stage) ulofikia Akili imeshachukua madaraka Kamili na sasa inaendesha maisha yako huku wewe ukifata Amri yake, Jiangalie kwa undani utaona kila kitu chako kimekua (Influence by the other), Hata hiyo Imani yako ya Dini unayoitegemea Masheikh ndio wameishika, unasikiliza nini wamesema, wewe Mwenyewe umekua huwezi hata kuwasiliana na Mollah wako Mpaka upitie Kwa Masheikh, umeishia unasema mimi naamini lakini hujui unaamini nini.
Na hilo linakutia wasiwasi huwezi kwenda kwa Mollah wako na moyo ulosalimika, Nini kitakacho kujulisha huo moyo ulosalimika?, hakuna chengine ila kurudi ili uwe Shahidi, kumbuka Shahidi ndio pekee anokwenda akiwa salama kwa Mollah wake. Sasa vipi Unakua umetawaliwa, itabidi nikurudishe kwenye Sala uone vipi ushahidi unavokutoka, vipi usingizi ulivokushika, au vipi hiyo (Mind) au Akili inavotawala mpaka ukawa huna ushahidi.
Wewe unapewa vipindi vitano vya Sala kuwasiliana na Mollah wako, Lakini wapi ukisimama kwenye hiyo Sala kitu cha mwanzo chenye kukujia vipi utakula sadaka ya msikitini, dukani umemuacha nani, Leo barazani wamesema nini, Kila ukikaa Akili yako masaa 24 inachambua habari mpya au ya zamani, siri za ngono, au magazeti, vipi mtamfukuza Imam, mbona hasalishi vizuri, hadith fulani inasemaje, leo hakuja kusali na sisi, sala yake haikubaliwi, utaona kadhia hii imejaa misiskitini na makanisani kwa jumla, utaona Mwili(Body)Upo Msikitini lakini (Mind) Akili ipo kwengine kabisa, sasa jiulize hapo Shahidi yuko wapi?
Endelea part 2
MAISHA YA SHAHIDI PART 2
Asalaam Aleiykum
Utaona Mtu anasali miaka 40 hata siku moja hajapata (Something of beyond) Vipi wewe unakua Muumin halafu hupati ishara yoyote, umejiuliza kwanini husogei kwa Mollah wako ukaoneshwa japo taa, Kwani wewe siku zote si unalala Akhera ukiamka duniani?, Baadhi ya wakati huwauliza Masheikh wenu jee wewe kuna chochote kimetokezea kutoka kwa Mollah wako, una dalili yoyote katika maisha yako kwamba utakufa na kufufuliwa, jee umepata alama zozote za Imani yako, au zawadi kutoka mbinguni?, utawaona mashavu yanawacheza hawana la kujibu na hivi ndio sote tunavoishi, na (Quraan) ina tu (Challange) katika sura ya (Dhaariyat aya ya 21 na 22)
"وَفِىٓ أَنفُسِكُمۡۚ أَفَلَا تُبۡصِرُونَ"
"Na Katika Nafsi zenu(Pia zimo Alama)Je Hamuoni"(21)
Alama ziko nyingi mie leo ntazungumza chache ya Alama hizo ambayo imetajwa katika aya hiyo, nini kimetajwa "Jee kwenye Nafsi zenu hamuoni" Hamuangalii, Jiulize nani huyu anayeambiwa ajiangalie, katika kujiangalia lazima viwepo vitu vitatu, ntavitaja ya Mwanzo hiyo nafsi, Yapili hiyo inayoangalia na ya Tatu ni hiyo inayoona viwili hivyo, Na huyo ndio Shahidi au kwa jina lengine hiyo Roho Yako, au kwa njia nyengine "weka Kioo, halafu kutakua na Kioo, ikisha kuna wewe unayejiona kwenye kioo, lakini kuna watatu hapo huyo Shahidi kajificha anatizama kioo na nafsi, ndio maana utaona kwenye kioo umeona nafsi ama (Body)lakini hujamuona Shahidi.
Ulipoambiwa kurejea uwe Shahidi utizame nafsi yako, kusudio lake uwe Shahidi (Complete)Kwani ukiwa Shahidi ndio unasita kutenda dhanmbi kabisa, Shahidi hajawahi kutenda dhanmbi, ndio maana tukiomba dua tunasema (Ewe Mollah Mimi nimeidhulumu Nafsi dhuluma kubwa kabisa naomba unisamehe)hili nitalitolea ufafanuzi kwenye darsa za mbeleni, leo wacha tumchambue Shahidi tuone ana siri gani anataka kutwambia.
Unaendelea na darsa ya Shahidi fanya umuhimu uishi maisha ya ushahidi ili upate kufanikiwa hapa duniani na huko Akhera uendako. Kwa ajili hiyo ndio napenda kukumbusha tena ukisikia Mtu kafa Shahidi maana yake kafa hana Dhanmbi.
Sasa na wewe huna haja ya kufa ukiwa Shahidi unaweza kuishi katika Ulimwengu ukawa na wewe pia Shahidi, kwa maana hiyo utakua matendo ya dhanmbi huyatendi, Na hiyo ndio Darsa yetu ya leo na Faida zake.
Wewe hapo ulipo Maisha yako yote Umefunikwa na Akili, unachotakiwa kufanya ufunue pazia, umeiwachia Akili yako inafanya kazi masaa 24 bila ya mapumziko, mpaka ukilala unasema na kugombana usingizini, sasa umefika wakati uipumzishe (Computer)Chukua madaraka kamili ili uwache kuamuliwa mambo yako na Akili, ndio kwenye hiyo Aya ukaambiwa basi kwenye nafsi zenu hamuoni, na moja katika la kutizamwa ni hii Akili, kwani Akili ni Nyenzo katika nafsi yako, ndio maana wakati wengine unaambiwa wewe hutumii Akili yako.
Wewe Mwenyewe ndio umeifundisha Akili yako kukufanyia kazi zako, si vibaya inafanya zile za muhimu na nzuri, lakini kwa bahati mbaya umeifundisha mabaya vile vile na kwa kuwa Walimu walikuwa wengi ndio maana kichwani umekuwepo mtafaruku mkubwa sana, kutokana na mtafaruku huo ndio umeamua kuiweka kwenye (Automatic mode) ikisha huyo umelala, ninachofanya mimi kukuamsha na kukwambia rejea kwenye (Manual Mode) na ukirejea kwenye (Manual) ndio unakutana na huyo |shahidi ambaye ni wewe Mwenyewe (Original)Jijue wewe ni (Holy) wala Mtu asikwambie vengine.
Sasa Ukitaka kuwa Shahidi ina maana Uchukue (Control)lazima urejee kwenye (Basic)na jambo la mwanzo kufanya huwezi kwenda kwenye (Basic)lazima uisimamishe Akili yako kufanya kazi,(Stop your mind)Ndio maana aya ikatwambia (Hamuoni)kwanini haijasema hamtizami, kwa sababu kutizama ni kitu cha mbali, lakini kuona ni kitu cha karibu, utizame ndani, Kwa kawaida macho yetu yamekua (Trained)au Kufundishwa kuona Nje, Sasa hapo unatakiwa kujifunza kuona ndani, basi ni kitu gani hicho kinotizama ndani na nje?.
Endelea part 3
Utaona Mtu anasali miaka 40 hata siku moja hajapata (Something of beyond) Vipi wewe unakua Muumin halafu hupati ishara yoyote, umejiuliza kwanini husogei kwa Mollah wako ukaoneshwa japo taa, Kwani wewe siku zote si unalala Akhera ukiamka duniani?, Baadhi ya wakati huwauliza Masheikh wenu jee wewe kuna chochote kimetokezea kutoka kwa Mollah wako, una dalili yoyote katika maisha yako kwamba utakufa na kufufuliwa, jee umepata alama zozote za Imani yako, au zawadi kutoka mbinguni?, utawaona mashavu yanawacheza hawana la kujibu na hivi ndio sote tunavoishi, na (Quraan) ina tu (Challange) katika sura ya (Dhaariyat aya ya 21 na 22)
"وَفِىٓ أَنفُسِكُمۡۚ أَفَلَا تُبۡصِرُونَ"
"Na Katika Nafsi zenu(Pia zimo Alama)Je Hamuoni"(21)
Alama ziko nyingi mie leo ntazungumza chache ya Alama hizo ambayo imetajwa katika aya hiyo, nini kimetajwa "Jee kwenye Nafsi zenu hamuoni" Hamuangalii, Jiulize nani huyu anayeambiwa ajiangalie, katika kujiangalia lazima viwepo vitu vitatu, ntavitaja ya Mwanzo hiyo nafsi, Yapili hiyo inayoangalia na ya Tatu ni hiyo inayoona viwili hivyo, Na huyo ndio Shahidi au kwa jina lengine hiyo Roho Yako, au kwa njia nyengine "weka Kioo, halafu kutakua na Kioo, ikisha kuna wewe unayejiona kwenye kioo, lakini kuna watatu hapo huyo Shahidi kajificha anatizama kioo na nafsi, ndio maana utaona kwenye kioo umeona nafsi ama (Body)lakini hujamuona Shahidi.
Ulipoambiwa kurejea uwe Shahidi utizame nafsi yako, kusudio lake uwe Shahidi (Complete)Kwani ukiwa Shahidi ndio unasita kutenda dhanmbi kabisa, Shahidi hajawahi kutenda dhanmbi, ndio maana tukiomba dua tunasema (Ewe Mollah Mimi nimeidhulumu Nafsi dhuluma kubwa kabisa naomba unisamehe)hili nitalitolea ufafanuzi kwenye darsa za mbeleni, leo wacha tumchambue Shahidi tuone ana siri gani anataka kutwambia.
Unaendelea na darsa ya Shahidi fanya umuhimu uishi maisha ya ushahidi ili upate kufanikiwa hapa duniani na huko Akhera uendako. Kwa ajili hiyo ndio napenda kukumbusha tena ukisikia Mtu kafa Shahidi maana yake kafa hana Dhanmbi.
Sasa na wewe huna haja ya kufa ukiwa Shahidi unaweza kuishi katika Ulimwengu ukawa na wewe pia Shahidi, kwa maana hiyo utakua matendo ya dhanmbi huyatendi, Na hiyo ndio Darsa yetu ya leo na Faida zake.
Wewe hapo ulipo Maisha yako yote Umefunikwa na Akili, unachotakiwa kufanya ufunue pazia, umeiwachia Akili yako inafanya kazi masaa 24 bila ya mapumziko, mpaka ukilala unasema na kugombana usingizini, sasa umefika wakati uipumzishe (Computer)Chukua madaraka kamili ili uwache kuamuliwa mambo yako na Akili, ndio kwenye hiyo Aya ukaambiwa basi kwenye nafsi zenu hamuoni, na moja katika la kutizamwa ni hii Akili, kwani Akili ni Nyenzo katika nafsi yako, ndio maana wakati wengine unaambiwa wewe hutumii Akili yako.
Wewe Mwenyewe ndio umeifundisha Akili yako kukufanyia kazi zako, si vibaya inafanya zile za muhimu na nzuri, lakini kwa bahati mbaya umeifundisha mabaya vile vile na kwa kuwa Walimu walikuwa wengi ndio maana kichwani umekuwepo mtafaruku mkubwa sana, kutokana na mtafaruku huo ndio umeamua kuiweka kwenye (Automatic mode) ikisha huyo umelala, ninachofanya mimi kukuamsha na kukwambia rejea kwenye (Manual Mode) na ukirejea kwenye (Manual) ndio unakutana na huyo |shahidi ambaye ni wewe Mwenyewe (Original)Jijue wewe ni (Holy) wala Mtu asikwambie vengine.
Sasa Ukitaka kuwa Shahidi ina maana Uchukue (Control)lazima urejee kwenye (Basic)na jambo la mwanzo kufanya huwezi kwenda kwenye (Basic)lazima uisimamishe Akili yako kufanya kazi,(Stop your mind)Ndio maana aya ikatwambia (Hamuoni)kwanini haijasema hamtizami, kwa sababu kutizama ni kitu cha mbali, lakini kuona ni kitu cha karibu, utizame ndani, Kwa kawaida macho yetu yamekua (Trained)au Kufundishwa kuona Nje, Sasa hapo unatakiwa kujifunza kuona ndani, basi ni kitu gani hicho kinotizama ndani na nje?.
Endelea part 3
MAISHA YA SHAHIDI PART 3
Asalaam Aleiykum
Kitu chenyewe kionacho ndani na nje ni hiyo wewe ambayo(Eternal)Roho yako, au Tuite Shahidi.
Hii Roho au Shahidi inaponza kufanya kazi yake ndipo (Mind)au Akili ina (Stop)Na Akili ikisimama ndio inaanza kufata amri zako, Na ukianza Maisha ya Shahidi inakua vigumu kwako kutenda kosa lolote kwa sababu Shahidi ana mahusiano na Mapenzi, toka lini ukasikia Mwenye mapenzi anaua, Mwenye kuua ni yule Mwenye chuki, Kwa sababu Shahidi hajui Uadui, ila Shahidi Akilala Akili au (Mind) ndio inatenda Makosa, ndio maana ukiwa kwenye mapenzi una (Lost your mind)watu wanashikwa karogwa huyo, hajarogwa abadan, anafanya mambo kinyume cha nyinyi wenye chuki, ndio maana mnaona karogwa, mbona anamsomeshea watoto wake, hii kamnunulia nyumba, utajiri wote kamuachia Mwanamke huyo ndio Shahidi(Nimekupa Mfano).
Niliposema Shahidi hajawahi kutenda kosa ila alikua kalala hapo nilikosea kidogo, kwa sababu huko kulala pia kunategemea Akili(Mind) ndio maana ukiwa Jasiri unaweza kuuona usingizi unapokuvaa, taratibu unapoingia nyayoni unapanda mpaka kwenye Akili yako, lakini unatakiwa Ujasiri(Siku ya mwanzo nilipokua nafanya zoezi hilo nilidhani nakufa mambo yanatisha)
Naam Napenda ujue yakua Shahidi halali, yeye hapati usingizi, Sasa utakua bado unajiuliza ni nani huyu Shahidi?. Wacha nikupe jawabu Shahidi ni yule ambaye Habadiliki ndani yako, kila kitu kinabadilika isipokua Shahidi, toka akae kwenye hiyo Nafsi hajawahi kuondoka, Shahidi huyu hata ukiwa kwenye Usingizi mzito yeye anaangalia(Ndio maana ukaambiwa Uhai)Yeye anaendelea kuangalia ndoto zako, Na hata ukiwa huna ndoto basi yeye anaendelea kuangalia usingizi wako wa nafsi ulio mzito, Na pale unapoamka Shahidi anaendelea kuangalia Ulimwengu, Na unapolala inaangalia Ulimwengu wako wa ndani, Haijawahi kusimama hata sekunde kuangalia mambo yote yanozunguka Ulimwengu wa nje na kwenye nafsi yako, Na ukiijua hali hiyo ya Ushahidi ndipo Akili ina simama na dhanmbi zinatoweka, Na ukifanikiwa kuwa Shahidi ndio utaona Hamaki zinakuja zinapita, matatizo yanakuja yanapita, maradhi yanakuja yanapita, magonvi yanakuja yanapita, Raha zinakuja zinapita, shida zinakuja zinapita, Baridi inakuja inapita, joto linakuja linapita, sio kazi rahisi lakini inawezekana ndio maana tukaambiwa tujaribu kuangalia kwenye nafsi zetu asaa tunaweza kufanikiwa kuona kitu.
Sasa ili ufanikiwe kumpata Shahidi ndio wema walopita wakatafuta mbinu nyingi ili wawe mashahidi, Madhumuni yao yote ilikua kuisimamisha Akili(Mind), Wakaja na (Tasbih)nazitaja baadhi ya nyezo walotumia ambazo leo mnaelezwa haramu, haifai, lakini watu hawakujua nini kusudio la mambo hayo ya kuanzishwa (Dhikiri)Mtu kukaa na udhu, Kusema (Astrafullah)mara elfu kumi, yote ni katika nyenzo ya kuisimamisha Akili, na Akili ikisimama hapo hapo unakutana na Shahidi na huyo shahidi ndio wewe na wala sio mwengine.
Vipi unaweza kuisimamisha Akili itabidi uisome hiyo aya hapo umepewa (Trick)(Just Watch your Mind)ndio katika nafsi zenu hamuoni, anza kidogo kidogo kujiangalia vipi unakula, vipi unazungumza, ukiwa kimya isikilize akili yako inavoongea, ukikoga fanya upate hisia ya mwili wako, punguza kuongea kama mchiriku, Ukisali sikiliza Quraan unayosoma, jaribu kurejea kwenye Nafsi yako kidogo kidogo utaona Akili ina (Dissappear) na Shahidi ana (Appear).
Hapo ndio tunaingia aya ya pili, kumbuka huwezi kuingia aya hii mpaka umekua Shahidi.
"وَفِى ٱلسَّمَآءِ رِزۡقُكُمۡ وَمَا تُوعَدُونَ
"Na Katika Mbingu ziko riziki zenu na mliyoahidiwa"
Kumbuka ukifanikiwa kuwa Shahidi Muono wako wa Ulimwengu huu unabadilika, Na hapo unaanza kufunguliwa baadhi ya siri, ndipo unapokutana na ukweli wa ithbati kuwa katika hiyo Mbingu ndiko kunako gaiwa Riziki yangu, mimi hata nikifanya nini siwezi kuzidisha wala kupunguza vile ambavyo inavoamriwa huko Mbinguni riziki yangu iwe ya kiasi gani, ndio utaona yule ambaye anauza mchanga anatajirika na wewe Mwenye kuuza dhahabu bado umasikini, Na hapo inakufungukia yakini kuwa siku uhai wangu utakapomalizika basi na mimi ntaelekea huko Mbinguni katika kupata yale nilohaidiwa."Mollah wetu tujaalie Maisha ya Ushahidi na utufanye katika watakaopata pepo yako Mollah wetu".
Amin.
Kitu chenyewe kionacho ndani na nje ni hiyo wewe ambayo(Eternal)Roho yako, au Tuite Shahidi.
Hii Roho au Shahidi inaponza kufanya kazi yake ndipo (Mind)au Akili ina (Stop)Na Akili ikisimama ndio inaanza kufata amri zako, Na ukianza Maisha ya Shahidi inakua vigumu kwako kutenda kosa lolote kwa sababu Shahidi ana mahusiano na Mapenzi, toka lini ukasikia Mwenye mapenzi anaua, Mwenye kuua ni yule Mwenye chuki, Kwa sababu Shahidi hajui Uadui, ila Shahidi Akilala Akili au (Mind) ndio inatenda Makosa, ndio maana ukiwa kwenye mapenzi una (Lost your mind)watu wanashikwa karogwa huyo, hajarogwa abadan, anafanya mambo kinyume cha nyinyi wenye chuki, ndio maana mnaona karogwa, mbona anamsomeshea watoto wake, hii kamnunulia nyumba, utajiri wote kamuachia Mwanamke huyo ndio Shahidi(Nimekupa Mfano).
Niliposema Shahidi hajawahi kutenda kosa ila alikua kalala hapo nilikosea kidogo, kwa sababu huko kulala pia kunategemea Akili(Mind) ndio maana ukiwa Jasiri unaweza kuuona usingizi unapokuvaa, taratibu unapoingia nyayoni unapanda mpaka kwenye Akili yako, lakini unatakiwa Ujasiri(Siku ya mwanzo nilipokua nafanya zoezi hilo nilidhani nakufa mambo yanatisha)
Naam Napenda ujue yakua Shahidi halali, yeye hapati usingizi, Sasa utakua bado unajiuliza ni nani huyu Shahidi?. Wacha nikupe jawabu Shahidi ni yule ambaye Habadiliki ndani yako, kila kitu kinabadilika isipokua Shahidi, toka akae kwenye hiyo Nafsi hajawahi kuondoka, Shahidi huyu hata ukiwa kwenye Usingizi mzito yeye anaangalia(Ndio maana ukaambiwa Uhai)Yeye anaendelea kuangalia ndoto zako, Na hata ukiwa huna ndoto basi yeye anaendelea kuangalia usingizi wako wa nafsi ulio mzito, Na pale unapoamka Shahidi anaendelea kuangalia Ulimwengu, Na unapolala inaangalia Ulimwengu wako wa ndani, Haijawahi kusimama hata sekunde kuangalia mambo yote yanozunguka Ulimwengu wa nje na kwenye nafsi yako, Na ukiijua hali hiyo ya Ushahidi ndipo Akili ina simama na dhanmbi zinatoweka, Na ukifanikiwa kuwa Shahidi ndio utaona Hamaki zinakuja zinapita, matatizo yanakuja yanapita, maradhi yanakuja yanapita, magonvi yanakuja yanapita, Raha zinakuja zinapita, shida zinakuja zinapita, Baridi inakuja inapita, joto linakuja linapita, sio kazi rahisi lakini inawezekana ndio maana tukaambiwa tujaribu kuangalia kwenye nafsi zetu asaa tunaweza kufanikiwa kuona kitu.
Sasa ili ufanikiwe kumpata Shahidi ndio wema walopita wakatafuta mbinu nyingi ili wawe mashahidi, Madhumuni yao yote ilikua kuisimamisha Akili(Mind), Wakaja na (Tasbih)nazitaja baadhi ya nyezo walotumia ambazo leo mnaelezwa haramu, haifai, lakini watu hawakujua nini kusudio la mambo hayo ya kuanzishwa (Dhikiri)Mtu kukaa na udhu, Kusema (Astrafullah)mara elfu kumi, yote ni katika nyenzo ya kuisimamisha Akili, na Akili ikisimama hapo hapo unakutana na Shahidi na huyo shahidi ndio wewe na wala sio mwengine.
Vipi unaweza kuisimamisha Akili itabidi uisome hiyo aya hapo umepewa (Trick)(Just Watch your Mind)ndio katika nafsi zenu hamuoni, anza kidogo kidogo kujiangalia vipi unakula, vipi unazungumza, ukiwa kimya isikilize akili yako inavoongea, ukikoga fanya upate hisia ya mwili wako, punguza kuongea kama mchiriku, Ukisali sikiliza Quraan unayosoma, jaribu kurejea kwenye Nafsi yako kidogo kidogo utaona Akili ina (Dissappear) na Shahidi ana (Appear).
Hapo ndio tunaingia aya ya pili, kumbuka huwezi kuingia aya hii mpaka umekua Shahidi.
"وَفِى ٱلسَّمَآءِ رِزۡقُكُمۡ وَمَا تُوعَدُونَ
"Na Katika Mbingu ziko riziki zenu na mliyoahidiwa"
Kumbuka ukifanikiwa kuwa Shahidi Muono wako wa Ulimwengu huu unabadilika, Na hapo unaanza kufunguliwa baadhi ya siri, ndipo unapokutana na ukweli wa ithbati kuwa katika hiyo Mbingu ndiko kunako gaiwa Riziki yangu, mimi hata nikifanya nini siwezi kuzidisha wala kupunguza vile ambavyo inavoamriwa huko Mbinguni riziki yangu iwe ya kiasi gani, ndio utaona yule ambaye anauza mchanga anatajirika na wewe Mwenye kuuza dhahabu bado umasikini, Na hapo inakufungukia yakini kuwa siku uhai wangu utakapomalizika basi na mimi ntaelekea huko Mbinguni katika kupata yale nilohaidiwa."Mollah wetu tujaalie Maisha ya Ushahidi na utufanye katika watakaopata pepo yako Mollah wetu".
Amin.
Monday, January 1, 2018
SIRI YA UCHAWI PART 1
Asalaam Aleiykum
Mwaka mpya mambo mepya, Katika jambo la dini Mja ni haki yako ya kimsingi kukijua kila kitu kwenye Ulimwengu huu, Sasa ikiwa ni haki yako ya kimsingi kuyajua hayo jiulize kwanini haya ya (Kichawi) yamefichwa na hayajulikani.
Sababu kubwa ya kufichwa kwa mambo hayo ni Madhara ambayo kama yangeachiwa huru kila mtu kuyajua basi tungemalizana kama kuku. Mwenye enzi Mungu Kaificha Elimu hii kwa maelezo yaliyomo kwenye Quraan aya ya 102 (Baqarah)
"وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَـٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَـٰنَۖ وَمَا ڪَفَرَ سُلَيۡمَـٰنُ وَلَـٰكِنَّ ٱلشَّيَـٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَڪَيۡنِ بِبَابِلَ هَـٰرُوتَ وَمَـٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٌ۬ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَٮٰهُ مَا لَهُ ۥ فِى ٱلۡأَخِرَةِ مِنۡ خَلَـٰقٍ۬ۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦۤ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ ڪَانُواْ يَعۡلَمُونَ "
"Wakafata yale waliyofata Mashetani(Wakadai yalikua)Katika Ufalme wa (Nabii)Suleiman, Na Suleiman Hakukufuru, Bali Mashetani ndio walokufuru, wakiwafundisha watu uchawi,(Ambao wakiujua toka zamani)Ulioteremshwa kwa Malaika wawili, Haruta na Maruta katika Mji wa Babil, Wala (Malaika hao) hawakumfundisha yoyote mpaka wamwambie, "Hakika sisi ni Mtihani" (Wa kutizamwa utiifu wenu)basi usikufuru. Wakajifunza kwao ambayo kwa mambo hayo waliweza kumfarikisha mtu na mkewe (Na mengineyo chungu nzima). Wala hawakua wenye kumdhuru yoyote ila kwa idhini ya Mwenye enzi Mungu. Na wanajifunza ambayo yatawadhuru wala hayatawafaa. Na kwa Yakini wanajua kwamba aliyekhiyari(kuridhia)haya hatakuwa na sehemu yoyote katika Akhera. Na Bila shaka ni kibaya kabisa walichouzia(Starehe za)Nafsi zao(Kwa ajili ya kuikosa Akhera)laiti wangelijua(wasingelifanya hivyo).
Naam, Baada ya kutufukuzisha Peponi wameamua kutufata huku huku Ardhini ili kutupoteza, huu Uchawi ulikuja kama mtihani unapewa elimu halafu unatizamwa utaitumia vipi elimu hiyo, Ni elimu iliyofichikana ino khusu (Physiology) ya Mwanaadamu ndio maana hapo ikatajwa moja katika hayo ni kule (Kumfarakisha mtu na mumewe au mkewe).
Utakapo niuliza mimi nini (Uchawi) Nitakujibu ni (Medium) ni chombo cha siri chenye kutumwa kuwasiliana na jambo au kitu kwa ajili ya utendaji wa kazi yake.
"Leo hapa nazungumza tawi moja la uchawi katika matawi chungu nzima ya kichawi", Ni muhimu kulizungumza tawi hili kwa sababu linagusa moja kwa moja kwenye hiyo furaha yako, Nini Furaha?, Furaha ni Afya na Uchawi unaharibu au kudhulumu afya yako, na afya ikiguswa Binaadamu umemalizika.
Endelea part 2
Mwaka mpya mambo mepya, Katika jambo la dini Mja ni haki yako ya kimsingi kukijua kila kitu kwenye Ulimwengu huu, Sasa ikiwa ni haki yako ya kimsingi kuyajua hayo jiulize kwanini haya ya (Kichawi) yamefichwa na hayajulikani.
Sababu kubwa ya kufichwa kwa mambo hayo ni Madhara ambayo kama yangeachiwa huru kila mtu kuyajua basi tungemalizana kama kuku. Mwenye enzi Mungu Kaificha Elimu hii kwa maelezo yaliyomo kwenye Quraan aya ya 102 (Baqarah)
"وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَـٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَـٰنَۖ وَمَا ڪَفَرَ سُلَيۡمَـٰنُ وَلَـٰكِنَّ ٱلشَّيَـٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَڪَيۡنِ بِبَابِلَ هَـٰرُوتَ وَمَـٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٌ۬ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَٮٰهُ مَا لَهُ ۥ فِى ٱلۡأَخِرَةِ مِنۡ خَلَـٰقٍ۬ۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦۤ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ ڪَانُواْ يَعۡلَمُونَ "
"Wakafata yale waliyofata Mashetani(Wakadai yalikua)Katika Ufalme wa (Nabii)Suleiman, Na Suleiman Hakukufuru, Bali Mashetani ndio walokufuru, wakiwafundisha watu uchawi,(Ambao wakiujua toka zamani)Ulioteremshwa kwa Malaika wawili, Haruta na Maruta katika Mji wa Babil, Wala (Malaika hao) hawakumfundisha yoyote mpaka wamwambie, "Hakika sisi ni Mtihani" (Wa kutizamwa utiifu wenu)basi usikufuru. Wakajifunza kwao ambayo kwa mambo hayo waliweza kumfarikisha mtu na mkewe (Na mengineyo chungu nzima). Wala hawakua wenye kumdhuru yoyote ila kwa idhini ya Mwenye enzi Mungu. Na wanajifunza ambayo yatawadhuru wala hayatawafaa. Na kwa Yakini wanajua kwamba aliyekhiyari(kuridhia)haya hatakuwa na sehemu yoyote katika Akhera. Na Bila shaka ni kibaya kabisa walichouzia(Starehe za)Nafsi zao(Kwa ajili ya kuikosa Akhera)laiti wangelijua(wasingelifanya hivyo).
Naam, Baada ya kutufukuzisha Peponi wameamua kutufata huku huku Ardhini ili kutupoteza, huu Uchawi ulikuja kama mtihani unapewa elimu halafu unatizamwa utaitumia vipi elimu hiyo, Ni elimu iliyofichikana ino khusu (Physiology) ya Mwanaadamu ndio maana hapo ikatajwa moja katika hayo ni kule (Kumfarakisha mtu na mumewe au mkewe).
Utakapo niuliza mimi nini (Uchawi) Nitakujibu ni (Medium) ni chombo cha siri chenye kutumwa kuwasiliana na jambo au kitu kwa ajili ya utendaji wa kazi yake.
"Leo hapa nazungumza tawi moja la uchawi katika matawi chungu nzima ya kichawi", Ni muhimu kulizungumza tawi hili kwa sababu linagusa moja kwa moja kwenye hiyo furaha yako, Nini Furaha?, Furaha ni Afya na Uchawi unaharibu au kudhulumu afya yako, na afya ikiguswa Binaadamu umemalizika.
Endelea part 2
Subscribe to:
Posts (Atom)